Singida Black Stars, URA FC share spoils in Mapinduzi Cup clash
ZANZIBAR: SINGIDA Black Stars were held to a 1–1 draw by Uganda’s URA FC in a Group A match of the Mapinduzi Cup played yesterday at the New Amaan Complex…
Tuiombee Taifa Stars
Mechi ya kikubwa! Ndio, kuanzia saa 1:00 usiku kwenye Uwanja wa Prince Moulay Abdellah jijini...
Tanzania ready for tough test against Morocco
RABAT: TAIFA Stars Head Coach Miguel Gamondi has expressed confidence in his side while acknowledging the strength of their Africa Cup of Nations (AFCON) round of 16 opponents, Morocco today.…
#HABARI: Jeshi la Polisi Mkoa wa Kigoma limetoa ufafanuzi wa taarifa inayosamba kwenye mtandao wa kijamii wa TikTok ikidai Msani…
#HABARI: Jeshi la Polisi Mkoa wa Kigoma limetoa ufafanuzi wa taarifa inayosamba kwenye mtandao wa kijamii wa TikTok ikidai Msanii wa muziki Shilole kupata ajali ya gari na kujeruhiwa akiwa…
Polisi Kigoma: Ajali ya Shilole haijaripotiwa kituo chochote
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kigoma limesema taarifa za ajali zinazosambaa kwenye mtandao wa...
Osimhen vows to ‘trample on any team’
NIGERIA: STRIKER Victor Osimhen has sent a bold message to Nigeria’s Africa Cup of Nations rivals, saying the Super Eagles can ‘trample on any team’ in their quest to end…
Huku hali ikiendelea kutulia huko Caracas, Wavenezuela wanazungumzia taarifa za kukamatwa kwa Rais Nicolás Maduro na Marekani kw…
Huku hali ikiendelea kutulia huko Caracas, Wavenezuela wanazungumzia taarifa za kukamatwa kwa Rais Nicolás Maduro na Marekani kwa matumaini, hofu, na kutokuwa na uhakika. Watu walianza kujitokeza mitaani Jumamosi baada…
After school clubs aren’t always safe spaces: What should be done about it
YOUNG people around the world are encouraged to get involved in extracurricular activities. These range from choirs and drama clubs to sports teams, with many other options available depending on…
Rais wa Marekani Donald Trump amesema Marekani “itaiongoza” Venezuela hadi “mabadiliko salama, sahihi na ya busara” ya kisiasa y…
Rais wa Marekani Donald Trump amesema Marekani "itaiongoza" Venezuela hadi "mabadiliko salama, sahihi na ya busara" ya kisiasa yatakapohakikishwa, baada ya mashambulizi ya Marekani kusababisha kukamatwa kwa Rais wa nchi…
Nawanda tutamuokota barabarani kwa mwendo huu 😭
Nawanda tutamuokota barabarani kwa mwendo huu 😭
Taifa Stars wimbo ni ushindi leo
MOROCCO; TIMU ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ leo Januari 4, 2026 itashuka Uwanja wa Prince Moulay Abdellah mjini Rabat kuwavaa wenyeji Morocco hatua ya 16 Bora ya Kombe la…
Araghchi: Utekaji wa Rais wa Venezuela na Marekani ni mfano dhahiri wa ugaidi wa kiserikali
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amelaani vikali hujuma ya kijeshi ya Marekani dhidi ya Venezuela na utekaji wa Rais Nicolás Maduro pamoja na mkewe, akieleza kitendo hicho kuwa…
Makamu wa Rais Rodriguez: Maduro ndiye rais pekee wa Venezuela; hatukubali kukoloniwa
Makamu wa Rais wa Venezuela, Delcy Rodríguez, amelaani vikali shambulio la kijeshi la Marekani aliloliita kinyume cha sheria, ambalo limesababisha kutekwa kwa Rais Nicolás Maduro na Mkewe Cilia Flores. Rodríguez…
Meya Mamdani wa New York apongezwa kwa hatua dhidi ya Israel
Wanaharakati wa kutetea haki za Wapalestina wamemsifu Meya wa Jiji la New York, Zohran Mamdani, kwa kufuta amri za kiutawala zilizokuwa zikizuia shughuli za makundi yanayounga mkono Palestina.
Barker aanza balaa Simba
Jana usiku kikosi cha Simba kilikuwa Uwanja wa New Amaan Complex hapa Unguja kucheza mechi ya...
