Tanzanian envoy tours Brazilian breeders for ExpoZebu deal
UBERABA: AN official entourage, led by the Tanzanian ambassador to Brazil, John Simbachawene, visited Fernando Costa Park, in Uberaba (MG), with a strategic agenda: to strengthen commercial and cooperation ties…
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA ADHUHURI – 22/01/2026
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA ADHUHURI - 22/01/2026 (Feed generated with FetchRSS)
Dodoma, Tanzania Prisons imekaa kimtego
Dodoma Jiji FC inaikaribisha Tanzania Prisons katika Uwanja wa Jamhuri Dodoma leo katika mechi...
Uwajibikaji wa pamoja katika enzi za teknolojia
Katika kipindi cha hivi karibuni, kumekuwa na ongezeko la malalamiko kutoka kwa wananchi...
Je, Marekani inajiandaa kuchukua hatua gani dhidi ya Iran?
Maafisa wawili wakuu wa zamani kutoka Idara ya Ulinzi ya Marekani, Pentagon, katika mahojiano na BBC Persian, wanasema bado Marekani inatafuta la kufanya dhidi ya Iran
Shuhudia namna ndege za kivita za Urusi aina ya Tu-95MS zenye uwezo wa kubeba silaha za nyuklia na za masafa marefu zikizunguka …
Shuhudia namna ndege za kivita za Urusi aina ya Tu-95MS zenye uwezo wa kubeba silaha za nyuklia na za masafa marefu zikizunguka juu ya anga la Japani, huku zikiwa zimeambatana…
Mastaa Senegal waoga mamilioni
Rais wa Senegal, Bassirou Faye ametoa zawadi ya Dola 135,000 (Sh342 milioni) pamoja na kipande...
Aziz Ki aachana na Wydad, atua Al Ittihad
Kiungo Stephane Aziz Ki ameachana na Wydad AC ya Morocco na kujiunga na Al Ittihad ya Libya kwa...
Hesabu mbili za Yanga Misri
Yanga imetamba kuwa haina mpango wa kujilinda katika mchezo wake wa ugenini wa hatua ya makundi...
Pwani mwenyeji mashindano ya riadha taifa
SHIRIKISHO la Riadha Tanzania (RT) limeutaja mkoa wa Pwani kuwa mwenyeji wa mashindano ya taifa ya riadha mwaka huu.
Serikali imezihimiza taasisi za fedha kubuni, kutoa bidhaa na huduma zitakazowagusa wananchi moja kwa moja na kutoa elimu ya kif…
Serikali imezihimiza taasisi za fedha kubuni, kutoa bidhaa na huduma zitakazowagusa wananchi moja kwa moja na kutoa elimu ya kifedha kwa wananchi ili kuongeza uelewa na matumizi sahihi ya huduma…
Uganda: Mahakama yaahirisha kuachiliwa kwa Sarah Bireete, wakili na mwanaharakati maarufu
Wiki moja baada ya uchaguzi nchini Uganda, kesi ya Sarah Bireete imesitishwa. Mahakama imeahirisha uamuzi wake kuhusu dhamana ya wakili huyu mwenye ushawishi na mwanaharakati wa haki za binadamu hadi…
Nkasi yaweka mkazo kuzuia maafa kwa wananchi
Wilaya ya Nkasi imeanza kuchukua hatua kuimarisha usalama wa wananchi dhidi ya majanga, baada...
Chadema ya miaka 33 ilivyozalisha viongozi nchini
Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikiadhimisha miaka 33 tangu kuanzishwa...
Msumbiji: Mafuriko yasababisha vifo vya zaidi ya watu 100, tahadhari ya hali ya hewa yaendelea
Nchini Msumbiji, hali ya kibinadamu inaendelea kuzorota kutokana na mafuriko ambayo yamekuwa yakiikumba nchi hiyo kwa wiki kadhaa. Idadi ya vifo imeongezeka tena: mamlaka sasa inaripoti vifo 114. Taasisi ya…
DRC: Maelfu walazimika kukimbia baada ya AFC/M23 kujiondoa Uvira
Nchini amhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), kurejea kwa wanamgambo wa Wazalendo, wanaoshirikiana na jeshi la Kongo, katika jiji la Uvira kumesababisha maelfu ya watu kukimbia, hasa Banyamulenge—Watutsi wa Kongo—pamoja…
Donald Trump azindua ‘Baraza lake la Amani’ Davos
Rais wa Marekani Donald Trump amezindua “Baraza lake jipya la Amani” na kukutana na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky siku ya Alhamisi huko Davos, akijaribu kuimarisha taswira yake kama “mtu…
Kamanda mwandamizi wa Jeshi la Iran amuonya vikali Trump
Kamanda wa ngazi ya juu wa jeshi la Iran amemuonya vikali Rais Donald Trump wa Marekani kufuatia matamshi yake ya hivi karibuni ya vitisho dhidi ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi…
Ndoa ya Militao na Taina kama movie za Kihindi
Beki wa Real Madrid, Eder Militao (27), tayari amefunga ndoa na mpenzi wake, Taina Castro (25),...
