Rais wa Syria akutana na von der Leyen mjini Damascus
Rais wa Syria Ahmed al-Sharaa leo amekutana na rais wa halmashauri kuu ya Umoja wa Ulaya Ursula von der Leyen.
Zaidi ya wafanyakazi 900 wa shamba la maua la VASSO lililopo Kibosho wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro, wamegoma kuingia kazini …
Zaidi ya wafanyakazi 900 wa shamba la maua la VASSO lililopo Kibosho wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro, wamegoma kuingia kazini wakidai kuongezewa mishahara. Wafanyakazi hao wamesema mishahara yao haiendani na gharama…
🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55….JANUARI 09, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55....JANUARI 09, 2025
Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) inaendelea kuliheshimisha Taifa kwa kunyakua Tuzo ya Afrika ya Mifumo ya Kijidital…
Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) inaendelea kuliheshimisha Taifa kwa kunyakua Tuzo ya Afrika ya Mifumo ya Kijiditali, baada ya kuonyesha ubunifu na ubora wa hali ya juu katika…
Venezuela yawaachia huru idadi kubwa ya wafungwa wa kisiasa
Venezuela imeanza mchakato wa kuwaachia huru idadi kubwa ya wafungwa wa kisiasa, akiwemo mgombea wa zamani wa upinzani Enrique Marquez.
Rais Samia wa Tanzania afanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri ndani ya siku 54
Mabadiliko hayo ambayo yamefanyika ndani ya siku 54 tangu kutangazwa kwa Baraza la Kwanza la Mawaziri wa kipindi cha pili cha serikali ya Awamu ya Sita.
Urusi yaishambulia Ukraine kwa kombora jipya la Oreshnik
Urusi imesema hivi leo kwamba imetumia kombora jipya chapa Oreshnik pamoja na silaha nyingine katika shambulizi kubwa dhidi ya Ukraine.
BOT: Uchumi waendelea kuimarika 2026
UCHUMI wa Tanzania Bara unatarajiwa kukua kwa asilimia sita katika robo ya kwanza ya mwaka 2026, huku uchumi wa Zanzibar ukitarajiwa kukua kwa asilimia 7.2 katika kipindi hicho. The post…
Matukio mbalimbali kuwaaga waliopata ajira nje ya nchi
DAR ES SALAAM; PICHA za matukio mbalimbali wakati wa hafla ya kuwaaga vijana 109 waliomaliza mafunzo ya muda mfupi ya ajira za nje ya nchi, ambapo mgeni rasmi alikuwa Waziri…
Iran: Trump aangazie matatizo ya nchi yake kuliko Iran
Kiongozi wa juu wa Iran Ayatolla Ali Khamenei amemuambia rais wa Marekani Donald Trump kushughulikia matatizo ya nchi yake kuliko kuangalia yanayoendelea Tehran. Ameyasema hayo huku maandamano makubwa yakiikumba Tehran.
Mashindano ya AFCON yaingia hatua ya robo fainali
Michuano ya AFCON yaingia robo fainali huku wenyeji Moroko wakikabiliwa na shinikizo la kutwaa taji nyumbani. Moroko inakipiga na Cameroon katika mechi kali inayotarajiw akuleta msisimko mkubwa miongoni mwa mashabiki.
Jemo apigwa marufuku kukaa na Meris, Farouk naye anasakwa, Kufuatilia uhondo wa tamthiliya hii ya 6 of Us ni kuanzia saa 2:00 us…
Jemo apigwa marufuku kukaa na Meris, Farouk naye anasakwa, Kufuatilia uhondo wa tamthiliya hii ya 6 of Us ni kuanzia saa 2:00 usiku. #AzamTWO
Nzilanyingi kushughulikia kero za mafuriko
MBUNGE wa Jimbo la Nyamagana mkoani Mwanza, John Nzilanyingi, amefanya ziara katika Kata ta Mirongo kusikiliza kero za wananchi, akaelezwa pamoja na mambo mengine, uchakavu na ufinyu wa mto mirongo…
Misheni ya siri ya kuusafirisha mwili wa Rais nyumbani – rubani aifichulia BBC
Rubani wa zamani wa jeshi la anga anaelezea jinsi alivyotekeleza kazi ya siri ya kuusafirisha mwili wa Siad Barre nyumbani kwa mazishi.
