Rekodi tatu zinazosubiriwa Championship
LIGI ya Championship imebakisha mechi sita kumalizia msimu huu wa 2025-2026, huku ushindani ukiongezeka kwa kila timu kutokana na mahitaji mbalimbali, hususani kwa zile zinazotafuta nafasi ya kupanda Ligi Kuu…
“Huruma, imara na usawa zaidi”: Taswira ya maisha bila vifo vya uzazi
“Mama anapofariki, familia haipotezi mtu mmoja tu, inapoteza msingi wake,” ameeleza Kindness Ngoh, mkunga anayefanya kazi na Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu na Afya ya Uzazi,…
DC Kwimba asisitiza usimamizi wa karibu wa miradi
MWANZA: MKUU wa Wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza, Ng’wilabuzu Lúdigija, amesistiza umuhimu wa kusimamia kwa ukaribu utekelezaji wa miradi ya maendeleo na kuhakikisha miradi yote inayotekelezwa katika maeneo mbalimbali inakamilika…
Birdi outshines his Ugandan hosts in the Pearl of Africa Rally
MBARARA: TANZANIAN wheeler Randeep ‘Sanny’ Birdi beat a contingent of Ugandan rivals to win the National Rally Championship (NRC) title in the Shell V-P Pearl of Rally staged over the…
Mkazi Samuye asifu msaada wa kisheria
SHINYANGA: Mkazi wa kijiji cha Ishinabulandi kata ya Samuye Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Kulwa Malale amesema Msaada wa kisheria wa Mama Samia Legal Aid alivyoelezwa na kupewa ushauri amefarijika…
Tanzania hails elected Djibouti President, wishes him success in serving his people
DJIBOUTI: THE Minister for Foreign Affairs and East African Cooperation, Mahmoud Thabit Kombo, represented Tanzanian President Samia Suluhu Hassan at the inauguration ceremony of Djibouti President Ismaïl Omar Guelleh, held…
Simbu outshines rivals at the National Sports Awards gala
DAR ES SALAAM: ALPHONCE Simbu was named the Best Male Athlete of the Year 2025 at the National Sports Awards held at the Superdome. His outstanding performances in athletics helped…
Putin aishutumu NATO wakati wa sherehe za gwaride la kijeshi
Rais wa Urusi Vladimir Putin alitumia sherehe za kila mwaka za Siku ya Ushindi nchini mwake kuhalalisha vita vyake dhidi ya Ukraine na kushutumu NATO, katika hotuba yake aliyoitoa kwenye…
Wanajeshi wa Kizayuni nchini Lebanon: Hatuna chaguo ila kukimbia
Vyombo vya habari vya Kizayuni vimekiri kushindwa jeshi la utawala wa vamizi wa Israel kukabiliana na ndege zisizo na rubani za harakati ya Hizbullah.
Tanzania awards Simbu for promoting the nation’s image on the global stage
DAR ES SALAAM: ALPHONCE Simbu has been honored with the Athlete Recognition Award for his outstanding contribution to promoting Tanzania’s national image on the international stage. The celebrated long-distance runner…
Mzimu wa Dabi unavyoendelea kumtafuna Fadlu Morocco
Aliyewahi kuwa kocha wa Simba, Fadlu Davis ambaye kwa sasa anainoa Raja Casablaca ya Morocco...
Malaika Meena aweka rekodi England
KIUNGO wa Tanzania, Malaika Meena ameanza kuonyesha kiwango kikubwa katika soka la wanawake Ulaya baada ya kupata muendelezo mzuri tangu ajiunge na Ipswich Town Women kwa mkopo akitokea Bristol City…
Abdulmalik afunguka soka la Kenya
BEKI wa Kitanzania, Abdulmalik Kajuna anayekipiga Psalms 105 FC inayoshiriki Ligi Daraja la pili Kenya amesema tofauti kubwa kati ya ligi ya huko na Tanzania ni fedha.
Kinda wa Kitanzania kujaribiwa Uturuki
HUENDA Tanzania ikaandika historia ya kuwa na wachezaji wawili, baada ya mshambuliaji kinda Juma Sagwe kuelezwa anafanya majaribio kwenye kikosi cha Goztepe.
Kuondoa 30% ya uume wangu, kuliokoa maisha yangu
Aliahirisha kwenda hospitali kwa takriban wiki sita, ila alipomuona daktari wa familia, aliambiwa huenda ni saratani.
Ongezeko la vifo kabla ya Hija laibua taharuki nchini Saudi Arabia
Ripoti za kuongezeka vifo baina ya mahujaji waliokwenda Saudi Arabia kutekeleza ibada ya Hija kumezua wasiwasi na taharuki baina ya viongozi na wasimamizi wa ibada hiyo.
