Baadhi ya wananchi Wilayani Handeni Mkoani Tanga kuamua kujenga na kulima katika maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya makaburi
Baadhi ya wananchi Wilayani Handeni Mkoani Tanga kuamua kujenga na kulima katika maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya makaburi. Je, waelimishwe matumizi bora ya ardhi?
Iran: Uingiliaji wa Marekani wakusudia kuchochea vurugu na ugaidi
Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu Iran imekemea vikali kauli za kuingilia na za upotoshaji zilizotolewa na maafisa wa Marekani kuhusu hali za ndani ya Iran, ikisema…
Marekani ‘yaziwekea ngumu’ nchi zingine 12 za Afrika kupata viza ya kuingia nchini humo
Serikali ya Marekani imeongeza karibu mara tatu idadi ya nchi ambazo wamiliki wa pasipoti zao watahitajika kuweka dhamana ya hadi dola 15,000 ili kuomba kuingia nchini humo.
UN yaitaka Israel ikomeshe ‘mfumo wa ubaguzi wa apathaidi’ inaoendesha Ukingo wa Magharibi
Umoja wa Mataifa kupitia Kamishna wake Mkuu wa Haki za Binadamu umesema, hatua za miongo kadhaa za Israel za kuwatenga na kuwabagua Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi inaoukalia kwa mabavu…
White House: Chaguo la kijeshi kwa ajili ya kuitwaa Greenland lipo mezani
Ikulu ya White House ya Marekani imesema Rais Donald Trump wa nchi hiyo na washauri wake wanatathmini "machaguo mbali mbali" katika jitihada za kulitwaa eneo la Greenland, likiwemo chaguo la…
UAE yatuhumiwa tena na Saudia; mara hii ni kuwaunga mkono Wadruze ili kuigawanya Syria
Televisheni ya CNN ya Marekani imeripoti kuwa, Saudi Arabia imetoa tuhuma zisizo za kawaida dhidi ya Muungano wa Falme za Kiarabu, Imarati huku kukiwa tayari kuna mvutano unaoongezeka kati ya…
Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Israel huko Somaliland; Tel Aviv katika njia ya kuyumbisha amani Pembe ya Afrika
Waziri wa Mambo ya Nje wa Israel amefanya safari huko Hargeisa, mji mkuu wa eneo la Somaliland, akiongoza ujumbe rasmi wa Israel.
Alkhamisi, Januari 8, 2026
Leo ni Alkhamisi tarehe 18 Rajab 1447 Hijria sawa na 8 Januari 2026.
Ni siku ya pili ya mkutano wa makadinali na Papa Leo wa 14
Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo wa 14, anaendelea na mkutano wake wa dharura wa makadinali wote wa Kanisa Katoliki duniani ikiwa ni kwa mara ya kwanza tangu achaguliwe…
Umeme umerejeshwa Berlin baada ya kukatika kwa siku kadhaa
Umeme umerejeshwa katika makazi na maeneo ya biashara mjini Berlin baada ya kukatika kwa siku kadhaa kufuatia shambulio la uchomaji moto lililodaiwa kufanywa na wanaharakati wa mrengo wa kushoto.
Greenland ina uungwaji mkono thabiti wa Umoja wa Ulaya
Rais wa Baraza la Umoja wa Ulaya, Antonio Costa, amesema kuwa Umoja wa Ulaya utaiunga mkono Greenland na Denmark inapohitajika na hautakubali ukiukaji wa sheria za kimataifa popote pale unapotokea.
Poland yatangaza utayari kupokea wanajeshi wa Ujerumani
Waziri wa Mambo ya Nje wa Poland, Radosław Sikorski, amesema Warsaw iko tayari kwa uwezekano wa kupokea wanajeshi wa Ujerumani nchini Poland kama sehemu ya juhudi za kuhakikisha usitishaji wa…
08.01.2026 Matangazo ya Mchana
Rais wa Marekani, Donald Trump, amechukua hatua kubwa katika sera ya kimataifa kwa kuamuru Marekani ijiondoe kwenye mashirika 66 ya kimataifa+++Zimesalia siku sita kwa uchaguzi mkuu kufanyika Uganda
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Januari 8, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa The post Habari kubwa…
Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), imeanza ukaguzi maalumu kwa waandishi wa Habari wasio na sifa wanaendelea na kazi…
Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), imeanza ukaguzi maalumu kwa waandishi wa Habari wasio na sifa wanaendelea na kazi kwa kuwa ni kosa kisheria. Kwa mujibu wa Bodi…
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: JANUARI 07, 2026
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: JANUARI 07, 2026
Rais Touadera amualika Putin wa Urusi kutembelea Jamhuri ya Afrika ya Kati
Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Faustin-Archange Touadera, amemualika Rais wa Urusi Vladimir Putin kutembelea nchi yake, shirika la habari la serikali la Urusi TASS liliripoti siku ya Jumatano.
