Afrika, Ukumbi mwingine wa vita kati ya Urusi na Ukraine
Huu ni uchunguzi wa kipekee wa RFI kuhusu vita vya siri vinavyoendelea katika bara la Afrika, kati ya Kyiv na Moscow nchini Libya. Vita hivi vinafanyika kwa siri na vikijikita…
NBC Premier League kuendelea leo Jumamosi kwa mechi tatu
NBC Premier League kuendelea leo Jumamosi kwa mechi tatu Je, nani kuondoka na alama tatu nani kudondosha kila kitu utashuhudia mbashara kupitia AzamSports1HD. Kwa kifurushi cha shilingi 28,000 unatazama michezo…
Haiti: Wanachama wa MMAS washtumiwa kwa ukatili na unyanyasaji wa kijinsia
Ripoti ya Umoja wa Mataifa iliyochapishwa mwezi Februari inaelezea visa kadhaa vya ukatili na unyanyasaji wa kingono vinavyowahusisha wanachama wa Misheni ya Usaidizi wa Usalama wa Kimataifa nchini Haiti (MMAS).…
Ndege mbili za kivita za Marekani zadondoshwa na Iran, rubani atafutwa
Ndege mbili za kivita za Marekani zimedondoshwa kutoka juu ya anga ya Iran. Mmoja wa marubani anatafutwa kwa na Marekani na Iran. Imechapishwa: 04/04/2026 – 05:54 Dakika 1 Wakati wa…
Unafahamu kwamba teknolojia ikitumika kwa usahihi inaweza kuwa daraja la kufungua fursa za ajira kwa maelfu ya vijana
Unafahamu kwamba teknolojia ikitumika kwa usahihi inaweza kuwa daraja la kufungua fursa za ajira kwa maelfu ya vijana Kutana na Lilian Madeje, mbunifu wa mfumo wa Niajiri, jukwaa linalowakutanisha waajiri…
Pezeshkian: Tutailinda Iran kwa azma thabiti na uwezo wetu wote
Rais Mahmoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran huku akiashiria kwamba Iran ilishambuliwa kijeshi na Marekani na utawala haramu wa Israel wakati ilipokuwa kwenye mazungumzo na Marekani, amesema: "Sisis…
Kanisa Katoliki la Meru lakataa kumzika ajuza wa miaka 100 kutokana na malimbikizo ya KSh 6,300
Familia moja ya Meru imesononeka baada ya kanisa moja kukataa kumzika nyanya yao kutokana na deni la KSh 6,300, jambo lililozua mjadala kuhusu imani, utu na huruma.
Tanzania isiangukie mtego wa machafuko Afrika
KATIKA kipindi ambacho sehemu mbalimbali za Afrika zinakumbwa na changamoto za migogoro, machafuko na mivutano ya kisiasa, Tanzania inaendelea kusimama kama mfano wa utulivu, mshikamano na uongozi wenye mwelekeo wa…
HESLB yakusanya bil 60/- miezi mitatu
BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeanza mwaka 2026 kwa kasi ikivuka malengo kwa kukusanya zaidi ya Sh bilioni 60.83 za ukusanyaji wa marejesho ya mikopo…
Rais Samia apongezwa kuteua mpinzani
WADAU wa siasa na wananchi wamewatwika mzigo wa majukumu viongozi wapya walioteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan, wakiwataka watekeleze majukumu yao kwa weledi, uadilifu na kuweka mbele maslahi ya taifa…
Viongozi wa dini wakataa migongano,vita
VIONGOZI wa dini ya Kikristo nchini wamewataka waumini wa dini hiyo kudumisha upendo, msamaha na kukataa migongano na vita. Wameeleza hayo katika ibada na misa za Ijumaa Kuu katika maeneo…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Aprili 4, 2026
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers... The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania…
Tanzania yapiga hatua mifumo ya malipo kikanda
MOROCCO: Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba, amesema Tanzania imepiga hatua kubwa katika kuunganishwa na mifumo ya malipo ya kikanda, hatua inayorahisisha upatikanaji wa huduma za kifedha…
Kaya 1,830 zimekosa makazi baada ya nyumba zao kubomoka kufuatia mvua kubwa iliyosababisha mafuriko katika kata za Sungaje na Mu…
Kaya 1,830 zimekosa makazi baada ya nyumba zao kubomoka kufuatia mvua kubwa iliyosababisha mafuriko katika kata za Sungaje na Muhonda, wilayani Mvomero mkoani Morogoro. #AzamTVUpdates Mhariri | John Mbalamwezi (Feed…
Jamaa ajeruhiwa akiigiza kuhusu kusulubiwa kwa Yesu kwenye sherehe ya Ijumaa Kuu
Mwanafunzi wa chuo kikuu Dennis Zziswa anapokea matibabu baada ya kupata majeraha wakati wa igizo la kusulubiwa kwa Yesu katika Kanisa la Our Lady of Africa
Ijumaa Kuu fursa ya kuondoa chuki, uonevu na ukatili
Waumini wa dini ya Kikristo nchini wameshiriki ibada ya Ijumaa Kuu katika makanisa mbalimbali...
