Uingereza kupiga marufuku watoto wa chini ya miaka 16 kutumia mitandao ya kijamii
Waziri Mkuu wa Uingereza jana alisema nchi hiyo itapiga marufuku watoto walio na umri wa chini ya miaka 16 kutumia programu mbalimbali za mitandao ya kijamii ikiwa ni pamoja na…
Marekani na Iran zatia saini makubaliano ya kusitisha vita
Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa makubaliano hayo tayari yamesainiwa na Mlango-Bahari wa Hormuz unatarajiwa kufunguliwa kuanzia Ijumaa, ingawa bado kuna sintofahamu kuhusu vipengele na masharti kamili ya makubaliano…
Mwamnyeto aona mwanga Yanga
NAHODHA wa Yanga, Bakari Mwamnyeto amesema ushindi walioupata dhidi ya Mashujaa wa mabao 2-0 umezidi kuwaongezea morali ya kupambana na kuyasogelea malengo ya kutetea ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu…
Mkenya awindwa Kagera Sugar
BAADA ya Kagera Sugar kujihakikishia kucheza Ligi Kuu Bara msimu wa 2026-2027, timu hiyo imeanza kumfuatilia mshambuliaji wa Fortune Sacco FC, Mkenya Collins Maina baada ya kikosi hicho cha Wanankurukumbi…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Juni 16, 2026
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa... The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo…
Watatu waitwa mezani Namungo
WAKATI Namungo ikibakiwa na mechi nne za kuhitimisha msimu wa 2025-2026 wa Ligi Kuu Bara, uongozi wa klabu hiyo umeanza mazungumzo na wachezaji wake watatu ili kuongeza mikataba baada ya…
Yanga yaitaka Azam FC Zanzibar katika vita ya ubingwa
Mchezo ujao wa Yanga itakuwa ugenini Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha itakapokuwa mgeni wa Fountain Gate inayofundishwa na Fred Felix Minziro aliyewahi kuichezea Yanga nafasi ya beki wa…
Mkenda Cup yawasha moto Rombo, timu 118 kushiriki
Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro inatarajiwa kushuhudia ushindani mkubwa wa soka mwaka huu...
Wengi waliiona Cape Verde kama timu ndogo tu kwenye World Cup lakini “Blue Sharks” wameamua kuushangaza ulimwengu 🌍⚽🔥
Wengi waliiona Cape Verde kama timu ndogo tu kwenye World Cup lakini “Blue Sharks” wameamua kuushangaza ulimwengu 🌍⚽🔥 Nchi yenye watu tqkribani laki 6 imeingia World Cup kwa mara ya…
Favorable investment climate drives Oryx Energies’ expansion
DAR ES SALAAM : THE Oryx Energies Tanzania has stated that the favorable investment environment created by the government in the oil and gas energy sector has enabled the company…
Stakeholders back fiscal reforms to boost business growth
DAR ES SALAAM: BUSINESS leaders and tax experts have welcomed a series of proposed fiscal reforms contained in the 2026/27 national budget, describing them as positive steps toward improving the…
Safari bajeti za maendeleo zilivyoibadili Tanzania
Katika kipindi cha miaka mitano, Serikali ilitenga zaidi ya Sh trilioni 228 kwenye bajeti zake huku Sh trilioni 76.3 zikielekezwa kwenye maendeleo. Je fedha hizo zimeleta matokeo gani katika maisha…
MCHUMI: Msamaha wa kodi kwa mafuta ya kula utachochea uwekezaji
DAR ES SALAAM: Msamaha wa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kwa mafuta ya kula yanayozalishwa kwa kutumia mbegu zinazozalishwa ndani ya nchi unatarajiwa kuongeza uwekezaji, ushindani wa viwanda vya…
Huyu ndiye Vozinha kipa wa Cape Verde aliyeiduwaza Hispania
Kipa mkongwe wa timu ya taifa ya Cape Verde, Josimar José Évora Dias maarufu kama Vozinha...
Wazee Chadema kujifungia Singida kujadili mustakabali wa chama
Baraza la Wazee la Chadema) (Bazecha) linatarajiwa kukuketi kwa siku mbili mkoani Singida...
Mbeya City yaisukia ‘ajali’ Simba Ligi Kuu
Wakati pesha ya kutoshuka daraja ikizidi kupanda, Mbeya City imesema ili kukwepa aibu hiyo haitakuwa na mzaha katika mchezo wowote ikianza na Simba Juni 17 kuhakikisha inabaki salama Ligi Kuu…
Mtoto aliyetekwa apatikana hai msituni, baba adaiwa kuhusika
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya kupitia kikosi maalumu cha kupambana na uhalifu, limefanikiwa...