Tume ya Jaji Chande yatua Mara
TUME ya Rais inayochunguza matukio ya uvunjifu wa amani wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, mwaka jana imeanza kazi yake mkoani Mara, ikiwa na lengo la kukusanya…
Ratiba kamili ya #bongostarsearch baada ya Mwanza,
Ratiba kamili ya #bongostarsearch baada ya Mwanza, #BSS #BSSS16 #NextLevelRevolution #SinemaZetuHD
🔴HABARI ZA SAA, SAA SITA NA DAKIKA 55….JANUARI 09, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA SITA NA DAKIKA 55....JANUARI 09, 2025
Uchumi wa Tanzania umeendelea kukua kwa kasi ya kuridhisha ya takribani asilimia 5.9 pungufu kwa asilimia 0.1 ya lengo la asilim…
Uchumi wa Tanzania umeendelea kukua kwa kasi ya kuridhisha ya takribani asilimia 5.9 pungufu kwa asilimia 0.1 ya lengo la asilimia 6 kwa mwaka 2025 huku thamani ya shilingi ikiimarika…
Usaili kuanzia kanda ya ziwa Mwanza,
Usaili kuanzia kanda ya ziwa Mwanza, Iko LIVE: #SinemaZetuHd #BSS #BSSS16 #NextLevelRevolution
Mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa usiku wa kuamkia leo yamewalazimu wananchi wa kijiji cha Ntinga, kata ya Msangano wilaya…
Mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa usiku wa kuamkia leo yamewalazimu wananchi wa kijiji cha Ntinga, kata ya Msangano wilayani Momba mkoani Songwe kuyakimbia makazi yao. Maji yaliyovamia nyumba yameharibu vyakula…
”Vitu vizuri huwa havitaki haraka”@msritapaulsen akizungumzia ujio wa #bongostarsearch kupitia chaneli ya #SinemaZetuHD akisem…
''Vitu vizuri huwa havitaki haraka''@msritapaulsen akizungumzia ujio wa #bongostarsearch kupitia chaneli ya #SinemaZetuHD akisema tayari maandalizi yamekamilika. Iko LIVE: #SinemaZetuHd
Msanii kutoka Kenya, 10Ballz, ameweka wazi kupitia kipindi cha Clouds E ya #CloudsTV kuwa baadhi ya wasanii wa Bongo wanataka ku…
Msanii kutoka Kenya, 10Ballz, ameweka wazi kupitia kipindi cha Clouds E ya #CloudsTV kuwa baadhi ya wasanii wa Bongo wanataka kubebwa kama watoto wa mwisho. Ameeleza kuwa mtu anapowekeza kwao,…
Walimu na wazazi wa halmashauri ya mji njombe wameiomba serikali kufanya jitihada za haraka kuisaidia shule ya Amali yenye hadhi…
Walimu na wazazi wa halmashauri ya mji njombe wameiomba serikali kufanya jitihada za haraka kuisaidia shule ya Amali yenye hadhi ya juu inayotaraji kuanza kutoa masomo ya kiuhandisi mwaka huu,…
Undani wa Mboladinga shabiki wa Congo aliyetikisa AFCON 2025
Hatuzungumzi soka tunagusa sanaa na kipaji cha upekee cha Michel Kuka Mboladinga, maarufu kama...
‘Cloud Dancer’ rangi ya mwaka 2026
Kila mwaka unaopofika ukingoni mamlaka ya kimataifa ya rangi - Pantone huchagua rangi ya mwaka...
🔴HABARI ZA SAA, SAA TANO NA DAKIKA 55….JANUARI 09, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA TANO NA DAKIKA 55....JANUARI 09, 2025
YAS CHUO CHALLENGE CUP MECHI ZA UFUNGUZI
YAS CHUO CHALLENGE CUP MECHI ZA UFUNGUZI 📌Mechi Day one Ufunguzi wa Mashindano ya Yas Chuo Challenge Cup Season IV Vyuo 16 vinaenda kushindana kupata Bingwa wa Mashindano haya ya…
Afisa Elimu Sekondari wa Jiji la Dar es Salaam, Mussa Shaban Ally amesema maandalizi ya kuwapokea wanafunzi wa kidato cha kwanz…
Afisa Elimu Sekondari wa Jiji la Dar es Salaam, Mussa Shaban Ally amesema maandalizi ya kuwapokea wanafunzi wa kidato cha kwanza na darasa la kwanza yamekamilika kutokana na ushirikiano wa…
Watu 66 wadakwa na dawa za kulevya tani 9.6
MAMLAKA ya Udhibiti wa Dawa za Kulevya (DCEA) imekamata kilogamu 9,689 za dawa za kulevya, pikipiki 11 na magari matatu. Pia, imewakamata watuhumiwa 66 wanaohusika na uhalifu huo. Kamishna Jenerali…
Rais Donald Trump ameonya kuwa Marekani inaweza kufanya mashambulizi mengine ya anga nchini Nigeria ikiwa mauaji ya Wakristo yat…
Rais Donald Trump ameonya kuwa Marekani inaweza kufanya mashambulizi mengine ya anga nchini Nigeria ikiwa mauaji ya Wakristo yataendelea. Katika mahojiano na gazeti la New York Times, lililochapishwa siku ya…
Raia wa Australia wamewekwa katika tahadhari kali kufuatia kuendelea kwa moto wa misituni unaoteketeza makazi na mali katika mae…
Raia wa Australia wamewekwa katika tahadhari kali kufuatia kuendelea kwa moto wa misituni unaoteketeza makazi na mali katika maeneo mbalimbali ya nchi hiyo, huku wakionyeshwa haja ya kujiandaa na hasara…
New fish market to boost jobs, investment in South Pemba
