Umoja wa Mataifa walaani mauaji ya mlinzi wake wa amani huko Lebanon
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, amelaani vikali mauaji ya mlinda amani wa Umoja wa Mataifa aliyekuwa akihudumu katika Kikosi cha Mpito cha Umoja wa Mataifa nchini Lebanon…
Kwanini Iran inatoza ushuru meli kupita Mlango- Bahari wa Hormuz?
Marekani na Iran zimeonyesha misimamo yake,na kuendelea kupimana nguvu kiasi hiki kunaleta athari gani?
Orkeeswa yajifua Zanzibar kusaka uzoefu wa kimataifa
KOCHA Mkuu wa timu ya kikapu kwa wanawake ya Orkeeswa kutoka Arusha, Benjamin John amesema ushiriki wao katika mashindano ya Asma Mwinyi Next Generation ni sehemu ya maandalizi ya kikosi…
AFCON 2027; Zanzibar kujenga ‘laini’ maalumu ya umeme Afcon City
MENEJA Mkuu wa Shirika la Umeme Zanzibar, Haji Haji, amesema Serikali ina mpango wa kujenga laini maalumu kutoka Mtoni hadi Mji wa Afcon (Afcon City) uliopo Fumba ili kuondosha changamoto…
KVZ inachotaka ni pointi tatu tu
LICHA ya KVZ kupata ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Mafunzo katika mwendelezo wa Ligi Kuu Zanzibar, lakini ofisa habari wa timu hiyo, Abduljalil Mohamed amekiri kikosi chao hakikucheza vizuri…
Mkakati mpya wa ZLB kuzuia vurugu viwanjani
BODI ya Ligi Zanzibar (ZLB) imesema imejipanga kuimarisha ulinzi kwa michezo yote iliyosalia ya Ligi Kuu Soka Zanzibar na Ligi Daraja la Kwanza ili kuhakikisha mashindano hayo yanaendeshwa kwa utulivu…
Aliyemuua mwanamke na kumkata sehemu za siri akwaa kisiki Mahakama ya Rufaa
Mahakama ya Rufaa imebariki hukumu ya kunyongwa hadi kufa aliyekuwa amehukumiwa Mulabu Muya...
Bibi afungwa jela miaka 30 baada ya kukutwa na bangi
Mahakama ya Wilaya ya Mtwara imemuhukumu Hawa Ally (60) kifungo cha miaka 30 jela baada ya...
Kocha Mafunzo ataja sababu kupigwa 3-1
KOCHA Mkuu wa Mafunzo, Salum Ali Haji, amesema sababu ya kupoteza mchezo wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) raundi ya 21 dhidi ya KVZ ni wachezaji wake kuumwa na tumbo la…
Halmashauri Mbeya yaahidi neema kwa wawekezaji
Serikali imesema itaendelea kushirikiana na kuweka mazingira rafiki kwa wawekezaji wa ndani na...
Wakuliama wa parachichi wa wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya wameipongeza serikali kwa hatua za kudhibiti uholelela katika biashara …
Wakuliama wa parachichi wa wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya wameipongeza serikali kwa hatua za kudhibiti uholelela katika biashara ya zao la parachichi. Frank Mwankenja ambaye ni mkulima wa parachichi amesema…
BoT yaeleza mchango wa mifumo ya malipo katika uchumi
Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) anayeshughulikia Sera za Uchumi na Fedha, Dk...
Serikali Wilayani Chamwino, imepiga marufuku kwa wananchi wanaofanya shuguli za kilimo na ufugaji kwenye vilima vinavyozunguka w…
Serikali Wilayani Chamwino, imepiga marufuku kwa wananchi wanaofanya shuguli za kilimo na ufugaji kwenye vilima vinavyozunguka wilaya hiyo, kuondoka kwenye maeneo hayo, ili kuepusha mafurukio na mmomonyoko wa aridhi. Agizo…
#HABARI: Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Mheshimiwa Dkt
#HABARI: Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan inaendelea kuweka mkazo katika kujenga uchumi jumuishi unao wajumuisha wanawake na vijana kikamilifu katika shughuli za…
Mchwa mmoja kwa dola 220: Eneo jipya la biashara haramu ya wanyamapori
Hamasa ya kukusanya mchwa imeishangaza Kenya huku wasafirishaji haramu wakilenga kujipatia faida.
Wimbi la uungaji mkono kwa Iran barani Afrika, Ulaya na Marekani; Watu walaani uchokozi wa Marekani na Israel
Wananchi katika nchi kadhaa za Afrika wamefanya maandamano wakipinga vita na mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Tanzania continues dominant run in T20 WC qualifier
ACCRA: TANZANIA maintained their impressive form at the ICC Men’s T20 World Cup Africa Subregional Qualifier B, thrashing Seychelles by 153 runs in Accra, Ghana. The national side delivered a…
Madeni matatu Taifa Stars ikishuka dimbani leo
Taifa Stars leo inahitimisha mashindano ya FIFA Series kwa kukabiliana na Macau katika Uwanja...
