Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Msimamo wa Marekani ndio kikwazo kikuu kumaliza vita
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi, amesema kuwa msimamo wa Marekani wa kutaka masharti ya kupita kiasi pamoja na mienendo yake mingine inayodhoofisha juhudi za diplomasia…
Rais Macron atangaza uwekezaji wa Mabilioni ya pesa kwa bara Afrika
Wito wa kuheshimiana ulitawala Mkutano wa Afrika Forwad kati ya Ufaransa na Kenya, huku Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron akitangaza uwekezaji mpya na kusema uhuru utakuwa muhimu katika ushirikiano ambao…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Mei 13, 2026
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa... The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo…
#HABARI: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Prof
#HABARI: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Prof. Riziki Shemdoe, ametoa agizo kwa Mamlaka za Serikali za Mitaa nchini kuhakikisha suala la usafi wa mazingira linakuwa ajenda ya kudumu katika…
Kafulila azungumzia sekta ya afya
DAR ES SALAAM: Katika maadhimisho ya Siku ya Wauguzi Duniani, Mkurugenzi wa wa Kituo Cha Ubia Kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPC) David Kafulila amesema kuwa ubora wa…
How bees are becoming lifeline for rural families survival
SIMIYU: What began as a painful childhood memory in the 1970s has grown into a thriving commercial beekeeping venture that is transforming livelihoods in Simiyu Region while promoting environmental conservation…
Wakili Marathon to strengthen legal services
DAR ES SALAAM: The Tanzania Public Bar Association (TPBA) said part of the proceeds of Wakili Marathon 2026 will among others, be used to establish a digital legal aid system…
Mauaji ya mchungaji Nakuru, DCI sasa yafichua maelezo mapya kumhusu mshukiwa
DCI imefichua kwamba mchungaji aliyeuawa ndani ya kanisa lake huko Nakuru mnamo Mei 3 aliuawa na genge maarufu ambalo lilifichuliwa mnamo Julai 2022.
Mgombea amwagiwa sifa, CCM ikizindua kampeni Isimani
IRINGA: Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamezindua kampeni za uchaguzi mdogo wa ubunge Jimbo la Isimani kwa kumwaga sifa kwa mgombea wa chama hicho, Emanuela Kaganda Mtatifikolo, wakieleza kuwa anastahili kupewa…
Tanzania launches green farm finance strategy
DAR ES SALAAM: Tanzania on Tuesday launched a new green agriculture financing strategy aimed at expanding climate-smart investment in farming as the country seeks to strengthen food security and protect…
Viongozi wa Afrika wametaka mageuzi kufanyika katika mfumo wa kimataifa wa mikopo na ufadhili ili kuchochea maendeleo ya pamoja,…
Viongozi wa Afrika wametaka mageuzi kufanyika katika mfumo wa kimataifa wa mikopo na ufadhili ili kuchochea maendeleo ya pamoja, kwa lengo la kuimarisha ushirikiano kati ya Afrika na Ufaransa katika…
Jamaa Aliyewakejeli Polisi baada ya Nyumba Yake Kubomolewa Azungumza: “Gharama Ilikuwa KSh 40m”
Jared Okoth, ambaye alipata umaarufu kwa kuwakejeli polisi baada ya nyumba yake kubomolewa, amezungumzia hasira yake kuhusu watoto waliotupiwa vitoa machozi
Tanzania backs green farm financing
DAR ES SALAAM: Tanzania’s government on Tuesday said the future of the country’s agriculture sector depended on expanding climaTte-smart financing as rising droughts, floods and environmental degradation continue to threaten…
TADB targets women, smallholders in climate financing
DAR ES SALAAM: Tanzania’s Agricultural Development Bank (TADB) on Tuesday launched a green financing strategy aimed at expanding climate-smart lending for women and smallholder farmers facing growing climate risks. The…
Gharama kumwona daktari, viwanda vya dawa vyazua jambo bungeni
Mbunge wa Gairo (CCM), Ahmed Shabiby ameibua mjadala mzito bungeni baada ya kudai kuwepo kwa...
