Tanzania: Magari ya umeme yanauzwa kwa wingi
Kwa bei za chini kabisa za umeme Afrika Mashariki, soko la magari ya umeme linaanza kushika kasi kubwa nchini Tanzania. Fursa hii imechukuliwa na JTP, moja ya kampuni za kwanza…
CAG abaini madeni, mageuzi ya kodi sekta ya sanaa na michezo
Sekta ya sanaa na michezo inaendelea kukabiliwa na changamoto za usimamizi wa fedha na kodi.
AFCON 2025 Morocco: Hukumu dhidi ya mashabiki 18 wa timu ya taifa ya Senegal yaidhinishwa
Mahakama ya Rufaa ya Rabat nchini Morcco imethibitisha Jumatatu jioni, Aprili 13, 2026, hukumu zilizotolewa na mahakama ya mwanzo katika kesi dhidi ya wafuasi 18 wa timu ya taifa ya…
Algeria: Papa Leo XIV anaendelea na ziara yake Annaba, akifuata nyayo za Mtakatifu Augustine
Baada ya Algiers, Leo XIV anazuru Annaba, jiji la kale la Hippo, kilomita 450 mashariki mwa mji mkuu wa Algeria, kwa siku moja akifuata nyayo za Mtakatifu Augustine, mshauri wake…
Uchunguzi wazinduliwa baada ya shambulio la jeshi la anga kua watu kadhaa Kaskazini mwa Nigeria
Jeshi la anga limetangaza uchunguzi kufuatia shambulio la anga lililoikumba soko huko Jilli, kaskazini mashariki mwa Nigeria, siku ya Jumamosi, Aprili 11. Viongozi wengi, hasa kutoka upinzani, walilaani shambulio hilo…
Nini kinafanyika kwenye mazungumzo kati ya Kinshasa na AFC/M23 ?
Duru ya tisa ya mazungumzo nchini Uswisi kati ya AFC/M23 na serikali ya DRC. Kama ilivyoripotiwa na RFI, mazungumzo yalianza jana, Jumatatu. Lakini yanafanyika wapi hasa? Imechapishwa: 14/04/2026 – 06:10…
Uganda yachukua hatua ya kusawazisha kati ya Israel na Iran
Rais wa Uganda Yoweri Museveni amempokea Balozi wa Iran Majid Saffar jijini Kampala siku ya Jumapili kwa mazungumzo kuhusu ushirikiano wa pande mbili. Mkutano huu unakuja baada ya matamshi yanayounga…
Makamu wa Rais wa Marekani, JD Vance,ameishutumu serikali ya Iran kwa kujihusisha na “kitendo cha ugaidi wa kiuchumi” kwa kuzuia…
Makamu wa Rais wa Marekani, JD Vance,ameishutumu serikali ya Iran kwa kujihusisha na “kitendo cha ugaidi wa kiuchumi” kwa kuzuia usafiri kupitia Mlango-Bahari wa Hormuz. Vance amemwambia Brett Baier wa…
Bwenyenye wa Zibambawe Chivayo amaliza mgogoro wa malezi ya watoto kwa makubaliano ya dola milioni 5
Mahakama Kuu ya Zimbabwe imehitimisha kesi kubwa ya talaka kati ya mfanyabiashara wa Harare, Wicknell Chivayo, na mke wake wa zamani Sonja Louise Madzikanda
Tetesi za Soka Ulaya Jumanne: Arsenal na Chelsea zamfukuzia Lewis Hall
Liverpool na Manchester United wanamtaka nahodha wa RB Leipzig, David Raum baada ya kuvutiwa na beki huyo wa kushoto wa Ujerumani mwenye umri wa miaka 27 wakati wa ziara ya…
Sudan Kusini: Vikosi vya kiongozi wa upinzani Riek Machar vyachukua tena udhibiti wa Akobo
Nchini Sudan Kusini, jiji la Akobo limerudi mikononi mwa upinzani baada ya mwezi mmoja chini ya udhibiti wa serikali. Hili ni pigo kubwa kwa vikosi vya rais Salva Kiir, ambavyo…
Kuanza siku na mazoezi ya asubuhi ni njia rahisi lakini yenye nguvu ya kuboresha afya yako
Kuanza siku na mazoezi ya asubuhi ni njia rahisi lakini yenye nguvu ya kuboresha afya yako. Dakika 15–30 za mazoezi kila asubuhi zinaweza kuongeza nguvu mwilini, kuboresha mzunguko wa damu,…
UN yaonya kuwa dunia imeisahau Sudan inayoendelea kukabiliwa na vita
Umoja wa Mataifa unasema dunia inaonekana kuisahau nchi ya Sudan, ambayo imeendelea kuwa kwenye vita kwa karibu miaka mitatu sasa kati ya wanajeshi na wanamgambo wa RSF. Imechapishwa: 14/04/2026 –…
Romuald Wadagni ameshinda uchaguzi wa urais Benin
Nchini Benin, Romuald Wadagni ameshinda uchaguzi wa urais, baada ya kupata asilimia 94 ya kura, kwa mujibu wa matokeo ya awali, kufuatia uchaguzi uliofanyika Jumapili iliyopita. Imechapishwa: 14/04/2026 – 05:30…
Lebanon yaanza mazungumzo na Israel lakini haina nguvu ya ushawishi
Serikali ya Lebanon inaingia katika mazungumzo ya amani ikiwa na ushawishi mdogo kwa kundi hilo.
