Author: mjombazecoder

Dili iliyokufa – 25

ILIPOISHIA Wakwetu alipatwa na mshangao. Alielezwa jambo ambalo hakulitarajia. Majaliwa aliendelea: “Kila mara alikuwa akiniambia hivyo. Mwisho nikaona imefika kikomo. Ndipo nikamuahidi nikutane naye kule gesti.” Majaliwa aliposita, Sharifa alimsemea:…