Kwa nini Arsenal itakuwa na jezi tofauti msimu ujao baada ya kuubeba ubingwa wa EPL 2026
Ushindi wa taji la Arsenal unaashiria mabadiliko ya jezi, na kutambulisha beji ya dhahabu ya Ligi Kuu. Gundua kingine ambacho Gunners wanapata baada ya ushindi wao.
IG Douglas Kanja achukua hatua kali baada ya usalama wa Rais Ruto kugutushwa vibaya Kilifi
IG Douglas Kanja ameagiza mabadiliko ya haraka katika idara ya usalama ya Rais Ruto baada ya tishio kubwa huko Kilifi, akisisitiza hitaji la kuimarishwa kwa itifaki.
Fuatilia makala fupi inayosomwa na @idduwesu kuhusu taarifa mbalimbali zilizojiri kimataifa, ikiwemo suala la mlipuko wa Ebola n…
Fuatilia makala fupi inayosomwa na @idduwesu kuhusu taarifa mbalimbali zilizojiri kimataifa, ikiwemo suala la mlipuko wa Ebola nchini Congo DR pamoja na mashambulizi mapya ya Urusi dhidi ya Ukraine. Mhariri…
Anne Waiguru amlia Hassan Omar kwa hasira, asema nyongo ya kikabila anayotapika ni sumu
Gavana Anne Waiguru anamkosoa Hassan Omar wa UDA kwa matamshi ya chuki ya kikabila, akisisitiza hitaji la umoja na kulaani siasa za mgawanyiko nchini Kenya.
#MICHEZO: Bingwa wa masumbwi duniani kutoka nchini Marekani Terence Crawford amewasili nchini kwa ziara ya wiki moja ya utalii i…
#MICHEZO: Bingwa wa masumbwi duniani kutoka nchini Marekani Terence Crawford amewasili nchini kwa ziara ya wiki moja ya utalii ili kujionea vivutio mbalimbali vilivyopo hapa nchini. Akizungumza na waandishi wa…
#HABARI: Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, amesema Serikali imeweka mkakati maalum wa kuhakikisha Jiji la Dar es Salaam l…
#HABARI: Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, amesema Serikali imeweka mkakati maalum wa kuhakikisha Jiji la Dar es Salaam linaendelea kuwa safi na lenye mazingira bora kupitia ushirikiano wa…
🔴TAARIFA YA HABARI SAA MBILI– MEI 24 2026 -KUTOKAMILIKA MIUNDOMBINU STENDI MAGUFULI PALALAMIKIWA
🔴TAARIFA YA HABARI SAA MBILI-- MEI 24 2026 -KUTOKAMILIKA MIUNDOMBINU STENDI MAGUFULI PALALAMIKIWA (Feed generated with FetchRSS)
TRA, JKT zashikwa pabaya, Singida BS kicheko
Mbio za kuwania nafasi ya nne imezidi kuwa wazi baada ya JKT Tanzania na TRA United kushindwa kupata ushindi katika michezo yao ya leo dhidi ya Mtibwa Sugar na Fountain…
Gor Mahia watapata kiasi gani baada ya kuichafua AFC Leopards katika kusaka ubingwa wa Ligi Kuu
Gor Mahia wamepata ubingwa wa 22 wa Ligi Kuu ya Kenya baada ya AFC Leopards kudorora. Fahamu utajiri wao kifedha na matarajio yao katika ligi ya mabingwa ya CAF.
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC), ikiongozwa na Mwenyekiti wake Masanja Kadogosa, imeipongeza Seri…
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC), ikiongozwa na Mwenyekiti wake Masanja Kadogosa, imeipongeza Serikali ya Tanzania kwa kuimarisha mazingira ya uwekezaji yanayoendelea kuihusisha sekta…
Kwa nini kutawazwa bingwa rasmi Arsenal kutasubiri dakika 30 baada ya mechi yao na Crystal Palace
Arsenal inalazimika kusubiri kwa dakika 30 kombe lao la EPL na medali baada ya mechi yao ya mwisho dhidi ya Crystal Palace, ikiashiria mwisho wa ukame wa miaka 22
Halmashauri ya Mji Babati itakabiliwa na uhitaji wa vyumba 64 vya madarasa katika kipindi cha mwaka 2027-2028 kufuatia matarajio…
Halmashauri ya Mji Babati itakabiliwa na uhitaji wa vyumba 64 vya madarasa katika kipindi cha mwaka 2027-2028 kufuatia matarajio ya ongezeko la wanafunzi zaidi ya elfu 6,347 huku pia kwa…
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud, ametoa mchango wa shilingi milioni 21 kwa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Kaskazini Unguja kwa ajili…
Jamaa aparamia jukwaa la Ruto huko Kilifi, akwamia bega lake kabla ya polisi kumnyofoa hobelahobela
Rais Ruto alimsifu Katibu wa Kudumu Fikirini Jacobs katika sherehe ya shukrani, katikati ya hofu baada ya kijana mmoja kurukia jukwaa na kumfikia ili kuomba msaada.