Zambia yapinga matakwa ya Marekani yanayohusiana na mkataba wa afya na madini
Zambia imeishutumu hadharani Marekani kwa kuunganisha kifurushi cha afya kilichopendekezwa cha dola bilioni 2 na matakwa kupewa data na madini na muhimu, ikisema baadhi ya masharti yaliyoambatanishwa na makubaliano hayo…
Hasnath Ubamba afanya maajabu Misri, mkataba mpya wanukia
KUTOKANA na kiwango kikubwa anachoendelea kukionesha winga mbongo, Hasnath Ubamba katika kikosi cha FC Masar, uongozi wa klabu hiyo umeanza mchakato wa kumboreshea mkataba wake kabla ya kumalizika mwaka 2027.
Wananchi wa Mali waandamana kumuunga mkono kiongozi wao wa kijeshi
Mamia ya waungaji mkono wa uongozi wa serikali ya kijeshi ya Mali Jumamosi walijumuika katika uwanja wa michezo katika mji mkuu, Bamako ili kuthibitisha uungaji mkono wao kwa serikali ya…
Wananchi 300 Zanzibar kupokwa viwanja kwa kushindwa kuviendeleza
Zaidi ya viwanja 300 vilivyotolewa na Serikali kwa wananchi wa Wilaya ya Kusini, Mkoa wa Kusini...
Mixx, DSE drive new wave of young investors as digital investment uptake surges
DAR ES SALAAM: Digital investment transactions through the partnership between Mixx by Yas and the Dar es Salaam Stock Exchange (DSE) have surged from 840m/- to 6.9bn/- within a year,…
Hekaya za mlevi: Sio mpaka daktari akulazimishe…
Mara nyingine mimi huwa najiuliza mwenyewe: “Hivi ndo kweli nishazeeka” Lakini vitabu vya...
Niger yasimamisha vyombo tisa vya habari vya Ufaransa
Serikali ya Niger imetangaza kusimamisha shughuli za vyombo tisa vya habari vya Ufaransa siku ya Ijumaa, ikieleza kuwa hatua hiyo imechukuliwa kutokana na “usambazaji wa mara kwa mara wa maudhui…
Kamanda wa IRGC: Iran iko tayari kushambulia ngome za Marekani
Kamanda wa Kikosi cha Anga cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (IRGC) amesema makombora ya kisasa pamoja na droni za kivita za Iran tayari zimeelekezwa dhidi…
Mchezaji wa tenisi wa Iran ajiondoa mashindano ya dunia kuepuka kushindana na Muisraeli
Mchezaji chipukizi wa tenisi kutoka Iran, Hana Shabanpour, amejiondoa katika fainali ya mashindano ya J60 Turkey World Tour siku ya Jumapili baada ya kukataa kucheza dhidi ya mpinzani aliyekuwa akiwakilisha…
Ubovu wa barabara Kimanga, daladala zatishia kusitisha huduma
Wakazi wa Kimanga, Dar es Salaam, wataanza kukumbana na adha ya usafiri kuanzia kesho baada ya...
Wanawake wahamasishwa kujenga familia zenye maadili
DAR ES SALAAM: Kongamano maalumu lililowakutanisha wanawake kutoka sekta mbalimbali limefanyika ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Mama Duniani, kwa lengo la kujadili na kujifunza masuala mbalimbali yanayohusu…
Oryx contributes 1.2tri/- to GDP, creates 26000 jobs
DAR ES SALAAM: THE Oryx Energies Tanzania’s operations have contributed 1.2tri/- to the nation’s Gross Domestic Product (GDP) over the four-year period from 2021 to 2024. This substantial contribution underscores…
Unachomfikiria mwenza wako, ndicho anachokufikiria
Wengi wa wanandoa, japo si wote, hujiona wao ni bora na sahihi kuliko wenzao. Hii si kweli na...
SIKU YA MAMA DUNIANI: mizigo wanayobeba kinamama wa kisasa
Wakati dunia ikiadhimisha siku ya mama leo, mijadala ya upendo, heshima na shukrani kwa...
Njia sita za kuongeza ukaribu katika mahusiano
Mara nyingi wengi wetu tumekuwa katika uhusiano na wapenzi wetu lakini hali sio kama ile ya...
Hamas yalaani mateso na unyanyasaji wa wanawake wa Kipalestina katika magereza ya Israel
Harakati ya Mpambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imelaani ongezeko la uhalifu na ukiukwaji wa haki za wafungwa wanawake wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika magereza ya Israel, ikisema kwamba mateso ya…
Mapenzi ni sehemu ya maisha, si maisha yote
Katika maisha ya mwanadamu, mapenzi ni hisia ya asili inayotufanya tuhisi kushikamana...
