Dk Mwinyi azitaka taasisi kuacha muhali kukomesha ukatili wa kijinsia
Amesema huu ni wakati sahihi kwa wadau kubadilika na kuwa tayari kuunganisha nguvu za pamoja...
Serikali ya Tanzania yawataka wananchi wasiokuwa na dharura kubaki nyumbani Disemba 9
Serikali ya Tanzania imewataka wananchi kusalia majumbani kesho Desemba 9, siku ambayo huadhimishwa kila mwaka kama Siku ya Uhuru wa Tanganyika.
Dr Jakaya Kikwete talks with GPE envoys in Belgium, Qatar
BELGIUM: FORMER Tanzanian President, Dr Mrisho Kikwete, who is also the Chairperson of the Board of the Global Partnership for Education (GPE), speaks with the Vice Chairperson of GPE, Ms…
Wafugaji wadogo wamehimizwa kuanza kutumia teknolojia za kidijitali katika shughuli za ufugaji ili kupunguza hasara na kuongeza …
Wafugaji wadogo wamehimizwa kuanza kutumia teknolojia za kidijitali katika shughuli za ufugaji ili kupunguza hasara na kuongeza tija, katika hali ambayo mabadiliko ya tabianchi na magonjwa ya mifugo yamekuwa yakiongeza…
Wadephul ashinikiza biashara ya usawa na China
Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani Johann Wadephul amehimiza umuhimu wa biashara ya usawa na inayozingatia sheria, wakati akianza ziara ya siku mbili nchini China hii leo Jumatatu.
Israel na Hamas kuendelea na awamu ya pili ya makubaliano
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema awamu ya pili ya kusitisha mapigano katika Ukanda wa Gaza itaendelea mara baada ya Hamas kukamilisha zoezi la kurejesha mabaki ya mateka wa…
Mkoa wa Rukwa unapanga kutoa zaidi ya leseni 700 za uchimbaji na utafiti wa madini kwa wachimbaji wakubwa na wadogo, huku waweke…
Mkoa wa Rukwa unapanga kutoa zaidi ya leseni 700 za uchimbaji na utafiti wa madini kwa wachimbaji wakubwa na wadogo, huku wawekezaji 10 tayari wakijitokeza kuonesha nia ya kuwekeza katika…
Waziri wa mambo ya ndani ya nchi George Simbachawene amesema maandamano yanayopangwa kufanyika kesho Desemba tisa hayakubaliki n…
Waziri wa mambo ya ndani ya nchi George Simbachawene amesema maandamano yanayopangwa kufanyika kesho Desemba tisa hayakubaliki na ni haramu, kwani mpango huo haujulikani anayeuongoza na hakuna kibali kilichoombwa kwa…
Wizara ya Afya ya Gaza: Kina cha maafa ya kibinadamu ya Gaza kinachochewa na uhaba wa dawa
Wizara ya Afya ya Gaza imetangaza kuwa, ukosefu wa dawa na vifaa vya matibabu huko Gaza unaongeza zaidi maafa ya kibinadamu katika eneo hilo.
Visiwa Ziwa Victoria vitakavyofaidi ushirikiano kampuni za nishati safi
“HUU ni ukombozi dhidi ya madhara kwa wanawake na watu wengine yanayotokana na moshi utokanao na matumizi ya muda mrefu ya kuni, sambamba na watu hao kutumia muda mwingi na…
Starmer kukutana na Zelensky mjini London
Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Starmer anatarajiwa leo kukutana na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky mjini London kujadili kuhusu mpango wa amani kwa Ukraine.
Utafiti: Zaidi ya watoto milioni 12 kufariki dunia ifikapo 2045
Utafiti mpya uliotolewa na Taasisi ya Gates Foundation unaonyesha kuwa, kwa mara ya kwanza katika karne hii, idadi ya watoto duniani wanaofariki kabla ya kufikisha umri wa miaka mitano baada…
VIWANGO SACCOS loan book surges
DAR ES SALAAM: VIWANGO Savings and Credit Cooperative Society (SACCOS) has nearly doubled its loan portfolio over the past three years, rising from 4.2bn/- to 9.0bn/-, driven by prudent lending…
Serikali yaja na mkakati kukomesha uagizaji bidhaa nje
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo amesema Serikali...