Malalamiko ya wananchi kusuasua huduma ya maji yamng’oa kigogo Mwanza
“Sasa naelekeza Katibu Mkuu, Meneja wa Usambazaji Maji asimamiswe mara moja. Haya mambo siyataki.
Yasin Ayari: Mswedeni aliyeitesa Tunisia timu ya baba yake
Mara nyingi soka huandika simulizi ambazo haziwezi kutungwa na mwandishi wa filamu. Ndivyo...
UMEME ULIOCHOCHEA UCHUMI
Miaka mitano iliyopita, haikuwa jambo la ajabu kutembea katika mitaa ya Kariakoo jijini Dar es Salaam na kusikia ngurumo za jenereta karibu kila kona. Maduka ya jumla, maghala, karakana, viwanda…
Mkuu wa mkoa wa Mbeya, Benno Malisa amewataka wakazi na wakulima wa wilaya ya Mbarali mkoani humo kutafuta zao mbadala la biasha…
Mkuu wa mkoa wa Mbeya, Benno Malisa amewataka wakazi na wakulima wa wilaya ya Mbarali mkoani humo kutafuta zao mbadala la biashara ili kuongeza wigo wa mapato badala ya kutegemea…
Wenza wanavyoshirikiana asilimia 30 ya bakteria wa tumboni
Utafiti mpya umebaini kuwa watu wanaoishi pamoja kama wanandoa au wapenzi hushirikiana kiasi...
25’ | #KombeLaDunia2026
25’ | #KombeLaDunia2026 Hispania 0-0 Cape Verde LIVE #AzamSports2HD kwa Kiswahili, na #AzamSports4HD kwa Kiingereza #FWC26 #FIFAWorldCup #WeAre26 #FIFAWorldCup2026NyumbaniAzamTV ##MechiZote104LiveAzamTV #SpainCapeVerde (Feed generated with FetchRSS)
Mvutano wa wahamiaji Afrika Kusini washika kasi, Juni 30 ikikaribia
Katika Jimbo la KwaZulu-Natal, maelfu ya raia wa Malawi wamekimbia makazi yao na kukusanyika...
Hapi: Viongozi CCM tatueni kero za wananchi acheni kushughulikiana
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Ally Hapi, amewataka viongozi wa...
Ifahamu programu mpya kupima masikio kupitia kishkwambi
Programu hiyo, ambayo inapatikana bila malipo katika mifumo ya Android na iOS, imeundwa...
Shabiby: Mfumo wa leseni za bodaboda upitiwe upya.
DODOMA: MBUNGE wa Gairo, Ahmed Shabiby, ameutaka Serikali kupitia upya mfumo wa utoaji wa leseni kwa waendesha bodaboda, akieleza kuwa gharama za mafunzo na upatikanaji wa leseni ni kubwa na…
#HABARI: Mbunge wa Jimbo la Rombo na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda, ametembelea chanzo cha maji c…
#HABARI: Mbunge wa Jimbo la Rombo na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda, ametembelea chanzo cha maji cha Mto Ungwasi ili kutafuta suluhisho la kudumu la adha…
JKT mambo safi matumizi nishati safi
KATIKA kuunga mkono juhudi za Serikali za kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia na kuhifadhi mazingira, Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limeachana na matumizi ya kuni na mkaa katika…
KOMBE LA DUNIA 2026 | Hii ndiyo tofauti kati ya Hispania na Cape Verde kuelekea mechi yao ya leo…
KOMBE LA DUNIA 2026 | Hii ndiyo tofauti kati ya Hispania na Cape Verde kuelekea mechi yao ya leo… Tazama rekodi zao kama zinavyochambuliwa na Godlisten Muro akiwa na James…
Safari ya Tanzania Kuelekea Uchumi wa Kidijitali
Kutoka minara ya mawasiliano na Mkongo wa Taifa hadi ajira za mtandaoni, biashara za kidijitali na ubunifu wa vijana, Tanzania inaingia katika enzi mpya ambapo internet si tena chombo cha…
OMBE LA DUNIA 2026 | Kutoka Atlanta Marekani, huyu hapa ni Shaffih Dauda na taarifa za motoooooo kutoka eneo la tukio
OMBE LA DUNIA 2026 | Kutoka Atlanta Marekani, huyu hapa ni Shaffih Dauda na taarifa za motoooooo kutoka eneo la tukio. Ni kuelekea mechi ya Hispania vs Cape Verde, saa…
Chadema kujibu madai kesi ya rasilimali Julai Mosi
Wadaiwa katika kesi hiyo ni Bodi ya Wadhamini Waliosajiliwa wa Chadema na Katibu Mkuu wa chama...
