Data subject rights: Taking control of your personal data in everyday life
DAR ES SALAAM: IN our daily lives, whether sending money, registering a SIM card, browsing online, or signing up for a service, we share pieces of ourselves almost instinctively. Yet,…
#HABARI: Mwili wa marehemu William Lukuvi ukiwasili katika Viwanja vya Bunge kwa ajili ya Ibada ya maalum ya kuaga mwili huo
#HABARI: Mwili wa marehemu William Lukuvi ukiwasili katika Viwanja vya Bunge kwa ajili ya Ibada ya maalum ya kuaga mwili huo. Baada ya wabunge, viongozi na wakazi mbalimbali wa Dodoma…
Jarida la Marekani: Iran inapata ushindi katika vita vya Marekani na Israel
Jarida la Foreign Affairs la Marekani, limechunguza uwiano wa ushindi na hasara katika vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran na kuandika: Tehran inapata ushindi katika vita hivi.
Putin: Matokeo ya uchokozi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran yanaweza kulinganishwa na athari mbaya za corona
Rais wa Russia amesema tathmini ya matokeo ya uchokozi wa kijeshi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran inaweza kulinganishwa na matokeo mabaya ya janga la virusi vya corona, na…
Nyamira: Daktari aliyepotea apatikana amekufa, mwili umezikwa kwenye kaburi la kina kifupi
Mshtuko umetanda katika kijiji cha Nyamauro polisi wakithibitisha mwili wa daktari aliyetoweka Duke Nyang'au Obasancho, uliogunduliwa kwenye kaburi la kina kifupi.
Mini-tournaments boost global team development
DAR ES SALAAM: THE FIFA Series is a global development competition organised by FIFA, designed to give national teams more meaningful international match experience outside traditional tournaments. The 2026 edition…
Turn talent into millions now
DAR ES SALAAM: Youths, artists and content creators, now is your time. This is your moment to turn talent into wealth, creativity into careers, and ideas into millions. The government…
Video: ODM Yawazawadi Waliowasili Mapema Katika Kongamano la Wajumbe Maalum
ODM inazindua mkakati wa uhamasishaji kabla ya Kongamano lake la Wajumbe Maalum, kuwapa wafuasi sugu zawadi huku mvutano ukiongezeka kabla ya uchaguzi wa 2027.
HESLB disburses 3.6tri/- in student loans in five years
ARUSHA: THE Higher Education Students’ Loans Board (HESLB) has disbursed student loans amounting to 3.6tri/- to eligible beneficiaries across the country during the five-year leadership of President Samia Suluhu Hassan.…
Journalists urged to embrace climate change reporting
DAR ES SALAAM: JOURNALISTS have been urged to see themselves as climate change reporters, rather than waiting for disasters such as floods to cover the issue. They were also encouraged…
Leadership contest narratives: How political assertions could shape future investment flows into Kenya
NAIROBI: AS an economics analyst and investment expert, I observe that the public statements made by senior political figures are beginning to influence perceptions of economic stability in Kenya as…
Wanajeshi wa Mali wameingia katika vijiji vya Mauritania
Kulingana na ripoti zilizochapishwa katika vyombo vya habari vya Mauritania na kuthibitishwa kwa RFI na vyanzo vya usalama vya Mauritania na Mali, doria ya jeshi la Mali iliingia katika vijiji…
Magazeti ya Kenya: Vuta n’kuvute yanukia huku makundi hasimu ODM yakipanga mikutano sambamba
Mzozo mkubwa unakaribia kujiri katika Orange Democratic Movement (ODM) huku makundi pinzani yakijiandaa kufanya mikutano sambamba ya wajumbe mnamo Machi 27, 2026.