Myanmar: Baraza la kijeshi latangaza kuachiliwa huru kwa wafungwa zaidi ya 6,000
Utawala wa kijeshi nchini Myanmar umetangaza leo Jumapili, Januari 4, kwamba utawaachilia huru zaidi ya wafungwa 6,000 kama sehemu ya msamaha wa kila mwaka kwa kuadhimisha sikukuu ya kitaifa. Imechapishwa:…
Oldest known cremation in Africa poses 9,500-year-old mystery about Stone Age hunter-gatherers
AFRICA: Near the equator, the Sun hurries below the horizon in a matter of minutes. Darkness seeps from the surrounding forest. Nearly 10,000 years ago, at the base of a…
In Manzese, being a state guest is very simple
DAR ES SALAAM: YOU see, in Manzese, I am a respected family man. At least that is what I believe, because any time there is a family dispute, they always…
Taasisi yakabidhi watoto vifaa vya shule
DAR ES SALAAM; Taasisi ya kidini ya Al Ameen Foundation (AIF) ya Kijitonyama, Dar es Salaam, imekabidhi vifaa vya shule kwa watoto Kijiji cha Magoza, Wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani.…
Hatua ya 16 bora inaendelea leo Jumapili kwa michezo miwili
Hatua ya 16 bora inaendelea leo Jumapili kwa michezo miwili. Saa 1:00 usiku, Wenyeji Morocco kukipiga na Taifa Stars. Taifa Stars inasaka ushindi katika mchezo huu ili kuweka rekodi nyingine…
Ukraine: Washirika wakamilisha Mkataba wa Mfumo wa amani kabla ya mkutano wa Paris
Washauri wa masuala ya usalama kutoka nchi kumi na tano zinazoshirikiana na Ukraine wamekutana Kyiv siku ya Jumamosi, Januari 3, ili kukamilisha makubaliano ya mfumo unaolenga kukomesha vita na Urusi.…
Harvesting Hope: How WFP empowers Kibondo farmers through structured markets
KIBONDO: IN the Sun-drenched fields of Kibondo, western Tanzania, a quiet revolution is underway. Rows of bright yellow beans stacked neatly in cooperative warehouses are not just crops, they represent…
Madaktari Sudan watahadharisha kuhusu maafa tarajiwa ya kibinadamu huko Kordofan Kusini
Kundi la madakatri wa Sudan limetahadharisha kuhusu maafa tarajiwa ya kiafya na kibinadamu katika mji wa Dalang unaopatikana katika jimbo la Kordofan Kusini. Kundi hilo limesema kuwa mji wa Dalang…
Rice aibeba Arsenal kileleni
Katika mchezo uliokuwa mgumu na wenye presha, Arsenal ilionyesha dalili za kuyumba baada ya...
Baada ya kupinduliwa kwa Maduro, utawala wa Trump wawatishia viongozi wengine
Marekani imemteka nyara Rais wa Venezuela Nicolas Maduro siku ya Jumamosi, Januari 3, ikimtuhumu kwa miezi kadhaa ya kung’ang’ania madaraka kinyume cha sheria na kuwezesha biashara ya dawa za kulevya.…
Isles VP rallies Zanzibaris for peace
ZANZIBAR: ZANZIBAR’S Second Vice-President Hemed Suleiman Abdulla has urged the residents of Nanguji to uphold peace as a shared responsibility, highlighting its crucial role as a cornerstone of development. Speaking…
NHC spends 2.45bn/- on CSR in four years
KILIMANJARO: THE National Housing Corporation (NHC) has spent a total of 2.45bn/- on serving communities through its Corporate Social Responsibility (CSR) unit during the first four years of the sixth…
Trump: Marekani ‘itajihusisha kwa nguvu’ katika sekta ya mafuta ya Venezuela
Katika matamshi yake ya uingiliaji kati, Rais Donald Trump wa Marekani amesema kuwa Washington itakuwa na nafasi kuu katika sekta ya mafuta ya Venezuela kufuatia mashambulizi ya kijeshi ya jana…
Dairy investors urged to focus on feed production
BUKOBA: MINISTER for Livestock and Fisheries Dr Bashiru Ally has called on dairy investors to prioritise the production of high-quality animal feed to enhance both milk and meat production. He…
Sudan Kusini: MSF yahamisha sehemu ya timu zake kwa sababu za usalama
Nchini Sudan Kusini, Shirika lisilo la kiserikali la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) lilitangaza wiki hii kuhamisha sehemu ya timu zake kutoka mji wa Lankien, katika Jimbo la Jonglei, kutokana…
Government moves to end Kilosa floods
MOROGORO: THE government has allocated funds for the construction of a dam in Kilosa District, Morogoro Region, as a long-term solution to the recurring floods. This was revealed by Prime…
Safari SGR zarejea rasmi, Mbarawa asema ni salama
SHIRIKA la Reli Tanzania (TRC) limetoa ratiba ya safari za treni ya kisasa ya SGR baada ya serikali kutan gaza kurejesha safari kutoka Dar es Salaam -Dodoma na Dodoma kwenda…
Baada ya shambulio la Marekani dhidi ya Venezuela, hisia zinaongezeka barani Afrika
Hisia zimekuwa nyingi tangu operesheni ya kijeshi ya Marekani iliyosababisha mashambulizi dhidi ya Caracas na kutekwa nyara kwa Nicolas Maduro na mkewe. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres…
ZRA revenue rises by over 20pc
ZANZIBAR: THE Zanzibar Revenue Authority (ZRA) collected 90.87bn/- in tax revenue in December 2025, surpassing its target of 90.52bn/- and achieving a performance rate of 100.39 per cent. In a…
Shearer aikosoa Chelsea, amuonya kocha mpya
Mshambuliaji wa zamani wa Newcastle United na timu ya taifa ya England, Alan Shearer, ameikosoa...
