PM demands action on citizens’ grievances
KATAVI: PRIME Minister Dr Mwigulu Nchemba has directed leaders at all levels of government to ensure that citizens’ complaints are properly received and addressed through a clear and measurable system,…
Shambulio Lailenga Rada na Mfumo wa Ulinzi wa Anga wa Ubalozi wa Marekani Baghdad
Baada ya ubalozi wa Marekani mjini Baghdad nchini Iraq kulengwa kwa shambulio, vyanzo vya habari vimeripoti kuharibiwa kwa mfumo wa ulinzi wa anga wa ubalozi huo.
TZ ELECTION UNREST REPORTS: Amnesty, HRW admit flaws
GENEVA: INTERNATIONAL human rights organisations -Amnesty International and Human Rights Watch – have acknowledged that their reports on alleged human rights violations before, during and after Tanzania’s General Elections held…
Dar, Kinshasa trade soars as cargo hits 6 million tonnes
COAST REGION: CARGO volumes between Tanzania and the Democratic Republic of Congo (DRC) have more than doubled in recent years, rising from 2.95 million tonnes in 2021/22 to 5.995 million…
Maseneta wa Marekani wataka kufukuzwa Waziri wa Vita wa nchi hiyo kwa kuua wanafunzi shule ya msingi Minab
Maseneta Elizabeth Warren na Chriss Van Hollen wa Marekani wametoa wito wa kutimuliwa Waziri wa Vita wa nchi hiyo, Pete Hegseth, kwa sababu ya kutenda jinai ya kuua watoto wadogo…
Brigedi za al Qassam zapongeza mashambulizi ya Iran katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu katika Siku ya Kimataifa ya Quds
Brigedi za Shahidi Izzuddin Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) zimepongeza mashambulizi yaliyofanywa na Iran katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) katika kujibu…
Qalibaf: Dhamiri iliyoamka ya watu wa Iran dhidi ya ukandamizaji haitanyamazishwa na tishio lolote
Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema katika ujumbe kuwa: Watu wakubwa wa Iran kwa mara nyingine wameonyesha kwa hatua zao thabiti mitaani kwamba dhamiri iliyo…
Akiba ya mafuta ya Marekani yapungua hadi kiwango cha chini kabisa katika miaka 44
Akiba ya mafuta ya Marekani imepungua hadi kiwango cha chini kabisa katika kipindi cha miaka 44 iliyopita, na hayo ni kwa mujibu wa vyombo vya habari vya Marekani.
Jen. Mousavi: Iran imeivurumishia Israel makombora 30 ya balestiki
Kamanda wa Kikosi cha Anga za Mbali cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran IRGC amesema asilimia kubwa ya makombora 30 ya balestiki yaliyovumishwa na Jamhuri ya…
Rais wa Belarus: Wavamizi Marekani na Israel hawajafikia malengo yao
Rais Alexender Lukashenko wa Belarus amelaani mashambulizi ya kijeshi ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran na kusema kuwa wavamizi hao hawajifikia hata lengo lao moja.
Pezeshkian: Marekani na utawala wa Kizayuni zinafuatilia malengo maovu ya kuigawa Iran na nchi nyingine kubwa za Kiislamu
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezitaka nchi za Kiislamu kuwa macho dhidi ya njama za maadui wa pamoja wa Umma wa Kiislamu.
Japan: Hakuna Mpango wa Kutuma Jeshi Lango Bahari la Hormuz, Wajapani wapinga vita dhidi ya Iran
Waziri Mkuu wa Japan amesema wazi katika kikao cha bunge kwamba nchi yakehaina mpango wa kutuma vikosi vya kijeshi kwa ajili ya operesheni za kuondoa mabomu ya baharini katika Lango…
Madereva wa WRC wanapata mshahara kiasi gani kwenye Safari Rally 2026 Naivasha
Gundua mapato ya madereva bora wa WRC wakati Safari Rally ya 2026 inapoendelea Naivasha. Gundua maarifa kuhusu mikataba na hali ngumu wanazokabiliana nazo.
Araghchi: Kujitokeza mamilioni Siku ya Quds ni ishara ya azma thabiti ya Wairani
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kwamba: “Taifa la Iran, kwa umoja na mshikamano, litaendelea kusimama pamoja na misingi na malengo yake, na halitarudi nyuma kamwe.”
Naim Qassim: Tumejiandaa kwa ajili ya mapambano ya muda mrefu/donda la saratani linavuruga amani Asia Magharibi
Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon ametangaza kuwa, harakati hiyo imejiandaa kwa ajili ya mapambano ya muda mrefu.
Nandy kimataifa akitamba Paris Fashion Week!
