Nassoro Hamdani afariki dunia
Tabora. Mjumbe mstaafu wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa kutoka Mkoa wa...
Kenya: Ukame waathiri mifugo, afya za watoto zatetereka
Mamlaka ya Kitaifa ya Kudhibiti Ukame (NDMA) imetoa tahadhari kwenye takriban kaunti tisa, huku Kaunti ya Mandera ikiwa katika hatua moja kabla ya kutangazwa rasmi kuwa inakabiliwa na hali ya…
Araghchi na Witkoff kukutana kwa mazungumzo
Shirika la habari la Iran Tasnim, limesema waziri wa mambo ya nchi za nje wa taifa hilo Abbas Araghchi, anatarajiwa kukutana na mjumbe maalum wa Marekani Steve Witkoff kwa mazungumzo.
Chama cha wanasheria Tanganyika TLS kimepongeza mahakama Kanda ya manyara kw namna ambavyo imekuwa ikitekeleza mahukum yake ya u…
Chama cha wanasheria Tanganyika TLS kimepongeza mahakama Kanda ya manyara kw namna ambavyo imekuwa ikitekeleza mahukum yake ya usikilizaji na utoaji wa maamuzi kwa haraka kwa mashauri yanayopelekwa mahakamani hapo.…
RC Dodoma atia neno usambazaji umeme vitongoji 379
DODOMA; MKUU wa mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule ametoa wito kwa wananchi wa vitongoji vitakavyonufaika na Mradi wa Kusambaza Umeme katika vitongoji 379 kujiandaa kwa kutandaza nyaya majumbani (wiring) mapema,…
Ufunguzi wa kivuko cha Rafah ni matumaini kwa Wapalestina
Mkuu wa kamati ya wataalamu iliyoundwa kushughulikia uongozi katika Ukanda wa Gaza Ali Shaath amesema hatua ya Israel kufungua kivuko maalum cha Rafah ni ishara ya matumaini kwa wapalestina wanaoishi…
Mapato ya ndani kufadhili robo tatu ya bajeti 2026/27, kupunguza utegemezi
Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2026/27 inatarajiwa kuwa Sh61.93 trilioni. Kati ya fedha hizo...
Oburu Oginga Aahidi Kuwapeleka Wafuasi wa ODM Canaan: “Tutapitia Singapore”
Oburu Odinga aliwaahidi wafuasi wa ODM safari ya kuelekea Canaan, akihusisha ukuaji wa Kenya na mtindo wa Singapore, huku akiahidi uaminifu kwa Rais William Ruto.
Trump: Tuko katika majadiliano mapana na Viongi wa Cuba
Rais wa Marekani Donald Trump amesema nchi yake inajadiliana na uongozi wa Cuba ili kufikia makubaliano muhimu.Hata hivyo rais huyo hakueleza zaidi kuhusu makubaliano anayotarajia kupata kutoka huko.
China itakwenda kwa umbali gani kuisaidia Iran?
Wakati mvutano kati ya Marekani na Iran ukiendelea kushika kasi, China inaibuka kama mhusika mkuu katika mvutano huo. Je, Beijing itaenda kwa umbali gani kuiunga mkono Iran?
MSHIKEMSHIKE: Baada ya mambo kuwa magumu kwa Simba SC Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu, ifanye nini kurejea kwa nguvu msimu uja…
MSHIKEMSHIKE: Baada ya mambo kuwa magumu kwa Simba SC Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu, ifanye nini kurejea kwa nguvu msimu ujao? Tuandikie maoni yako hapa na sisi tutayasoma kwenye…
Mahakama yamruhusu mwalimu kufungua kesi kumpinga Rais
Katika maombi hayo, wajibu maombi ni Katibu Mkuu wa Tume ya Utumishi wa Walimu Tanzania (TSC)...
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa wilaya ya Ilala, Dar es Salaam imeagizwa kufanya uchunguzi wa kina wa upatikanaji wa ha…
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa wilaya ya Ilala, Dar es Salaam imeagizwa kufanya uchunguzi wa kina wa upatikanaji wa hati ya kiwanja kinachodaiwa kuwa na mgogoro maeneo ya…
Dirisha la usajili Ulaya: Nani anakwenda wapi?
