#HABARI: Mwanamke mmoja mwenye ulemavu na mkazi wa Jiji la Mbeya anayeishi katika mazingira magumu, ametoa ombi la kipekee la k…
#HABARI: Mwanamke mmoja mwenye ulemavu na mkazi wa Jiji la Mbeya anayeishi katika mazingira magumu, ametoa ombi la kipekee la kupatiwa mtaji wa shilingi elfu tano ili aweze kuanza biashara…
Migogoro ya ardhi bado mfupa mgumu
Migogoro ya ardhi imeendelea kuwa mfupa ulioshindikana kuvunjika, baada ya malalamiko yake...
Sintofahamu madai ya kutoonekana hadharani kwa Netanyahu
Kumekuwa na sintofahamu kubwa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu hatima ya Waziri Mkuu wa...
Wanne waliohukumiwa kunyongwa waachiwa huru
Mahakama ya Rufani, imebatilisha adhabu ya kunyongwa hadi kufa kwa watu wanne waliokutwa na...
OMO aonesha matumaini mazungumzo na Serikali Zanzibar
Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Taifa, Othman Masoud Othman, amewaondoa wasiwasi...
PM orders a thorough investigation into the supply and distribution of medicines in Tanzanian hospitals
MPANDA: PRIME Minister, Mwigulu Nchemba, has ordered a comprehensive investigation into the system for the supply and distribution of medicines in hospitals and health facilities across the country. Dr Nchemba…
#HABARI: Mbunge wa Kisarawe, Suleiman Jafo, amewataka Watanzania kudumisha amani na mshikamano kama msingi mkuu wa maendeleo ya…
#HABARI: Mbunge wa Kisarawe, Suleiman Jafo, amewataka Watanzania kudumisha amani na mshikamano kama msingi mkuu wa maendeleo ya taifa. Akizungumza kama mgeni rasmi katika mashindano ya 13 ya kuhifadhi Qur’aan…
#HABARI: Serikali imepeleka kiasi cha Shilingi Trilioni 1.57 katika Mkoa wa Kilimanjaro kwa ajili ya shughuli za Maendeleo na H…
#HABARI: Serikali imepeleka kiasi cha Shilingi Trilioni 1.57 katika Mkoa wa Kilimanjaro kwa ajili ya shughuli za Maendeleo na Huduma kwa wananchi ikiwemo Miradi ya Elimu, Afya, Barabara na Shughuli…
Tanzania affirms to work closely with religious bodies to safeguard moral values, promote development
MPANDA: PRIME Minister, Dr Mwigulu Nchemba,said the government will continue to work closely with religious institutions across the country to safeguard peace, strengthen moral values, and promote national development. Dr…
Kamati yashangazwa teknolojia kituo cha uchenjuaji dhahabu
GEITA: Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini wameridhishwa na kushangazwa na kasi ya teknolojia inayotumika katika Kituo cha Mfano cha Uchenjuaji Dhahabu cha Katente, kilichopo…
Daraja la Matete Tarangire larahisisha utalii Tarangire
Daraja hilo lenye urefu wa mita 85, lililogharimu Sh1.1 bilioni, limejengwa juu ya Mto...
Tanzania–Kenya border is named a model in Africa, with its demarcation works hitting 75 per cent
MOSHI: TANZANIA’S Parliamentary Standing Committee on Lands, Natural Resources and Tourism has expressed satisfaction with the progress of the demarcation of the international border between Tanzania and Kenya, where 564…
Watafiti wabaini aina sita za uyoga zinazopatikana Tanzania pekee
Wataalamu na watafiti wa uyoga pori, wamesema tafiti mbalimbali zilizofanywa zimebaini kuwepo...
WHO yatoa fedha za dharura kusaidia sekta ya afya Lebanon, Iraq na Syria
Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa Duniani WHO, limetangaza kutoa dola milioni mbili za dharura kusaidia mifumo ya afya katika nchi za Lebanon, Iraq na Syria, wakati mashambulizi dhidi…
Guterres atoa wito wa kukomesha chuki dhidi ya waislamu
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ametoa ujumbe maalum katika Siku ya Kimataifa ya Kukabiliana na Chuki Dhidi ya Uislamu, akihimiza serikali, mashirika na jamii kote duniani kuchukua…
Mbongo asaini miwili Uturuki
MTANZANIA mwingine Emmanuel Mlefu amejiunga na Sisli Yeditepe inayoshiriki Ligi ya Walemavu Uturuki kwa mkataba wa miaka miwili.