Tumaini kwa ‘single mothers’
Hivi karibuni nilimsikia jamaa mmoja kwenye moja ya vikao vya wanaume akisema:“Hakuna mtoto...
Watu 70 wauawa kaskazini mashariki mwa Kongo; Umoja wa Mataifa walaani ghasia
Kwa uchache watu 70, wengi wao wakiwa raia, wameuawa katika shambulio lililofanywa na watu wenye silaha waliohusishwa na wanamgambo wa CODECO, kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Uchaguzi Mdogo Ol Kalou: Sammy Ngotho ashinda tiketi ya DCP katika uteuzi wenye ushindani mkubwa
Kinyang'anyiro cha kiti cha ubunge cha Ol Kalou kinazidi kupamba moto huku aliyekuwa MCA Sammy Ngotho akishinda tiketi ya DCP kabla ya uchaguzi mdogo Nyandarua.
Vijana kunufaika na mikopo isiyo na riba ya ufugaji samaki
KAGERA: Serikali kwa kushirikiana na Benki ya Maendeleo ya kilimo(TADB) inaendelea kutekeleza zoezi la utoaji wa mikopo isiyo na riba na yenye masharti nafuu kwa ajili ya utekelezaji wa miradi…
Kakulu: Road safety education will save lives
DAR ES SALAAM: MEMBER of Parliament for Mbagala Constituency, Burchard Kakulu, has said road safety education being provided to motorcycle riders is crucial in saving lives and accelerating national development.…
Je, vita vya Iran viliimarisha vipi Ukraine?
Hatua hiyo itasaidia kuimarisha ushirikiano wa kimataifa na pia kuwa na faida za kibiashara. Kyiv ina matumaini kuwa hatua hii itasababisha mikataba zaidi ya ulinzi na washirika matajiri wa Marekani.
Je, vita vya moja kwa moja kati ya Uturuki na Israel vinaweza kuzuka
Uhusiano wa Uturuki na Israel umezorota katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita kutoka katika hatua ambayo ilikuwa inakaribia kuimarika kidiplomasia hadi kufikia hatua ambapo uwezekano wa makabiliano ya moja kwa…
Iran yatishia kulipiza kisasi iwapo meli zake za mafuta zitashambuliwa
Jeshi la Iran (IRGC) limetishia kulenga maeneo ya Marekani iwapo meli za mafuta za Iran zitashambuliwa, huku Washington ikiwa bado inasubiri majibu ya Tehran kuhusu pendekezo lake la hivi karibuni…
Wycliffe Oparanya akubali matokeo, asema ni vigumu kumtafutia Ruto kura: “Ni Ngumu”
Waziri Wickliffe Oparanya amekiri changamoto za kumfanyia kampeni Rais William Ruto katika ngome za ODM, akitaja mgawanyiko wa vyama na kufukuzwa.
Ndani ya Boksi: Tauni kila mtu yupo ‘Singo’
Siku hizi kila sehemu kuna pisi kali kali tu. Unaweza kutulia tu mitaa ya Mabibo Makutano. Na...
Magazeti ya Kenya, Mei 10: Wagombea wa UDA Ol Kalou wawazia kwingine baada ya kukataa matokeo
Mvutano wa kisiasa unaongezeka Ol Kalou huku wagombea wa UDA Wambugu na Njuguna wakipinga matokeo ya uteuzi wakidai ukiukwaji wa sheria na madai ya rushwa.
Tanzania yapiga hatua huduma za afya Afrika Mashariki
ARUSHA: Tanzania imeendelea kupiga hatua katika sekta ya afya ndani ya nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), kutokana na utoaji wa huduma bora za afya katika hospitali mbalimbali nchini.…
Kapinga awapa kipaumbele wazawa ajira viwandani
PWANI: Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, amewashauri wamiliki wa viwanda vipya kutoa kipaumbele kwa wazawa kuhusu ajira ili kukuza uchumi na mapato ya taifa kwa ujumla. Akizungumza Mei…
Kwanini Kylian Mbappé anachukiwa Real Madrid?
Ubora wake si wakuhojiwa, Mbappe ni mmoja ya wachezaji bora wa kizazi cha sasa, lakini hatma yake iko kwenye mizani. Mashabiki wanapiga kura kutaka aondoke Real Madrid
Julius Ndumia: Washukiwa 2 wanaohusishwa na mauaji ya mchungaji wa PCEA wakamatwa
Maafisa wa DCI wamewakamata washukiwa wawili wanaohusishwa na mauaji ya mchungaji wa PCEA Tabuga Julius Ndumia. Wawili hao walikutwa na baadhi ya vitu vya marehemu