Ndugu wakacha miili miwili ajali ya basi na lori Morogoro
Zikiwa zimetimia siku 14 tangu kutokea kwa ajali ya basi na lori na kusababisha vifo vya watu...
Serikali yawaalika wadau kushiriki kuimarisha sekta ya elimu
Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge amewataka wadau mbalimbali wa elimu wa ndani na nje ya...
Airtel pushes toward digital economy via fuel rewards campaign
DAR ES SALAAM: Airtel has rolled-out a nationwide cashless transactions campaign, highlighting the growing significance of digital payments in everyday life for individuals and businesses, a move that advances country’s…
Serikali yataka wanafunzi, watumishi kupewa elimu ulinzi wa data
Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Carolyne Nombo, ametaka kutolewa...
Mamilioni wajitokeza katika mazishi ya mashahidi wa mashambulizi ya kigaidi mjini Tehran na miji mingine ya Iran
Mamilioni ya Iran leo wamejitokeza katika mazishi na shughuli ya kuwaaga mashahidi wa mashambulizi ya kigaidi mjini Tehran na miji mingine ya Iran.
Afrika Kusini: Uwepo wa Iran katika mazoezi ya majini ya Mosi-3 lasumbua Pretoria
Tangu Ijumaa, Januari 9, Afrika Kusini imekuwa ikiandaa mazoezi makubwa ya majini kama sehemu ya mpango wa BRICS, ambao unaweza kuikasirisha Washington, kutokana na uhusiano ambao tayari ulikuwa mgumu kati…
#MEZAHURU”….lakini si hivyo tu vijana wetu wa Tanzania wamejaliwa kuwa na ubunifu wa sanaa, kwa kutumia mazingira ya ufukweni…
#MEZAHURU"....lakini si hivyo tu vijana wetu wa Tanzania wamejaliwa kuwa na ubunifu wa sanaa, kwa kutumia mazingira ya ufukweni wanaweza wakatengeneza bidhaa mbalimbali za kitamaduni halafu wakaziuza kwa wageni ambao…
Chad: Makabiliano kati ya waasi wa MPRD na jeshi yasababisha vifo kadhaa kusini mwa nchi
Nchini Chad, jeshi limepelekwa kwa siku kadhaa katika eneo la Moyen-Chari, karibu na mpaka na Jamhuri ya Afrika ya Kati. Siku ya Jumanne, Januari 13, makabiliano yalianza katika eneo hilo…
“Tumefurahi sana Simba Queens wamecheza Vizuri , Wamepambana, wakiendelea Kucheza hivi tutashinda Ligi insha’allah”
"Tumefurahi sana Simba Queens wamecheza Vizuri , Wamepambana, wakiendelea Kucheza hivi tutashinda Ligi insha'allah" Mlezi wa Simba Queens @fatemagdewji akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya Mchezo wa Simba…
Kumekucha Gonja atoboka kwa Begum, Osman naye anaendelea kupambana na wazushi
Kumekucha Gonja atoboka kwa Begum, Osman naye anaendelea kupambana na wazushi. Usikose kutazama OTTOMAN leo usiku saa 4:00 #AzamTWO
#HABARI: Waziri wa Mambo ya Ndani Nchi, Patrobas Katambi amekabidhiwa Ofisi na aliyekuwa Waziri wa Wizara hiyo Mhe
#HABARI: Waziri wa Mambo ya Ndani Nchi, Patrobas Katambi amekabidhiwa Ofisi na aliyekuwa Waziri wa Wizara hiyo Mhe. George Simbachawene leo Januari 14, 2026, Ofisi za Wizara, Mtumba jijini Dodoma.…
Iran yajitosheleza katika kutengeneza dawa za kutibu fibrosisi ya mapafu
Mkurugenzi wa utafiti na maendeleo wa kampuni inayotegemea maarifa nchini Iran ametangaza uzalishaji wa dawa ya Ofenib kwa mara ya kwanza hapa nchini, ambayo hutumika kwa wagonjwa wenye magonjwa ya…
Baraza la Usalama: Hali yazidi kudhofika Yemen huku njaa na vizuizi vya misaada vikizidisha mgogoro
Hali dhaifu ya kisiasa nchini Yemen inaonekana kudhoofika zaidi, huku kutokuwepo utulivu na vizuizi vya misaada vikizidisha njaa, magonjwa na kuhama kwa mamilioni ya raia, wamesema maafisa wakuu wa Umoja…
Ukraine yapitisha sheria mpya ya kihistoria ya makazi kwa msaada wa UNECE
Ukraine imechukua hatua madhubuti kuelekea ujenzi wa sera ya makazi ya haki na ya kisasa kwa kupitisha sheria ya "Kanuni za Msingi za Sera ya Makazi." Sheria hiyo, iliyoandaliwa kwa…
Taasisi ya Flaviana yawagusa walimu, wanafunzi ikikabidhi mradi shuleni
Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge amewataka wadau mbalimbali wa elimu wa ndani na nje ya...
