Skip to content
  • Sun. Jul 12th, 2026

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE

Latest Post

Live Baccarat India: Rules, Legal Status, RTP and What Players Should Know Programu za ualimu wa amali kukabili uhaba wa walimu Jicho la DCEA lageukia watumishi wa umma matumizi dawa za kulevya Walemavu wa miguu 130 kunufaika na vifaa saidizi Vilio vya wenye magari mfumo mpya wa ukaguzi
MWANANCHI

Live Baccarat India: Rules, Legal Status, RTP and What Players Should Know

July 12, 2026 mjombazecoder
HABARILEO

Programu za ualimu wa amali kukabili uhaba wa walimu

July 12, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

Jicho la DCEA lageukia watumishi wa umma matumizi dawa za kulevya

July 12, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

Walemavu wa miguu 130 kunufaika na vifaa saidizi

July 12, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

Vilio vya wenye magari mfumo mpya wa ukaguzi

July 12, 2026 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
Live Baccarat India: Rules, Legal Status, RTP and What Players Should Know
MWANANCHI
Live Baccarat India: Rules, Legal Status, RTP and What Players Should Know
Programu za ualimu wa amali kukabili uhaba wa walimu
HABARILEO
Programu za ualimu wa amali kukabili uhaba wa walimu
Jicho la DCEA lageukia watumishi wa umma matumizi dawa za kulevya
MWANANCHI
Jicho la DCEA lageukia watumishi wa umma matumizi dawa za kulevya
Walemavu wa miguu 130 kunufaika na vifaa saidizi
MWANANCHI
Walemavu wa miguu 130 kunufaika na vifaa saidizi
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
LTV ENGLISH NEWS
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
HABARILEO
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Tamasha la Miaka 30 ya Bongo Fleva kufanyika Mlimani City
MWANANCHI
Tamasha la Miaka 30 ya Bongo Fleva kufanyika Mlimani City
Live Baccarat India: Rules, Legal Status, RTP and What Players Should Know
MWANANCHI
Live Baccarat India: Rules, Legal Status, RTP and What Players Should Know
Programu za ualimu wa amali kukabili uhaba wa walimu
HABARILEO
Programu za ualimu wa amali kukabili uhaba wa walimu
Jicho la DCEA lageukia watumishi wa umma matumizi dawa za kulevya
MWANANCHI
Jicho la DCEA lageukia watumishi wa umma matumizi dawa za kulevya
Walemavu wa miguu 130 kunufaika na vifaa saidizi
MWANANCHI
Walemavu wa miguu 130 kunufaika na vifaa saidizi
HABARI ZA KIPEKEE

Iran yaitaka jamii ya kimataifa kuchukua hatua za haraka kukomesha mauaji ya kimbari Gaza

February 2, 2026 mjombazecoder

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametoa wito wa kuchukuliwa hatua za haraka na jamii ya kimataifa ili kukomesha mauaji ya halaiki katika Ukanda wa Gaza.

HABARI ZA KIPEKEE

Washington Post: Iran ina uwezo wa kulenga kambi za kijeshi za Marekani

February 2, 2026 mjombazecoder

Gazeti la Washington Pos limeripoti kuwa, Iran ina uwezo wa kulenga kambi za kijeshi za Marekani.

HABARI ZA KIPEKEE

Mataifa ya Kiislamu na Kiarabu yailaani Israel kwa kukiuka usitishaji vita Gaza

February 2, 2026 mjombazecoder

Mataifa kadhaa ya Kiislamu na Kiarabu yameulaani vikali utawala haramu wa Israel kwa kukiuka usitishaji vita katika Ukanda wa Gaza

HABARI ZA KIPEKEE

Umoja wa Mataifa: Tuna wasiwasi kuhusu kuongezeka vurugu na machafuko Sudan Kusini

February 2, 2026 mjombazecoder

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema katika taarifa kwamba ana wasiwasi mkubwa kuhusu athari za kuongezeka vurugu na machafuko nchini Sudan Kusini, akiongeza kuwa hali hii itawadhuru zaidi raia…

HABARI ZA KIPEKEE

Mazungumzo ya kitaifa DRC: Masharti ya Rais Tshisekedi yaibua  hisia mseto

February 2, 2026 mjombazecoder

Siku moja baada ya mfumo uliowekwa na rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kwa ajili ya mazungumzo ya kitaifa yaliyoitishwa na sehemu ya upinzani na kuhimizwa na washirika kadhaa…

MWANASPOTI

Simba yalaani Mangungu kufanyiwa vurugu Benjamin Mkapa

February 2, 2026 mjombazecoder

Uongozi wa Simba umelaani vitendo vya vurugu alivyofanyiwa Mwenyekiti wa Klabu hiyo, Murtaza Mangungu baada ya kumalizika kwa mchezo baina yao na Esperance ya Tunisia, leo Jumapili, Februari Mosi, 2026…

MWANANCHI

Nandy alivyoitendea haki miaka 10 ya umaarufu wake

February 2, 2026 mjombazecoder

Imesalia miezi michache kabla ya staa wa Bongofleva, Faustina Mfinang maarufu Nandy, 33...