Ayoub atoa Sh milioni 21 kuimarisha michezo Unguja
ZANZIBAR: Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Ayoub Mohammed Mahmoud, ametoa mchango wa Sh milioni 21 kwa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Kaskazini Unguja kwa ajili…
Makumi wauawa katika shambulio la bomu lililolenga kituo cha treni Pakistani
Shambulio la kigaidi katika kituo cha treni katika mji mkuu wa jimbo la Balochistan nchini Pakistani limesababisha vifo vya watu 24 na kujeruhiwa wengine wengi.
Zamoyoni, Mmachinga hii ni Stars ya mwaka wa mbele
Magwiji wa soka nchini wamesifu kikosi alichookitwa kocha wa timu ya Taifa ya Tanzania, Miguel Gamondi kuwa kinatengeneza wachezaji watakaotumika kwa muda mrefu Taifa Stars.
Kesha Ka’ CNN, na bata la Asenooo
Miaka 22, ni umri wa mtu mzima. Mwenye uwezo wa kumiliki totoz kadhaa kama siyo ‘waifu’ kabisa.
Mwili wa mtoto wakutwa ukielea mtoni ukiwa umeharibika
Mwili wa mtoto wa kike anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 13 hadi 15 umeokotwa ukiwa...
Crawford atua Tanzania, Mafuru ampokea
DAR ES SALAAM:!Mkurugenzi wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Ephraim Mafuru, amemkaribisha nchini kwa mara ya kwanza bingwa wa masumbwi duniani, Terence Crawford, ambaye katika historia yake hajawahi kupoteza pambano…
Rais Pezeshkian: Iran inapigania haki zake halali katika mazungumzo na Marekani
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, amesisitiza kuwa Iran inataka kurejesha haki zake halali katika mazungumzo na Marekani. Hata hivyo, ameeleza kuwa uzoefu mchungu wa majadiliano ya…
Rais Pezeshkian: Iran inatafuta haki zake halali katika mazungumzo na Marekani
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, amesisitiza kuwa Iran inatafuta kurejesha haki zake halali katika mazungumzo na Marekani. Hata hivyo, amebainisha kuwa uzoefu mchungu wa majadiliano ya…
Israel yawazuia tena Wapalestina wa Gaza kutekeleza ibada ya Hija
Watetezi wa haki za binadamu na maafisa wa Palestina wamelaani hatua wanayoieleza kuwa ni kukiuka kwa mfumo uhuru wa ibada, baada ya utawala haramu wa Israel kwa mara nyingine kuzuia…
Iran yaonya: Tuko tayari kutoa jibu “la maangamizi” dhidi ya uchokozi mpya
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yako katika kiwango cha juu kabisa cha utayari na yataitoa “adhabu yenye maangamizi…
Dili za kupiga ambazo zitakutoa kimaisha na kukuepusha na ukata
"Dili za kupiga" si lazima ziwe za mkato. Vijana wanaweza kukua kupitia ubunifu, nidhamu na teknolojia, kuanzisha biashara zenye faida hata kwa mtaji mdogo.
Wanawake 150 wa jamii za kifugaji wapatiwa hati za kimila Manyara
Wanawake 150 kutoka jamii za wafugaji wilayani Simanjiro na Kiteto mkoani Manyara wamekabidhiwa...
Mkuu wa WHO ataka hatua za haraka dhidi ya Ebola
Mwishoni mwa Mkutano wa 79 wa Baraza la Afya Duniani, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Matiafa la Afya Duniani (WHO) amezitaka nchi wanachama kuimarisha ushirikiano wa kimataifa dhidi…
Watano kupelekwa kuliona kombe la dunia
Kampuni ya huduma za fedha kidijitali, Mixx kwa kushirikiana na kampuni ya vifaa vya...
Urusi yafanya shambulio kubwa Kyiv, Ukraine, manusura asema “natumai rafiki zangu wako hai”
Shambulio la Urusi usiku kucha dhidi ya Ukraine, lililolenga mji mkuu Kyiv, limeripotiwa kuhusisha makombora takribani 90, likiwemo kombora hatari la kasi ya juu na ndege zisizo na rubani 60.
Nado, Kagoma watemwa Taifa Stars, Azam wakitawala kikosi
Wachezaji Iddi Selemani ‘Nado’ na Yusuph Kagoma wamewekwa kando katika kikosi cha timu ya Taifa...
Ndugu wanne kushuhudia uchomaji moto mwili wa mfanyabiashara wa Kichina
Mwili wa Bhaozang Ge, mfanyabiashara na mmiliki wa kiwanda cha kuchakata chupa za plastiki cha...