Makamu wa rais wa Marekani JD Vance aishutumu Iran kwa “ugaidi wa kiuchumi”
JD Vance asema ikiwa Wairani “watajihusisha na ugaidi wa kiuchumi”, basi Marekani itazingatia kanuni kwamba “hakuna meli za Iran zitakazoruhusiwa kutoka mlango Hormuz”.
#ACLElite Benzema na timu yake ‘OUT’, Boby Firminho na timu yake wanakwenda robo fainali kwa mikwaju ya penati
#ACLElite Benzema na timu yake 'OUT', Boby Firminho na timu yake wanakwenda robo fainali kwa mikwaju ya penati. FT: Al Hilal 3-3 Al Sadd (Pen: 2-4) #AFCChampionsLeague #AFCChampionsLeagueElite #AsianChampionsLeague (Feed…
#SerieA Ilishindikana kuchomoa…!!!
#SerieA Ilishindikana kuchomoa...!!! FT: Fiorentina 1-0 Lazio #LigiKuuItalia #SerieAUpdates #FiorentinaLazio (Feed generated with FetchRSS)
Ghana yamtangaza Queiroz kuinoa ‘Black Stars’
Meneja wa zamani wa Manchester United na Real Madrid, Carlos Queiroz leo Jumatatu, Aprili 13...
Samatta afunga bao la kwanza Ufaransa akiandika historia
Mbwana Samatta jana Jumapili, Aprili 12, 2026 amefunga bao la kwanza akiwa na jezi ya Le Havre...
Mendoza, Mcolombia anayefanya balaa Azam
Él es un defensa central fuerte. Hivyo ndivyo wanavyomuita huko kwao nchini Colombia kwa maana...
Tanzanian envoy calls for regional solidarity in developing creative arts
NAIROBI: ARTISTS involved in various creative arts from across the East African region have been urged to unite and speak with one voice in order to drive positive change and…
CRDB hailed for backing innovative Kitchen Party Gala
DAR ES SALAAM: THE Minister for Industry and Trade, Judith Kapinga, has commended CRDB Bank for its continued role as a key partner in promoting entrepreneurship through financial literacy and…
Steve Nyerere calls on Tanzanians to stay away from unproductive politics
DAR ES SALAAM: TANZANIAN comedian and Chairman of the Mama Ongea na Mwanao initiative, Steve Nyerere, has called on Tanzanians, particularly the youth, to stop overindulging in unproductive politics and…
Watendaji wa Taasisi za umma nchini kunolewa kwa siku tano mkoani Pwani
Mafunzo ya siku tano kuhusu uzalendo, usalama wa nchi, mipango ya sekta za umma, uratibu na...
Zanzibar: Kifo cha Ashlee Jenae mshawishi wa mitandaoni chazua mjadala
Mwanamke mmoja mwenye ushawishi mkubwa mitandaoni mwenye umri wa miaka 31 kutoka Miami nchini Marekani, alipatikana amekufa kwenye hoteli ya kifahari huko nchini Zanzibar katika mazingira ya kutatanisha, na familia…
Maswali kifo cha Ashlee, polisi ikisema kajiua
Ameongeza taarifa ya awali iliripotiwa Kituo cha Polisi Nungwi kama tukio la jaribio la kujiua,...
Homa Bay: Afisa wa gereza afariki saa chache baada ya kupokea maagizo ya uhamisho
Polisi wameanzisha uchunguzi kuhusu kifo cha ghafla cha afisa wa gereza Homa Bay Benard Ochieng, aliyepatikana amefariki saa chache baada ya kupewa barua ya uhamisho
Tanzania enhances safety training for motorcyclists in a bid to curb accidents
DAR ES SALAAM: THE Tanzanian government has stepped up efforts to reduce road traffic injuries by expanding safety education for motorcycle riders as part of a broader public health strategy…
Rostam anunua kampuni inayoendesha mradi wa gesi Songo Songo
Mfanyabiashara, Rostam Azizi kupitia kampuni yake ya Taifa Gas Tanzania Limited, kwa...