Raia wawili wa China, Weisi Wang na Yao Licong wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam na kusomewa mashtaka …
Raia wawili wa China, Weisi Wang na Yao Licong wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam na kusomewa mashtaka ya uhujumu uchumi baada ya kukutwa na fedha taslimu…
Upepo unaofikia kilomita 40 kwa saa na mawimbi yanayofikia mita mbili umesababisha kudorora kwa shughuli za uvuvi na kuathiri sh…
Upepo unaofikia kilomita 40 kwa saa na mawimbi yanayofikia mita mbili umesababisha kudorora kwa shughuli za uvuvi na kuathiri shughuli za usafirishaji katika mikoa mitano ya Dar es Salaam, Tanga,…
Yanga Princess yaiadhibu Mashujaa Queens WPL
LIGI Kuu ya Wanawake (WPL) imeendelea leo zikipigwa mechi tano ikiwemo ya Yanga Princess dhidi ya Mashujaa ambapo Wananchi hao waliondoka na ushindi wa mabao 4-1 Uwanja wa Azam Complex…
Matukio ya majanga ya moto nchini yameendelea kutishia usalama wa maisha ya watu na mali zao huku idadi ya matukio hayo ikiendel…
Matukio ya majanga ya moto nchini yameendelea kutishia usalama wa maisha ya watu na mali zao huku idadi ya matukio hayo ikiendela kuwa juu katika kipindi cha mwaka 2025. Miongoni…
#HABARI: Vilio vya wananchi na wakulima mkoani Pwani, vinaendelea kuibuka kufuatia kero ya majitaka yanayotiririshwa kutoka kwa …
#HABARI: Vilio vya wananchi na wakulima mkoani Pwani, vinaendelea kuibuka kufuatia kero ya majitaka yanayotiririshwa kutoka kwa baadhi ya viwanda, hali inayosababisha uharibifu wa mazao, kuchafua mazingira na kuhatarisha usalama…
Amani ya kudumu vita vya Urusi-Ukraine ‘iko karibu’:Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki
Hakan Fidan ameeleza kuwa Uturuki "itachukua jukumu la kuimarisha ulinzi wa eneo la baharini pale amani itakapopatikana".
#HABARI: Wakulima wa zao la Pamba mkoani Singida, msimu huu wa kilimo wanatarajia kuongeza uzalishaji wa zao hilo tofauti na awa…
#HABARI: Wakulima wa zao la Pamba mkoani Singida, msimu huu wa kilimo wanatarajia kuongeza uzalishaji wa zao hilo tofauti na awali, kufuatia kutolewa matrekta 20 ambayo yana walimia kwa bei…
Uvumilivu umemshinda Jemo, kaamua akiwashe😆
Uvumilivu umemshinda Jemo, kaamua akiwashe😆
Wanu aelekeza Veta kusaka mapinduzi ya viwanda
Amesema hatua hiyo ni sehemu ya mkakati mpana wa kuhakikisha vyuo vya Veta vinaendana na kasi...
Je, una Elimu ya kutosha ya kukabiliana na majanga ya moto?
Je, una Elimu ya kutosha ya kukabiliana na majanga ya moto? Takwimu za mwaka 2025 pekee zinaonesha ajili za moto zilifikia idadi ya zaidi ya 3,000 na kusababisha maafa ya…
Shinikizo la kimataifa linaongezeka dhidi ya Iran
Iran inazidi kukabiliwa na shinikizo la kimataifa huku maandamano yakiongezeka. Kauli kali za Trump zatishia nguvu za kijeshi na kuongeza mvutano.
Saba kortini wakidaiwa kusafirisha dawa za kulevya
Mkazi wa Sinza Kijiweni, jijini Dar es Salaam, Cuthbert Kalokola (34) na wenzake sita...
