Ripoti: Watu milioni 83 watalazimika kuhama makazi yao ifikapo mwaka wa 2026
Idadi ya watu waliokimbia makazi yao ndani ya nchi zao kutokana na migogoro na machafuko imeongezeka katika mwaka uliopita ikilinganishwa na watu waliokimbia makazi yao kutokana na majanga ya asili,…
Alice Riang’a: Upasuaji wa maiti wataja kilichomuua mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha JOOUST
Matokeo ya uchunguzi wa maiti yanaonyesha Alice Riang'a, mwanafunzi wa JOOUST, alipata jeraha lililosababishwa na kifaa butu. Mpenzi wake yuko kizuizini.
Bolton: Trump amenaswa katika mtego wa kujitengenezea wa Iran
Mshauri wa zamani wa Usalama wa Taifa wa Marekani amesema: Donald Trump, Rais wa nchi hiyo, amenaswa katika mtego wa kujitengenezea mwenyewe wa Iran.
Yamal apongezwa kwa kupeperusha bendera ya Palestina katika sherehe ya ubingwa wa Barça
Nyota wa timu ya soka ya Barçelona, Lamine Yamal, alimeonyesha kitendo cha kupigiwa mfano kwa kupeperusha bendera ya Palestina wakati wa sherehe ya ubingwa wa timu hiyo kama ishara ya…
Joy Wanjiru: Maelezo mapya yafichua alipokuwa binti wa Nyeri aliyetoweka wiki 5, sababu ya kutoweka
Joy Wanjiru yuko salama baada ya kutoweka kwa zaidi ya wiki tano. Aliungana tena na familia yake huku maelezo ya alikokuwa na kwa nini alitoroka nyumbani yakiibuka.
Hatima ya Mourinho kurejea Real Madrid kujulikana Jumatatu
Hatima ya kocha Jose Mourinho kurejea tena Santiago Bernabeu kuinoa Real Madrid, imeendelea...
Dodoma Jiji yapania kuivuruga Yanga kwenye mbio za ubingwa
BINGWA mtetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga SC, leo anaingia uwanjani ugenini kupambana na Dodoma Jiji, katika mechi yenye hesabu kali.
Mabaraza ya usuluhishi yatakiwa kutanguliza maridhiano
KAGERA: Utatuzi wa migogoro kwa njia mbadala (ADR) umeendelea kutajwa kuwa suluhisho muhimu katika kuimarisha amani na mshikamano katika familia na jamii, huku wananchi wakihimizwa kutumia njia za mazungumzo na…
Che Malone atikisa Algeria
BEKI wa kimataifa wa Cameroon, Che Malone Fondoh, ametajwa kuwa Mchezaji Bora wa Kigeni wa Ligi Kuu ya Algeria 'Algerian Ligue 1' msimu wa 2025-2026, baada ya kuwa na kiwango…
Sare ilivyosogeza mbele ubingwa wa Ronaldo Saudi Arabia
Nyota wa soka duniani, Cristiano Ronaldo, alionekana mwenye majonzi makubwa baada ya ndoto ya...
Kiswaga atahadharisha mabadiliko tabianchi
DAR ES SALAAM: Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira, Mhe. Jackson Kiswaga, ameeleza kuwa licha ya Serikali kuwekeza kiasi kikubwa cha takriban Sh trilioni 4…
MCL yazindua mwongozo wa matumizi ya akili unde katika uhariri
Mwongozo huo unaweka misingi, kanuni na viwango vya usimamizi vitakavyoongoza matumizi yenye...
DRC: Marekani inapendekeza muswada kuwaadhibu wale wanaodhoofisha makubaliano ya Washington
Vikwazo dhidi ya jeshi la Rwanda, vikwazo dhidi ya viongozi wa AFC/M23, vikwazo dhidi ya Joseph Kabila. Vipi ikiwa vikwazo vingekuwa chombo kikuu cha kutekeleza makubaliano ya Washington yaliyosainiwa kati…
Magazeti ya Kenya, Mei 13: Waiguru aonyesha dalili za kushuka wilbaro ya Ruto na kumfuata Gachagua
Gavana wa Kirinyaga Anne Waiguru ameomba msamaha kutokana na kuondolewa madarakani kwa aliyekuwa Naibu Rais Gachagua, akikiri hali hiyo imeathiri siasa Mlima Kenya.