Serikali yahimiza benki kuja na bidhaa, huduma zinazowagusa wananchi
Naibu Waziri wa Fedha, Laurent Luswetula amesema Serikali inaendelea kuhimiza taasisi za...
Guinea-Bissau: Uchaguzi wa urais na wa wabunge kufanyika Desemba 6
Kiongozi wa utawala wa kijeshi nchini Guinea-Bissau, Jenerali Horta N’Tam, ametangaza Desemba 6 kama tarehe ya uchaguzi wa urais na wa wabunge unaokusudiwa kuashiria madaraka kurejea kwa raia, kulingana na…
Mpango wa Zuchu 2026 umekaa kimkakati sana
Mwanamuziki kutoka WCB Wasafi, Zuchu anatarajiwa kuwa miongoni mwa wanamuziki watakaotoa albamu...
Marekani kuhamisha hadi wafungwa 7,000 wa Islamic State kutoka Syria kwenda Iraq
Marekani inaendesha operesheni za kuhamisha hadi wafungwa 7,000 kutoka kundi la Islamic State (ISIS) nchini Syria kwenda nchi jirani ya Iraq ili “kuhakikisha kwamba magaidi wanabaki katika magereza salama,” jeshi…
Iran yatangaza idadi ya waliouawa katika ghasia zilizochochewa na maajinabi
Wakfu wa Mashahidi na Maveterani wa Iran umetangaza katika taarifa kwamba, "katika vitendo vya hivi karibuni vya ugaidi vilivyoungwa mkono na Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel, watu 3117…
‘Tulishindwa kuwasiliana na wateja’: Kuzimwa kwa intaneti Uganda kulivyowaathiri wafanyabiashara
Mtandao wa intaneti ulizimwa wakati wa uchaguzi mkuu na kuwaacha watu wengi bila kipato wala njia za kujiburudisha.
Wanajeshi 8 wa Nigeria wauawa katika shambulio la Boko Haram Borno
Wanajeshi wanane wa Nigeria wameuawa huku wengine 50 wakijeruhiwa baada ya wapiganaji wa genge la kigaidi la Boko Haram kushambulia kambi ya kijeshi katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa…
Putin: Denmark imekuwa ikiitazama Greenland kama koloni lake
Rais wa Russia, Vladimir Putin amesema, Denmark imekuwa ikiichukulia Greenland kama koloni lake. Amesema hayo akitoa mtazamo wake kuhusu mpango wa Rais wa Marekani, Donald Trump wa 'kukinunua' kisiwa hicho…
Greenland: Donald Trump atangaza ‘makubaliano ya mkakati’ na NATO na kuondoa tishio la ushuru
Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza siku ya Jumatano, Januari 21, kwamba ameondoa tishio la ushuru dhidi ya nchi kadhaa za Ulaya, akidai kwamba “amepata mfumo wa makubaliano ya baadaye…
Bunge la EU lasimamisha makubaliano ya biashara na US; kisa vitisho vya Trump
Bunge la Ulaya limesimamisha rasmi mchakato wa kuidhinisha makubaliano yake ya kibiashara na Marekani, kutokana na vitisho vya Rais Donald Trump vya kutoza ushuru wa asilimia 10 kwa bidhaa za…
Mtoto wa Jenista Mhagama aibuka mshindi kura za maoni ubunge Peramiho
Victor Mhagama, mtoto wa aliyekuwa Mbunge wa Peramiho, Mkoa wa Ruvuma, Jenista Mhagama ameibuka...
EU yatenga euro milioni 2 kama msaada kwa mahitaji ya kibinadamu Kivu Kusini
Umoja wa Ulaya (EU) umetoa euro milioni 2 kama msaada kusaidia jamii zilizoathiriwa na mgogoro katika mkoa wa Kivu Kusini, Mashariki mwa DRC kulingana na taarifa kwa vyombo vya habari…
Somalia: Donald Trump arudia matamshi ya ubaguzi wa rangi dhidi ya Wasomali na mbunge Ilhan Omar
Siku ya Jumatano, Januari 21, katika Jukwaa la Uchumi Duniani huko Davos, na kisha siku iliyotangulia katika Ikulu ya White House, katika kumbukumbu ya miaka ya kwanza ya kurudi kwake…
Nidhamu ya fedha kwa vitendo mwaka 2026
Tunapoanza mwaka 2026, Watanzania wengi tayari wameweka maazimio ya kifedha kama vile kuongeza...