#HABARI: Afisa Usafirishaji mkoani Tabora, aliyetambulika kwa jina la Kimwaga Rashid Kimwaga (40), ameuawa na watu wasiojulikan…
#HABARI: Afisa Usafirishaji mkoani Tabora, aliyetambulika kwa jina la Kimwaga Rashid Kimwaga (40), ameuawa na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia leo katika mtaa wa Usule, Kata ya Mbugani. Katika tukio…
Kinda Mtanzania atimkia Manchester
SAFARI ya kinda wa Kitanzania, Gwakisa Mwakipesile imeanza kuonja ladha ya ushindani wa soka katika Ligi Kuu ya Vijana England baada ya kucheza mechi yake ya kwanza kwa walio na…
Chama la Samatta hatarini kushuka daraja
KLABU ya Le Havre AC anayoichezea mshambuliaji wa Kitanzania, Mbwana Samatta iko kwenye nafasi mbaya na hatari ya kushuka daraja kama haitashtuka mwishoni.
JICHO LETU MAHAKAMANI: Msimamo wa Mahakama Tume ya Matukio ya Oktoba 29
Ijumaa Machi 13, 2026 Mahakama Kuu Dar es Salaam ilitoa uamuzi wa shauri la kupinga Tume ya...
#HABARI: Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Arusha na Mwenyekiti wa Bunge, Mhe
#HABARI: Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Arusha na Mwenyekiti wa Bunge, Mhe. Cecilia Daniel Paresso, ametoa msaada wa mbao zenye thamani ya shilingi milioni mbili na laki tano kwa…
Singano aendeleza historia Mexico
BEKI wa Tanzania, Julietha Singano ameandika rekodi ya kuwa miongoni mwa wachezaji waliocheza mechi nyingi katika kikosi cha FC Juarez Femenil kinachoshiriki ligi ya wanawake ya Mexico.
Ukizubaa ZPL umeachwa mapema
ULE uhondo na utamu wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) unatarajiwa kuendelea Machi 28, 2026 baada ya ligi hiyo kusimama kupisha mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani unaokaribia ukingoni.
#HABARI: Mbunge wa Tunduru Kaskazini, Ndugu Ado Shaibu, amekutana na kufanya mazungumzo na wanafunzi wa vyuo vikuu wanaotoka wil…
#HABARI: Mbunge wa Tunduru Kaskazini, Ndugu Ado Shaibu, amekutana na kufanya mazungumzo na wanafunzi wa vyuo vikuu wanaotoka wilayani Tunduru katika kikao kilichofanyika jana Machi 14, 2026, jijini Dodoma. Katika…
Kiongozi mkuu mpya wa Iran aapa kuendelea kuzuia kupita kwa meli katika Mlango-Bahari wa Hormuz
Ujumbe huo kutoka kwa kiongozi mpya wa Iran Mojtaba Khamenei umesomwa na mtangazaji katika runinga ya taifa ya Iran.
Atupwa jela miaka 12 kwa kumuua mkewe
Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Mtwara, imemuhukumu kifungo cha miaka 12 jela Ally Abrahaman...
Minister hails strategic leadership training for cementing public-private ties
DAR ES SALAAM: THE Zanzibar Minister of Finance and Planning, Juma Akili, has urged leaders from various sectors in the country to use the knowledge and networks they gained from…
Tanzania allocates 3.83bn for renovation of the PCCB offices
GEITA: THE Tanzanian government has allocated 3.82bn/- in the 2025/2026 financial year for the construction and renovation of offices for the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB), as part…
Alliance ipo sokoni ikitafuta kocha
ALLIANCE Girls imeingia kambini rasmi Ijumaa kuanza maandalizi ya Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania inayotarajiwa kurejea April 03, huku uongozi wa timu hiyo ukianza mchakato wa kusaka kocha mkuu mpya…
Alliance ipo sokomi ikitafuta kocha
ALLIANCE Girls imeingia kambini rasmi Ijumaa kuanza maandalizi ya Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania inayotarajiwa kurejea April 03, huku uongozi wa timu hiyo ukianza mchakato wa kusaka kocha mkuu mpya…
#HABARI: Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imeiagiza Wakala wa Vipimo (WMA) kuhakikisha mita zote…
#HABARI: Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imeiagiza Wakala wa Vipimo (WMA) kuhakikisha mita zote za umeme na maji zinahakikiwa kikamilifu kabla ya kufungwa kwa…
Ceasiaa yaongeza nguvu benchi la ufundi
INAELEZWA Ceasiaa Queens imemwongeza aliyewahi kuwa kocha mkuu wa Alliance Girls, Sultan Juma kukiongoza kikosi hicho kuelekea mzunguko wa p
#HABARI: Wakazi na Wafanyabiashara wa mazao ya misitu katika Mikoa ya Mtwara, Lindi, na Ruvuma, wameipongeza Serikali kupitia Wa…
#HABARI: Wakazi na Wafanyabiashara wa mazao ya misitu katika Mikoa ya Mtwara, Lindi, na Ruvuma, wameipongeza Serikali kupitia Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) kwa mikakati thabiti ya uhifadhi…
JKT Queens inataka mechi tatu
KOCHA Mkuu wa JKT Queens, Abdallah Kessy amesema anapanga kucheza mechi za kirafiki zisizopungua tatu kabla ya kurejea kwa ligi ili kuipima timu na kujua changamoto.