TADB targets climate-smart farm lending
DAR ES SALAAM: Tanzania’s Agricultural Development Bank (TADB) on Tuesday launched a new green financing strategy aimed at expanding climate-smart lending across the agricultural value chain as climate shocks increasingly…
Kwa kawaida, ndoa nyingi huanza kwa watu wawili kukutana, kuzoeana na baadaye kujenga familia
Kwa kawaida, ndoa nyingi huanza kwa watu wawili kukutana, kuzoeana na baadaye kujenga familia. Lakini ndani ya maabara ya APOPO iliyopo katika Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo, Morogoro, hata…
TADB: Climate shocks cost agriculture millions annually
DAR ES SALAAM: Tanzania’s agricultural sector is losing tens of millions of dollars annually to climate shocks, the head of the state-owned Tanzania Agricultural Development Bank (TADB) said on Tuesday,…
Nollywood actor, Alex Ekubo dies after battling kidney cancer
NIGERIA: Nollywood actor Alex Ekubo has been reported dead in some Nigerian media outlets following claims that he had been battling kidney cancer. According to Nigeria’s Daily Post Nigeria, the…
Tanzania ramps up TADB agriculture lending
DAR ES SALAAM: Tanzania’s government has injected hundreds of billions of shillings into the state-owned Tanzania Agricultural Development Bank (TADB) as part of a broader push to expand financing for…
Bei ya gesi ya kupikia imeendelea kupanda duniani huku mgogoro wa Mashariki ya Kati ukitajwa kuwa miongoni mwa sababu kuu za ong…
Bei ya gesi ya kupikia imeendelea kupanda duniani huku mgogoro wa Mashariki ya Kati ukitajwa kuwa miongoni mwa sababu kuu za ongezeko hilo. Hapa nchini Tanzania, baadhi ya wananchi wameanza…
Adaiwa kumuua baba yake mkubwa Rombo, mgogoro wa ardhi watajwa
Mzee mwenye umri wa miaka 75, Mkazi wa Mbomai juu, kata ya Tarakea Motamburu, Wilaya ya Rombo...
Mchengerwa: Watakaokwamisha viwanda vya dawa kushughulikiwa
Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa amesema Serikali haitarudi nyuma katika mpango wa ujenzi wa...
Bei ya gesi yapaa, maumivu mapya kwa wananchi
Ni maumivu kwa wananchi. Hivi ndivyo unavyoweza kusema baada ya bei ya gesi ya kupikia kupanda...
Wadau wa sekta ya fedha kutoka nchi zaidi ya 40 wamekutana jijini Arusha kujadili namna ya kuboresha sera na mikakati ya kuongez…
Wadau wa sekta ya fedha kutoka nchi zaidi ya 40 wamekutana jijini Arusha kujadili namna ya kuboresha sera na mikakati ya kuongeza ujumuishi wa kifedha kwa wananchi. Mkutano huo umefunguliwa…
Meya wa halmashauri ya jiji la Dar es Salaam, Nurdin Bilal amesema ameridhishwa na maendeleo ya utekelezaji wa miradi hiyo na ku…
Meya wa halmashauri ya jiji la Dar es Salaam, Nurdin Bilal amesema ameridhishwa na maendeleo ya utekelezaji wa miradi hiyo na kuwataka wasimamizi wa miradi kuhakikisha inakamilika kwa wakati na…
Jared Okoth adai Jalang’o aliwahi kumfanyia kazi katika vilabu vyake vya starehe
MCA wa zamani Jared Okoth amedai Jalang’o aliwahi kumfanyia kazi katika vilabu vyake vya usiku jijini Nairobi, ufichuzi ambao umewashangaza Wakenya wengi.
Chevron expresses interest in Tanzania’s oil, gas subsector
London, United Kingdom: American energy giant Chevron Corporation has signalled interest in investing in Tanzania’s oil and natural gas exploration activities, underscoring growing investor confidence in the country’s energy sector.…
Mtibwa Sugar yapiga hesabu za kusalia Ligi Kuu
PAMOJA na kukubali ugumu wa namba kikosini, Straika wa Mtibwa Sugar, Raizin Hafidh amesema bado ni mapema kuitabiria timu hiyo magumu Ligi Kuu Bara msimu huu kwani mechi nane zilizobaki…
Dar es Salaam set for three-part Holy Spirit encounter event in June
DAR ES SALAAM: Dar es Salaam will in June host a three-part Holy Spirit Encounter event expected to bring together believers, intercessors, church leaders, women in ministry and marketplace professionals…
Singida yashinda, JKT yawagomea TRA
Nyota wa Singida Black Stars, Mossi Nduwumwe ambaye ni raia wa Burundi, ameendelea kuwa moto wa kuotea mbali baada ya kupachika bao katika mchezo wa tatu mfululizo wa Ligi Kuu…
Serikali mkoani Ruvuma inatarajiwa kunufaika na miradi 57 ya maendeleo katika sekta za afya, elimu, maji na miundombinu
Serikali mkoani Ruvuma inatarajiwa kunufaika na miradi 57 ya maendeleo katika sekta za afya, elimu, maji na miundombinu. Miradi hiyo ina thamani ya zaidi ya Sh bilioni 21.7 na itapitiwa…
Mbeya City, Coastal leo ni presha na hesabu kali
HESABU za kukwepa aibu ya kushuka daraja inaendelea kuzipa presha timu za Ligi Kuu Bara, huku Kocha wa Mbeya City, Saluma Mayanga na Fikiri Elias wa Coastal wakivimbiana kusaka pointi…
Aga Khan yawaita wenye unene kupita kiasi Dar, yazindua kliniki maalumu
Daktari Bingwa wa Mfumo wa Homoni, Dk Hanifa Mbithe amesema changamoto ya unene pia ina...
