Anko Kitime: Nyimbo za siasa za zama hizi mhhhhh!
Kwa bahati mbaya kuna vitabu vichache sana vinavyozungumzia historia ya muziki wa dansi na...
Nguvu ya agano na Mungu mafanikio ya mwaka mpya
Agano ni ahadi ya kudumu kati ya Mungu na mwanadamu, inayojengwa juu ya utii, imani na uaminifu.
11.01.2026
11.01.202611 Januari 2026 Iran yatishia kuzishambulia Israel na Marekani iwapo Trump ataishambulia Tehran +++Israel na Hamas zinajitayarisha kuanzisha tena vita Ukanda wa Gaza +++Na upinzani Venezuela wasema afisa aliyetuhumiwa kwa…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Januari 11, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa The post Habari kubwa…
Morocco v Nigeria, Senegal na Misri nusu fainali Afcon
MOROCCO; HATUA ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) mwaka 2025 imekamilika na sasa macho yote michezo ya usu fainali itakayofanyika Jumatano Januari 14, 2026.…
Misri yaivua ubingwa Ivory Coast
MOROCCO; MISRI imefuzu nusu fainali ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) mwaka 2025, baada ya usiku huu kuibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya bingwa mtetezi…
Tanzania yamaliza nafasi ya 11, Australia ikitwaa dhahabu ‘mixed relay’
Tanzania imemaliza katika nafasi ya 11 kwenye mashindano ya dunia ya mbio za nyika zinazoendelea Tallahassee, Florida nchini Marekani kwa upande wa relay mchanganyiko, huku Australia ikitwaa medali ya dhahabu…
#MEDANIZASIASA:VAR YA ODEMBA KAZINI/NI NANI LEO?
#MEDANIZASIASA:VAR YA ODEMBA KAZINI/NI NANI LEO?
#mapinduzinauwekezaji : Sehemu ya mahojiano na Saleh Saad Mohamed-Mkurugenzi Mtendaji Wa Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar (Z…
#mapinduzinauwekezaji : Sehemu ya mahojiano na Saleh Saad Mohamed-Mkurugenzi Mtendaji Wa Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar (ZIPA) @zipazanzibar kuhusu Miaka 62 ya Mapinduzi na Mafanikio ya Uwekezaji Zanzibar. #kilichoborakabisa
Unajua kuwa tabia ya mtu inaweza ikaisababishia matatizo familia yako?
Unajua kuwa tabia ya mtu inaweza ikaisababishia matatizo familia yako? Kama huamini ungana na kisa cha mji mdogo wa Katoro mkoani Geita ambapo tabia inayotajwa kuwa ‘mbaya’ ya balozi wa…
Wenyeji wa kanda ya ziwa hususani mkoani Kagera wanasifika sana kwa kupenda na kitoweo cha senene na kwa sasa uvunaji wa senene …
Wenyeji wa kanda ya ziwa hususani mkoani Kagera wanasifika sana kwa kupenda na kitoweo cha senene na kwa sasa uvunaji wa senene umechukua sura mpya baada ya Tume ya Sayansi…
Samia appoints Dr Mpango, Majaliwa as her advisors
DAR ES SALAAM: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan, has appointed the former Vice President, Dr Philip Mpango, as the Presidential Advisor on Economic Affairs and Projects, and former Prime Minister Kassim…
Serikali imesema itatumia maoni na ushauri wa vijana utakaotolewa kupitia mfumo wa kidijitali wa ‘Jukwaa la Vijana’ ili kuboresh…
Serikali imesema itatumia maoni na ushauri wa vijana utakaotolewa kupitia mfumo wa kidijitali wa ‘Jukwaa la Vijana’ ili kuboresha sera na mipango ya serikali kwa vijana. Kauli ya serikali imetolewa…
Yawezekana kipawa ulichonacho kinaweza kubadilisha maisha yako binafsi au maisha ya watu wengine hususani ukikitumia kwenye ubun…
Yawezekana kipawa ulichonacho kinaweza kubadilisha maisha yako binafsi au maisha ya watu wengine hususani ukikitumia kwenye ubunifu. Hilo ni miongoni mwa mambo makubwa yanayomsukuma mlemavu wa macho, Jailos Siliti aliyebuni…
Sehemu ya mahojiano na Saleh Saad Mohamed-Mkurugenzi Mtendaji Wa Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar (ZIPA) @zipazanzibar kuhus…
Sehemu ya mahojiano na Saleh Saad Mohamed-Mkurugenzi Mtendaji Wa Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar (ZIPA) @zipazanzibar kuhusu Miaka 62 ya Mapinduzi na Mafanikio ya Uwekezaji Zanzibar
Wananchi Geita wasimulia machungu ya Oktoba 29 mbele ya Tume
Wananchi mkoani Geita walioathiriwa na vurugu wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu mwaka 2025...