LTV ENGLISH NEWS

Tanzania, EU deepen ties

February 2, 2026 mjombazecoder

BRUSSELS: TANZANIA and the European Union (EU) have strengthened their strategic partnership with a renewed focus on practical cooperation in regional peace and security, rules-based trade, investment facilitation and predictable…

IDHAA YA DUNIA

Kwanini Marekani imebadili msimamo kuhusu mataifa yanayoongozwa kijeshi Afrika Magharibi?

February 2, 2026 mjombazecoder

Marekani inaashiria kwamba kurejesha demokrasia sio kipaumbele tena na iko tayari kufanya kazi na Burkina Faso, Mali na Niger.

ASTV TANZANIA ITVBONGO

🔴HABARI ZA SAA, SAA TATU NA DAKIKA 55….FEBRUARI 02, 2026

February 2, 2026 mjombazecoder

🔴HABARI ZA SAA, SAA TATU NA DAKIKA 55....FEBRUARI 02, 2026

MWANANCHI

Siyo Man City tu, hata Alessia kamteka Donnarumma

February 2, 2026 mjombazecoder

TANGU 2017, jina la Gianluigi Donnarumma, 26, halijawa gumzo tu ndani ya viwanja vya soka, bali...

HABARI ZA KIPEKEE

Ulimwengu wa Spoti, Feb 2

February 2, 2026 mjombazecoder

Hujambo msikilizaji mpenzi na karibu tutupie jicho matukio muhimu ya spoti yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa, kieneo na kimataifa.

MWANANCHI

‘Todii’ wimbo wa Oliver Mtukudzi uliobeba maana nzito

February 2, 2026 mjombazecoder

Mwanamuziki nguli, hayati Oliver Mtukudzi kafanya mambo makubwa katika muziki. Mathalani, sanaa...

IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Sudan: RSF yatangaza kuzinduliwa kwa benki ili kushughulikia ukosefu wa taasisi za fedha

February 2, 2026 mjombazecoder

Nchini Sudan, Benki Kuu inaonya dhidi ya kutumia huduma za kibenki zinazotolewa na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) katika maeneo wanayodhibiti. Wiki chache zilizopita, utawala wa kiraia unaoungwa mkono…

MWANASPOTI

Kocha Yanga afichua siri, akisaka rekodi  Uarabuni

February 2, 2026 mjombazecoder

ACHANA na matokeo ya jioni ya leo ugenini dhidi ya Stellenbosch ya Afrika Kusini katika mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika, kocha wa zamani wa Yanga, Sead Ramovic amefichua siri…

IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Ethiopia: Utawala wa mkoa na TPLF watoa wito wa utulivu na mazungumzo Tigray

February 2, 2026 mjombazecoder

Chama kikuu cha kisiasa katika jimbo la kaskazini mwa Ethiopia, TPLF, kimebainisha tena kujitolea kwake kwa mchakato wa amani licha ya mashambulizi. Vile vile, mkuu wa utawala wa mpito katika…

IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Liberia: Mahakama ya uhalifu wa vita vya wenyewe kwa wenyewe kuanzishwa

February 2, 2026 mjombazecoder

Hatua zaidi imechukuliwa kuelekea mahakama ya baadaye nchini Liberia yenye jukumu la kuwahukumu wale waliohusika na ukatili uliofanywa wakati wa vita viwili vya wenyewe kwa wenyewe kati ya mwaka 1989…

ASTV TANZANIA ITVBONGO

🔴KUMEKUCHA KISHINDO: ..FEBRUARI 02, 2025

February 2, 2026 mjombazecoder

🔴KUMEKUCHA KISHINDO:...FEBRUARI 02, 2025

ASTV TANZANIA ITVBONGO

🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55….FEBRUARI 02, 2026

February 2, 2026 mjombazecoder

🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55....FEBRUARI 02, 2026

TUKO SWAHILI NEWS

Magazetini: Matiang’i Kuteuliwa Kuwa Mkuu wa Mawaziri Katika Mpangilio Mpya wa Upinzani

February 2, 2026 mjombazecoder

Chama cha ODM na UDA chazamia mazungumzo kabla ya 2027, huku uchunguzi wa polisi na juhudi za Gachagua kumteua Kalonzo kuwa kiongozi wa upinzani zikichochea mvutano.

IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Waziri wa Sheria wa Ufaransa ziarani nchini Morocco

February 2, 2026 mjombazecoder

Chini ya mwaka mmoja baada ya ziara yake ya mwisho, Gérald Darmanin anafanya ziara nyingine rasmi nchini Morocco leo Jumatatu, Februari 2 na kesho Jumanne, Februari 3, ili kuimarisha zaidi…

ASTV TANZANIA ITVBONGO

“….hii unatoa utaniwahi lakini nataka nipate muda mzuri kuwafahamisha watu kwamba tufikie sehemu lazima tuseme kwamba hapa pa…

February 2, 2026 mjombazecoder

"....hii unatoa utaniwahi lakini nataka nipate muda mzuri kuwafahamisha watu kwamba tufikie sehemu lazima tuseme kwamba hapa panatosha, watu ambao wanajua wanawaudhi watu wengine lazima wakubali kupumzika, mimi bado napata…

IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Rwanda yajaribu programu inayotegemea akili bandia (AI) kuboresha huduma za afya kwa wakazi

February 2, 2026 mjombazecoder

Mradi huoI ambao unaitwa Horizon 1000, uliotengenezwa na Wakfu wa Gates na kampuni ya Marekani ya OpenAI kwa ushirikiano na mamlaka ya Rwanda, unalenga kushughulikia uhaba mkubwa wa wataalamu wa…

TUKO SWAHILI NEWS

Familia ya Kisii Iliyokuwa Imezurura kwa Miaka 4 Hatimaye Yapata Makao Kericho

February 2, 2026 mjombazecoder

Baada ya miaka minne ya kutembea bila kujua wanakokwenda, familia ya Kisii imepata makazi Kericho, kutokana na usaidizi wa Mbunge Nelson Koech......

IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Madagascar: Kimbunga Fytia kimesababisha kifo cha mtu mmoja na zaidi ya watu 8,000 wameathiriwa

February 2, 2026 mjombazecoder

Madagascar ambayo imekumbwa na kimbunga Fytia kwa siku mbili, tangu Jumamosi Januari 31 hadi Jumapili Februari 1, sasa inajaribu kutathmini uharibifu uliosababishwa na kimbunga hicho. Ingawa uharibifu unaweza kuonekana mdogo,…

DW SWAHILI

Venezuela yawaachia wafungwa zaidi ya 300 wa kisiasa

February 2, 2026 mjombazecoder

Zaidi ya watu 300 wanaotambuliwa kama "wafungwa wa kisiasa" wameachiliwa nchini Venezuela ndani ya siku 30 tangu kupinduliwa na kutekwa kwa Rais Nicolas Maduro na majeshi ya Marekani mwezi mmoja…

ASTV TANZANIA ITVBONGO

🔴KUMEKUCHA MICHEZO : FEBRUARI 02, 2026

February 2, 2026 mjombazecoder

🔴KUMEKUCHA MICHEZO : FEBRUARI 02, 2026

IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Mazungumzo ya kitaifa DRC: Masharti ya Félix Tshisekedi yazua hisia tofauti

February 2, 2026 mjombazecoder

Siku moja baada ya mfumo uliowekwa na rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa ajili ya mazungumzo ya kitaifa yaliyoitishwa na sehemu ya upinzani na kuhimizwa na washirika kadhaa…

TUKO SWAHILI NEWS

Gladys Wanga Adai Mgao wa 50% wa Serikali Katika Mazungumzo ya Muungano wa ODM na UDA

February 2, 2026 mjombazecoder

Gavana Gladys Wanga aliunga mkono ombi la ODM la kutaka asilimia 50 ya serikali katika mazungumzo ya muungano na UDA kabla ya Uchaguzi Mkuu wa 2027.

IDHAA YA DUNIA

Kwanini Israel imekaa kimya wakati Trump akitoa vitisho vipya dhidi ya Iran?

February 2, 2026 mjombazecoder

Huku uvumi wa kimataifa kuhusu ongezeko la uwepo wa wanajeshi wa Marekani katika Mashariki ya Kati, viongozi wa Israel wameendelea kuonesha ukimya usio wa kawaida.

IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Uganda: Washington yaghadhabishwa na kauli za mkuu wa jeshi ambaye ni mtoto wa rais

February 2, 2026 mjombazecoder

Marekani lazima itathmini upya ushirikiano wake wa usalama na Uganda, Jim Rish kutoka chama cha Republican, ambaye ni mwenyekiti wa Kamati ya Mahusiano ya Kigeni ya Baraza la Seneti, ametangaza…

ASTV TANZANIA ITVBONGO

🔴KUMEKUCHA: …… FEBRUARI 02, 2026

February 2, 2026 mjombazecoder

🔴KUMEKUCHA: ...... FEBRUARI 02, 2026

DW SWAHILI

Israel kuufunguwa mpaka wa Rafah

February 2, 2026 mjombazecoder

Israel imesema itaufunguwa tena mpaka muhimu kati ya Ukanda wa Gaza na Misri kupitia kituo cha Rafah hivi leo, siku moja baada ya kutangaza kuakhirisha hatua hiyo.

MWANANCHI

Mawazo kinzani mkakati wa KKK ukianza kutekelezwa

February 2, 2026 mjombazecoder

Kutengenezwa kwa Mkakati wa Kisayansi wa Kujenga Umahiri wa Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK)...

DW SWAHILI

Iran yataka kuamiana kurejee kwanza mazungumzo na Marekani

February 2, 2026 mjombazecoder

Waziri wa Mambo ya Kigeni wa Iran, Abbas Araghchi, amesisitiza umuhimu wa kujengeana imani kwa ajili ya mazungumzo na Marekani wakati mataifa hayo mawili yakiwa kwenye mzozo unaotishia vita kamili…

DW SWAHILI

Takaichi kuibuka na ushindi mkubwa Japan

February 2, 2026 mjombazecoder

Chama cha Waziri Mkuu wa Japan, Sanae Takaichi, kinatazamiwa kupata ushindi mkubwa kwenye uchaguzi wa wiki ijayo kwa mujibu wa uchunguzi wa maoni uliochapishwa jioni ya Jumapili (Februari 1).

DW SWAHILI

Marekani kutofungua mashitaka kashfa ya Nyaraka za Epstein

February 2, 2026 mjombazecoder

Licha ya ugunduzi mkubwa ulioibuliwa kwenye kile kiitwacho Nyaraka za Epstein, Naibu Mwanasheria Mkuu wa Marekani, Todd Blanche, ameondosha uwezekano wa kufunguwa mashitaka ya uhalifu kwa wale waliotajwa.

DW SWAHILI

Mandelson ajiuzulu Labour kwa kashfa ya Epstein

February 2, 2026 mjombazecoder

Mwanasiasa mashuhuri wa Uingereza, Peter Mandelson, amejiuzulu kutoka chama tawala cha Labour kukwepa kile alichokiita "fedheha zaidi" kufuatia kuibuliwa tena taarifa za urafiki wake na Jeffery Epstein.

IDHAA YA DUNIA

Jeshi la Nigeria lamuua kamanda wa Boko Haram

February 2, 2026 mjombazecoder

Jeshi la Nigeria lilimuwinda kamanda wa kundi hilo la Boko Haram, Abu Khalid, ambaye alikuwa amejificha katika msitu wa Sambisa na kumuangamiza pamoja na wapiganaji wake.

HABARI ZA KIPEKEE

Iran yaimarisha ‘Dhahabu ya Kijani’ licha ya njama za Marekani

February 2, 2026 mjombazecoder

Sekta ya njugu aina ya pistachio ya Iran kwa muda mrefu imekuwa nguzo muhimu ya mauzo ya nje ya kilimo ya nchi hii, ikiwa imejikita kwa kina katika uchumi na…

HABARI ZA KIPEKEE

Hamas: Israel isitishe jinai ili mapatano ya usitishaji vita Gaza yafanikiwe

February 2, 2026 mjombazecoder

Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Kupigania Ukombozi wa Palestina, Hamas, katika Ukanda wa Gaza amesisitiza kuwa harakati za Palestina zimejitolea kuheshimu makubaliano ya kusitisha mapigano na kwamba mafanikio ya…

HABARI ZA KIPEKEE

Hali ya Tigray nchini Ethiopia yamtia wasiwasi mkubwa Katibu Mkuu wa UN

February 2, 2026 mjombazecoder

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amesema anafuatilia kwa karibu kinachoendelea katika eneo la Tigray nchini Ethiopia, ambako mvutano unaoibuka upya na taarifa za mapigano vimechangia kuzorota kwa…

IDHAA YA DUNIA

Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu: Barcelona kuamua mustakabali wa Rashford

February 2, 2026 mjombazecoder

Juventus wanamtaka Beto wa Everton, mustakabali wa Marcus Rashford unaweza kuwa nje ya udhibiti wa Manchester United, na Jamaal Lascelles wa Newcastle United anaweza kuwania Ubingwa.