Mkuu wa Kanisa la Anglikana Tanzania Dkt.Maimbo Mndolwa amesema Tume ya uchunguzi ya matukio ya Oktoba 29 ni huru na wananchi wa…
Mkuu wa Kanisa la Anglikana Tanzania Dkt.Maimbo Mndolwa amesema Tume ya uchunguzi ya matukio ya Oktoba 29 ni huru na wananchi wanamatumaini makubwa na Tume hiyo. Dkt Mndolwa amesema hayo…
#HABARI: Polisi Mkoa wa Kaskazini Unguja, Zanzibar wamesema kifo raia wa Marekani, Ashly Robinson (31) kimetokana na kujinyonga …
#HABARI: Polisi Mkoa wa Kaskazini Unguja, Zanzibar wamesema kifo raia wa Marekani, Ashly Robinson (31) kimetokana na kujinyonga katika chumba cha hoteli. Polisi wamesema Ashly ambaye alikuwa matembezini Zanzibar, alikutwa…
Iringa yaandaa maonyesho ya kilimo kuwanufaisha wakulima
Mkoa wa Iringa umepanga kufanya maonyesho ya kilimo kuanzia Julai 13 hadi 19, 2026 katika...
Sintofahamu mwili wa kichanga kutoonekana mochwari ya Mawenzi
Mtoto huyo, Doreen Edward ambaye alizaliwa Januari 6, 2026 alifariki dunia Aprili 10, 2026...
Polisi Manyara yawashikilia 19 kwa tuhuma za uhalifu
Jeshi la Polisi Mkoa wa Manyara limewakamata watu 19 kwa tuhuma mbalimbali, ikiwemo ulawiti na...
Mwenge wa Uhuru wazindua miradi ya bil 51.8 Ilala
MWENGE wa Uhuru umewasili jijini Dar es Salaam ukitokea Mkoa wa Kaskazini Unguja na kuanza mbio zake katika Wilaya ya Ilala, ambapo umetembelea, kuzindua na kuweka mawe ya msingi katika…
Malecela urges Tanzanians to maintain peace as a key player in tourism
SAME: THE Tanzanian Vice President and Prime Minister, John Samuel Malecela, has insisted on maintaining peace and stability, saying they are pillar heads of tourism globally. He urged Tanzanian citizens…
Papa Leo amjibu Trump, asisitiza ujumbe wa amani duniani
Papa Leo amekuwa akisisitiza umuhimu wa amani na mazungumzo, huku akilaani matamshi ya kisiasa...
DC Arusha aonya matumizi mabaya ya magari ya Serikali
Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Joseph Mkude amewataka watumishi wa umma kuhakikisha wanatumia...
Partey afikishwa tena mahakamani London
Kiungo wa zamani wa Arsenal, Thomas Partey, amefikishwa tena mahakamani jijini London, England...
Rigathi Gachagua Amwonya William Ruto Juu ya Uhuni wa Kisiasa: “Vita vya RSF Vilianza Hivi”
Rigathi Gachagua amemkosoa Rais Ruto kwa kutochukua hatua dhidi ya uhuni wa kisiasa, akionya huenda nchi ikaingia katika machafuko kabla ya Uchaguzi Mkuu wa 2027.
Azania benki yaja na huduma mpya malipo ya kidijitali
Katika kuendeleza mkakati wa kuboresha huduma za kifedha kupitia teknolojia, Benki ya Azania...
Sekta za fedha zapongezwa kuwawezesha wanawake kiuchumi
WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, ameipongeza Benki ya CRDB kwa mchango wake mkubwa katika kuwainua wajasiriamali nchini kupitia utoaji wa elimu ya fedha na fursa za mitaji, hatua…
🔴HAPA NA PALE KUTOKA MBEYA, UVUNJIFU WA SHERIA WATAKIWA KUDHIBITIWA – APRIL 13, 2026
🔴HAPA NA PALE KUTOKA MBEYA, UVUNJIFU WA SHERIA WATAKIWA KUDHIBITIWA - APRIL 13, 2026 (Feed generated with FetchRSS)
Dr Nchimbi urges Tanzanian envoys to prioritize their country’s interests
DODOMA: VICE President Emmanuel Nchimbi has urged Ambassadors-elect who are going to represent Tanzania in various countries to prioritize the country’s economic, political and diplomatic interests. Dr Nchimbi said this…
Ujumuishaji wa wanawake na vijana katika mapambano dhidi ya mabadiliko ya tabia nchi umewezesha wanakijiji wa Nyamwage ,Kitapi n…
Ujumuishaji wa wanawake na vijana katika mapambano dhidi ya mabadiliko ya tabia nchi umewezesha wanakijiji wa Nyamwage ,Kitapi na Mbwala Halmashauri ya wilayani Rufiji Mkoani Pwani kupanda miti zaidi ya…