Tanzania, A. Kusini zaweka mkazo ufundishaji Kiswahili
CAPE TOWN, AFRIKA KUSINI: Tanzania na Afrika Kusini zimeongeza juhudi za kutekeleza Hati ya Makubaliano (MoU) ya mwaka 2022 kuhusu ushirikiano katika elimu ya msingi, kwa lengo la kukuza ufundishwaji…
New tower connects 5,600 residents
MANYARA: OVER 5,600 residents of Qash Ward in Babati District, Manyara Region are now connected to mobile and internet services following the construction of a new communication tower under a…
Mani Gamera anavyoleta mageuzi soka la Zanzibar
BURUDANI ya Soka Zanzibar haitegemei wachezaji pekee wakiwa uwanjani, badala yake hata baadhi ya makocha wamekuwa kivutio kwa mashabiki wa mpira visiwani hapa.
Kesi za wabunge Chato zaahirishwa, sababu yatajwa
Kesi mbili zinazowakabili wabunge wawili wa majimbo ya Chato na baadhi ya madiwani...
Tanzania, SA steps up efforts to promote Kiswahili
CAPE TOWN: Tanzania and South Africa have stepped up efforts to implement the 2022 Memorandum of Understanding (MoU) on cooperation in basic education, with a focus on promoting Kiswahili teaching…
Zaidi ya watoto milioni moja Tabora kunufaika na chanjo ya polio
Serikali imeanza rasmi kampeni ya chanjo ya ugonjwa wa polio mkoani Tabora inayolenga kuwafikia...
Watengeneza maudhui ya Kiswahili kulipwa
SERIKALI imesema imeanza mazungumzo na UNESCO pamoja na Meta Platforms ili kuhakikisha lugha ya Kiswahili inatambuliwa rasmi kwenye majukwaa ya kimtandao, hatua itakayowawezesha watengeneza maudhui kulipwa stahiki kulingana na kazi…
Uwekezaji wa Sh700 bilioni madini ya niobium kuibeba Tanzania
Tanzania imeingia makubaliano ya uwekezaji wa Dola za Marekani 300 milioni (takribani Sh700...
Tanzania requests UNESCO, Meta to officially recognize Kiswahili on global digital platforms
ARUSHA: THE Minister of Information, Culture, Arts, and Sports, Paul Makonda, has announced that the ministry has begun discussions with UNESCO and the leadership of META (the parent company of…
Wanufaika wa Samia Scholarship Extended wahakikishiwa ajira Ulaya
Wahitimu wa Kidato cha sita waliofaulu kwa alama za juu zaidi mwaka 2025 walionufaika na...
Mwanza mwenyeji wa maadhimisho ya kwanza ya Siku ya Ziwa Victoria
Jiji la Mwanza linatarajiwa kuwa mwenyeji wa maadhimisho ya kwanza ya Siku ya Ziwa Victoria...
Kifua Kikuu kinavyoathiriwa na migogoro ya Dunia
KILA mwaka ifikapo Machi 24, dunia huadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kifua Kikuu, ikiangazia ugonjwa wa kifua kikuu (TB) unaoendelea kuwa kinara wa vifo miongoni mwa magonjwa ya kuambukiza. Kwa…
Kenya: Ripoti yafichua changamoto za ufadhili wa majanga na tabianchi katika maeneo kame (ASAL)
NAIROBI – Serikali ya Kenya na wadau wa maendeleo wanakabiliwa na changamoto kubwa katika ufadhili wa misaada ya kibinadamu na miradi ya kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi katika maeneo kame),…
Chaumma yaanza kuifumua katiba yake
Katika utekelezaji wa mkakati huo unaolenga chama kujijenga kisiasa, Katibu Mkuu wa chama...
Tanzania pushes for Kiswahili’s global conquest with 20 learning centres established
ARUSHA: THE Minister of Information, Culture, Arts, and Sports, Paul Makonda, said the Tanzanian government is working to create an enabling environment for opportunities in the Kiswahili language, including interpreting,…
Makakala: Nidhamu, uadilifu nguzo mafanikio uhamiaji
MOROGORO: KAMISHNA Jenerali wa Uhamiaji, Dk Anna Makakala amesema mafanikio ya idara hiyo yanatengemea kwa kiasi kikubwa nidhamu, uadilifu na uweledi wa watumishi wake Dk Makakala amesema hayo leo Machi…
Malima aonya matumizi yasiyo sahihi vyandarua
MOROGORO: MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima amewaonya wananchi wa mkoa huo wanaotumia vyandarua kwa malengo tofauti zikiwemo kufugia kuku, kuzungushia bustani na kuvulia samaki badala ya matumizi sahihi…
Familia ya Nyanza yaendelea kusubiri mwili wauzike, yahofia gharama
Huzuni imeendelea kuitawala familia ya Athumani Nyanza, anayedaiwa kuuawa na kufukiwa mbele ya...