Kombe la Dunia 2026: Kibarua kinachoikabili FIFA na Marekani kuhakikisaha ushiriki wa Iran
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio tayari amesema wachezaji wa soka wa Iran wanakaribishwa katika mashindano hayo, japo ameonya kuwa watu binafsi walio na uhusiano na IRGC…
Sh34 bilioni kusaidia vijana, wanawake Afrika Mashariki
Hatua hiyo inalenga kuongeza upatikanaji wa huduma jumuishi za kifedha kwa makundi maalum ya...
Baada ya mkutano wa Nairobi, Emmanuel Macron atua Ethiopia, nchi ‘rafiki’
Siku moja baada ya mkutano wa kiuchumi kati ya Afrika na Ufaransa jijini Nairobi, rais Emmanuel Macron amewasili Ethiopia leo Jumatano, Mei 13, 2026. Atakutana na Waziri Mkuu Abiy Ahmed,…
MPs hail plan for new Muhimbili National Hospital
DODOMA: MEMBERS of Parliament have welcomed government’s plans to undertake a major transformation of the health sector through the construction of a new Muhimbili National Hospital (MNH), describing it as…
Makubwa: Mwanamke akutwa akiishi, kulala na wanaume 2 katika nyumba moja: “Mmoja ni mumewe”
Viongozi na wazee wamengilia kati baada ya Judith, anayeishi na waume wawili kukabiliwa na mvutano baada ya kurejea kwa mumewe halali aliyedhaniwa alikufa.
New agreement to strengthen food security
DAR ES SALAAM: FARMERS in major food producing regions are set to benefit from subsidised farming equipment and modern storage technologies following a new partnership between Cooperative Bank Tanzania Plc…
Africa eyes shared prosperity
NAIROBI: TANZANIA has urged African countries to harness their abundant natural resources to build a strong and resilient continental economy, while advocating for global multilateralism that upholds mutual partnerships and…
Ufaransa kuchukua ‘hatua’ katika UN kuhusu nafasi yake katika Mlango-Bahari wa Hormuz
Ufaransa itachukua hatua katika Umoja wa Mataifa kupendekeza mfumo wa ujumbe usioegemea upande wowote na wa amani ili kulinda Mlango-Bahari wa Hormuz, Emmanuel Macron ametangaza katika mahojiano na TV5, France…
NEMC Yapanda Miti 3,000 Shule za Kibaha Kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi
Miti 3,000 imepandwa katika shule 10 za msingi na sekondari Wilaya ya Kibaha, Mkoa wa Pwani...
Mashambulizi kusini mwa Lebanon yaua watu 13, kulingana na Wizara ya Afya
Wizara ya Afya ya Lebanon imetangaza katika taarifa siku ya Jumanne kwamba watu 13 waliuawa katika mashambulizi ya anga ya Israel yaliyolenga maeneo matatu kusini mwa Lebanon. Imechapishwa: 13/05/2026 –…
Rais Museveni ameapishwa kuongoza Uganda kwa muhula wa saba
Nchini Uganda, rais Yoweri Museveni, ambaye amekuwa madarakani kwa miaka 40, ameapishwa tena kuongoza nchi hiyo kwa muhula mwingine wa miaka mitano baada ya kutangazwa mshindi wakati wa uchaguzi mkuu…
Australia iko tayari kujiunga na misheni ya ‘ulinzi mkali’ wa Mlango-Bahari wa Hormuz
Australia imejitolea kwa misheni ya “isiyo na upande wowote na ya amani” iliyopendekezwa na Ufaransa na Uingereza ili kulinda Mlango-Bahari wa Hormuz, Waziri wa Ulinzi Richard Marles amesema leo Jumatano.…
China yaitaka Pakistan ‘kuongeza juhudi za upatanishi’ kati ya Iran na Marekani
Waziri wa Mambo ya Nje wa China Wang Yi ameitaka Pakistan “kuongeza juhudi zake za upatanishi” kati ya Tehran na Washington, shirika la habari la serikali la Xinhua limeripoti. Waziri…
Washington yatathmini gharama ya vita kwa karibu dola bilioni 29
Pentagon imetathmini upya gharama ya vita nchini Iran hadi sasa kwa karibu dola bilioni 29 za Marekani, afisa mkuu wa anayehusika na masuala ya fedha ametangaza siku ya Jumanne wakati…
Picha: Yoweri Museveni aapishwa kwa muhula wa 7 mtawalia kuwa rais wa Uganda
Museveni aapishwa kwa muhula wa saba kama rais wa Uganda huku mwanawe Muhoozi Jukumu muhimu la Kainerugaba katika tukio hilo lazua mjadala wa urithi.