Kampeni tokomeza malaria kufanyika halmashauri ya Morogoro
MOROGORO: HALMASHAURI ya Wilaya ya Morogoro inatarajia kutoa vyandarua bila malipo kwa kila kaya ili kukabiliana na ugonjwa wa malaria. Hatua hiyo ni mwanzo wa kuhamasisha kampeni ya utokomezaji wa…
TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI USIKU..JANUARI 07, 2026
TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI USIKU..JANUARI 07, 2026
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA USIKU – 07/01/2026
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA USIKU - 07/01/2026
#HABARI: Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe
#HABARI: Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Ng’wasi Kamani, ametoa agizo kwa Maafisa Mifugo na Uvuvi nchini kuhakikisha wanawafuata wafugaji na wavuvi katika maeneo yao ili kuwapatia huduma, badala…
#MICHEZO: Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Balozi Simon Sirro, ametoa maelekezo kwa mkandarasi anayetekeleza mradi wa ujenzi wa Soko la M…
#MICHEZO: Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Balozi Simon Sirro, ametoa maelekezo kwa mkandarasi anayetekeleza mradi wa ujenzi wa Soko la Mwanga, Manispaa ya Kigoma Ujiji, kuhakikisha mradi huo unakamilika kabla…
Serikali yahaidi kutatua changamoto ya vifaatiba katika Hospitali ya Mji Mafinga
Dk Seif amebainisha kuwa kutokana na unyeti na mahitaji ya kipekee ya huduma katika hospitali...
#HABARI: Mfanyabiashara na mdau wa maendeleo, Azim Dewji, amesisitiza kuwa maridhiano ya kitaifa ni nyenzo muhimu inayojenga mis…
#HABARI: Mfanyabiashara na mdau wa maendeleo, Azim Dewji, amesisitiza kuwa maridhiano ya kitaifa ni nyenzo muhimu inayojenga misingi imara ya haki na utulivu, mambo ambayo ni kichocheo kikuu cha maendeleo…
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Ng’wasi Kamani amewaonya maofisa mifugo na uvuvi nchini wanaohudumia wafugaji na wavuvi ofisini…
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Ng’wasi Kamani amewaonya maofisa mifugo na uvuvi nchini wanaohudumia wafugaji na wavuvi ofisini badala ywa kwenda kwenye maeneo ya uzalishaji kuwa hatua kali dhidi…
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu, amemuagiza Katibu Tawala wa mkoa huo, Kiseo Nzowa, kuchukua hatua dhidi ya watumishi w…
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu, amemuagiza Katibu Tawala wa mkoa huo, Kiseo Nzowa, kuchukua hatua dhidi ya watumishi waliochelewesha utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa madarasa mawili katika…
Waziri wa zamani wa sheria Nigeria Malami apewa dhamana katika kesi ya fedha zilizoibwa
Waendesha mashtaka wanasema Abubakar Malami alitakatisha fedha za umma kati ya 2015 na 2023 kupitia washirika wake.
JAB yaonya uandishi wa habari bila ithibati
Kutokana na hali hiyo, JAB imetoa onyo kwa watu wote wanaofanya kazi za kihabari bila kuwa na...
Sokwe Mafuko azaa mapacha huko Hifadhi ya Virunga
Hifadhi ya Taifa ya Virunga imetangaza kwamba Sokwe wa milimani anayeitwa Mafuko amezaa mapacha wawili wa kiume katika eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, eneo ambalo limekumbwa…
Kitu gani kinaweza kukufanya usiweze kulala usiku kucha
Kitu gani kinaweza kukufanya usiweze kulala usiku kucha Unaweza kuchangia mada zetu kila Jumatatu hadi Ijumaa kupitia kundi la WhatsApp 👉 065 229 1057 . Hosted by @missloloh_ @djfantastic255 #TheSparkShow…
Papa Leo ataka kanisa liendane na wakati
Papa Leo anaongoza kikao chake cha kwanza cha baraza la maaskofu tangu achaguliwe kwenye nafasi hiyo mwaka jana kufuatia kifo cha mtangulizi wake Papa Francis
Cyprus yaanza urais wa EU kwa kuiunga mkono Ukraine
Mataifa ya Umoja wa Ulaya yamekuwa yakihangaika kuisadia Ukraine kusimama imara dhidi ya Urusi,huku juhudi za kusaka usitishaji vita zikikabiliwa na vigingi
#HABARI: Raia wawili (2) wa China ambao ni Weisi Wang (41) na Yao Licong wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Da…
#HABARI: Raia wawili (2) wa China ambao ni Weisi Wang (41) na Yao Licong wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakikabiliwa na kesi ya Uhujumu uchumi…
Mitandao ya kijamii ilivyogeuka uwanja wa ukatili
Baadhi ya watu wanasema kwa sasa, mitandao ya kijamii si chombo tena cha mawasiliano au...