Transfora ana jambo lake Montferland Run Marathon
Mwanariadha wa kimataifa wa Tanzania na Jeshi la Polisi, Transfora Mussa Ngimbudzi ameondoka nchini leo kwenda Uholanzi kushiriki mashindano ya Montferland Run Half Marathon yatakayofanyika Januari 18, 2026, ikiwa ni…
Mwili wa dereva bodaboda wakutwa juu ya kaburi Tabora
Mwili wa Hamisi Nchambi maarufu Ngosha ambaye ni dereva bodaboda umekutwa juu ya kaburi katika...
Fedha za Mixx Pesa zawawezesha washindi kiuchumi
Kampeni ya Magifti ya Mixx Pesa imechangia kuimarisha hali ya kiuchumi kwa baadhi ya wananchi...
Ndoto ya wakulima wa vijiji vya Ilemba, Sakalilo na Isanga mkoani Rukwa wanaotegemea skimu ya umwagiliaji kwa ajili ya kilimo hu…
Ndoto ya wakulima wa vijiji vya Ilemba, Sakalilo na Isanga mkoani Rukwa wanaotegemea skimu ya umwagiliaji kwa ajili ya kilimo huenda ikawa 'ndoto iliyopotea' baada ya miundombinu ya skimu hiyo…
Kiwango cha ukosefu wa ajira kidunia kinatajwa kufikia wastani wa asilimia 8.9 huku Tanzania kiwango hicho kikishuka kwa asilimi…
Kiwango cha ukosefu wa ajira kidunia kinatajwa kufikia wastani wa asilimia 8.9 huku Tanzania kiwango hicho kikishuka kwa asilimia 0.2 na kufikia 8.7 kwa mwaka 2025. Miongoni mwa hatua zinazoisaidia…
Unamtazama @mtangamtangalile ukiwa wapi?
Unamtazama @mtangamtangalile ukiwa wapi? Ni chaneli namba 106 #SinemaZetuHD
Mabadiliko ya tabianchi yameendelea kusababisha mvua zisizotabirika hali inayotishia kilimo na usalama wa chakula kwa ujumla wak…
Mabadiliko ya tabianchi yameendelea kusababisha mvua zisizotabirika hali inayotishia kilimo na usalama wa chakula kwa ujumla wake huku waathirika wakubwa zaidi wakiwa wakulima. Ripoti ya Faraja Samo inaangazia namna mabadiliko…
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA ADHUHURI – 08/01/2026
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA ADHUHURI - 08/01/2026
Mfumo wa kisasa wa kukabili majitaka Dar, Dodoma waja
Serikali kwa kushirikiana na Jamhuri ya Korea imeanza utekelezaji wa mradi mkubwa wa kisasa wa...
#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Kanali Patrick Sawala, ametoa pongezi za kipekee kwa Kamati ya Ukaguzi na Mapokezi ya Vifaa kat…
#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Kanali Patrick Sawala, ametoa pongezi za kipekee kwa Kamati ya Ukaguzi na Mapokezi ya Vifaa katika Shule ya Msingi Mahuta iliyopo Wilayani Tandahimba kwa…
#VIDEO: Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wazazi taifa kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM),Bw
#VIDEO: Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wazazi taifa kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM),Bw. Fadhili Maganya, ameonyesha kutoridhishwa na kitendo cha viongozi wa Serikali ngazi ya wilaya na halmashauri, kutokuwepo…
TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI USIKU JANUARI 14, 2026 -UWANJA WA NDEGE MSALATO KUKAMILIKA MEI
TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI USIKU JANUARI 14, 2026 -UWANJA WA NDEGE MSALATO KUKAMILIKA MEI
waziri wa Afya Mhe
waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa leo Januari 14, ameelekeza hospitali za Taifa, Rufaa na Mikoa kuweka utaratibu wa wagonjwa kufanya maombi ya kumuona daktari kwa njia ya mtandao ili…
#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Kanali Patrick Sawala, ametembelea na kukagua ujenzi wa miundombinu ya madarasa katika shule za…
#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Kanali Patrick Sawala, ametembelea na kukagua ujenzi wa miundombinu ya madarasa katika shule za msingi na sekondari ndani ya Manispaa ya Mtwara Mikindani na…
Wasanii gani unatamani wafanye collaboration mwaka huu?
Wasanii gani unatamani wafanye collaboration mwaka huu? Unaweza kuchangia mada zetu kila Jumatatu hadi Ijumaa kupitia kundi la WhatsApp 👉 065 229 1057 . Hosted by @neypova_ @djfantastic255 #TheSparkShow #clouds26nyoosha
Upelelezi kesi ya Mazali anayedaiwa kutengeneza tathmini ya ripoti ya uongo waiva
Upelelezi wa kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili mfanyabiashara, Fabian Mazali (56) umekamilik
#HABARI: Mfugaji mmoja aliyetambulika kwa jina la Robert Ng’washa, mkazi wa Kitongoji cha Mshwamba (A) katika Kijiji cha Lunguza…
#HABARI: Mfugaji mmoja aliyetambulika kwa jina la Robert Ng’washa, mkazi wa Kitongoji cha Mshwamba (A) katika Kijiji cha Lunguza, wilayani Lushoto, amepoteza maisha baada ya kushambuliwa na kundi la tembo.…
Siku 14 bila mabasi ya Mofat Kimara, wananchi wapaza sauti, Serikali yaingilia kati
Wananchi wanaotumia usafiri wa mabasi yaendayo haraka maarufu mwendokasi kwa Barabara ya...
