Azam kushusha vyuma viwili kutoka DR Congo
AZAM FC imewaleta nchini nyota wawili kutoka DR Congo ni beki Jeancy Mpindi Mukuene na winga Henoc Molia kwa lengo la kukamilisha usajili wao kuelekea msimu mpya.
AZAM FC imewaleta nchini nyota wawili kutoka DR Congo ni beki Jeancy Mpindi Mukuene na winga Henoc Molia kwa lengo la kukamilisha usajili wao kuelekea msimu mpya.
KOCHA wa Simba, Steve Barker amewapongeza wachezaji wa timu yake kwa kuonyesha juhudi, nidhamu na ari ya kupambana baada ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Mtibwa Sugar ambao umeifanya…
MECHI ya fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB kati ya Simba dhidi ya Azam, imepangwa kuchezwa Julai 4, 2026 kwenye Uwanja wa Gombani kisiwani Pemba.
Wakati nyota wa Namungo, Fabrice Ngoy akiwa mchezaji wa tatu kufunga mabao matatu (hat trick) katika mchezo mmoja wa Ligi Kuu Bara, mambo manne yamebadilika ghafla.
Yanga na Simba zimekata rasmi tiketi ya kushiriki Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao baada ya kila moja kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 katika mechi zilizocheza dhidi ya timu…
Yanga na Simba zimekata rasmi tiketi ya kushiriki Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao baada ya kila moja kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 katika mechi zilizocheza dhidi ya timu…
LIGI Kuu ya Zanzibar msimu wa 2025-2026 imemalizika Juni 12, 2026 kwa timu ya KVZ kutwaa ubingwa huo huku Junguni ikiweka rekodi ya kufungwa mabao 106 kwenye michezo 30.
Mshambuliaji nyota wa Namungo FC, Mkongomani Fabrice Ngoy akifunga Hat Trick ya tatu katika Ligi Kuu Bara msimu huu, baada ya kuifungia timu hiyo mabao matatu kwenye ushindi wa 3-2,…
Safari ya Yanga kutetea ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu imebakisha vituo viwili baada ya kuifunga Azam mabao 3-0 kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar.
Safari ya Yanga kutetea ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu imebakisha vituo viwili baada ya kuifunga Azam mabao 3-0 kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar.
Mashabiki wa Simba pamoja na kushuhudia timu yao ikitoa kipigo kizito mbele ya Mtibwa Sugar walitoka kwenye Uwanja wa Jamhuri wakiwa hawana furaha baada ya kupata taarifa ya kilichotokea Zanzibar.
MKUU wa Kikosi cha Valantia Zanzibar (KVZ), Kanali Said Juma Shamhuna, amesema kutwaa ubingwa wa kwanza wa Ligi Kuu ya Zanzibar (ZPL) ni juhudi za uwekezaji wa miaka 22.
VIKOSI vya Yanga SC na Azam FC vinavyokutana leo vimeonyesha mabadiliko ya wachezaji matatu kila upande ikilinganishwa na vilivyocheza mechi ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB Juni…
TIMU ya Taifa ya wanawake ya Uganda chini ya umri wa miaka 17 imeibuka bingwa mpya wa michuano ya Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) kwa umri huo baada ya kuichapa…
KAIMU Kocha Mkuu wa Yanga, Abdihamid Moallin, amesema ingawa kuna sababu nyingi ambazo zingeweza kutolewa kama visingizio kutokana na mfululizo wa mechi zinazochezwa kwa muda mfupi, lakini yeye anapendelea kuelekeza…
KOCHA Msaidizi wa Azam, Kassim Liogope, amesema kitendo cha kukutana na Yanga kwa mara tano ndani ya msimu mmoja, kwao inawapa picha halisi ya mpinzani gani wanakwenda kukabiliana naye, hivyo…
NI leo fainali ya michuano ya Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) kwa wasichana chini ya umri wa miaka 17, itakayowakutanisha Tanzania dhidi ya Uganda saa 10:30 jioni Uwanja wa KMC…
UONGOZI wa Pamba Jiji umeanza mazungumzo ya kumuongezea mkataba kocha wake Mkenya Fran-cis Baraza baada ya kuridhishwa na kiwango cha timu hiyo hadi sasa Ligi Kuu Bara.
WAKATI mashabiki wakizungumza kuhusu kiwango alichoonyesha chipukizi wa Fountain Gate, Juma Abushiri ‘Chuga’ inaelezwa yuko mbioni kusaini mkataba wa miaka mitatu wa kuitumia Yanga msimu ujao.