WMO: 2025 ilikuwa miongoni mwa miaka mitatu yenye joto kali zaidi kuwahi kurekodiwa
Shirika la Umoja wa Mataifa la Hali ya Hewa Duniani WMO leo limethibitisha kuwa mwaka 2025 ulikuwa miongoni mwa miaka mitatu yenye joto kali zaidi kuwahi kurekodiwa, licha ya uwepo…
Mbinu ya kubaini mapema homa ya bonde la ufa (RVF) yasaidia kulinda maisha na mali Tanzania
Mfumo wa kubaini mapema homa ya bonde la ufa (RVF) iliyobuniwa na shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo, FAO nchini Tanzania imewezesha wizara, wakulima, na madaktari wa…
Mscan yawezesha wajawazito waishio maeneo ya ndani zaidi Uganda kupata huduma za uchunguzi
Baada ya kuhitimu shahada ya udaktari nchini mwake Uganda, huko Afrika Mashariki, Daktari mmoja alibaini kuwa hiyo haitoshi, bali alienda mbali zaidi kubuni kifaa kinachosaidia wajawazito hasa wale wanaoishi maeneo…
Ni nchi gani zinazofanya biashara na Iran na ushuru wa Trump unamaanisha nini?
Siku ya Jumatatu Trump alichapisha taarifa kwenye Truth Social: "Kuanzia hivi punde, nchi yoyote inayofanya biashara na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran italipa ushuru wa 25% kwa biashara yoyote inayofanya…
Wakulima Kyela kicheko, uhakika wa soko na bei
Wakati zaidi ya Sh100 bilioni zikitarajia kukusanywa kupitia mazao manne ya kimkakati wilayani...
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55….JANUARI 14, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55....JANUARI 14, 2025
Shirika la UNICEF: Watoto wa Gaza wamesahauliwa na jamii na kimataifa
Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza kuwa, jamii ya imewasahau watoto wa Gaza ambao wanataabika na kuteteseka kutokana na kukabiliwa na hali mbaya ya kibinadamu na ukatili…
#HABARI: Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanahabari wa Mitandao ya Kijamii Tanzania (JUMIKITA) Shaban Omary Matwebe, amempongeza Waziri…
#HABARI: Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanahabari wa Mitandao ya Kijamii Tanzania (JUMIKITA) Shaban Omary Matwebe, amempongeza Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Paul Makonda kwa kuamua kupambana kwa ajili…
Abbas Araghchi: Kauli za uchochezi za Wamarekani ni kuingilia masuala ya ndani ya Iran
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza azma ya taifa hili ya kutetea mamlaka yake ya kitaifa dhidi ya uingiliaji wa kigeni.
Leo usiku kwenye tamthiliya ya THE PRICE ndani ya #AzamTwo kuanzia saa 3:00 usiku
Leo usiku kwenye tamthiliya ya THE PRICE ndani ya #AzamTwo kuanzia saa 3:00 usiku. #AzamTWO
Mchambuzi wa masuala ya uchumi, Walter Nguma, amesema ukuaji wa uchumi wa taifa unategemea kwa kiasi kikubwa mzunguko wa fedha n…
Mchambuzi wa masuala ya uchumi, Walter Nguma, amesema ukuaji wa uchumi wa taifa unategemea kwa kiasi kikubwa mzunguko wa fedha ndani ya mfumo rasmi wa kifedha, hali inayowezesha benki, watu…
Uganda yazifungia asasi 10 za kiraia kuelekea uchaguzi mkuu
Serikali ya Uganda imeyafungia mashirika yasiyo ya kiserikali 10, huku ikieleza sababu za...
Halmashauri ya Manispaa ya Tabora imetoa mikopo yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 928 kwa vikundi 97 vya wajasiriamali,…
Halmashauri ya Manispaa ya Tabora imetoa mikopo yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 928 kwa vikundi 97 vya wajasiriamali, katika awamu ya kwanza ya utoaji wa mikopo kwa vikundi…
Madiwani kutoka halmashauri mbalimbali za mkoa wa Njombe wametakiwa kuchukua hatua za haraka kutatua changamoto zinazolalamikiwa…
Madiwani kutoka halmashauri mbalimbali za mkoa wa Njombe wametakiwa kuchukua hatua za haraka kutatua changamoto zinazolalamikiwa na wananchi, ikiwemo ongezeko la ushuru na tozo mbalimbali ambazo kwa muda mrefu zimekuwa…
🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55….JANUARI 14, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55....JANUARI 14, 2025
Uganda: Serikali yazima mtandao wa intaneti siku moja kabla ya uchaguzi mkuu
Serikali ya Uganda imezima mtandao wa intaneti siku moja kabla ya kuelekea uchaguzi mkuu wa hapo kesho, uchaguzi ambao Rais Yoweri Museveni anataka kuchaguliwa kwa muhula wa saba.