KOMBE LA DUNIA 2026 | “Magoli 38 yameshafungwa katika mechi 12 ambazo zimeshacheza hadi sasa…..”
KOMBE LA DUNIA 2026 | “Magoli 38 yameshafungwa katika mechi 12 ambazo zimeshacheza hadi sasa…..” Hivi ndivyo Fatma Chikawe anavyotufungulia uchambuzi kuelekea mechi ya kwanza kwa leo, kati ya Hispania…
Sh Bil 200 na safari ya kutafuta Ajira, mitaji vijana mil.20
Je, ni namna gani uwekezaji wa Shilingi bilioni 200 unaweza kufungua ukurasa mpya wa ajira, ubunifu na ujasiriamali kwa mamilioni ya vijana wa Tanzania The post Sh Bil 200 na…
#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ametoa muda wa mwezi mmoja kwa wamiliki wa gereji na mafundi seremala …
#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ametoa muda wa mwezi mmoja kwa wamiliki wa gereji na mafundi seremala kuondoa magari na samani chakavu pembezoni mwa barabara…
KOMBE LA DUNIA 2026 | Kwa lugha ya Kiingereza tayari uchambuzi unaendelea kuelekea mechi ya kwanza kwa leo, kati ya Hispania vs …
KOMBE LA DUNIA 2026 | Kwa lugha ya Kiingereza tayari uchambuzi unaendelea kuelekea mechi ya kwanza kwa leo, kati ya Hispania vs Cape Verde.... Anayekualika ni huyu hapa, muite Chiko…
#HABARI: Madereva wa vyombo vya moto katika Manispaa ya Morogoro wameichamkia nishati ya gesi asilia kama mbadala wa mafuta, wak…
#HABARI: Madereva wa vyombo vya moto katika Manispaa ya Morogoro wameichamkia nishati ya gesi asilia kama mbadala wa mafuta, wakieleza kuwa ni fursa kubwa ya kupunguza gharama za uendeshaji kufuatia…
Sh296 milioni kupunguza kero ya maji Rombo
Mamia ya wananchi wa vijiji vya Mrao, Momwe na Kiraeni katika Kata ya Mrao Keryo, Wilaya ya...
Halmashauri ya Wilaya ya Ilala imetenga Shilingi Bilioni 14 kutoka katika makusanyo ya ndani kwa ajili ya kuboresha miundombinu …
Halmashauri ya Wilaya ya Ilala imetenga Shilingi Bilioni 14 kutoka katika makusanyo ya ndani kwa ajili ya kuboresha miundombinu mbalimbali wilayani humo ikiwemo barabara. Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward…
#HABARI: Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Sheikh Dkt
#HABARI: Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Sheikh Dkt. Abubakari Zubeir Ally, amemuomba Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi, kumshawishi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu…
Kadogosa: Biashara ndogondogo zahitaji mazingira wezeshi
MBUNGE wa Bariadi Vijijini, Masanja Kadogosa, amesema biashara ndogondogo zinapaswa kuwekewa mikakati madhubuti na mazingira rafiki ili ziweze kustawi na kutoa mchango mkubwa katika ukuaji wa uchumi wa taifa. The…
Spika ahoji TCRA, CMSA
SPIKA wa Bunge la Tanzania, Mussa Zungu, ameziagiza Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) na Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) kufika mbele ya Kamati ya Bajeti ya Bunge…
Tanzania upgrades aircraft maintenance capacity at KIA
MOSHI: THE Tanzanian government has completed the construction and upgrade of aircraft maintenance infrastructure at Kilimanjaro International Airport (KIA), a move aimed at strengthening Tanzania’s aviation sector, reducing reliance on…
Kutoka ngurumo za jenereta madukani, hadi usikivu tulivu wa AC
Miaka mitano iliyopita, haikuwa jambo la ajabu kutembea katika mitaa ya Kariakoo jijini Dar es Salaam na kusikia ngurumo za jenereta karibu kila kona. Maduka ya jumla, maghala, karakana, viwanda…
Mafunzo maalumu kuimarisha ufanisi wa wanasheria
TANGA: Maofisa Sheria wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) wanatarajiwa kuimarisha uwezo, maarifa na ufanisi katika utekelezaji wa majukumu yao kupitia mafunzo maalumu yaliyoandaliwa na Mfuko huo…
Wagonjwa wa moyo kupata majibu ndani ya dakika nane JKCI
Ile hali ya kutumia dakika 30 kusubiri majibu ya vipimo katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya...