Bodaboda, bajaji Karatu zalia ukosefu maeneo ya maegesho, CCM yaelekeza
Baadhi ya vijana wa bodaboda na bajaji katika Wilaya ya Karatu mkoani Arusha, wameeleza kuwa...
Polisi Mbeya yawashikilia 871 kwa tuhuma za uhalifu, wamo wa mauaji
Watu 871 wanashikiliwa na Polisi Mkoa wa Mbeya kwa tuhuma mbalimbali ikiwepo mauaji, kujeruhi...
Polisi Njombe yamsaka aliyemjeruhi mpangaji wake, kisa wivu wa mapenzi
Jeshi la Polisi mkoani Njombe linamtafuta Leonola Madilo, mkazi wa Mtaa wa Lunyanywi, kwa...
Kocha Serengeti Boys aomba manne
BAADA ya kuipeleka Tanzania kwenye Fainali za Kombe la Dunia la Vijana chini ya miaka 17 zitakazofanyika nchini Qatar, Kocha Mkuu wa Serengeti Boys, Elieneza Nsanganzelu, amesema kazi kubwa iliyobaki…
Wataalamu wa afya wasisitiza tafiti kupunguza vifo vinavyozuilika
Wataalamu wa afya, watunga sera, watafiti na wadau wa sekta ya afya wamesisitiza umuhimu wa...
Ripoti yaanika chanzo kifo cha Mmarekani Ashlee Jenae hotelini Zanzibar
Jeshi la Polisi Kamisheni ya Zanzibar kupitia Idara ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai Zanzibar...
Msako wa pointi tatu Tanzania Prisons
TANZANIA Prisons inaendelea kujifua kwa ajili ya mechi tano zilizobaki, huku kocha mkuu wa timu hiyo Shedrack Nsajigwa akitangaza msako mpya wa pointi tatu kila mchezo ili kuihakikishia timu hiyo…
Malindi yakubali yaishe Ligi Kuu Zanzibar
MENEJA wa timu ya Malindi, Ramadhan Sanga amekubali yaishe kwa timu yake kushuka daraja msimu huu huku akisema wana mikakati madhubuti ya kurejea Ligi Kuu Zanzibar (ZPL). Amesema wanakwenda kucheza…
Wizara ya Habari yabainisha vipaumbele tisa, ikiomba Sh243.3 bilioni
Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo imeainisha vipaumbele tisa kwa mwaka wa fedha...
Watanzania 35 ‘waliozamia’ Afrika Kusini watozwa faini Sh50,000
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imewahukumu Watanzania 35 kulipa faini ya Sh50,000, kila mmoja...
Katwila asimulia mazito Championship
WAKATI Geita Gold ikisaka pointi tatu pekee kurejea tena Ligi Kuu, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Zuberi Katwila amesema hataisahau Championship ya msimu huu, huku akifichua siri kwa timu hiyo.
Mtihani wa Chole MVP wa AFCON U17
MICHUANO ya Mataifa ya Afrika kwa vijana chini ya miaka 17 (AFCON U17), imefikia tamati Juni 2, 2026, huku ikishuhudiwa Serengeti Boys ikikosa ubingwa baada ya kufungwa na Senegal kwa…
Kesi zaendelea kumuandama Diddy
Wakati akiwa bado anatumikia adhabu ya miezi 50 ya kifungo jela, rapa na mfanyabiashara mkubwa...
Patrick Analo: Magunia ya Pesa Taslimu Yagundulika Nyumbani kwa Afisa Mkuu wa Kaunti ya Nairobi
Maafisa wa upelelezi kutoka EACC walivamia nyumba ya Afisa Mkuu wa Kaunti ya Nairobi, na kupata pesa taslimu KSh 65.3 milioni huku uchunguzi wa ufisadi ukiendelea.
Mahakama yaelezwa kontena dawa za kulevya lilivyoingizwa Tanzania
Mashahidi 42 na vielelezo 88 vinatarajiwa kutolewa mahakamani katika kesi ya kusafirisha na...
DCEA, Veta waungana kuwajenga upya waraibu wa dawa za kulevya
Katika hatua inayolenga kuunganisha tiba ya uraibu na uwezeshaji wa kiuchumi, Mamlaka ya...
Detat: Video Inayodaiwa Kunaswa Kabla ya Matatu ya Komarock Kuhusika Katika Ajali Yaibukauka
Video iliyopepea inaonyesha muda mfupi kabla ya ajali ya matatu ya Komarock jijini Nairobi, ikiangazia wasiwasi wa dharura juu ya kuendesha gari bila uangalifu
Nani atavaa suti ya James Bond? Mbio za kumrithi Daniel Craig zashika kasi
Mchakato wa kumtafuta mwigizaji atakayechukua nafasi ya James Bond umeanza rasmi chini ya...
Rais Samia atunukiwa shahada ya heshima Russia, asema ni ya Watanzania wote
Rais Samia Suluhu Hassan ametunukiwa Shahada ya Heshima na Chuo Kikuu cha Urafiki wa Watu wa...
TCB yaahidi kuimarisha ushindani wa kahawa ya Tanzania kimataifa
Bodi ya Kahawa Tanzania (TCB) imesema itaendelea kushirikiana na wadau wa sekta ya kahawa...
Jumuiya ya Wazazi CCM, yajitenga na kauli ya Simai kuhusu Yuda
Kauli ya mbunge kupitia Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Mohamed Simai Said mbunge kupitia...
Ayatullah Khamenei: Adui aliyefedheheshwa anahamia kwenye vita mseto baada ya kushindwa kijeshi
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amesema mahasimu wa Iran wamegeukia mbinu za "vita vya mseto" baada ya kushindwa vibaya mbele ya vikosi vya ulinzi vya…
Wairani wamuenzi Mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu Imam Khomeini katika kumbukumbu ya miaka 37 tangu kuaga dunia
Wananchi wa Iran wa matabaka mbalimbali wameshiriki katika marasimu mbalimbali ya maadhimisho ya kumbukumbu ya mwaka wa 37 tangu kufariki dunia Imam Ruhullah Musavi Khomeini (M.A) Muasisi wa Jamhuri ya…
Mpaka wa Holili wajipanga kukabili Ebola
Wakati mamlaka zikiendelea kuongeza umakini na kuimarisha maandalizi ya kukabiliana na ugonjwa...
TACAS yaunga mkono pendekezo la ada kuboresha huduma, usafirishaji mizigo
Chama cha Mawakala wa Forodha Tanzania (TACAS) kimesema pendekezo la ada ya asilimia 4.5 ya...
Madagascar: Rais athibitisha jukumu la makanisa katika mashauriano ya kitaifa yajayo
Nchini Madagascar, mashauriano ya kitaifa, yaliyoahirishwa mara kwa mara tangu mwanzo wa mwaka, yamesogezwa mbele tena mnamo Juni 3. Kanali Michaël Randrianirina, rais wa sasa wa Madagascar, alitumia fursa ya…
Mawaziri wa afya wa EAC wakubaliana hatua za haraka kuikabili Ebola
Baraza la mawaziri wa afya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) limekubaliana kuoanisha...
Hifadhi za urani iliyorutubishwa za Iran ziko wapi?
Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA) lilisema wakati huo kwamba Iran ndiyo nchi pekee isiyo na silaha za nyuklia duniani iliyofikia kiwango hicho cha juu cha urutubishaji.
Guterres alaani kuuawa Lebanon kwa mlinda amani wa UN toka Serbia
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amelaani vikali kuuawa kwa Sajenti Milovan Jovanović, mlinda amani kutoka Serbia aliyekuwa akihudumu katika Kikosi cha Mpito cha Umoja wa Mataifa nchini…
WHO: Chakula kisicho salama husababisha wagonjwa milioni 866 na vifo milioni 1.5 kila mwaka
Shirika la Umja wa Mataifa la afya Duniani, WHO, limesema chakula kisicho salama kinaendelea kuwa tishio kubwa kwa afya ya umma duniani, kikisababisha takribani wagonjwa milioni 866 na vifo milioni…
FAO yasaidia Rwanda kuimarisha sekta ya chai ili kuinua maisha ya wakulima wadogo
Kufuatia changamoto zinazoongezeka kutokana na mabadiliko ya tabianchi, kupanda kwa gharama za mbolea na ushindani wa masoko ya kikanda, nchi ya Rwanda imeanza kutekeleza mkakati mpya wa kuimarisha sekta ya…
Wakazi wa Ezo wafarijika baada ya ujumbe wa walinda amani wa UN kufika eneo lililotengwa kwa muda mrefu
Wakazi wa Kaunti ya Ezo katika jimbo la Equatoria Magharibi nchini Sudan Kusini wameelezea furaha na matumaini mapya baada ya walinda amani wa Umoja wa Mataifa kufanikiwa kufika katika eneo…
UNEP yaorodhesha sababu tano za kuwa na matumaini katika mapambano dhidi ya mabadiliko ya tabianchi
Shirika la Umoja wa Mataifa la Mazingira UNEP limesema kuwa licha ya ongezeko la joto duniani kuendelea kutishia sayari, maendeleo ya teknolojia safi yanatoa matumaini mapya katika juhudi za kukabiliana…
Lebanon: Mlinda amani mwingine wa UNIFIL auawa katika mashambulizi mapya
Mlinda amani wa Umoja wa Mataifa anayehudumu nchini Lebanon amefariki dunia mapema leo Alhamisi baada ya makombora ya mizinga kulenga eneo lake la kazi karibu na Marjayoun kusini mashariki mwa…
Wanafunzi 10 wa Alliance High School wakamatwa kwa kupanga kuchoma shule usiku
Polisi walifika katika Shule ya Upili ya Alliance mnamo Alhamisi asubuhi na kuanza uchunguzi kubaini kiini cha jaribio la kuchoma taasisi hiyo na washukiwa wakuu.
Guinea: Waziri wa Ulinzi, nguzo muhimu ya utawala, ateuliwa kuwa balozi nchini Ufaransa
Nchini Guinea, uteuzi wa maafisa kadhaa katika nafasi mbalimbali unawasilishwa kama kupandishwa cheo, lakini ambalo pia linaweza kutafsiriwa kama kuwaweka mbali baadhi ya maafisa na siasa ya nchi: miongoni mwa…
Familia yazungumzia hali ya mwanaume ambaye mkewe alifariki akienda Utumishi Girls kumuona binti yao
Faith Koskei alifariki katika ajali ya barabarani akielekea Utumishi Girls Academy. Familia yake ilishiriki huzuni yao na kutaka haki itendeke kufuatia moto huo.
Nigeria: Kiwanda cha mafuta cha Dangote, mshirika mbadala katika soko la mafuta ya ndege
Mashirika ya ndege ya duniani, yanayokutana Brazil kuanzia Juni 6 kwa ajili ya mkutano wao, yana wasiwasi mwingi wa kushiriki kuhusu mustakabali wao wa hivi karibuni: bei kubwa za mafuta,…
Spika wa Bunge asema: Zama za kuitishia Iran bila gharama zimeisha
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohammad Baqer Qalibaf amesema Iran si tena shabaha ya vitisho rahisi vya maadui, akiongeza kuwa uzoefu wa vita viwili vya Marekani…
Tehran yaikosoa jamii ya kimataifa kwa kutochukua hatua za kukabiliana na ukatili dhidi ya watoto
Shirika kuu la haki za binadamu la Iran limelaani mwenendo wa jamii ya kiimataifa wa kutochukua hatua za kushughulikia uhalifu wa ukatili unaofanywa dhidi ya watoto, likitaka kutiliwa maanani kimataifa…
Jeshi la Sudan lazuia shambulio la RSF huko Blue Nile
Jeshi la Sudan limetangaza kuwa limezima shambulio la Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) kwenye eneo la kimkakati la Al-Baraka nje kidogo ya mji wa Kurmuk katika Jimbo la Blue…
Wanne Serengeti Boys wazama kikosi bora AFCON U17
Licha ya kukosa ubingwa wa Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Vijana chini ya umri wa miaka 17 (AFCON U17) 2026, Serengeti Boys imetamba kwa kuingiza idadi kubwa ya wachezaji…
Rais Mwinyi ataja sababu za kuwekeza Zanzibar
Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi ametaja mambo matano visiwani humo kuwa sehemu sahihi ya...
Tanzania enhances preventive measures and public education against Ebola outbreak
DODOMA: THE Tanzanian government has stepped up preventive measures and public education on Ebola, urging citizens to remain alert and report any suspected cases early to prevent potential spread of…
Dr Samia dedicates her honorary doctorate award to Tanzanians for their trust in her leadership
MOSCOW: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has dedicated her honorary doctorate award to the people of Tanzania, saying the recognition reflects the trust and confidence they have placed in her leadership…
Kombe la Dunia 2026: Wachezaji 10 wa kutazamwa zaidi
Makala hii inakutajia wachezaji 10 wa kutazama kwenye Kombe la Dunia la mwaka huu, litakalochezwa katika katika nchi tatu, katika miji 16 na timu 48 zinazoshiriki.
Simanjiro waiomba CCM kuingilia kati migogoro ya ardhi
Baadhi ya wananchi wa Wilaya ya Simanjiro, mkoani Manyara, wamekiomba Chama cha Mapinduzi (CCM)...
RUDIN University decorates President Samia in recognition of her leadership, diplomacy, and social development.
MOSCOW: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has been awarded an Honorary Doctorate (Honoris Causa) by RUDN University, also known as Patrice Lumumba University, in recognition of her contributions to leadership, diplomacy…
Kajala: Siwezi kurudia maisha ya zamani
Msanii wa Bongo Movie, Kajala Masanja amesema kuna mambo aliyokuwa akiyafanya zamani ambayo kwa...