Ni wazi kuwa chapa (brand) ya Staa wa Bongofleva, Nandy (33), inazidi kupiga hatua katika...
Wataalamu wa haki wa UN walaani mashambulizi ya US, Israel dhidi ya Iran
Kundi moja la wataalamu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa limelaani vikali mashambulizi na jinai zinazofanywa na Marekani na Israel dhidi ya wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya…
Njia nne za kumaliza vita vya Iran
Kiongozi mpya wa Iran anaonekana tayari kufanya maji kuwa silaha ya vita katika eneo hilo.
Video ya muonekano mpya wa Dennis Oliech akiwa na Jeff Koinange yawatia wasiwasi Wakenya mitandaoni
Muonekano mpya wa nguli wa mpira wa miguu Denis Oliech unazua wasiwasi miongoni mwa Wakenya. Baadhi walihoji kama yuko sawa, huku wengine wakimtakia kila la kheri.
Msajili wa Vyama vya Siasa akataa jitihada ya Wanyonyi kusajili Chama cha Linda Mwananchi
Msajili John Cox Lorionokou akataa "Linda Mwananchi Party" ya Charles Wanyonyi, akitoa mfano wa "Linda Mkenya, Boresha Kenya," na kuzua mvutano wa kisiasa.
Meru: Muuguzi mkongwe wa Hospitali ya Kenyatta afariki baada ya miaka 28 ya huduma ya kujitolea
Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta inaomboleza muuguzi mkongwe Caroline Ruguru Kirimi, ambaye aliwahudumia wagonjwa kwa huruma kwa miaka 28, ameacha urithi wa huduma.
Kina Travis Scott wapinga Rap kutumika katika hukumu ya kifo!
Rapa wa Marekani, Travis Scott pamoja na wenzake wameiomba Mahakama Kuu (Supreme Court of the...
Marekani imeshambulia Kisiwa muhimu cha Kharg cha Iran – Trump
Trump ametoa wito kwa Iran kuweka chini silaha zake na "kuokoa kile kilichobaki cha nchi yao, ambacho si kikubwa".
Mabaharia waliokwama karibu na Iran
Ndege zisizo na rubani, makombora na ndege za kivita zimekuwa jambo la kawaida kwa mabaharia wengi waliokwama kwenye meli eneo la Ghuba.
Washauri 21 wa Ruto warejea kazini huku Mahakama ya Rufaa ikiwapa ahueni ya muda
Washauri 21 wa Rais William Ruto wamerejeshwa kazini na Mahakama ya Rufaa, na kuhakikisha mwendelezo licha ya changamoto za kisheria kuhusu uhalali wake kikatiba.
Magazeti ya Kenya: Gachagua, Kalonzo wawazia mbinu ya ‘Kibaki 2002’ kumng’atua Ruto kura ya 2027
Upinzani ulioungana unapanga mkakati wa kisiasa ambao unatumai utamnyima William Ruto muhula wa pili kwa kukopa mbinu kutoka kwa Uchaguzi Mkuu wa 2002.
Edwin Sifuna Amzima Kiutani Amason Kingi kwa Kupinga Video za TikTok
Seneta Edwin Sifuna alimzidi ujanja Spika wa Seneti Amason Kingi dhidi ya TikTok, na kuwachekesha Waneya mtabdaoni wakati wa mjadala mkali wa bunge.
Vene jamani bado nyota inang’ara kwake…Cholo anaweweseka baada ya kusikia hivyo
Vene jamani bado nyota inang'ara kwake...Cholo anaweweseka baada ya kusikia hivyo. Mwamini hataki kabisa kumsikia mama yake. Usikose kutazama #KombolelaSeries kuanzia saa 1:30 usiku ndani ya #SinemaZetuHD chaneli namba 106…
Yavush amerudisha visa upyaaaa…Usikose kutazama 6 of Us leo saa 3:00 USIKU kupitia #AzamTWO pekee
Yavush amerudisha visa upyaaaa...Usikose kutazama 6 of Us leo saa 3:00 USIKU kupitia #AzamTWO pekee. (Feed generated with FetchRSS)
Raphael Tuju afukuzwa kwenye mali yake ya Karen na maafisa wa polisi 3am
Raphael Tuju anadai uvamizi mkubwa wa polisi katika mali yake ya Dari Business Park huko Karen, Nairobi, bila kudai uhalali wowote wa kisheria kwa operesheni hiyo.
UN yaisifu Tanzania kuunda tume ya uchunguzi matukio ya Oktoba 29
Romero ametoa kauli hiyo Machi 12, 2026 mjini Geneva wakati akihitimisha mjadala uliokuwa na...
Hekaya za Mlevi: Mbu tumemshindwa, kunguru je?
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Huwa hana majivuno pale anapofaulu. Akifanikiwa hutumia...