PM urges Tanzanians to celebrate the National Day at home
DODOMA: PRIME Minister Dr. Mwigulu Nchemba has directed Tanzanian citizens to celebrate Independence Day tomorrow, December 9, 2025, from their homes if their activities do not require them to go…
Klabu ya soka ya England Arsenal imesema haitoingia mkataba mpya na serikali ya Rwanda mkataba ambao ulikua na lengo la Arsenal …
Klabu ya soka ya England Arsenal imesema haitoingia mkataba mpya na serikali ya Rwanda mkataba ambao ulikua na lengo la Arsenal kuitangaza Rwanda na kuhamasisha watu kwenda nchini humo. Kwa…
🔴HABARI ZA SAA, SAA SITA NA DAKIKA 55….DESEMBA 08 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA SITA NA DAKIKA 55....DESEMBA 08 2025
Rais wa Benin, Patrice Talon, ameonekana kwenye televisheni kwa mara ya kwanza baada ya jaribio la mapinduzi la Jumapili, akisem…
Rais wa Benin, Patrice Talon, ameonekana kwenye televisheni kwa mara ya kwanza baada ya jaribio la mapinduzi la Jumapili, akisema hali sasa iko shwari na waliojaribu kumpindua wataadhibiwa. Rais wa…
“Uganda sio nchi ya kuchezewa”
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, tarehe 7 Desemba 2025, alihutubia viongozi wa mashinani wa chama chake cha National Resistance Movement (NRM) katika eneo la Lango, na kutoa ujumbe mkali kwa…
Critical role of exports in national prosperity and urgent need to strengthen export credit solution in Tanzania
Dar es Salaam: Exporting remains one of the most powerful economic engines for any developing nation, and for Tanzania, the future of sustainable growth, poverty reduction, and industrial competitiveness lies…
Taasisi ya Kampeni ya Kitaifa ya Mama Asemewe chini ya Uongozi wa Mwenyekiti wake Bw
Taasisi ya Kampeni ya Kitaifa ya Mama Asemewe chini ya Uongozi wa Mwenyekiti wake Bw. Geofrey Kiliba imelaani Vikali matukio ya uvunjifu wa amani yaliyofanyika wakati na baada ya uchaguzi…
Walamba Sh21 milioni kampeni ya benki
Dar es Salaam. Katika kuhakikisha wateja wananufaika na huduma zitolewazo na wateja wake...
How SME innovation, blockchain-enabled financing can change Africa
SMALL AND MEDIUM SIZED enterprises (SMEs) are a cornerstone of Africa’s economy, accounting for roughly 90 per cent of businesses and providing 80 per cent of employment. Yet, many face…
Tanzania submits clarification report to CMAG on Oct 29 unrest
DODOMA: THE Minister for Foreign Affairs and East African Cooperation, Ambassador Mahmoud Thabit Kombo, has submitted a clarification report to the Commonwealth Ministerial Action Group (CMAG) following the unrest that…
Serikali imewataka Madiwani na Watendaji katika halmashauri ya wilaya ya Sikonge kwenda kufanyakazi kwa kuheshimiana ili maleng…
Serikali imewataka Madiwani na Watendaji katika halmashauri ya wilaya ya Sikonge kwenda kufanyakazi kwa kuheshimiana ili malengo ya kuwatumikia Wananchi yaweze kufikiwa katika kuwaletea maendeleo endelevu kwenye maeneo yao hatua…
“…wale wote ambao ambao wanashabikia wale wote ambao wanaona wameichoka amani, wale wote ambao wanaona hata mateso tuliyopata …
“...wale wote ambao ambao wanashabikia wale wote ambao wanaona wameichoka amani, wale wote ambao wanaona hata mateso tuliyopata katika kipindi hiki wanaona hayatutoshi wanataka kutuongeza tena mengine tuwaombe sana kwamba…
Villagers thank Barrick for building dispensary in the area
MARA: Over 400 villagers would now be accessing health services at the new Mangucha dispensary in Nyanungu ward of Tarime district, which has been built by Barrick North Mara Gold…
#HABARI: Mchambuzi wa Masuala ya Uchumi na Siasa, Yericko Nyerere, amewataka vijana kutodanganyika na wito wa maandamano unaoene…
#HABARI: Mchambuzi wa Masuala ya Uchumi na Siasa, Yericko Nyerere, amewataka vijana kutodanganyika na wito wa maandamano unaoenezwa mitandaoni na watu walioko nje ya nchi huku akisisitiza kuwa matokeo ya…
Ujumbe wa Rais Dkt
Ujumbe wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuhusu Maadhimisho ya Sikukuu ya Uhuru. #kilichoborakabisa
Changamoto ya usafiri kuelekea mikoani kunapokaribia sikukuu za mwisho wa mwaka imekuwa ni tatizo la muda mrefu, licha ya mamlak…
Changamoto ya usafiri kuelekea mikoani kunapokaribia sikukuu za mwisho wa mwaka imekuwa ni tatizo la muda mrefu, licha ya mamlaka husika kuweka nguvu katika kushughulikia. Tuandikie maoni yako, nini kifanyike…
NO FREE LUNCH IN AMERICA
NO FREE LUNCH IN AMERICA Donald kachukua muda wake kuwapatanisha alafu sharti Makampuni ya Marekani yachimbe madini Congo na deal done ✅ Tatizo la Congo linamalizwa na aliyelianzisha kwa maslahi…
Teknolojia inavyoibua ukatili mpya wa kidijitali
Pamoja na manufaa makubwa yanayoletwa na maendeleo ya teknolojia, changamoto mpya za ukatili wa...