Kutokana na kuongezeka kwa magonjwa yasiyoambukiza nchini yanayoendelea kuathiri nguvu kazi ya Taifa, Watanzania wameshauriwa ku…
Kutokana na kuongezeka kwa magonjwa yasiyoambukiza nchini yanayoendelea kuathiri nguvu kazi ya Taifa, Watanzania wameshauriwa kujenga utamaduni wa kupima afya zao badala ya kusubiri mpaka waugue. Mkurugenzo Mtendaji wa Kampuni…
Baadhi ya wanawake Jijini Dar es salaam wameiomba serikali kupunguza gharama za matibabu ya ugonjwa wa saratani hasa ya mlango w…
Baadhi ya wanawake Jijini Dar es salaam wameiomba serikali kupunguza gharama za matibabu ya ugonjwa wa saratani hasa ya mlango wa kizazi inayoongoza nchini na kusababisha vifo vya wanawake zaidi…
WAZIRI Mkuu, Dkt Mwigulu Nchemba amezitaka wizara zinazohusika na masuala ya ajira zisimamie kikamilifu utekelezaji wa sheria zi…
WAZIRI Mkuu, Dkt Mwigulu Nchemba amezitaka wizara zinazohusika na masuala ya ajira zisimamie kikamilifu utekelezaji wa sheria zinazotaka kazi zinazoweza kufanywa na Watanzania zisifanywe na wageni isipokuwa zile zinazohitaji utaalamu…
DC Arusha alivyozima mgomo wa wafanyabiashara
Mgomo wa wafanyabiashara wa maduka jijini Arusha uliokua umeitishwa na Mwenyekiti wa Umoja wa...
Dk Mwigulu atoa maelekezo kulinda kazi za wazawa
Waziri Mkuu Dk Mwigulu Nchemba amezitaka wizara zinazohusika na masuala ya ajira zisimamie...
Mheshimiwa Dkt
Mheshimiwa Dkt. Mwigulu ametoa agizo hilo alipofungua Kikao cha Mawaziri, Naibu Mawaziri, Makatibu Wakuu na Manaibu Makatibu Wakuu wa Wizara za Kisekta kujadili fursa za ajira ndani na nje ya…
Nyumba zaidi ya 52 zimebomoka huku nyingine zikiezuliwa paa kufuatia mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali katika kijiji cha M…
Nyumba zaidi ya 52 zimebomoka huku nyingine zikiezuliwa paa kufuatia mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali katika kijiji cha Makanjiro, wilayani Ruangwa mkoani Lindi. Akizungumza na wananchi wa kijiji hicho,…
Iran: Mazishi ya walinda usalama waliouawa katika maandamano yafanyika
Malefu ya raia wa Iran wamejitokeza jijini Tehran kuhudhuria mazishi ya maafisa wa usalama 100 waliouawa wakati wa maandamano, wakati huu serikali ikisema kesi dhidi ya waandamanaji waliokamatwa zitaendelea kwa…
Raia nchini Uganda wanajiandaa kupiga kura kesho Alhamisi katika uchaguzi ambao unatarajiwa kuwa na ushindni mkubwa baina ya upi…
Raia nchini Uganda wanajiandaa kupiga kura kesho Alhamisi katika uchaguzi ambao unatarajiwa kuwa na ushindni mkubwa baina ya upinzani na rais wa muda mrefu Yoweri Museveni. Rais Museveni aliyepo madarakani…
Rais Macron aonya kuhusu mpango wa Marekani kuchukua Greenland
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron ameonya kuwa, iwapo Marekani itafanikiwa kuchukua kisiwa cha Greenland kinachomilikiwa na Denmark, hatua hiyo itakuwa na matokeo mabaya. Imechapishwa: 14/01/2026 – 16:10Imehaririwa: 14/01/2026 – 16:57…
🔴HAPA NA PALE KUTOKA MOROGORO – JANUARI 14, 2026
🔴HAPA NA PALE KUTOKA MOROGORO - JANUARI 14, 2026
Rais wa Tume ya Ulaya, Ursula von der Leyen, alisema Jumatano kwamba Umoja wa Ulaya (EU) unapanga kugawanya msaada wa kifedha wa…
Rais wa Tume ya Ulaya, Ursula von der Leyen, alisema Jumatano kwamba Umoja wa Ulaya (EU) unapanga kugawanya msaada wa kifedha wa euro bilioni 90 uliokubaliwa kuisaidia Ukraine. Kulingana na…
Profesa Mbarawa: Ifikapo Mei ndege zianze kutua Msalato
Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amemwagiza mkandarasi anayejenga uwanja wa ndege wa...