New Evosha Mbezi fuel station to serve growing community
DAR ES SALAAM: Residents and transport operators of Mbezi and surrounding areas will now have ease access to fuel following the launch of Evosha Energies Fuel Station, a move aimed…
TFS wataka ulinzi ubora wa asali
TABORA: WANANCHI wanaojihusisha na ufugaji nyuki na uchakataji wa mazao yatokanayo na nyuki wametakiwa kuzingatia viwango vya ubora na usalama wa bidhaa zao, kwani uzalishaji usiozingatia sheria unaweza kuhatarisha masoko…
Diblo ‘El Mago’ Kaberia: Mchambuzi mkongwe wa soka afariki, ndugu jamaa wamlilia
Mchambuzi Mkongwe wa soka Diblo Kaberia amefariki baada ya kuugua, imethibitishwa na mwenzake Fred Arocho. Kifo kimeipoka Radio Jambo kifaa adimu.
Mgombea Isimani aahidi kusimama na wanawake
IRINGA: Mgombea ubunge wa Jimbo la Isimani kupitia chama cha UMD katika uchaguzi mdogo, Asma Othman, ameendelea kunadi sera zake kwa wananchi wa maeneo ya jimbo hilo huku akiomba kupewa…
Wazazi wanavyoua ubunifu kwa watoto wanapokosea
Umewahi kujiuliza kwa nini watoto wengi wanalalamikiwa kwa kukosa ubunifu?
Bilo FC, Ruangwa Queens hatihati kubaki WPL
KUNA nafasi ndogo kwa Ruangwa Queens na Bilo Queens zilizopo mkiani kusalia Ligi Kuu ya Wanawake msimu ujao kutokana na muendelezo mbaya wa ligi hiyo.e mechi zote. Changamoto kubwa kwa…
Mchungaji Msigwa apokewa rasmi Chadema, yeye asema…
Baada ya kutangaza nia ya kurejea Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mchungaji Peter...
Dakika 360 zaitega Malindi
DAKIKA 360 zilizosalia sawa na mechi nne za Ligi Kuu Zanzibar(ZPL), ndiyo itakayoamua hatma ya mabingwa wa zamani ZPL, Malindi kubaki katika ligi hiyo au kushuka daraja.
Hababuu Ali aendeleza moto wa KVZ
KOCHA Mkuu wa KVZ, Hababuu Ali ameendeleza pale walipoishia watangulizi wake kwa kuiongoza timu hiyo kushinda mechi mbili na kuendelea kukaa kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL).
Benin: Rais mteule Romuald Wadagni kuapishwa rasmi
Rais mteule Romuald Wadagni, aliyetangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika Aprili 12 nchini Benin, ataapishwa na kukabidhiwa rasmi mamlaka ya uongozi wa nchi wakati wa sherehe ambayo inatarajiwa kufanyika…
Barnabas aanika kinachoisibu Transit Camp
KOCHA wa Transit Camp, Vicent Barnabas amesema makosa binafsi wanayoyafanya katika mechi mbalimbali ndiyo yanayochangia mwenendo usioridhisha kwa kikosi hicho cha maafande msimu huu, japo wataendelea kuonyesha ushindani kwa wapinzani…
Beki Mbeya Kwanza hakijaeleweka
BEKI wa kati wa Mbeya Kwanza, Vintani Mtega amesema bado hajajua hatima yake katika kikosi hicho baada ya mkataba wake wa sasa kufikia ukomo mwisho wa msimu huu wa 2025-2026,…
Marekani: Mtu mwenye bunduki auawa baada ya kusikika milio ya risasi karibu na White House
Milio ya risasi imesikika karibu na Ikulu ya White House jioni ya Jumamosi, Mei 23. Kulingana na ripoti za awali, mwanamume mmoja mwenye umri wa miaka ishirini alivamia kituo cha…
Adeyum asaka rekodi mpya Bigman FC
BAADA ya beki wa kushoto wa Bigman FC, Adeyum Saleh kufikisha mabao matano msimu huu, nyota huyo amebakisha bao moja ili aweke rekodi mpya ya kufunga mengi zaidi katika timu…
Vihiga: KeNHA wafanya makuruhu, wakata mahindi yaliyokuwa yakinawiri barabara ya Lwanda–Majengo
Hasira ziliwapanda watu Vihiga baada ya KeNHA kukata mahindi yaliyokuwa yakinawiri pembezoni mwa Barabara ya Lwanda–Majengo. Wengi walisema haikufaa hivyo.
Ruto ajipiga kifua, asema Upinzani si kitu kwake ‘atausagasaga’ asubuhi na mapema 2027
Rais Ruto, katika ziara yake Pwani, ameapa kukabiliana na upinzani 2027. Alitoa KSh 2 bilioni kwa ajili ya sekta ya uvuvi, viongozi eneo hilo wameapa kumuunga mkono.