ASTV TANZANIA ITVBONGO

🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI FEBRUARI 02, 2026

February 2, 2026 mjombazecoder

🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI FEBRUARI 02, 2026

ASTV TANZANIA ITVBONGO

#KIPIMAJOTO: Vizuizi maeneo yanapokutana Reli na Barabara

February 2, 2026 mjombazecoder

#KIPIMAJOTO: Vizuizi maeneo yanapokutana Reli na Barabara. Je, vinazingatiwa ili kudhibiti ajali zinazoendelea kujitokeza

HABARI ZA KIPEKEE

Wanazuoni wa Yemen watangaza mshikamano na Iran

February 2, 2026 mjombazecoder

Jumuiya ya Wanazuoni wa Yemen imetangaza mshikamano wake kamili na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kutaka ulimwengu wa Kiislamu kuchukua msimamo wa pamoja katika suala hilo.

HABARI ZA KIPEKEE

Afrika Kusini yamtimua Kaimu Balozi wa Israel

February 2, 2026 mjombazecoder

Afrika Kusini imemtangaza kaimu balozi wa utawala wa Isarel nchini humo kuwa mtu asiyehitajika na kuamuru aondoke mara moja.

HABARI ZA KIPEKEE

Kuakisiwa hotuba ya Kiongozi wa Mapinduzi katika vyombo vya habari vya Kiarabu; indhari ya Tehran ya kugeuka vita na kuwa vya kikanda

February 2, 2026 mjombazecoder

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ameonya kwamba, vita vyovyote vitakavyoanzishwa na Marekani dhidi ya Iran vitageuka na kuwa vita vya kikanda.

HABARI ZA KIPEKEE

Jumatatu, tarehe Pili Februari, 2026

February 2, 2026 mjombazecoder

Leo ni Jumatatu tarehe 13 Sha'ban 1447 Hijria ambayo inasadifiana na tarehe Pili Februari 2026.

LTV ENGLISH NEWS

Tanzanian envoy welcomes Samia Scholarship students in Johannesburg 

February 1, 2026 mjombazecoder

JOHANNESBURG, SA: Tanzania’s High Commissioner to South Africa, James Bwana, has today welcomed 16 Tanzanian students who arrived in Johannesburg to pursue Bachelor of Science degrees in Computer Studies, Data…

Posts pagination

1 … 523 524 525 … 1,057

Recent Posts

  • Live Baccarat India: Rules, Legal Status, RTP and What Players Should Know
  • Programu za ualimu wa amali kukabili uhaba wa walimu
  • Jicho la DCEA lageukia watumishi wa umma matumizi dawa za kulevya
  • Walemavu wa miguu 130 kunufaika na vifaa saidizi
  • Vilio vya wenye magari mfumo mpya wa ukaguzi

Recent Comments

  1. AnnaInsOm on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  2. nedvijimiimoti.blog on Tamasha la Miaka 30 ya Bongo Fleva kufanyika Mlimani City
  3. Phillippaica on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  4. EdithUrili on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  5. Nancyurike on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit

Archives

  • July 2026
  • June 2026
  • May 2026
  • April 2026
  • March 2026
  • February 2026
  • January 2026
  • December 2025
  • November 2025
  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • June 2025
  • August 2024
  • July 2024
  • May 2023
  • June 2016

Categories

  • ASTV TANZANIA
  • CRI SWAHILI
  • DW SWAHILI
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • HABARILEO
  • IDHAA YA DUNIA
  • ITVBONGO
  • LTV ENGLISH NEWS
  • MAGAZETI
  • MWANANCHI
  • MWANASPOTI
  • RFI SWAHILI
  • TRT SWAHILI
  • TUKO SWAHILI NEWS
  • TZSPORTS
  • Uncategorized

You missed

MWANANCHI

Live Baccarat India: Rules, Legal Status, RTP and What Players Should Know

July 12, 2026 mjombazecoder
HABARILEO

Programu za ualimu wa amali kukabili uhaba wa walimu

July 12, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

Jicho la DCEA lageukia watumishi wa umma matumizi dawa za kulevya

July 12, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

Walemavu wa miguu 130 kunufaika na vifaa saidizi

July 12, 2026 mjombazecoder

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS