Trump asema amefuta awamu ya pili ya mashambulizi’ dhidi ya
Rais wa Marekani Donald Trump amesema mashambulizi ya pili dhidi ya Venezuela yamesitishwa. Amesema amechukua hatua hiyo baada ya wafungwa wa kisiasa kuanza kuachiwa huru katika taifa hilo la Amerika…
Baraza la Mpito la Kusini mwa Yemen lavunjwa
Katibu mkuu wa Baraza la Mpito la Kusini mwa Yemen Abdulrahman Jalal al-Sebaihi, amesema kundi hilo na taasisi zake zitavunjwa kuanzia Ijumaa.
Baraza la Mpito la Kusini mwa Yemen latangaza kuvunjwa
Katibu mkuu wa Baraza la Mpito la Kusini mwa Yemen Abdulrahman Jalal al-Sebaihi, amesema kundi hilo na taasisi zake zitavunjwa kuanzia Ijumaa.
DK Nchimbi: Maendeleo ya elimu Zanzibar ni tunda la Mapinduzi
Makamu wa Rais, Dk Emmanuel Nchimbi amesema malengo makuu ya Mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka...
Khamenei akosoa maandamano dhidi ya serikali, Iran
Kiongozi wa juu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei, ameyakosoa vikali maandamano ya kuipinga serikali yanayoendelea nchini humo. Khamenei amewakaripia waandamanaji aliyowaita watu waliohatari kwa taifa hilo.
Balozi wa Uturuki nchini Syria apongeza utekelezwaji wa makubaliano ya Aprili 1 huko Aleppo
Nuh Yilmaz alieleza umuhimu wa kujiondoa kwa kundi la kigaidi la YPG/SDF kwa ajili ya amani na utulivu
Chinese Foreign Minister lands in Tanzania for official visit
DAR ES SALAAM: Member of the Standing Committee of the Communist Party of China and Foreign Minister of the People’s Republic of China, Wang Yi, has arrived in Dar es…
Nchi za EU zaridhia mkataba wa biashara huru Mercosur
Umoja wa Ulaya umeunga mkono mkataba mkubwa uliocheleweshwa wa biashara huru Mercosur na nchi za kusini mwa Amerika Hatua hiyo inasafisha njia kwa mkataba huo kusainiwa.
Dk Migiro awatwisha zigo la imani viongozi CCM, Serikali
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Asha-Rose Migiro amewataka viongozi waliopewa...
🔴HAPA NA PALE KUTOKA KILIMANJARO – JANUARI 09, 2026
🔴HAPA NA PALE KUTOKA KILIMANJARO - JANUARI 09, 2026
CAG hails TARURA for reshaping Tanzania road network
DODOMA: The Controller and Auditor General (CAG), Charles Kicheere, has commended the Tanzania Rural and Urban Roads Agency (TARURA) for the significant work it has been doing in building the…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan amesema amani, usalama na utulivu wa kisiasa ni miongoni mwa m…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan amesema amani, usalama na utulivu wa kisiasa ni miongoni mwa mambo yanayokuza uwekezaji nchini, huku akiwaonya wanaotaka kuiharibu. Dkt…
#KIPIMAJOTO: AHADI YA SERIKALI YA KUUNDA TUME YA MARIDHIANO ILI KUIMARISHA UMOJA WA KITAIFA
#KIPIMAJOTO: AHADI YA SERIKALI YA KUUNDA TUME YA MARIDHIANO ILI KUIMARISHA UMOJA WA KITAIFA. JE, WATANZANIA WASHIRIKIANE KUFANIKISHA HILO?
Airtel supports Annual Medical Conference with digital connectivity
MOSHI: Airtel Tanzania has reaffirmed its commitment to strengthening Tanzania’s healthcare sector by sponsoring internet connectivity at the 31st Annual Medical Conference, organized by the Kilimanjaro Christian Medical Centre (KCMC).…
Wasiorejesha mikopo ya asilimia 10 kukamatwa
Mkuu wa Wilaya ya Maswa, Dk Vicent Anney ameagiza kukamatwa na kufikishwa mahakamani watu wote...
Katibu Mkuu wa @ccmtanzania Chama Cha Mapinduzi(CCM) Dk.Asha-Rose Migiro @officialasharosemigiro amesema Chama hicho hakijengwi …
Katibu Mkuu wa @ccmtanzania Chama Cha Mapinduzi(CCM) Dk.Asha-Rose Migiro @officialasharosemigiro amesema Chama hicho hakijengwi katika majukwaa bali hujengwa kuanzia ngazi ya mashina na matawi huku akibainisha majukwaa hutumika zaidi kwa…
VP to grace Quran Recitation contest whose preps is 90 percent complete
DAR ES SALAAM: THE Second Vice President of Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, is expected to be the chief guest at the launch of the world’s largest Qur’an competition organized by…
Mabasi mapya 49 ya Udart kuingizwa barabarani
Mabasi 49 ya usafiri wa haraka maarufu mwendokasi yaliyoingia nchini yameanza kupakuliwa...