Wazabuni wazawa wapewa mbinu kushindani zabuni za kimataifa
Ili kutimiza hilo, wazabuni hao wametakiwa kutumia vyema mafunzo ya kuwajengea uwezo...
Saleh Saad Mohamed-Mkurugenzi Mtendaji Wa Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar (ZIPA) akieleza kuhusu zana ya mapinduzi ya kiuch…
Saleh Saad Mohamed-Mkurugenzi Mtendaji Wa Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar (ZIPA) akieleza kuhusu zana ya mapinduzi ya kiuchumi kwa Zanzibar ya leo. #KilichoBoraKabisa
Tourism Ministry wins Presidential accolades for global excellence
DAR ES SALAAM: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has commended the Ministry of Natural Resources and Tourism for the great and commendable work it continues to do in promoting, developing, and…
Mloganzila yaongeza uwezo huduma za figo, 170 wafanyiwa upasuaji
Jumla ya wagonjwa 170 wamefanyiwa upasuaji wa kutengenezewa mishipa ya kuchuja damu katika...
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA USIKU – 10/01/2025
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA USIKU - 10/01/2025
🔴TAARIFA YA HABARI YA JANUARI 10, 2026 – VILIO VYATAWALA GEITA, UTOAJI MAELEZO TUME YA UCHUNGUZI
🔴TAARIFA YA HABARI YA JANUARI 10, 2026 - VILIO VYATAWALA GEITA, UTOAJI MAELEZO TUME YA UCHUNGUZI
Tanzania records 6.9 percent increase in clean energy users
ABU DHABI: TANZANIA has continued to make efforts to ensure that citizens have access to clean, safe, and affordable cooking energy, with funding for clean energy projects coming from the…
Baraza la Mitihani Tanzania – NECTA limetangaza matokeo ya upimaji wa kitaifa wa darasa la nne na kidato cha pili uliofanyika o…
Baraza la Mitihani Tanzania - NECTA limetangaza matokeo ya upimaji wa kitaifa wa darasa la nne na kidato cha pili uliofanyika oktoba na novemba 2025 huku suala la udanganyifu likiendelea…
Relief as solar power project in Kishapu nears completion
DAR ES SALAAM: THE Deputy Minister for Energy, Salome Makamba, said the solar power project in Kishapu District, Shinyanga Region, is nearing completion. She said a total of 50 megawatts…
 Walioandika matusi Necta kufuatiliwa shuleni
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limeweka wazi kuwa litawafuatilia wanafunzi 19 walioandika...
#HABARI: Tanzania imeng’ara katika Jukwaa la Kimataifa la Nishati Jadidifu (IRENA) jijini Abu Dhabi kwa kutangaza mafanikio maku…
#HABARI: Tanzania imeng'ara katika Jukwaa la Kimataifa la Nishati Jadidifu (IRENA) jijini Abu Dhabi kwa kutangaza mafanikio makubwa ambapo upatikanaji wa nishati safi ya kupikia nchini umeongezeka kutoka asilimia 6.9…
Naibu Waziri wa Afya, Dkt
Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Florence Samizi, amewahimiza wananchi kuzingatia ushauri wa wataalamu wa afya ikiwemo kuzingatia mtindo bora wa maisha kwa kula vyakula vyenye lishe bora, kupunguza matumizi ya…
NECTA sees rise in Std 4 pass by 2.67, Form Two by 1.52 percent
DAR ES SALAAM: The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) has announced the results of the National Assessment for Standard Four pupils, showing that the pass rate for Standard Four…
Habari njema kwa waliofeli mtihani kidato cha pili 2025
Ahueni hiyo imetangazwa leo Jumamosi Januari 10, 2026 na Kamishna wa Elimu, Dk Lyabwene...