#HABARI: Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Kagera, Faris Buruhani, ametoa wito kwa vijana mkoani humo kuhakikisha wanalinda amani na u…
#HABARI: Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Kagera, Faris Buruhani, ametoa wito kwa vijana mkoani humo kuhakikisha wanalinda amani na utulivu wa nchi kwa nguvu zote. Amesema kuwa aina yoyote ya…
2026 BAL KALAHARI CONFERENCE: Dar City roar past Gia
PRETORIA: TANZANIA’S Dar City made a powerful statement in the 2026 Basketball Africa League (BAL) Kalahari Conference, cruising to a commanding 100–70 victory over hosts Johannesburg Giants on Friday evening…
Bodi inavyochuma mamilioni ya klabu
Kwa kipindi cha miezi sita tangu kuanza kwa Ligi Kuu Bara Septemba 17, 2025, taswira ya...
Qalibaf: Jibu la Iran limepangwa ili kuharakisha kusambaratika jeshi la Israel
Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amezungumzia kukiri kamanda wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu kusambaratika jeshi hilo na kuandika: Jibu la Iran…
Jebelli: Misimamo ya ujasiri ya Shahidi Shoaib ilipinga mashine ya vita ya adui Mzayuni
Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB) ametuma salamu za rambirambi kwa wakurugenzi wa Televisheni za Al-Manar na Al-Mayadeen za Lebanon kufuatia hatua ya utawala…
Little Goliaths, loud silence: Tanzania’s quiet football champs we are too busy to notice
DAR ES SALAAM: THERE is something beautifully absurd about the way we handle football in Tanzania. Not the playing of it, of course. That part we approach with the seriousness…
Baqaei: Mashambulizi dhidi ya vyuo vikuu yanaonyesha chuki ya adui kwa maendeleo ya kisayansi ya Wairani
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali jinai za adui za kuvishambulia vyuo viku na vituo vya elimu nchini Iran.
Zaidi ya wanafunzi wa kitanzania 18 wamepelekwa nchini korea kwa ajili ya masomo ikiwa ni matokeo ya uhusiano mzuri baina ya tan…
Zaidi ya wanafunzi wa kitanzania 18 wamepelekwa nchini korea kwa ajili ya masomo ikiwa ni matokeo ya uhusiano mzuri baina ya tanzania na korea ambao umedumu kwa miaka mingi Wakizungumza…
Iran ilivyotumia mechi kuilaani Marekani
Timu ya taifa ya Iran juzi ilivaa vitambaa vyeusi mkononi na kushikilia mabegi ya shule wakati...
Tanzania yaandika historia mpya
DAR ES SALAAM: Tanzania imeandika ukurasa mpya katika historia ya elimu ya ufundi kwa kupeleka walimu 150 wa Amali za Kihandisi nchini India. Hatua hii kubwa ya kimkakati siyo tu…
This is why your crush gives you so much anxiety
USA: YOU’RE waiting in line at a coffee shop when it’s finally your turn at the register. After placing your order, you and the barista exchange a few words. The…
#HABARI: Wananchi wa kaya 150 za kata za Kibaoni, Michenga, Lumemo na Lipangalala katika Halmashauri ya mji wa Ifakara, Jimbo la…
#HABARI: Wananchi wa kaya 150 za kata za Kibaoni, Michenga, Lumemo na Lipangalala katika Halmashauri ya mji wa Ifakara, Jimbo la Kilombero, mkoani Morogoro, wamelishukuru Shirika la Reli Tanzania (TRC)…
Nepal yamwapisha aliyekuwa rapa kuwa Waziri Mkuu mpya
Mwanamuziki maaraufu wa rap (Rapa) ambaye sasa amejitosa kwenye siasa Balendra Shah ndiye aliyeapishwa kuwa Waziri Mkuu wa Nepal baada ya ushindi wake wa kishindo.
#HABARI:Aliyekuwa Naibu Rais na Kiongozi wa Chama ch DCP Rigathi Gachagua, amejibu mashambulizi ya maneno ya Rais William Ruto d…
#HABARI:Aliyekuwa Naibu Rais na Kiongozi wa Chama ch DCP Rigathi Gachagua, amejibu mashambulizi ya maneno ya Rais William Ruto dhidi yake, na badala yake amemtaka Rais Ruto kutumia muda huo…
Mila, ndoa na sherehe za ajabu duniani
Utamaduni wa harusi una sura nyingi – nyingine za kushangaza, nyingine za kutia tabasamu.
Tanzania joins frontline battle against deadly drug resistance
DAR ES SALAAM: THE growing global threat of antimicrobial resistance (AMR) has increasingly captured the attention of health expert’s, policymakers and international organisations, as it steadily erodes the effectiveness of…
Kaburi la halaiki Kericho: Kipchumba Murkomen asema watu 6 wamekamatwa baada ya miili 33 kufukuliwa
Waziri wa Mambo ya Ndani Kipchumba Murkomen ametoa taarifa mpya kuhusu uchunguzi unaoendelea wa kaburi la halaiki Kericho, akifichua kukamatwa kwa watu 6.
Kabla hamjaachana, chungeni haya
Baadhi ya ndoa huisha ghafla huku nyingine zikivunjika taratibu kwa muda mrefu. Sababu za...
Hisia pekee hazitoshi, jifunze kupenda
Katika mtazamo wa kijamii, ndoa na uhusiano mwingi huvunjika si kwa sababu watu hawakuwa na...
Karen Nyamu asema alikuwa akijificha na kuucheza wimbo wa Raila Odinga wa Tibim: “Nisionekane”
Karen Nyamu anaelezea mapenzi yake kwa Raila Odinga na kutangaza kugombea kwake uchaguzi wa 2027, ulioidhinishwa na Esther Passaris katikati ya umoja wa kisiasa.
Mashambulizi ya Iran yaua au kujeruhi zaidi ya wanajeshi 500 wa Marekani waliokuwa wamejificha UAE
Jeshi la Iran lilitangaza siku ya Jumamosi kuwa vikosi vyake vimeua au kuwajeruhi zaidi ya wanajeshi 500 wa Marekani katika mashambulizi yaliyolenga maficho mawili ya Marekani huko Dubai.
Bloomberg: Nchi za Ghuba ya Uajemi zimechoshwa na vita/ Oman yaunga mkono Iran
Chombo kimoja cha habari cha Magharibi kimekiri kwamba nchi za Ghuba ya Uajemi zimechoshwa na vita dhidi ya Iran na zinaamini kuwa Marekani haina mkakati wowote katika vita hivi.
Rigathi Gachagua amwambia Ruto asahau kabisa kura Mlima Kenya, hata 5% pekee hatapata
Mlima KenyaRigathi Gachagua aapa kumzuia Ruto kupata kura Mlima Kenya, akijiweka kama mzito wa upinzani huku akimtaka Kalonzo apate kura milioni 4 za Ukambani.
Russia: Mashambulizi dhidi ya vituo vya amani vya nyuklia nchini Iran yanapaswa kulaaniwa kimataifa/Grossi achukue msimamo ulio wazi
Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imesema mashambulizi mapya ya Ijumaa kwenye vituo vya amani vya nyuklia nchini Iran yanapasa kulaaniwa kimataifa. Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje…
Unamwandaaje mwanao kukabiliana na changamoto ya ajira
Katika kipindi hiki ambacho dunia inabadilika kwa kasi kubwa ya kiteknolojia na kiuchumi, suala...
Mazoezi ni muhimu kwa afya ya mwili, kwani husaidia kupunguza mafuta yaliyopitiliza ambayo yanaweza kusababisha magonjwa mbalimb…
Mazoezi ni muhimu kwa afya ya mwili, kwani husaidia kupunguza mafuta yaliyopitiliza ambayo yanaweza kusababisha magonjwa mbalimbali. Kwa kufanya mazoezi mara kwa mara, unaweza kuimarisha mwili wako mzima, kupunguza uzito…
Upigaji wa piano huhitaji takribani miaka kumi au zaidi ili mtu aweze kuwa mtaalamu wa chombo hicho cha muziki
Upigaji wa piano huhitaji takribani miaka kumi au zaidi ili mtu aweze kuwa mtaalamu wa chombo hicho cha muziki. Hata hivyo, imeelezwa kuwa watu wengi kwa sasa wanatumia piano bila…
Wenza maarufu na mtego wa kuishi maisha feki
Wenza maarufu kama wasanii, wanamichezo au viongozi, hulazimika kuishi si tu kwa ajili yao...
Waasi wa Houthi wathibitisha shambulio la pili la kombora dhidi ya Israel
Waasi wa Houthi wa Yemen wanasema wamefanya shambulio la pili katika sehemu za kusini mwa Israel leo.
Why Tanzania’s security industry must go green
WHEN we talk about security, one is often tempted to picture armed guards, patrol vehicles and surveillance cameras. Traditionally, the role of security has been narrowly defined as the protection…
‘Rijali’ hashindi mitandaoni kutoa mipasho
Zamani, sifa kuu ya mwanaume rijali ilikuwa ni busara, utulivu, na uwezo wa kumeza maneno hata...
Niger: Serikali yapiga marufuku kusambaza picha za wapokeaji wa chakula au misaada ya kijamii
Nchini Niger, ni marufuku kusambaza picha za watu wanaopokea misaada, kama vile michango ya chakula. Shirika la taifa la Mawasiliano (ONC) linakumbusha vyombo vya habari na tovuti kuhusu sheria hii.…