Nyuma ya mafanikio ya Xouh kwenye muziki kuna haya
Unaweza kusema dunia imejaa ubinafsi. Hii ni kutokana na tabia ya baadhi ya watu ya nipe ni kupe.
‘Ni sampuli ya kipekee sana ya kibaiolojia’: Siri iliyojificha katika damu ya hedhi
Kuanzia endometriosis na saratani ya shingo ya kizazi, hadi kisukari na matatizo ya tezi dume, wanasayansi wanagundua kuwa damu ya hedhi inatoa fursa ya kujua ustawi wa wanawake.
African media must consider solution-based journalism
OSLO, NORWAY: As the world continues to witness the effects of the war between the United States, Israel and Iran, African media outlets have been urged to focus on writing…
Wadau wa elimu wataja njia kuinua ufaulu wa hisabati
Kwa mujibu wa wadau hao, katika zama za sayansi na teknolojia mwanafunzi hapaswi kutishwa na...
Masauni: Mpango wa kukijanisha nchi upo mbioni
Serikali ipo mbioni kuanzisha mpango wa mageuzi ya kijani utakaolenga kukijanisha Tanzania na...
Tetesi za soka Jumamosi: Rashford anaweza kurejea Man Utd
Marcus Rashford anaweza kurudi Manchester United msimu huu wa joto, Tottenham wanatafuta mchezaji wa kuchukua nafasi ya Igor Tudor na Arsenal wanaandaa mkataba na Leon Goretzka.
Wajane Rukia na Habiba, wanaopambana na mawimbi kutafuta riziki
Lakini kati ya wote waliopo baharini, macho yangu yanavutiwa zaidi na wanawake wawili walioko...
Viongozi wa dini waombwa kuhimiza tahadhari dhidi ya mvua Mara
Mtambi amesema mvua tayari zimeanza kunyesha na kwa mujibu wa Tanzania Meteorological Authority...
‘Hata inyeshe mvua ya makombora tunaendelea kuishi’ – Wairani
Raia wa Iran wanasema wanajificha nyumbani na ni mara chache wao kutoka nje kwenye mitaa isiyo na watu huku milipuko ya mabomu ya Marekani na Israel dhidi ya Iran ikiendelea.
| #CAFCL Masandawana kibabe wananyakua alama tatu mbele ya Stade Malien
| #CAFCL Masandawana kibabe wananyakua alama tatu mbele ya Stade Malien FT: Mamelodi 3-0 Stade Malien Ilikuwa LIVE #AzamSports1HD Je unadhani Stade Malien watalipa kisasi kwenye mchezo wa marudiano? #CAFCL…
Siku 100 za Rais Samia: OSHA yaacha alama ukuzaji uwekezaji, kuimarisha usalama wa wafanyakazi
Wakati tathmini za utendaji wa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano...
80′ | #CAFCL Chuma ya tatu kwa Masandawana
80' | #CAFCL Chuma ya tatu kwa Masandawana..... Mamelodi 3-0 Stade Malien LIVE #AzamSports1HD #CAFCL #CAFChampionsLeague #LigiYaMabingwaAfrika #MamelodiSundown #StadeMalien (Feed generated with FetchRSS)
Ubunifu wa kidijitali unavyosaidia OSHA kulinda maisha, kuimarisha maeneo ya kazi
Moja ya mafanikio makubwa zaidi ya OSHA hivi sasa ni utoaji wa huduma zake kwa njia ya kidijitali.
58′ | #CAFCL Chuma ya pilii………kwa Mamelodi
58' | #CAFCL Chuma ya pilii.........kwa Mamelodi Mamelodi 2-0 Stade Malien LIVE #AzamSports1HD #CAFCL #CAFChampionsLeague #LigiYaMabingwaAfrika #MamelodiSundown #StadeMalien (Feed generated with FetchRSS)
Benki ya CRDB kupeleka washindi 10 kushuhudia fainali ya Kombe la Dunia Marekani, Canada
Benki ya CRDB imezindua kampeni ijulikanayo kwa jina la “Fainali Ndo Mpango na TemboCard Visa”...
Sh14.9 bilioni kujenge madaraja mawili Ileje
Naibu Waziri wa Ujenzi, Godfrey Kasekenya amemtaka mkandarasi kutoka kampuni ya Jasco...
Tuju amshtaki jaji aliyemuomba rushwa ya KSh 10m, amlilia Jaji Mkuu kuhusu mzozo kati yake na EADB
Raphael Tuju alimlalamikia Jaji Mkuu Martha Koome, akidai jaji alimuomba rushwa ya KSh 10 milioni katika kesi yake na Benki ya Maendeleo ya Afrika Mashariki.