Chevron: Tupo tayari kuwekeza Tanzania
London, Uingereza: Kampuni kubwa nishati kutoka Marekani, Chevron Corporation imeeleza utayari wake wa kuwekeza nchini Tanzania katika shughuli za utafutaji wa mafuta na gesi asilia, hatua inayodhihirisha kuendelea kuimarika kwa…
Mshambuliaji wa Paris Saint-Germain, Ousmane Dembele, Jumatatu alitangazwa kuwa mchezaji bora wa Ligue 1 kwa mwaka kwa mara ya p…
Mshambuliaji wa Paris Saint-Germain, Ousmane Dembele, Jumatatu alitangazwa kuwa mchezaji bora wa Ligue 1 kwa mwaka kwa mara ya pili mfululizo, baada ya kuiongoza klabu hiyo kukaribia kutwaa ubingwa wa…
Wadau mbalimbali kwa kushirikiana na Serikali ya Wilaya ya Sikonge, mkoani Tabora, wameanza mchakato wa kutatua changamoto ya up…
Wadau mbalimbali kwa kushirikiana na Serikali ya Wilaya ya Sikonge, mkoani Tabora, wameanza mchakato wa kutatua changamoto ya upungufu wa madawati katika baadhi ya shule za wilaya hiyo. Kupitia ushirikiano…
MCL yazindua mwongozo wa matumizi ya AI
KAMPUNI ya Mwananchi Communications (MCL), imezindua mwongozo wa matumizi ya akili unde (AI), katika shughuli zake za uhariri na uendeshaji wa majukwaa yake mbalimbali.
Wauguzi wanavyoibeba sekta ya afya, walilia muundo mpya wa utumishi
Wakati wauguzi wakitajwa ndio mhimili mkuu wa utoaji huduma za afya nchini, kada hiyo bado...
Singida yashinda, TRA yawagomea JKT
Matokeo hayo yamewafanya wakusanya TRAkufikisha pointi 34 wakiwa nafasi ya sita pointi mbili...
Waiguru akiri Ruto alijitongea kumng’atua Gachagua, imekuwa ngumu kumtafutia kura Mlima Kenya
Anne Waiguru ameomba radhi kwa niaba ya serikali ya Ruto kwa kumng'oa Rigathi Gachagua, akisema matokeo yamefanya Mlima Kenya kumkataa Ruto kwa hali na mali.
Jiji la Mbeya laja na mkakati kumaliza changamoto ya barabara
Barabara katika mitaa 181 ndani ya kata 36 za Halmashauri ya Jiji la Mbeya, zinatarajiwa...
Afrika – Ufaransa : Huenda baadhi ya masuala muhimu hayakupewa kipau mbele
Baadhi ya wajumbe waliohudhuria mkutano kati ya Ufaransa na Afrika uliokamilika jioni hii jijini Nairobi nchini Kenya, wamehoji kuachwa kwa masuala muhimu wanayosema hayakupewa kipaumbele katika mkutano huo wa siku…
Serikali kuanza ujenzi barabara ya Kimanga
Hatimaye uongozi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam umefanya ukaguzi wa Barabara ya...
GSM akagua eneo la uwanja wa Yanga Jangwani
UONGOZI wa Yanga, umefanya kikao cha mwisho juu ya ujenzi wa uwanja wa timu hiyo, huku mfadhili na mshindi wa zabuni ya tenda hiyo, Ghalib Said Mohammed ‘GSM’ akitembelea eneo…
20 BSS talents enter camp to sharpen their skills
DAR ES SALAAM: Twenty contestants selected from different regions of Tanzania and several countries in East and Central Africa have officially arrived at the Ndege Beach camp in Dar es…