#live:TAARIFA YA HABARI YA USIKU – 03/04/2026
#live:TAARIFA YA HABARI YA USIKU - 03/04/2026 (Feed generated with FetchRSS)
Rotary Club ya Dar es Salaam yafadhili semina ya mbinu za elimu jumuishi
Ikiwa ni sehemu ya dhamira yake ya kuimarisha elimu bora na kuwawezesha waalimu, Klabu ya...
Mwanadada Apakia Video ya Hisia Mitandaoni Akisafisha Makaburi ya Wazazi Wake: “Shukuru Mungu”
Schollah aliwagusa watu mitandaoni baada ya kushiriki video ya hisia akisafisha kaburi la marehemu babake, akifunguka kuhusu huzuni ya kuwapoteza wazazi wote wawili.
Utapeli wa ajira watinga Iringa, wawili watiwa mbaroni, vijana 75 waokolewa
Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa limewakamata watu wawili wanaotuhumiwa kuongoza mtandao wa...
Wafanyabiashara 1,500 Soko la Mgandini hatarini kukumbwa na magonjwa ya mlipuko
Hofu ya milipuko ya magonjwa imewakumba zaidi ya wafanyabiashara 1,500 katika Soko la Mgandini...
Usimamizi mzuri wa ardhi utawezesha makazi bora
Wananchi wa Mkoa wa Simiyu wamesema kuwa usimamizi mzuri wa ardhi na upangaji wa matumizi yake...
Wanayopitia wasafirishaji, wananchi bei ya mafuta ikiuma
Baadhi ya wasafirishaji wamesema hali hiyo imeanza kuwauma. Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi...
Wacomoro wamuaga Yakub kwa nishani
Serikali ya Umoja wa Visiwa vya Comoro imemtunuku aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini humo...
More than a tournament: Why AFCON facilities are a lifetime investment
DAR ES SALAAM: AFRICA’S biggest football tournament often leaves behind more than trophies and memories; it reshapes a nation’s sporting future. As Tanzania invests in facilities ahead of the 2027…
Wananchi washauriwa kuhama maeneo yaliyopasuka Same
Mtaalamu wa jiolojia kutoka Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania, Gabriel Mbogoni,...
Kupanda kwa bei ya mafuta kwachochea mvutano wa nauli Iringa
Kupanda kwa bei ya mafuta kulikotangazwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji...
Yanga, Namungo, Mashujaa kwenye mtihani mzito Ligi Kuu
MSHIKE MSHIKE wa Ligi Kuu unaendelea tena leo Jumamosi kwa kushuhudiwa mechi tatu zikipigwa kwenye viwanja mbalimbali, huku mabingwa watetezi Yanga wakiwa na kibarua cha kupambana na maafande wa Tanzania…
Zanzibar’s seaweed farmers get boats, drying facility in Pemba
WOMEN seaweed farmers in Micheweni Pemba have received a major boost under the Zanzibar Joint Programme following the handover of boats, production equipment, a solar-powered drying facility and a seaweed…
Zanzibar, UN assess implementation of key development programmes
ZANZIBAR: THE government of Zanzibar has hosted the United Nations and other development partners in the archipelago to review progress on two joint programmes including supporting food systems, climate resilience…
Zaidi ya kaya 1,800 zaathirika kwa mafuriko Mvomero
Hali ya huzuni, simanzi na sintofahamu imetawala miongoni mwa waathirika wa mafuriko wilayani...