KIUNGO mkabaji wa Azam FC, Himid Mao baada ya kusaini mkataba mpya wa mwaka mmoja, ames-ema matarajio yake msimu ujao ni kuongeza juhudi zaidi ili kuhakikisha kiwango chake kinaendelea kuwa…
NI mshikemshike, hayawi hayawi au mtoto hatumwi dukani.’ Unaweza kuchagua neno lolote upendalo kuonyesha ushindani uliopo katika kuepuka upangaji matokeo mechi tatu za mwisho wa Ligi Kuu Bara na zitakazochezwa…
SAFARI ya kutafuta bingwa wa CECAFA U-17 kwa Wanawake 2026 imeendelea leo jioni baada ya wenyeji Tanzania 'Serengeti Girls' na mabingwa watetezi Uganda kufuzu fainali ya michuano hiyo kufuatia ushindi…
WIKIENDI iliyopita zilienea taarifa kuhusu uhamisho wa kiungo mshambuliaji Enekia Lunyamila ambaye alitimkia Querétaro FC Femenil ya Mexico akitokea FC Juarez ya nchini humo pia.
WAKATI dirisha la usajili la majira ya kiangazi likizidi kushika kasi barani Ulaya, jina la kiungo Mtanzania Lisa Baum limekuwa miongoni mwa yanayozungumzwa zaidi katika soka la wanawake kutokana na…
KOCHA Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge amesema ushindi walioupata dhidi ya Yanga kwenye nusu fainali ya Kombe la CRDB haujafunga hesabu dhidi ya wapinzani wao hao, kwani bado wanakutana…
NDIO kama ulivyosikia hivyo matajiri wa Chamazi, Azam FC wametibua uwezekano wa kuwepo kwa dabi ya tano ya Kariakoo msimu huu baada ya kuifunga Yanga mabao 3-2, katika mechi ya…
Ushindi wa mechi tatu mfululizo umetajwa kuibua morali mpya ndani ya kikosi cha Tanzania Prisons, huku timu hiyo ikibainisha kuwa mchezo ujao dhidi ya Singida Black Stars utakuwa na mchango…
BAADA ya wiki moja ya ushindani mkali katika michuano ya Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) kwa wasichana chini ya miaka 17 inayoendelea jijini Dar es…
HAT TRICK aliyofunga katika mechi iliyopita imempa nguvu na matumaini ya kuwania tuzo ya kiatu cha mfungaji bora straika wa Pamba Jiji, Methew Tegis, huku akichekelea kufikia rekodi aliyoiweka msimu…
JIJI la Mwanza litashuhudia nusu fainali ya pili ya Kombe la CRDB itakayozikutanisha matajiri wa Dar es Salaam, Azam FC dhidi ya Yanga, katika mechi kali na ya kusisimua itakayopigwa…
TUNAWATAKA! Ndio kauli ya mashabiki wa Simba kwa sasa baada ya kikosi hicho kutinga fainali ya Kombe la CRDB kwa kuifunga Coastal Union mabao 4-0, katika mechi ya nusu fainali…
Sowah Alijiunga na Simba Januari 08/2025 akitokea Singida Black Stars ambako alifunga mabao 13 baada ya kusajiliwa dirisha dogo kutoka Al-Nasr ya Libya.
MATOKEO ya kupoteza mchezo dhidi ya Simba, yameonekana kuwavuruga Mbeya City katika hesabu za kukwepa kushuka daraja, huku kocha mkuu wa timu hiyo Salum Mayanga, akitaja kitakachowabeba.
MMILIKI wa kituo cha Cambiasso Sport Academy kilichopo Tuangoma Kigamboni, Kambi Zuberi Seif(40) na wenzake watano wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashtaka manane yakiwemo ya kuongoza…
INGAWA katika mechi tatu zilizobakiza kwa KMC, ikitokea ikashinda zote hazitabadilisha chochote kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara, pamoja na hilo nyota wa timu hiyo, wamesema haimaanishi wamekata tamaa kupambana…
KIUNGO wa Simba, Inno Loemba, amesema ameanza vizuri maisha yake ndani ya kikosi hicho tangu alipojiunga akitokea Colombe ya Cameroon, huku akitamani msimu wake wa kwanza Msimbazi uwe wa mafanikio…
WAKATI wengi wakianza kuhesabu siku za mwisho za mastaa waliovuka miaka 30, mshambuliaji wa Kimataifa wa Tanzania, Simon Msuva, ameeleza kwamba hana mpango wa kustaafu leo wala kesho na anaamini…
Hat trick zimeanza kuitika Ligi Kuu baada ya straika wa Pamba Jiji, Mathew Tegisi kufanya hivyo akiiongoza timu yake kuichakaza Mtibwa Sugar mabao 4-0.
DAKIKA mbili za maajabu zimetosha kuirudisha tena Yanga kileleni kibabe baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0, dhidi ya Fountain Gate, katika mechi kali ya kuvutia ya Ligi Kuu,…