🔴HABARI ZA SAA, SAA TANO NA DAKIKA 55….DESEMBA 08 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA TANO NA DAKIKA 55....DESEMBA 08 2025
Bakwata, TEC, CCT wajadili amani
MUFTI wa Tanzania, Shehe Mkuu Abubakar Zubeir, amesema taasisi za dini nchini zimeanza mazungumzo yenye lengo la kuirudisha nchi katika taswira yake kudumisha amani na kulinda maisha na mali za…
Tanzania embarks on helium exploration in Rukwa
RUKWA: A new helium gas exploration is expected to begin at Kinambo village in Rukwa Region, starting from December 2025 to February 2026. The exploration will be conducted by the…
“Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan anapenda kuwatakia wananchi wote Heri ya Sikukuu ya Uhuru wa Tanzania Bara inayoadhimishwa kila mw…
"Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan anapenda kuwatakia wananchi wote Heri ya Sikukuu ya Uhuru wa Tanzania Bara inayoadhimishwa kila mwaka Desemba 9, aidha Serikali inawashauri wananchi ambao Desemba 9, 2025 hawatakuwa…
Msajili Hazina apanga kukusanya tril 2/-
OFISI ya Msajili wa Hazina imepanga kukusanya Sh trilioni mbili za gawio la mashirika ya umma kwa mwaka wa fedha 2025- 2026. Hazina imejiwekea kiasi hicho baada ya serikali kuiwekea…
Kiongozi wa upinzani Uganda alaani mashambulizi ya maafisa wa usalama
Mgombea wa urais wa upinzani nchini Uganda, Bobi Wine, amesema kwamba yeye pamoja na wasaidizi na wafuasi wake walipigwa na maafisa wa usalama wakati wa kampeni kaskazini mwa nchi.
Katika kufanya jitihada za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi katika misimu mbalimbali ya kilimo, wakulima mkoani Simiyu wam…
Katika kufanya jitihada za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi katika misimu mbalimbali ya kilimo, wakulima mkoani Simiyu wamehimizwa kutumia mbegu zilizofanyiwa tafiti na kuachana na matumizi ya mbegu kwa 'mazoea'…
Watoto 250 wakimbia ukeketaji
ZAIDI ya watoto 250 wanadaiwa kukimbia ukeketaji kila mwaka katika koo mbili kati ya 13 za Kikurya Wilaya za Serengeti, Butiama na Tarime mkoani Mara, hasa katika kipindi cha likizo…
Je, utaratibu wa LATRA kutoa Leseni Maalum Mabasi Desemba unafikiri ni njia sahihi ya kuongeza mapato kwa LATRA..?
Je, utaratibu wa LATRA kutoa Leseni Maalum Mabasi Desemba unafikiri ni njia sahihi ya kuongeza mapato kwa LATRA..?
“Tumekamia tukashona gongo zetu mbili, tumejilamba kusema kweli tulikuwa tunawaonea wivu Yanga namna ambavyo wanajilambia…” Ha…
"Tumekamia tukashona gongo zetu mbili, tumejilamba kusema kweli tulikuwa tunawaonea wivu Yanga namna ambavyo wanajilambia..." Hasheem Ibwe - Afisa Habari Azam. Powered by #MCHEZOSUPA JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA: -…
Mke wa Awadh walitaka kumgawana pakawaka kwa mzee Kikala 😅🙌
Mke wa Awadh walitaka kumgawana pakawaka kwa mzee Kikala 😅🙌 #KombolelaSeries #KombolelaSeason2
“Ni kweli vijana wana mambo mengi ambayo wanapenda kuyawasilisha ili yafanyiwe kazi
"Ni kweli vijana wana mambo mengi ambayo wanapenda kuyawasilisha ili yafanyiwe kazi. Zipo hoja zao nyingi za ajira, hali ya maisha kupata kipato. "Tumejipanga kuwasikiliza zaidi vijana na mmeona Waziri…
Qatar–Tanzania ties grow with youth jobs, new investment on rise
DAR ES SALAAM: THEY say that when two hands wash each other, both become clean. On Thursday in Dar es Salaam, that proverb gained renewed relevance as Tanzania and the…
#HABARI: Mwenyekiti wa Chama cha wakristo wa Nigeria (CAN) katika Jimbo la Niger, Askofu Bulus Dauwa Yohanna, na Kamishna wa Pol…
#HABARI: Mwenyekiti wa Chama cha wakristo wa Nigeria (CAN) katika Jimbo la Niger, Askofu Bulus Dauwa Yohanna, na Kamishna wa Polisi wa Jimbo la Niger, Adamu Abdullahi Elleman, wanasema wamepokea…
Wanne wadakwa na vito vya mil 54/-
WATU wanne wamekamatwa na madini ya vito katika Mtaa wa Togo, Wilaya ya Ulanga mkoani Morogoro.Watuhumiwa hao wamekamatwa katika operesheni iliyofanywa na Ofisi ya Ofisa Madini Mkazi Mahenge kwa kushirikiana…
Tanzania set to host the World Travel Awards 2026
BAHRAIN: TANZANIA has been honoured to host the upcoming World Travel Awards 2026 finals. It was revealed during the 2025 awards ceremony held in Bahrain. Tanzania was announced as the…