Siku tatu mara baada ya kutokea kwa tukio la mifugo aina ya Ngombe kondoo na mbuzi kukutwa imekufa katika mazingira ya kutatanis…
Siku tatu mara baada ya kutokea kwa tukio la mifugo aina ya Ngombe kondoo na mbuzi kukutwa imekufa katika mazingira ya kutatanisha jijini Dodoma Serikali imethibitisha kuwa mifugo hiyo imepewa…
Time ya kuwasha Tv yako ndo hii na leo tupo na @hamadaitz_ kupitia The spark ya Clouds Tv
Time ya kuwasha Tv yako ndo hii na leo tupo na @hamadaitz_ kupitia The spark ya Clouds Tv. Una lipi unatamani kujuaWeka swali lako hapa chini.
Kobisi akili yake inawaza mtoto tu kwa sasa, Ohoo leo Chiku naye kizaazaa
Kobisi akili yake inawaza mtoto tu kwa sasa, Ohoo leo Chiku naye kizaazaa. Usikose kutazama #KombolelaSeries leo saa 1:00 usiku ndani ya #SinemaZetuHD
Makundi ya waasi kuteka eneo la Uvira karibu na mpaka wa DRC na Burundi yatia hofu katika kanda
Jumuiya ya kikanda imetoa wito kwa wanachama kuchukua hatua ili kuepusha mapigano kuzidi huku mkutano ukianza kujadili ‘hali mbaya kwa watu na hatari ya usalama kwa mataifa jirani’
Mchezaji mzee zaidi wa soka Miura apata klabu mpya
Kazuyoshi Miura anayetimiza miaka 59 mwezi Februari mwaka huu na kuwa mchezaji mkongwe zaidi wa soka duniani anajiunga na klabu mpya anapojiandaa kwa msimu wake wa 41. Nchini Japan kama…
Kairuki calls on data institutions to register to PDPC before April 8
DAR ES SALAAM: THE Minister for Communications and Information Technology, Angellah Kairuki, has called on all public and private institutions that collect or process personal data to ensure they are…
#HABARI: Chifu Francis Ngeni kutoka mkoani Singida, amefikisha kilio chake kuhusu kesi ya ardhi iliyompelekea mdogo wake kufungw…
#HABARI: Chifu Francis Ngeni kutoka mkoani Singida, amefikisha kilio chake kuhusu kesi ya ardhi iliyompelekea mdogo wake kufungwa gerezani mbele ya Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Juma Homera, leo…
#HABARI: “Tusisahau kwamba kukua au kukuza uwekezaji nchini kunawezekana kutokana na uwepo wa amani, usalama na utulivu wa kisia…
#HABARI: “Tusisahau kwamba kukua au kukuza uwekezaji nchini kunawezekana kutokana na uwepo wa amani, usalama na utulivu wa kisiasa, ndio maana uwekezaji nchini unakua……”-Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,…
Serikali yaongeza muda wa usajili taasisi zinazohifadhi taarifa binafsi
Serikali imetangaza kipindi cha nyongeza cha miezi mitatu kwa taasisi za umma na binafsi...
Bahari za dunia zilinyonya joto jingi 2025
Timu ya wanasayansi wa kimataifa imesema Ijumaa kwamba bahari za dunia zilifyonza kiwango kikubwa cha joto mwaka 2025 na hivyo kuchochea hali ya kuongezeka kwa kina cha bahari, dhoruba kali…
#HABARI: Wananchi wa Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara, wameaswa kutumia msimu huu wa mvua kupanda zaidi ya miti milioni moja katik…
#HABARI: Wananchi wa Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara, wameaswa kutumia msimu huu wa mvua kupanda zaidi ya miti milioni moja katika maeneo ya huduma za kijamii na kwenye kaya zao.…
Rose Mhando, Upendo Nkone kukiwasha tamasha la PDX Kigamboni
Waimbaji maarufu wa muziki wa Injili nchini, Rose Mhando na Upendo Nkone, ni kati ya wasanii...