Simba yatambulisha mshambuliaji
KAIMU kocha mkuu wa Simba Queens, Mussa Hassan 'Mgosi' amesema kwa sababu ya majeruhi, walikuwa na uhitaji wa mshambuliaji dirisha dogo.
Isak aliliwa Liverpool
Liverpool pia ipo katika wasiwasi wa kutolewa katika Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kupoteza...
Roboti zenye silaha zinavyotumika kwenye uwanja wa vita nchini Ukraine
Ukraine imeanza mpango wa kupeleka roboti zenye silaha kwenye uwanja wa vita dhidi ya vikosi vya Urusi.
Mechi ya sura mbili
Azam inaikaribisha Yanga leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam kuanzia saa 2:00...
TFS yagawa miche milioni 1.4 kusini
MTWARA: WAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) kupitia Kanda ya Kusini imezalisha miche zaidi ya 2,000,000 na kugawa kwa jamii, taasisi za umma, Shule za msingi na sekondari na…
Kauli hii haitolewi na mwanamume wa kweli
Kuna kauli siku hizi imekuwa maarufu sana mitandaoni na hata kwenye vijiwe vya kahawa...
Sekondari yapongezwa upandaji miti
MTWARA: SHULE ya Sekondari Shangani iliyopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara- Mikindani imetajwa ni miongoni mwa vinara katika suala la utunzaji wa mazingira na upandaji miti ya mbao na…
#HABARI: Kufuatia chapisho lililowekwa katika mitandao siku chache zilizopita, clip iliyobeba maombi ya Wananchi wa Vigwaza Pwan…
#HABARI: Kufuatia chapisho lililowekwa katika mitandao siku chache zilizopita, clip iliyobeba maombi ya Wananchi wa Vigwaza Pwani kwenda kwa Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu…
Cholo aweweseka baada ya jina la Vene kutajwa na mshenga 🙃
Cholo aweweseka baada ya jina la Vene kutajwa na mshenga 🙃 (Feed generated with FetchRSS)
Ukimya wenu sawa na sumu kwenye ndoa
Ukimya katika ndoa ni moja ya sumu kubwa inayoweza kuharibu uhusiano wa wawili walioamua...
Serikali yadhamiria wananchi kupata makazi bora, nafuu
DAR ES SALAAM: Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ameeleza dhamira ya Serikali ni kuhakikisha Watanzania hususan vijana, wanapata makazi bora na ya gharama nafuu kupitia miradi mbalimbali inayoendelea kutekelezwa…
La Riba banking gains strong trust nationwide
DAR ES SALAAM: The National Bank of Commerce (NBC) has been praised for advancing financial inclusion through its interest-free banking service, La Riba (Islamic banking), which has opened new pathways…
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita, Jumanne Misungwi, amewaomba Watanzania kuendelea kumuombea Rais ili aweze kuiongoz…
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita, Jumanne Misungwi, amewaomba Watanzania kuendelea kumuombea Rais ili aweze kuiongoza nchi kwa hekima, busara na mafanikio zaidi kwa manufaa ya wananchi. Misungwi ametoa…
Iran yazitaka nchi jirani kuwafukuza wanajeshi vamizi wa kigeni
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Iran inaziomba nchi jirani na za kindugu kuwafukuza wanajeshi wa kigeni wanaovamia kutoka katika ardhi zao.
KONA YA MZAZI: Mzazi muwekee mipaka dada wa kazi malezi ya mtoto
Katika familia nyingi hivi sasa hasa zinazoishi mijini, wazazi hulazimika kuajiri wasaidizi wa...