Djibouti: Serikali yaanzisha ujenzi wa nyumba katika jiji Salaam
NAIROBI – Rais wa Djibouti, Ismaïl Omar Guelleh, amezindua ujenzi wa nyumba za kisasa za bei nafuu zipatazo 7,000 katika jiji la Salaam, huu ukiwa mradi mkubwa wa nyumba kuanzishwa…
KRA yampuuzilia mbali madai ya Gachagua inamdai Raphael Tuju deni la ushuru wa KSh 60M
Mamlaka ya Mapato Kenya imekanusha madai inamdai waziri wa zamani Raphael Tuju kodi ya mamilioni, ikithibitisha hadhi yake kama mlipakodi anayetii na wanayethamini.
State funeral set for Lukuvi
DODOMA: FROM the halls of Parliament in Dodoma to the Karimjee Grounds in Dar es Salaam, the government is preparing a high-profile send-off for a prominent politician William Lukuvi, culminating…
Zaidi ya Wapalestina 1,000 wameuawa tangu 2020 bila kushtakiwa, uchunguzi unashtumu
Uchunguzi wa Gazeti la The Guardian, uliochapishwa Machi 25, unaangazia ukosefu wa mashtaka kufuatia mamia ya vifo katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa, ambapo mashambulizi dhidi ya vijiji vya Wapalestina yanaendelea.…
Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Kenani Labani Kihongosi amesema CCM haitokubali we…
Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Kenani Labani Kihongosi amesema CCM haitokubali wenye nafasi kuumiza wananchi kwa kuwanyima haki zao Kihongosi ameyasema hayo…
KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi, amepongeza maendeleo ya mradi wa…
KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi, amepongeza maendeleo ya mradi wa ujenzi wa Soko la Bukoba Mjini uliogharimu zaidi ya Sh.…
FUEL SUPPLY GUARANTEE: TZ takes proactive steps
DAR ES SALAAM: TANZANIA has taken proactive measures to ensure an uninterrupted fuel supply by securing additional reserves for future use. The current stock is sufficient to meet demand through…
Ureno: Duru ya kwanza ya fidia kwa waathiriwa wa unyanyasaji wa kingono Kanisani
Miaka mitatu baada ya kuchapishwa kwa ripoti inayofichua kiwango cha unyanyasaji wa kingono kwa watoto ndani ya Kanisa la Ureno, Mkutano wa Maaskofu wa Ureno umetangaza fidia kwa waathiriwa 57…
Death toll from Rungwe landslides rise
MBEYA: THE death toll from the landslides triggered by heavy rains and strong winds in Rungwe District, Mbeya Region in the early hours of Wednesday, has risen to 20. Rungwe…
Race against time: Arusha roads key to Tanzania’s AFCON dream
ARUSHA: WITH the countdown to the 2027 Africa Cup of Nations (AFCON) already ticking, Tanzania has sent a clear message, there will be no room for delays. As the country…
Nchi wanachama wa ICC zagawanyika kuhusu Mwendesha Mashtaka anayelengwa na uchunguzi
Hatima ya mwendesha mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifui (ICC), Karim Khan, bado haijulikani. Katika ripoti ya siri iliyowasilishwa kwa nchi wanachama wa ICC mnamo Machi 9, majaji watatu…
Klopp avunja ukimya kuondoka kwa Salah Liverpool
Salah ametangaza wiki hii kuwa atahitimisha safari yake ya miaka tisa Liverpool, ikiwa ni miaka...
Wanakagera waibebesha CCM kero ya Nida
Maombi hayo yamewasilishwa na wakazi hao pamoja na viongozi wao kwa Katibu wa Itikadi, Uenezi...
Mapitio ya #MAGAZETI leo Machi 27, 2026 kwenye
Mapitio ya #MAGAZETI leo Machi 27, 2026 kwenye #MorningTrumpet #UTV108 #AzamTVUpdates (Feed generated with FetchRSS)
Mahakama yatoa idhini maafisa wa kijeshi waswekwe rumande siku 10 kesi ya wizi
Polisi walipewa siku 10 za kuwazuilia washukiwa sita, wakiwemo maafisa wa jeshi, ili kufanikisha uchunguzi unaoendelea kuhusu kesi ya wizi; kesi itatajwa Aprili 7.