Mahakama ya Kimataifa ya Jinai chini ya kivuli cha undumakuwili wa Marekani
Naibu mwakilishi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa ametishia kuichukulia hatua zaidi Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC iwapo itaendeleza uchunguzi wake kuhusu uhalifu na jinai za nchi hiyo.
Malipo kidijitali: Ni urahisi unaohitaji umakini mkubwa
Tofauti na malipo ya pesa taslimu, ambapo unamkabidhi muuzaji noti au sarafu na hivyo kuhisi...
Tetesi za Soka Ulaya Alhamisi: Aston Villa inamtaka Loftus-Cheek
Ruben Loftus-Cheek anawaniwa na Aston Villa na Man Utd, Spurs,Liverpool inamtaka Micky van de Ven na Nottingham Forest jicho la Kostas Tsimikas.
Trump asema Marekani inatazama uwezekano wa kufikia makubaliano kuhusu Greenland
Rais Donald Trump amesema Marekani inachunguza uwezekano wa kufikia makubaliano kuhusu Greenland baada ya mazungumzo na NATO, huku akiondoa mipango ya kuweka ushuru kwa washirika wa Ulaya waliopinga mpango wake.
Leo ni Alkhamisi, tarehe 22 Januari, 2026
Leo ni Alkhamisi tarehe Pili Shaaban 1447 Hijria sawa na Januari 22 mwaka 2026.
Araghchi aionya Marekani: Shambulio lolote jipya dhidi ya Iran litakabiliwa na jibu kali
Sayyid Abbas Araghchi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kwamba uchokozi wowote mpya wa kijeshi dhidi ya Iran utakabiliwa na jibu kali na la uhakika.
Mafuriko mabaya zaidi yaikumba Msumbiji na kusababisha maafa
Watu wasiopunguwa 114 wamefariki dunia na uharibifu mkubwa wa mali umeripotiwa nchini Msumbiji huku baadhi ya vijiji vikifunikwa kabisa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa nchini humo.
Jeshi la Nigeria lawakomboa mateka 62 na kuwaua wanamgambo 2 kaskazini magharibi mwa nchi
Jeshi la Nigeria limeripoti kuwa wanajeshi watano na afisa mmoja wa polisi wameuawa katika shambulizi la kuvizia kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.
Kizza Besigye kiongozi mkongwe wa upinzani Uganda yuko mahututi
Imeelezwa kuwa, hali ya kiafya ya Daktari Kizza Besigye, kiongozi mkongwe wa upinzani nchini Uganda imezidi kuwa mbaya.
Wakulima Israel wanafilisika baada ya kuongezeka wimbi la kususia bidhaa za kilimo za Israel
Wakulima wa Israel wameonya kuhusu "kuporomoka kwa mauzo ya nje ya bidhaa za kilimo kufuatia kuongezeka kwa kampeni za kimataifa za kususia bidhaa za Israel kutokana na vita vya Gaza.
Kenya Pipeline: Raia wa Afrika Mashariki kumiliki hisa za Kampuni ya Kenya
Ikiwa wewe ni raia wa taifa lolote la Afrika Mashariki na una Ksh 9 (Tsh 180, UGX 240), unaweza kununua na kumiliki hisa za kampuni ya kusafirisha na kuhifadhi mafuta…
Simba kushusha kiungo kutoka ligi ya Cameroon
MWANASPOTI limepata taarifa za ndani kutoka Simba kwamba klabu hiyo imemalizana na kiungo mshambuliaji, Iñno Jospin Loemba kutoka Colombe Sportive du Dja et Lobo inayoshiriki Ligi Kuu ya Cameroon.
Simba kushusha kiungo kutoka Cameroon
MWANASPOTI limepata taarifa za ndani kutoka Simba kwamba klabu hiyo imemalizana na kiungo mshambuliaji, Iñno Jospin Loemba kutoka Colombe Sportive du Dja et Lobo inayoshiriki Ligi Kuu ya Cameroon.
Huyu Jemo hawezi kuhimili hasira aisee
Huyu Jemo hawezi kuhimili hasira aisee (Feed generated with FetchRSS)
Tanzania sees no increase in costs of electricity for 10 years
DODOMA: THE Tanzanian government has continued to ensure that electricity usage costs for its citizens do not increase for a period of 10 years starting from 2016, despite rising prices…