Dirisha la usajili wa majira ya baridi linatarajiwa kufungwa leo Jumatatu katika ligi kubwa za Ulaya, na klabu zina saa machache tu kuboresha vikosi vyao kwa ajili ya hatua za…
Mahakama mkoa wa Geita imesema imefanikiwa kumaliza changamoto ya mlundikano wa kesi kupitia matumizi ya mfumo ya TEHAMA hali il…
Mahakama mkoa wa Geita imesema imefanikiwa kumaliza changamoto ya mlundikano wa kesi kupitia matumizi ya mfumo ya TEHAMA hali iliyoifanya Mahakama mkoani humo kupewa tuzo. Ester Sumira amehudhuria maadhimisho ya…
Katika miaka mitano, uvamizi wa kijeshi wa China kuzunguka Taiwan umeongezeka mara kumi na tano
Mwaka wa 2020, Taiwan iligundua ndege 385 za kivita za China zikizofanya kazi kuzunguka kisiwa hicho, ikilinganishwa na zaidi ya 5,700 mwaka 2025. Taarifa hii inatoka kwenye ripoti mpya ya…
Dar braces for the Africa Agricultural Mechanization Conference
DAR ES SALAAM: TANZANIA is all set for the Africa Sustainable Agricultural Mechanization Conference, which will take place in Dar es Salaam from February 3 to 6, 2026. The conference…
Niger: Islamic State yafanya mashambulizi mapya Ayorou
Mapigano mapya yameripotiwa siku ya Jumatatu asubuhi, Februari 2, wakati huu huko Niger, ambapo wanajihadi kutoka kud la Islamic State kanda ya Sahel (ISS) walishambulia kambi ya kikosi ch walinzi…
Rais wa Iran Pezeshkian aagiza kuanza mazungumzo na Marekani
Rais wa Iran Masoud Pezeshkian ameagiza kuanza kwa mazungumzo ya nyuklia na Marekani, baada ya Rais Donald Trump wa Marekani kusema alikuwa na matumaini kwamba makubaliano hayo yatafikiwa ili kuepusha…
Duru ijayo ya mazungumzo ya Ukraine kufanyika wiki hii
Ikulu ya Kremlin imethibitisha kuwa duru ijayo ya mazungumzo na Ukraine pamoja na Marekani juu ya uwezekano wa kumalizika kwa vita itafanyika baadaye wiki hii huko Abu Dhabi.
#NBCPL: Mtibwa Sugar wamezisomba alama zote tatu katika dimba la nyumbani
#NBCPL: Mtibwa Sugar wamezisomba alama zote tatu katika dimba la nyumbani. FT: Mtibwa Sugar 2-1 TZ Prisons Saa 1:00 usiku ni JKT Tanzania dhidi ya Pamba Jiji LIVE #AzamSports1HD #NBCPremierLeague…
Marekani- China zatunishiana misuli teknolojia ya AI
Marekani inaendelea kutawala teknolojia ya akili mnemba, huku China ikiongeza kasi kwa kutengeneza mifumo ya gharama nafuu na kupanga kujenga uchumi unaotegemea Akili Mnemba katika siku zijazo.
DRC: Felix Tshisekedi ziarani Abu Dhabi kusaini makubaliano kamili ya kiuchumi na UAE
Rais wa Kongo Félix Tshisekedi anafanya ziara nje ya nchi wiki hii. Anatarajiwa nchini Marekani, lakini yuko Abu Dhabi, Falme za Kiarabu, tangu siku ya Jumapili, Februari 1. Ofisi ya…
Tanzania enjoys the benefits of the implemented LTPP 2025
DODOMA: THE Tanzanian government said that the implementation of the Long-Term Perspective Plan (LTPP) 2025 has significantly contributed to improving the quality of life of Tanzanians, as reflected in increased…
Wadau wa kilimo Afrika kukutana Tanzania
TANZANIA imetajwa kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Zana Endelevu za Kilimo Afrika (Africa Sustainable Agricultural Mechanization), utakaofanyika jijini Dar es Salaam kuanzia Februari 3 hadi 6, 2026, sambamba na uzinduzi…
Fred Matiang’i Amsuta William Ruto kwa Kusema Viongozi wa Upinzani Hawana Akili
Aliyekuwa Waziri wa Usalama wa Ndani Fred Matiang'i amejibu matamshi ya Rais William Ruto huku kukiwa na mvutano mkubwa Uchaguzi Mkuu wa 2027 ukikaribia.
Tanzania seeks reliable funding to upgrade the Ipole-Rungwa road
DODOMA: THE Tanzanian government is seeking a reliable source of funding to upgrade the Ipole–Rungwa road to tarmac standard to improve connectivity between the regions of Mbeya, Tabora, and Singida.…
Tanzania sees more employment opportunities in the tourism sector
MWANZA: THE Sixth Phase Government under President Dr Samia Suluhu Hassan is committed to creating employment opportunities in a order to strengthen the country’s Conservation Force, the Permanent Secretary of…
Chui mamas wawavutia watalii, wadumisha utamaduni wa kimasai
Jamii ya Maasai ina utajiri mkubwa wa mila na tamaduni za kiasili. Wanawake wa Kimasai wa Laikipia Kenya, wanauenzi utamaduni huo kwa kuwakaribisha watalii wanaopata fursa ya kuishi kama wao…
UNDP yatoa milioni 70 kukuza biashara
WANAFUNZI wajasiriamali 20 kutoka vyuo vikuu mbalimbali nchini wamepatiwa zaidi ya Shilingi milioni 70 kwa ajili ya kukuza biashara zao, baada ya kuibuka washindi katika shindano la uwasilishaji wa mawazo…
Uganda yapinga wito wa seneta wa Marekani wa kuwekewa vikwazo
Mvutano huu inakuja baada ya uchaguzi wa hivi karibuni nchini Uganda, ambapo Rais Yoweri Museveni alishinda muhula wake wa saba wa miaka mitano.