Israel: Jeshi lakiri kushindwa kwa mfumo wa ulinzi wa makombora baada ya mashambulizi ya Iran
Jeshi la Israel limekiri kushindwa mara kwa mara katika mfumo wake wa kuzuia makombora, licha ya kudai kiwango cha juu cha mafanikio. Makombora ya Iran yalifanikiwa kupenya ulinzi wa Israel…
VP to present TZ priorities at OACPS
MALABO: VICE-PRESIDENT Dr Emmanuel Nchimbi is set to present Tanzania’s priorities and contribute to shaping the future strategic direction of the Organisation of African, Caribbean and Pacific States (OACPS) as…
Trump aahirisha makataa yake na kuhakikisha kwamba mazungumzo na Iran ‘yanaendelea vizuri’
Rais wa Marekani Donald Trump ameahirisha makataa yake dhidi ya Iran kabla ya mashambulizi yanayowezekana kwenye mitambo ya umeme hadi Aprili 6 Imechapishwa: 27/03/2026 – 06:18 Dakika 1 Wakati wa…
Idara ya Hali ya Hewa yatangaza kaunti zitakazopokea mvua katika saa 24 zijazo, Nairobi yatajwa
Idara ya Hali ya Hewa ya Kenya ilitabiri mvua katika kaunti kadhaa, ikiwa ni pamoja na dhoruba za radi na vipindi vya jua, katika saa 24 zijazo.
Trump aongeza kuda wa kusitisha mashambulizi kwa siku 10 na kusema ‘mazungumzo yanaendelea’
Rais wa Marekani amekuwa akisema kwa siku kadhaa kwamba mazungumzo kati ya Marekani na Iran yanaendelea, lakini Iran imekanusha kuendelea kwa hatua hiyo.
Yair Lapid: Israel inakabiliwa na uhaba wa wanajeshi
Upinzani nchini Israel umetangaza kuvunjika kwa makubaliano ya kisiasa kuhusu vita dhidi ya Iran—mzozo ambao, kulingana na jeshi, sasa unahitaji kupelekwa kwa wanajeshi wengi zaidi, hasa upande wa Lebanon. Imechapishwa:…
Gladys Wanga akanusha madai ODM hakiwezi kufadhili NDC bila saini ya Edwin Sifuna: “Sio lazima”
Gladys Wanga akataa madai kwamba ODM inamtegemea Edwin Sifuna, akithibitisha mamlaka ya mweka hazina na rekodi ya miaka 20 ya ufadhili na shughuli thabiti za chama.
Ni nchi gani ya Kiislamu ambayo bunge la Israel linapiga kura kuitangaza kuwa adui?
Bunge la Israel, Knesset, litapiga kura, kuhusu usomaji wa awali wa mswada uliowasilishwa na kiongozi wa upinzani Yair Lapid, wenye mada: "Kuitangaza Qatar kuwa taifa adui."
Trevor Ombija amwonya Gachagua kwa kutumia lugha chafu kwenye runinga
Mwanahabari Trevor Ombija alimwonya Gachagua kwenye mahojiano ya moja kwa moja kufuatia matumizi mabaya ya lugha, na hivyo kuibua mjadala kuhusu mijadala ya kisiasa
Abela John alivyobadili wazo kuwa biashara ya chakula
Kila safari ya mafanikio huanza na hatua moja. Kwa baadhi ya watu, hatua hiyo huja kwa...
Mgogoro mashariki mwa DRC unaongezeka kutokana na matumizi ya silaha nzito UM waonya
Kaimu Mkuu wa Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini DRC ameonya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa siku ya Alhamisi kwamba mzozo mashariki mwa Kongo, eneo lenye utajiri wa…
Iran yakataa mpango wa amani wa Marekani huku ikitoa masharti matano ya kumaliza vita
Maafisa wa Iran wamekuwa wakisema mara kwa mara wanataka kukomeshwa kabisa kwa vita, na sio tu kusitishwa kwa mapigano.