Mashariki mwa DRC: Baada ya kujiondoa Uvira, AFC/M23 yashikilia ngome yake kuu yaKamanyola
Kundi la waasi wa AFC/M23 limejiondoa Jumanne, Mei 12, na kupiga kambi umbali wa zaidi ya kilomita 70 kutoka Uvira, jiji lililoko mashariki mwa nchi ambalo ilikuwa imelikalia kwa muda…
Ghana kuwaondoa raia wake 300 wanaoishi nchini Afrika Kusini
Ghana imetangaza kuwa itawarudisha raia wake 300-wanaoishi nchini Afrika Kusini, kufuatia ongezeko la visa vya wageni kushambuliwa. Imechapishwa: 13/05/2026 – 06:00Imehaririwa: 13/05/2026 – 06:25 Dakika 1 Wakati wa kusoma Matangazo…
Linet Toto alizwa na wimbo wa “2Tam”, video yapepea wakazi wa Bomet wakiimba na kusifu jina lake
Linet Toto aliangua kilio huku wakazi wa Bomet wakiimba "2Tam" katika video iliyosambaa. Alionyesha uhusiano wake wa kihisia na nia ya kutaka muhula wa pili.
Trump: lazima tufikie makubaliano na Iran ama tutaiangamiza
Rais wa Marekani Donald Trump amesema wakati akiondoka kuelekea nchini China kuwa hahitaji msaada wa Beijing kumaliza vita dhidi ya Iran.
TADB yazindua mkakati wa kilimo himilivu dhidi ya tabianchi
Mkakati huo wa TADB Green Agri-Finance Strategy 2025–2027 unalenga kuimarisha kilimo endelevu...
🔴MAGAZETI: .. MEI 13, 2026
🔴MAGAZETI: .. MEI 13, 2026 (Feed generated with FetchRSS)
Washukiwa wa mauaji ya kasisi Nakuru walimwibia mwathiriwa mwingine KSh 600k kutoka akaunti ya benki
DCI inawahusisha washukiwa wa mauaji ya kasisi wa PCEA Julius Ndumia na genge maarufu. Inasemekana walimwibia mwathiriwa mwingine KSh 600k kutoka akaunti ya benki.
Waridi wa BBC: Mariam na safari ya kufua kusaka $15,000 za kupandikizwa figo
Mariam anasema kwamba mama yake yuko tayari wakati wowote kujitolea figo ili kuokoa maisha yake,lakini hadi sasa hajafanikiwa kupata kiasi cha pesa kinachotakiwa ili kufanikisha upandikizaji huo.
Mariam na safari ya kufua kusaka $15,000 za kupandikizwa figo
Mariam anasema kwamba mama yake yuko tayari wakati wowote kujitolea figo ili kuokoa maisha yake,lakini hadi sasa hajafanikiwa kupata kiasi cha pesa kinachotakiwa ili kufanikisha upandikizaji huo.
Je, tunapaswa kuwa na wasiwasi kiasi gani kuhusu hantavirus?
Abiria kutoka kwa meli ya watalii iliyokumbwa na mlipuko wa virusi vya hantavirus wamehamishwa na kupelekwa katika nchi zao kujitenga na kupokea matibabu ikiwa ni lazima.
Wanaotoa elimu ya afyamitandaoni bila kuwa na vibali vya utaalam wa fani hizo
Wanaotoa elimu ya afyamitandaoni bila kuwa na vibali vya utaalam wa fani hizo. Je, wadhibitiwe kukomesha uholela katika masuala ya afya za watu ? (Feed generated with FetchRSS)
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI …MEI 13, 2026
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI ...MEI 13, 2026 (Feed generated with FetchRSS)
WasafiBet yatoa zawadi kupitia kampeni ya Jet X
Mwelekeo huo umejidhihirisha kupitia kampeni ya ‘Upendo Unalipa na Jet X’ iliyoendeshwa na...
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Msimamo wa Marekani ndio kikwazo kikuu kumaliza vita
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi, amesema kuwa msimamo wa Marekani wa kutaka masharti ya kupita kiasi pamoja na mienendo yake mingine inayodhoofisha juhudi za diplomasia…
Rais Macron atangaza uwekezaji wa Mabilioni ya pesa kwa bara Afrika
Wito wa kuheshimiana ulitawala Mkutano wa Afrika Forwad kati ya Ufaransa na Kenya, huku Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron akitangaza uwekezaji mpya na kusema uhuru utakuwa muhimu katika ushirikiano ambao…