Watoto 162,099 Maswa kupatiwa chanjo ya matone ya polio
Mkuu wa Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, Dk Vincent Anney, amewataka wazazi na walezi kuhakikisha...
Hukumu kesi ya wizi mafuta TPA kutolewa Jumatano
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga Machi 26, 2026 kutoa hukumu katika kesi ya wizi wa...
Vita yamvurugia Msuva Taifa Stars, Morice achukua nafasi
Timu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' imepata pigo kabla ya mechi zijazo za mashindano ya...
Serikali yaimarisha upatikanaji mafuta Malawi
DAR ES SALAAM: BANDARI ya Dar es Salaam imeendelea kuwa nguzo muhimu ya upatikanaji wa mafuta kwa nchi jirani ya Malawi, hatua inayochochea shughuli za kiuchumi na kuboresha maisha ya…
Sekta ya madini imeendelea kuonyesha mwelekeo chanya wa ukuaji wa uchumi nchini baada ya kuchangia asilimia 12.7 ya Pato la Taif…
Sekta ya madini imeendelea kuonyesha mwelekeo chanya wa ukuaji wa uchumi nchini baada ya kuchangia asilimia 12.7 ya Pato la Taifa katika kipindi cha Julai hadi Septemba 2025. Hayo yameelezwa…
Mrajisi aviagiza vyama vya ushirika kutumia mizani za kidijiti
Dodoma: MRAJIS wa Vyama vya Ushirika, Dk Benson Ndiege amevitaka vyama vya ushirika vya mazao nchini kuhakikisha vinatumia mizani za kidigitali katika kupima mazao ya wakulima ili kuondoa udanganyifu na…
Mfumo wa kielektroniki majengo mapya TBA, usipolipa kodi mlango haufunguki
Kukamilika kwa mradi mpya wa majengo ya makazi ya Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), uliopo...
ZRCP tasked to educate stakeholders in economic, social, policy analysis on its research findings
ZANZIBAR: The President of Zanzibar, Dr Hussein Ali Mwinyi, has directed the leadership of the Zanzibar Research Centre for Economic, Social and Policy Analysis (ZRCP) to organize meetings and forums…
#MZOZOMAREKANINAIRAN
#MZOZOMAREKANINAIRAN Marekani imetuma ujumbe kwa Iran kupitia mjumbe maalum, na ujumbe huo uliwasilishwa kwa Iran, kwa mujibu wa shirika la habari la Marekani, CBS News, likinukuu afisa mwandamizi wa Wizara…
Voting under way in Denmark’s elections clouded by Trump’s Greenland threat
COPENHAGEN: VOTING is under way in Denmark’s parliamentary election, with Social Democratic Prime Minister Mette Frederiksen seeking a third term after her defiant stance against United States President Donald Trump’s…
Middle East tension bars Msuva from joining Taifa Stars camp
DAR ES SALAAM: THE Taifa Stars’ Vice Captain, Simon Msuva, has failed to join the team’s training camp due to ongoing security concerns in the Middle East arising from Israel-US…
Iran yamteua Mohammad Bagher Zolghadr kama mwenyekiti wa Baraza kuu la usalama wa taifa
Iran imemteua Mohammad Bagher Zolghadr, kamanda wa zamani wa Walinzi wa Mapinduzi na mfuasi wa marehemu Ali Larijani, kuchukua nafasi yake kama mkuu wa Baraza kuu la usalama wa taifa,…
Ushiriki wa wanawake siasa na uongozi waongezeka Zanzibar
Licha ya wanawake kukumbana na changamoto kwa muda mrefu, imeelezwa kuwa mwanga na matumaini...
Tanzania readies for the ‘Zero Waste’ campaign in the food sector
DAR ES SALAAM: THE National Environment Management Council (NEMC), in collaboration with the Dar es Salaam Regional Commissioner’s Office and environmental stakeholders, is set to commemorate the International Day of…
Wiki ya nne ya mzozo Mashariki ya Kati hali bado ni tete: UN
• Taarifa za kibinadamu kutoka mashirika ya Umoja wa Mataifa• Mkutano na waandishi wa habari wa Baraza la Haki za Binadamu kuhusu vurugu katika Ukingo wa Magharibi • Hali bado…
Mashambulizi dhidi ya vituo vya afya “ni mwiko” lazima yakome: Guterres
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amelaani vikali shambulio la droni lililolenga Hospitali ya mafunzo ya El-Daein huko Darfur Mashariki nchini Sudan tarehe 20 Machi, na kusababisha vifo…
Zanzibar yaboresha huduma za mahakama kuvutiwa wanawake kusaka haki
Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar nchini Tanzania imeeleza kupiga hatua katika kuweka mazingira rafiki kwa wanawake na watoto kwenda kusaka haki mahakamani.
UNHCR: Maelfu ya wakimbizi wa DRC warejea nyumbani toka Burundi, msaada wahitajika kuwakimu
Zaidi ya wakimbizi 33,000 wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, wamerejea kwa hiari nyumbani kutoka Burundi ndani ya kipindi cha mwezi mmoja kufuatia kufunguliwa upya kwa mpaka kati ya…
Baraza Kuu la UN kuzingatia Azimio kuhusu utumwa wa waafrika
Kundi linalowakilisha nchi za Afrika kwenye Umoja wa Mataifa tarehe 25 mwezi huu wa Machi litawasilisha mbele ya Baraza Kuu rasimu ya azimio la kihistoria la kutambua usafirishaji wa watu…
WHO yapendekeza mbinu mpya za kisasa za kupima haraka Kifua Kikuu (TB)
Katika kuadhimisha siku ya kimataifa ya Kifua Kikuu (TB) Duniani leo Machi 24, 2026, Shirika la Afya Duniani (WHO) limeshauri nchi kuongeza kasi ya kutokomeza ugonjwa wa Kifua Kikuu kwa…
Mary Clare: Maelezo mapya yanaonyesha si mara ya kwanza, Elvis Opiyo alizoea kumshambulia
Mwimbaji wa SDA Mary Clare alinusurika shambulio la tindikali linalodaiwa kupangwa na mpenzi wake wa zamani Elvis Opiyo ambaye alikamatwa na yuko kizuizini
Media Council envisions technological innovation at the 16th EJAT gala
DAR ES SALAAM: THE Executive Secretary of the Media Council of Tanzania (MCT) Ernest Sungura, has announced that the 16th Edition of the Excellence in Journalism Awards Tanzania (EJAT) will…
Rais Pezeshkian: Ukosefu wa usalama Lango la Hormuz ni matokeo ya mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran
Rais Masoud Pezeshhkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo ya simu na Waziri Mkuu wa Pakistan, Shehbaz Sharif ambapo pande hizo mbili zimejadili uhusiano wa nchi mbili, matukio…
Brigedia Jenerali Rezaei amwambia Trump: Ukipiga miondombinu yetu hatutalipiza kisasi cha jicho kwa jicho, bali kichwa kwa jicho
Kamanda wa zamani wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesisitiza udharura wa kuendelezwa vita hadi Iran itakapolipwa gharama kamili za hasara zilizosababishwa na adui Mmarekani na Mzayuni.
Watumiaji wa mitandao ya Kijamii wanasemaje kuhusu vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran?
Watumiaji wa mitandao ya kijamii wameeleza maoni yao kuhusu vita vya sasa vya Marekani na Israel dhidi ya Iran wakisisitiza kuwa Wairani sasa wamekuwa nembo ya kusimama kidete na kupambana…
Ripoti yabaini pengo la upatikanaji maji, licha ya uzalishaji kuongezeka
Wakati baadhi ya wananchi wakihaha kupata maji safi, ripoti ya Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati...
Wamarekani wakosoa sera za vita za Trump, wasema: Uhai wa wanajeshi umewekwa hatarini kwa sababu tu ya Israel
Sauti za kupinga sera za vita za Rais Donald Trump zinaendelea kuongezeka nchini Marekani huku wananchi na familia za wanajeshi wanaotumwa Mashariki ya kati kwa ajili ya vita vya nchi…
Mgogoro wa nishati waiathiri Ulaya; Slovenia mafuta yanatolewa kwa mgao
Athari mbaya za vita vya Marekani na utawala ghasibu wa Israel zinaanza koenekana waziwazi barani Ulaya na kuathiri sekta mbalimbali za viwanda, usafirishaji na maisha ya watu wa kawaida.
Vita vya Israel, Marekani na Iran: Mafuta na gesi vimekuwa silaha ya vita
Tangu vita kuanza, Iran imeonyesha kuwa iko tayari kufanya mashambulizi hadi kiwango ambacho kinaweza kusababisha mgogoro mkubwa wa nishati duniani.
Kunani India! Shreya Ghoshal naye afikiria kuacha muziki
Mwimbaji maarufu wa muziki wa filamu za Kihindi, Shreya Ghoshal, ameeleza kuwa anafikiria...