Tanzania: Watu 20 wafariki katika maporomoko ya ardhi baada ya mvua kubwa kunyesha
Watu ishirini wamefariki kusini mwa Tanzania katika maporomoko ya ardhi yaliyosababishwa na mvua kubwa, mamlaka imetangaza siku ya Alhamisi Machi 26, huku mvua zaidi ikitarajiwa. Mvua imekuwa ikinyesha Afrika Mashariki…
Familia ya hayati William Lukuvi imesema mwili wa kiongozi huyo aliyekuwa Mbunge mwanadamizi unatarajiwa kuagwa Bungeni jijini D…
Familia ya hayati William Lukuvi imesema mwili wa kiongozi huyo aliyekuwa Mbunge mwanadamizi unatarajiwa kuagwa Bungeni jijini Dodoma Ijumaa Machi 27, 2026 kabla ya kuagwa tena jijini Dar es Salaam…
May Day itatue matatizo ya wastaafu, si ya wafanyakazi pekee!
Kutokana na maumivu na malalamiko mengi aliyopokea mstaafu wetu kutoka kwa wastaafu wenzake juu...
Kwa nini dawa zinakosekana vituo vya afya Mfamasia Mkuu ajibu – 1
Kila mara mwananchi anapoingia katika kituo cha afya au hospitali ya umma na kuambiwa dawa...
Silaha hatari zinazotumiwa na Marekani dhidi ya Iran
Katika saa 48 za mwanzo, mashambulizi hayo yalitekelezwa kwa nguvu kubwa ya anga, yakihusisha ndege za kivita, makombora ya masafa marefu pamoja na mifumo ya kisasa ya kijasusi.
Wafugaji wa wanyama wa nyumbani wakiwemo ng’ombe, mbuzi na punda mkoani Kilimanjaro wanatarajiwa kuongeza vipato vyao baada ya k…
Wafugaji wa wanyama wa nyumbani wakiwemo ng'ombe, mbuzi na punda mkoani Kilimanjaro wanatarajiwa kuongeza vipato vyao baada ya kufunguliwa kwa kiwanda cha kuchakata ngozi na kuzalisha bidhaa vikiwemo viatu na…
Tetesi za soka Ulaya: Bayern yakataa ofa ya Liverpool ya £170m kwa Olise
Bayern Munich wanataka kumbakiza Michael Olise licha ya kuvutiwa na Liverpool ambao wanaweza kutoa dau la zaidi ya pauni milioni 170. Wakati huo huo, Manchester United wanajiandaa kuwasilisha ofa rasmi…
Zaidi ya wakazi 140,000 wa vijiji 60 vya wilayani Siha mkoani Kilimanjaro wanatarajiwa kuondokana na shida ya maji safi na salam…
Zaidi ya wakazi 140,000 wa vijiji 60 vya wilayani Siha mkoani Kilimanjaro wanatarajiwa kuondokana na shida ya maji safi na salama baada ya bajeti ya Shilingi Bilioni 5.5 kutolewa na…
Iran yataka Umoja wa Mataifa uwalaani wavamizi na uwawajibishe
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametoa wito kwa Umoja wa Mataifa kuchukua hatua za dhati na kutoa msimamo thabiti na wa wazi katika kulaani tawala zilizoanzisha vita dhidi…
Pezeshkian: Nchi za Kiislamu zisiwaruhusu maadui kupanda mbegu za mifarakano
Rais wa Iran amesema katika mazungumzo ya simu na Waziri Mkuu wa Malaysia kwamba nchi za Kiislamu hazipaswi kuwaruhusu maadui kupanda mbegu za mifarakano na kuwasha moto wa vita.