GSM wins a tender to construct Yanga’s sports complex
DAR ES SALAAM: THE long-awaited construction of Young Africans stadium is now set to begin after GSM Tanzania Limited officially won the tender to partner with the club in developing…
Majaji Tanzania waonywa kuhusu upendeleo na uzembe
Nchini Tanzania, majaji na mahakimu wametakiwa kutokutumia dhana ya uhuru wa mahakama kama kisingizio cha kuficha uzembe, upendeleo au maamuzi yasiyo ya haki wanaposhughulikia kesi mbalimbali.
Mali: Jeshi lawashambulia wapiganaji wa Islamic State baada ya makabiliano karibu na Menaka
Nchini Mali, jeshi linadai kuwaua zaidi ya magaidi ishirini karibu na Ménaka katika mashambulizi ya anga yaliyofanywa mwishoni mwa wiki hii iliyopita. Mashambulizi haya yaliwalenga wapiganaji wa kijihadi kutoka tawi…
Tanzania welcomes investors to establish coffee processing plant in Nyasa District
DODOMA: THE Ministry of Industry and Trade has called on investors interested in establishing a coffee processing plant in Nyasa District, Ruvuma Region, aiming to enhance benefits for local farmers.…
Tanzania sees benefits of its ties with the IAEA in health, environment, energy, industrial sectors
DODOMA: THE Tanzanian government said it has benefited much from its cooperation with the International Atomic Energy Agency (IAEA), most notably in health, agriculture, water, environment, energy, and industrial sectors.…
CARBAO Cup Nusu Fainali Jumatano hii
CARBAO Cup Nusu Fainali Jumatano hii Manchester City watakuwa nyumbani Etihad Stadium wakiwakaribisha mabingwa watetezi Newcastle United. Katika mchezo wa mkondo wa kwanza Man city akiwa ugenini walishinda 2 -…
Masuala ya Nyuklia: Rais wa Iran ‘aagiza’ kuanza mazungumzo na Marekani
Rais wa Iran Massoud Pezeshkian ameomba kufunguliwa kwa mazungumzo ya nyuklia na Marekani, shirika la habari la FARS limeripoti siku ya Jumatatu, Februari 2. Hii inakuja huku kukiwa na mvutano…
HEP 2B project seeks to connect power to 290,300 Tanzanian customers
SHINYANGA: The Second Phase B (HEP 2B) project to extend electricity to 9,009 hamlets, targets to benefit 290,300 customers across 25 regions of Tanzania Mainland. The project is anticipated to…
Vita ya mipango kuharibika inaendelea kupigwa, kule nako ndoa imefana,,, Usikose kutazama #PichaYangu Tukutane saa 1:30 usiku ku…
Vita ya mipango kuharibika inaendelea kupigwa, kule nako ndoa imefana,,, Usikose kutazama #PichaYangu Tukutane saa 1:30 usiku kupitia #SinemaZetuHD chaneli namba 106 (Feed generated with FetchRSS)
Ujerumani yatenga mabilioni ya yuro kuimarisha Jeshi
Kwa mara ya kwanza katika historia Ujerumani inatumia bajeti kubwa zaidi kuliko hapo awali kwenye ununuzi wa silaha na vifaa vya kijeshi, na hii inajumuisha ndege za kivita zisizo na…
Ukurasa mpya uwanja wa Yanga
HISTORIA mpya inaenda kuandikwa. Sasa ni rasmi Yanga imepata mzabuni aliyeshinda tenda ya kujenga uwanja wa klabu hiyo baada ya awali kutangaza mchakato huo na kutoa fursa kwa aliye tayari…
Tanzania outlines measures enable women play a role in implementing Vision 2050
DODOMA: THE Tanzanian government has outlined measures aimed at ensuring women entrepreneurs play a central role in the implementation of the National Development Vision 2050, with a focus on building…
Iran yatahadharisha: Uvamizi wowote utakuwa na madhara makubwa kwa eneo zima la Asia Magharibi
Iran imesema kuwa nchi za kikanda zinafanya juhudi za pamoja ili kuzuia vita kwa vile zinaelewa vyema kwamba hatua yoyote ya kijuba dhidi ya Tehran itakuwa na madhara makubwa kwa…
Wildlife Fund spends 6.65bn/- for dams in reserves, satellite tracking collars, wildlife census
DAR ES SALAAM: THE Wildlife Fund under the Ministry of Natural Resources and Tourism has spent about 6.65bn/-to strengthen wildlife conservation efforts across the country. A statement from the ministry…