Kumekucha Tamasha la Pasaka 2026
DAR ES SALAAM; Wasanii nguli wa nyimbo za Injili kutoka mataifa mbalimbali wanatarajiwa kuungana na waimbaji wa nyimbo hizo hapa nchini kutumbuiza katika Tamasha la Pasaka mwaka huu. Tamasha hilo…
Government commends Tanzania Port Authority’s performance
DAR ES SALAAM: THE Tanzanian government has commended the Tanzania Ports Authority (TPA) for its efforts to improve port operations across the country, a move that has enhanced efficiency, accountability,…
#HABARI: Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linamshikilia mwanamke mmoja aliyetambulika kwa jina la Agnes Amos Liku, mwenye umri wa m…
#HABARI: Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linamshikilia mwanamke mmoja aliyetambulika kwa jina la Agnes Amos Liku, mwenye umri wa miaka 35, kwa tuhuma za kutoa taarifa za uongo kuhusiana…
#HABARI: Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani limethibitisha kutokea kwa ajali ya gari aina ya Prado lenye namba za usajili SU 37454, m…
#HABARI: Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani limethibitisha kutokea kwa ajali ya gari aina ya Prado lenye namba za usajili SU 37454, mali ya Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine (SUA),…
#HABARI: Wananchi wa Kata za Wendele na Mwendakulima wilayani Kahama wamempongeza Rais Dkt
#HABARI: Wananchi wa Kata za Wendele na Mwendakulima wilayani Kahama wamempongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwaletea mradi wa umeme vijijini (REA) ambao umeanza kubadilisha maisha yao kiuchumi na…
NECTA yatangaza matokeo ya Mtihani ya Darasa la Nne na Kidato cha Pili 2025, yatazame hapa
â– Prof.Mohamed amesema, baraza limeidhinisha rasmi kutolewa kwa matokeo hayo ambapo upande wa usajili na mahudhurio jumla ya wanafunzi 1,583,686 walisajiliwa kufanya upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne wakiwemo wasichana 818,673…
Rais wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan ametaja sababu za kumteua Profesa Palamagamba Kabudi kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rai…
Rais wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan ametaja sababu za kumteua Profesa Palamagamba Kabudi kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Ikulu (Kazi Maalumu), akisema ni kiongozi mzoefu na mwenye…
TPA yapongezwa ukuaji wa bandari na uchumi
PWANI: Serikali imeipongeza Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kwa juhudi zake za kuboresha uendeshaji wa bandari nchini, hatua inayoongeza ufanisi, uwajibikaji na ubora wa huduma huku ikichangia ukuaji…
The God Must Be Crazy ndio mzigo wa leo saa 4:00 usiku katika movie ya wikiendi kupitia AzamTWO
The God Must Be Crazy ndio mzigo wa leo saa 4:00 usiku katika movie ya wikiendi kupitia AzamTWO. Movie hii imetafsiriwa kwa Kiswahili. #thegodsmustbecrazy #azamtwo
Waziri wa nchi ofisi ya Rais maendeleo ya vijana Joel Nanauka amesema vijana ni kundi linalohitaji kuwekewa Mazingira mahususi y…
Waziri wa nchi ofisi ya Rais maendeleo ya vijana Joel Nanauka amesema vijana ni kundi linalohitaji kuwekewa Mazingira mahususi ya kujifunza ,Kujengewa uwezo na kupata stadi zinazohitajika katika soko kwani…
“….lakini jengine ni kwamba punde hivi nimechagua washauri nimeteua washauri wa Rais, na nimemteua aliyekuwa Makamu wa Rais at…
"....lakini jengine ni kwamba punde hivi nimechagua washauri nimeteua washauri wa Rais, na nimemteua aliyekuwa Makamu wa Rais atakuwa ananishauri mambo ya uchumi na miradi, lakini aliyekuwa Waziri Mkuu atanishauri…
“….lakini nikajipa moyo kwamba Mwana FA na Makonda wanaweza kuiendesha Wizara ile vizuri kwa sababu ni wizara ya vijana na wao…
"....lakini nikajipa moyo kwamba Mwana FA na Makonda wanaweza kuiendesha Wizara ile vizuri kwa sababu ni wizara ya vijana na wao zile hekaheka wanaziweza....." Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Powered…