Wakulima wa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba mkoani Ruvuma wametakiwa kuchangamkia fursa za uwepo wa zana za kisasa za kilimo zil…
Wakulima wa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba mkoani Ruvuma wametakiwa kuchangamkia fursa za uwepo wa zana za kisasa za kilimo zilizoletwa na Serikali ili kuongeza tija kwenye uzalishaji wa mazao…
Baridi yasimamisha usafiri wa treni Ukraine
Mamlaka nchini Ukraine zimelazimika kusitisha baadhi ya safari za treni kwenye maeneo kadhaa...
Singida Black Stars kutumia mbili Bara kujiweka sawa Afrika
KOCHA Mkuu wa Singida Black Stars, David Ouma amesema mechi mbili za Ligi Kuu Bara dhidi ya Dodoma Jiji na JKT Tanzania watazitumia kama njia ya kujiweka tayari kwa ajili…
Zaidi ya kaya 52 za wilayani Ruangwa mkoani Lindi zimekosa makazi kufuatia nyumba zao kuathiriwa na mvua kubwa iliyoambatana na …
Zaidi ya kaya 52 za wilayani Ruangwa mkoani Lindi zimekosa makazi kufuatia nyumba zao kuathiriwa na mvua kubwa iliyoambatana na upepo iliyonyesha kwa muda mfupi jana Januari, 13, 2026. Kwa…
Zaidi ya Shilingi Milioni 196 zimetolewa na Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Mkoani Mara kwa vikundi 29 vya wanawake, Vijana na w…
Zaidi ya Shilingi Milioni 196 zimetolewa na Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Mkoani Mara kwa vikundi 29 vya wanawake, Vijana na watu wenye ulemavu, huku makundi hayo yakitakiwa kuachana na…
Phiri akwama Ulaya aibukia zimbambwe
MSHAMBULIAJI nyota wa Singida Black Stars, Mzambia Andrew Phiri amekamilisha uhamisho wa kujiunga na Hard Rock FC inayoshiriki Ligi Kuu Zimbabwe, baada ya dili lake kwenda Ureno kufanya majaribio kukwama.
Mukandayisenga avunja rekodi binafsi ya mabao
BAADA ya kufunga mabao matano katika mechi ya jana dhidi ya Fountain Gate Princess, mshambuliaji wa Yanga Princess, Jeanine Mukandayisenga amevunja rekodi ya msimu uliopita ya kufunga mabao 13.
Ligi Kuu Bara kuaanza na viporo
LIGI Kuu Bara iliyosimama tangu Desemba 7, mwaka jana kupisha michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (Afcon 2025) na Kombe la Mapinduzi 2026, inarejea kesho Ijumaa kwa mechi mbili za…
Hali tete kambi ya Nyarugusu, huduma muhimu zaondolewa
Wakimbizi wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC), wanaohifadhiwa kwenye kambi ya Nyarugusu...
Time ya kuishi na Isha,
Time ya kuishi na Isha, Wakati tukiishi kwenye mapokeo ya kiburudani kwaajili ya kukonga nyoyo zetu, tusisahau kuishi kwani hii zawadi yenye thamani kubwa tuliyopewa na Allah na Juma tano…
Bi Julia anaeleza katika maisha yao ya ndoa imekuwa ni nyakati njema, huku mzee kimiti akiamini katika falsafa yake ya “ta te ti…
Bi Julia anaeleza katika maisha yao ya ndoa imekuwa ni nyakati njema, huku mzee kimiti akiamini katika falsafa yake ya “ta te ti to tu “ @angelamondi Mhariri | @claud_jm…
Kiongozi mstaafu, Paul Kimiti na mkewe Julia Kimiti wanandoa waliounganishwa na upendo, wakishirikiana safari ya maisha kwa miak…
Kiongozi mstaafu, Paul Kimiti na mkewe Julia Kimiti wanandoa waliounganishwa na upendo, wakishirikiana safari ya maisha kwa miaka mingi wakizeeka pamoja. @angelamondi Mhariri | @claud_jm #AzamTVUpdates
Ni wakati wa kuikaribia TV yako kwa karibu, maana Show tamu ya TV The Spark ndani ya Clouds Tv inakaribia kuanza
Ni wakati wa kuikaribia TV yako kwa karibu, maana Show tamu ya TV The Spark ndani ya Clouds Tv inakaribia kuanza. Tunajua kila mtu ana msanii wake pendwa ambaye angependa…
Rose Muhando alia na Sony Music Africa, Seven atia neno
Mwanamuziki wa nyimbo za injili nchini Rose Muhando amedai kampuni inayojihusisha na uuzaji na...