ZANZIBAR: Market in Mkoani is expected to create employment opportunities and stimulate business and investment for residents of Mkoani District and surrounding areas. Zanzibar Second Vice-President (2VP), Mr Hemed Suleiman…
Simbachawene urges Police to uphold integrity
ZANZIBAR: THE Minister for Home Affairs, George Simbachawene, has called on police officers and inspectors of all ranks to uphold justice, professionalism and integrity in the execution of their duties.…
Yanga hunt Mapinduzi Cup final as Singida stand on their way
ZANZIBAR: YOUNG Africans SC will be in action today against Singida Black Stars in the second semifinal of the Mapinduzi Cup, with the high-stakes encounter set to take place at…
Major transport projects launched
ZANZIBAR: THE Zanzibar government has rolled out major infrastructure projects in air, sea and road transport as part of a broader strategy to strengthen the transport sector and accelerate socio-economic…
Watano kuipa mzuka Bunda Queens
KOCHA Mkuu wa Bunda Queens, Alley Ibrahim amesema ili kukiongezea nguvu kikosi chao kwenye Ligi Kuu ya Wanawake, watawapandisha wachezaji wao watano kutoka kwenye kituo chao cha kukuza vipaji vya…
Wananchi wa Jiji la Dar es salaam wamehimizwa kujitokeza kwa wigi kufanyiwa vipimo na kufanyiwa matibabu bure katika Kampeni ya …
Wananchi wa Jiji la Dar es salaam wamehimizwa kujitokeza kwa wigi kufanyiwa vipimo na kufanyiwa matibabu bure katika Kampeni ya Upasuaji wa Mabusha inayofanyika katika Mkoa huo kuanzia Januari 5…
Geita Gold ugenini safi, nyumbani mmh!
GEITA Gold ni timu tishio msimu huu kwenye Ligi ya Championship ikiwa kileleni katika mbio za kupanda daraja, lakini licha ya makali yake hayo, uwanja wa nyumbani Nyankumbu umekuwa ukiwapa…
Finland ni kati ya nchi kinara duniani kwenye suala zima la elimu bora, Uwekezaji waliyoufanya kwenye taaluma ya ualimu ni kati …
Finland ni kati ya nchi kinara duniani kwenye suala zima la elimu bora, Uwekezaji waliyoufanya kwenye taaluma ya ualimu ni kati ya siri ya ushindi kwao. @Marcel__Kitabu leo kwenye #Clouds360…
Serikali ya Venezuela yawaachia huru wanasiasa wa upinzani, waandishi
Serikali ya Venezuela imewaachia huru viongozi mashuhuri wa upinzani waliokuwa wamefungwa...
Stars earn heroes’ welcome
DAR ES SALAAM: JULIUS Nyerere International Airport (JNIA) pulsed with colour, rhythm and emotion yesterday, as hundreds of Tanzanian football supporters thronged the airport to welcome home the Taifa Stars…
🔴AFCON 2026: TANZANIA IMEFANIKIWA AFCON?
🔴AFCON 2026: TANZANIA IMEFANIKIWA AFCON? NINI KIFANYIKE KUELEKEA AFCON 2027? |JANUARI 09, 2025
Kiungo Simba atua Mbeya City
KIUNGO wa Simba aliyekuwa anacheza kwa mkopo Mashujaa, Omary Omary amekamilisha usajili wa mkopo wa miezi sita kuitumikia Mbeya City.
Z’bar VP inaugurates JKU housing project
ZANZIBAR: THE Zanzibar government has introduced major operational reforms within the SMZ Forces to boost efficiency and improve working conditions for officers and troops, Second Vice-President (2VP) Hemed Suleiman Abdulla…
Safari ya uigizaji hadi kuingia kikundi cha kaole
Safari ya uigizaji hadi kuingia kikundi cha kaole. Usikose kutazama ALAMA kila Alhamisi saa 2:00 usiku kupitia #SinemaZetuHD ukiwa na @sophiamgaz
Nyota Azam FC huyoo Namungo
UONGOZI wa Namungo uko katika hatua za mwisho za kuipata saini ya beki wa kati wa Azam FC, Ali Hassan Chamulungu kwa mkopo hadi mwisho wa msimu huu, baada ya…
Private sector credit growth surges 18 per cent
DAR ES SALAAM: CREDIT to the private sector accelerated to an annual growth rate of 18.1 per cent in the period ending November last year, up from 15.3 per cent…
Vijana 1,432 wapata ajira nje ya nchi
SERIKALI imewapatia vijana wa Tanzania 109 ajira za nje ya nchi na kufanya idadi ya vijana waliopata ajira kuanzia Desemba 2025 hadi Januari 2026 kufi kia 1,432. Waziri wa Nchi,…
Small risks, big vision behind a young entrepreneur
DAR ES SALAAM: FROM zero to something, Ms Shununa Haji’s online business story is a summary of calculated risks and resolute believe and persistence in pursuit of becoming a tycoon…
DSE edges higher as banks lead trading
DAR ES SALAAM: EQUITIES on the Dar es Salaam Stock Exchange rose modestly Wednesday, with banks extending recent gains as investors focused on a small number of liquid counters while…