National Museum impresses visitors
DAR ES SALAAM: TOURISTS, who visited the National Museum of Tanzania (NMT) yesterday, have commended the country for effectively preserving and documenting its wide range of exhibits. Speaking yesterday after…
DRC: Mvutano na mapigano mapya yapamba moto karibu na Uvira
Hali bado ni tete katika maeneo kadhaa yaliyoko kilomita zaidi ya ishirini kusini mwa jiji la Uvira katika mkoa w Kivu Kusini, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).…
Shilling stabilisation plan
DAR ES SALAAM: UNDER the leadership of President Dr Samia Suluhu Hassan, Tanzania has taken significant strides in strengthening its economy. One of the most notable initiatives has been the…
Mahakama Kuu ya Venezuela yamteua Delcy Rodriguez kuwa kaimu rais
Chumba cha Katiba cha Mahakama Kuu ya Venezuela kimemuagiza Makamu wa Rais Delcy Rodriguez siku ya Jumamosi kuchukua majukumu ya rais wa mpito kutokana na kukosekana kwa Nicolas Maduro, ambaye…
Operesheni ya kijeshi Iliyoiwezesha Marekani kumteka Nicolas Maduro ‘Absolute Resolve’
Nchini Venezuela, usiku wa Januari 2 kuamkia Januari 3, vikosi vya Marekani vilimteka Rais Nicolas Maduro katika shambulio kubwa lililoitwa “Absolute Resolve,” lililofanywa kwa chini ya saa tano. Uingiliaji huu…
Kampeni ya udhibiti wa bidhaa ambazo zimepitwa na muda wa matumizi yake
Kampeni ya udhibiti wa bidhaa ambazo zimepitwa na muda wa matumizi yake . Je, mamlaka inatoa elimu endelevu kwa wananchi ili wazingatie muda sahihi wa matumizi ?
Afrika Kusini yataka UN iitishe kikao cha dharura kufuatia mashambulizi ya Marekani dhidi ya Venezuela
Afrika Kusini imelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuitisha kikao cha dharura kufuatia mashambulizi ya kijeshi ya Marekani dhidi ya Venezuela, na kukamatwa Rais wa nchi hiyo Nicholas…
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI…JANUARI 04, 2026
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI...JANUARI 04, 2026
Ungependa kukutana na nani mwanzo wa mwaka
Mwanzo wa mwaka mpya huja na matarajio mapya, maamuzi mapya na ndoto mpya.
Nchi mbalimbali zalaani mashambulizi ya kijeshi ya Marekani dhidi ya Venezuela
Nchi mbalimbali duniani zimeendelea kulaani vikali mashambulizi ya kijeshi ya Marekani dhidi ya Venezuela. Nchi hizo zimeeleza wasiwasi wao kuhusu uhalali, maadili na taathira hatari za uvamizi wa Marekani huko…
Mkuu wa haki za binadamu wa UN ataka kusitishwa mpango wa Israel wa kuhalalisha kunyongwa Wapalestina
Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameutaka utawala wa Israel kusitisha mipango yake ya kutoa hukumu za kifo za lazima kwa Wapalestina na kutahadharisha kuwa pendekezo hilo…
Uhispania: Tuna wasiwasi kuhusu hali mbaya ya Gaza na ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni Ukingo wa Magharibi
Serikali ya Uhispania imeelezea wasiwasi mkubwa ilionao kuhusiana na hali mbaya ya Gaza na muendelezo wa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Somalia: Kuitambua Somaliland ni njama za kupotosha walimwengu kuhusu jinai za Israel Gaza
Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Somalia katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, hatua ya Israel ya ya kulitambua rasmi eneo la 'Somaliland', ambalo limejitenga na Somalia, kama taifa huru…
Jumapili, 4 Januari, 2026
Leo ni Jumapili 14 Rajab 1447 Hijria mwafaka na 4 Januari 2026 Miladia.
LIVE: AFCON 2025 – Masasisho ya moja kwa moja ya hatua za leo na matukio muhimu (3 Januari)
LIVE: AFCON 2025 – Masasisho ya moja kwa moja ya hatua za leo na matukio muhimu (3 Januari) LIVE: AFCON 2025 – Masasisho ya moja kwa moja ya hatua za…