Millicent Omanga azua gumzo baada ya kuonekana amezikata nywele zake
Seneta wa zamani Millicent Omanga awaduwaza Wakenya mitandaoni na mtindo wake mpya wa kunyoa nywele baada ya kuhamia DCP. Je, ni mwanzo mpya.....
Chege ahoji mfumo wa NEST, ataka maboresho
MBUNGE wa Rory, Jafari Chege amehoji Serikali kuhusu changamoto za utekelezaji wa mfumo wa manunuzi wa kielektroniki (NEST), licha ya mfumo huo kusaidia uwazi na usawa wa zabuni. The post…
Ally Salim atangaza vita mpya Ligi Kuu Bara
BAADA ya kipa wa Dodoma Jiji, Ally Salim kukaa nje kwa takribani mwezi mmoja alipoumia mechi dhidi ya Mbeya City, iliyokuwa imepigwa Uwanja wa Sokoine, Machi 02, 2024 na kumalizika…
Mwinyi: Umoja Ni Nguzo ya Amani na Utulivu
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Hussein Ali Mwinyi, amesisitiza umuhimu wa kulinda amani, umoja na mshikamano nchini, akihimiza wananchi kuondoa ubaguzi na kuimarisha upendo katika jamii.…
Wakimbizi waliotoroka kambini kusakwa Kigoma
SERIKALI mkoani Kigoma imetangaza kuanza operesheni maalum ya kuwasaka wahamiaji haramu wakiwemo wakimbizi wa Burundi wanaodaiwa kukimbia makambini na kuishi mtaani kinyume cha sheria za uhamiaji. The post Wakimbizi waliotoroka…
Jamaa anayedaiwa kupigwa risasi 2007 katika machafuko ya uchaguzi angali na risasi kichwani
Maina Kariuki alizimia baada ya polisi kudaiwa kumpiga risasi wakati wa ghasia za baada ya uchaguzi. Miaka 18 baadaye, bado anaishi na risasi kichwani mwake.
OTR scrutinises public entity budgets to align with Vision 2050
DODOMA: THE Office of the Treasury Registrar (OTR) has launched a comprehensive budget scrutiny exercise for public entities, aimed at strengthening their alignment with Tanzania’s Dira 2050. Speaking today, April…
Tanzania, Hungary sign 55.1m US dollars loan for Water Project in Kagera
DODOMA: TANZANIA and Hungary have signed a concessional loan agreement worth 55.1m US dollars to support the implementation of the Biharamulo Water Project in Kagera Region. The agreement was signed…
Tanzania’s envoy to Comoros ends tenure with brilliance in diplomacy, food trade, ICT, and health
MORONI: THE outgoing Tanzanian ambassador to Comoros, Saidi Othman Yakubu, held a formal farewell meeting with the Minister of Foreign Affairs and International Cooperation of the Union of the Comoros,…
IPU envoys tasked to uphold Tanzania’s Foreign Policy as a non-aligned nation
DODOMA: TANZANIAN Members of Parliament representing the country in the Inter-Parliamentary Union (IPU) have been urged to ensure their participation aligns with the principles of the 2001 Foreign Policy, 2024…
TRA yakusanya tril 9.31/- miezi mitatu
DAR ES SALAAM: Ushirikiano baina ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Walipakodi umetajwa kuwezesha Mamlaka hiyo kuandika historia mpya kwa kukusanya kiasi cha Sh trilioni 9.31 kwa kipindi cha…
Dk Rai aipongeza TRA utendaji saa 24
MSIMAMIZI wa Bohari ya kuhifadhia Mafuta (DEPOT)ya MOIL ENERGIES Dk. Sajad Habib Rai ameipongeza Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) kwa kuweka na kuanzisha utaratibu wa kufanya kazi kwa Saa 24 katika…