Hizi ndo sababu za Bambo kuingia kwenye muziki
Hizi ndo sababu za Bambo kuingia kwenye muziki. Usikose kutazama ALAMA kila Alhamisi saa 2:00 usiku kupitia #SinemaZetuHD ukiwa na @sophiamgaz
#HABARI: Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imeanza rasmi mchakato wa kuwarejesha nchini wakimbizi zaidi ya 80,…
#HABARI: Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imeanza rasmi mchakato wa kuwarejesha nchini wakimbizi zaidi ya 80,000 walioko katika Kambi ya Nyarugusu, wilayani Kasulu mkoani Kigoma, ambao walikimbilia…
Wasomi, wajasiriamali kujadili ukuaji wa uchumi unaojumuisha watu wote
Mkuu wa Shule ya Biashara ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDBS) Profesa Omari Mbura...
#MEZAHURU: Matumizi ya fukwe zetu ni fursa kwa sekta ya utalii?
#MEZAHURU: Matumizi ya fukwe zetu ni fursa kwa sekta ya utalii?
Zanzibar kutumia tafiti kupunguza vifo vya mama na mtoto
Wakati Zanzibar ikiendelea kuboresha miundombinu ya afya kwa kujenga hospitali na vituo vya...
Mastaa hawa kunogesha nusu fainali AFCON
Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 zinaelekea ukingoni zikiwa zimebakisha timu...
Bangili zimeuzwa, kule nako Aziza hataki chochote kutoka kwa Devran
Bangili zimeuzwa, kule nako Aziza hataki chochote kutoka kwa Devran. Usikose kutazama 6 of Us leo saa 2:00 usiku. #AzamTWO
Kuzimwa mtandao Uganda kwaathiri usafirishaji Bandari ya Mombasa
Mawakala wa usafirishaji mizigo wamesema uamuzi wa mamlaka za Uganda wa kuweka zuio la kitaifa...
Thailand: Zaidi ya watu 22 wafariki katika ajali kwenye reli
Zaidi ya watu 22 wameripotiwa kufariki wengine kadhaa wakijeruhiwa baada ya mashine ya kunyanyua vitu vizito kwenye reli ya mwendo kasi nchini Thailand kuvunjika na kuangukia treni ya abiria. Imechapishwa:…
🔴HABARI ZA SAA, SAA SITA NA DAKIKA 55….JANUARI 14, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA SITA NA DAKIKA 55....JANUARI 14, 2025
Dk Almas anavyokataa uzee kiaina
Mwigizaji wa filamu nchini, Steven Charles 'Dk Alsmas' amefunga mjadala wa maswali kuhusiana...
Wanne wavuja jasho kwelikweli Mapinduzi Cup 2026
TAMATI ya Kombe la Mapinduzi 2026 ilikuwa jana Jumanne Januari 2026 ilipopigwa mechi ya fainali kati ya Azam dhidi ya Yanga kwenye Uwanja wa Gombani, Pemba kuanzia saa 10:30 jioni.
Neha Kakkar anavyopindua muziki wa India
Tasnia ya muziki wa India hasa unaotumika katika filamu za Bollywood, imekuwa na mifumo na...
Ukimtaja Bambo, na jina la Kingwenu linakuja kichwani, sikiliza @bambocomedian akieleza kuhusu ukaribu wao
Ukimtaja Bambo, na jina la Kingwenu linakuja kichwani, sikiliza @bambocomedian akieleza kuhusu ukaribu wao. Usikose kutazama ALAMA kila Alhamisi saa 2:00 usiku kupitia #SinemaZetuHD ukiwa na @sophiamgaz
Uwanja wa Gombani waipa jeuri ZFF
MAREKEBISHO yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Gombani uliopo Pemba, yameipa jeuri Shirikisho la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF) kutokana na sasa kuwa na viwanja viwili vyenye hadhi ya kimataifa baada ya…
Uwanja Gombani waipa jeuri ZFF
MAREKEBISHO yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Gombani uliopo Pemba, yameipa jeuri Shirikisho la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF) kutokana na sasa kuwa na viwanja viwili vyenye hadhi ya kimataifa baada ya…
Sababu timu za Zanzibar kufeli Mapinduzi Cup 2026
WAKATI Jumanne ya Januari 13, 2026 ikipigwa fainali ya Kombe la Mapinduzi 2026 kati ya Azam dhidi ya Yanga kwenye Uwanja wa Gombani kisiwani Pemba, kilio kimeendelea kusikika kutokana na…