TASAC rescue boat conducts trials on the lake Tanganyika
KIGOMA: OPERATORS of small marine vessels and cargo handlers at the Kigodeko landing site on Lake Tanganyika have said the availability of a search and rescue boat on the lake…
Jamii Nguzo ya Umoja wa Kitaifa
TOFAUTI na mataifa mengine katika ukanda huu, amani na umoja wa kitaifa Tanzania si tu kwamba ni nguvu muhimu, bali pia ni mali ya thamani kwa nchi. Kwa miaka mingi,…
Jeshi la Israeli limesema siku ya Ijumaa kuwa linashambulia maeneo lengwa ya Hezbollah nchini Lebanon
Jeshi la Israeli limesema siku ya Ijumaa kuwa linashambulia maeneo lengwa ya Hezbollah nchini Lebanon. Jeshi la Lebanon limesema siku ya Alhamisi kuwa limechukua udhibiti wa operesheni kusini mwa nchi,…
#Habari: Mshauri wa Wamachinga, Bodaboda, na Mamalishe, Shaban Matwebe, amewasilisha changamoto mbalimbali za makundi hayo katik…
#Habari: Mshauri wa Wamachinga, Bodaboda, na Mamalishe, Shaban Matwebe, amewasilisha changamoto mbalimbali za makundi hayo katika kongamano lililofanyika. Katika wasilisho hilo kwa Waziri Mkuu, Mheshimiwa Mwigulu Nchemba, Matwebe alisisitiza umuhimu…
Maandamano nchini Iran yalianzaje na yanaeleka wapi?
Maandamano nchini Iran yalizuka Disemba 28 na kusambaa kote nchini humo, wakati waandamanaji wakionyesha kutoridhika kwao na hali ya uchumi inayozidi kuwa mbaya pamoja na kuanguka kwa sarafu yake.
Italian firm supports Tanzania’s Clean Energy campaign
DAR ES SALAAM: THE Tanzanian government will continue to collaborate with various stakeholders to ensure citizens adopt clean cooking energy, in a bid to move away from the use of…
#HABARI: Mama Maria Mtatuu Hango ametoa ushuhuda mbele ya Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt
#HABARI: Mama Maria Mtatuu Hango ametoa ushuhuda mbele ya Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Juma Homera, kuhusu dhuluma anazofanyiwa katika masuala ya mirathi. Akizungumza kwa machungu wakati wa Kliniki…
TAWA waagizwa mbinu mpya za mapato ili kutoa gawio
ARUSHA: WAZIRI wa Maliasilia na Utalii, Dk Ashatu Kijaji ameiagiza Bodi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyama Pori Tanzania (TAWA) kuhakikisha inabuni vyanzo vipya vya mapato ili viakisi ukubwa wa…
Aga Khan yaanzisha mfumo wa kisasa wa utunzaji taarifa za wagonjwa
Huduma ya Afya ya Aga Khan Tanzania (AKHS, T) imepiga hatua katika safari yake ya mageuzi ya...
Syria yatangaza kusitisha mapigano na wanamgambo wa Kikurdi
Wizara ya ulinzi ya Syria imetangaza hatua ya kusitisha mapigano katika mji wa Aleppo baada ya mapigano makali ya siku kadhaa kati ya jeshi na wapiganaji wa Kikurdi yaliyowalazimisha maelfu…
#BSSNextLevelRevolution imerudi tena na sasa burudani inaaanza upyaaaaa…Hii ndio ratiba kamili ya #BongoStarSearch msimu wa 16
#BSSNextLevelRevolution imerudi tena na sasa burudani inaaanza upyaaaaa…Hii ndio ratiba kamili ya #BongoStarSearch msimu wa 16. Vipaji HD, Kuzingatiwa. #BongoStarSearch2026 #BongoStarSearch
Trump aonya kuhusu mashambulizi zaidi ya Marekani nchini Nigeria
Rais wa Marekani Donald Trump amesema huenda kukawa na mashambulizi zaidi ya kijeshi ya Marekani nchini Nigeria iwapo Wakristo wataendelea kuuawa nchini humo, licha ya Nigeria kukana mara kwa mara…
Wananchi wa Kijiji cha Lutukira Halmashauri ya wilaya ya Madaba mkoani Ruvuma, wameiomba serikali kutatua mgogoro na kurekebi…
Wananchi wa Kijiji cha Lutukira Halmashauri ya wilaya ya Madaba mkoani Ruvuma, wameiomba serikali kutatua mgogoro na kurekebisha mipaka ya ardhi baina yao na muwekezaji ambaye anadaiwa kuvamia eneo lao…
Serikali kuwaunga mkono wadau nishati safi
DAR ES SALAAM: Serikali imesema itaendelea kuwaunga mkono wadau katika kufanikisha lengo la serikali kwa wananchi kutumia nishati safi ili kuachana na kutumia nishati chafu kwani ina madhara kiafya. Hayo…
Regional authorities ordered to ensure all students attend school on Jan 13
DAR ES SALAAM: THE Prime Minister’s Office, Regional Administration and Local Government (PMO–RALG) has called upon Regional Commissioners, District Commissioners, local leaders, and council officials to collaborate with education stakeholders…