Mapitio ya #MAGAZETI leo Desemba 16,2025 kwenye #MorningTrumpet #utv108
Mapitio ya #MAGAZETI leo Desemba 16,2025 kwenye #MorningTrumpet #utv108 #AzamTVUpdates
🔴KUMEKUCHA: .DESEMBA 16, 2025
🔴KUMEKUCHA:HALI YA ULINZI NA USALAMA YA WILAYA YA UBUNGO .DESEMBA 16, 2025
#SwaliLaKipimaJoto:”Pembejeo zinazotakiwa kuuzwa kwa bei ya ruzuku kuuzwa kinyemela
#SwaliLaKipimaJoto:"Pembejeo zinazotakiwa kuuzwa kwa bei ya ruzuku kuuzwa kinyemela. Je, wenye kufanya hivyo wanyang'anywe vibali vya kuziuza
🔴#MAGAZETI:MAPYA YAIBUKA SAKATA LA MWAMBE / KOCHA MPYA SIMBA ABEBESHWA MZIGO
🔴#MAGAZETI:MAPYA YAIBUKA SAKATA LA MWAMBE / KOCHA MPYA SIMBA ABEBESHWA MZIGO.. DISEMBA 16, 2025
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI…..DESEMBA 16, 2025
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI.....DESEMBA 16, 2025
Kamati ya Mambo ya Nje ya Bunge la Wawakilishi la Marekani inatarajiwa kufanya ziara rasmi nchini Tanzania hatua inayolenga kuim…
Kamati ya Mambo ya Nje ya Bunge la Wawakilishi la Marekani inatarajiwa kufanya ziara rasmi nchini Tanzania hatua inayolenga kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia na ushirikiano wa kibunge kati ya Tanzania…
Frank Gogadi, mhitimu chuo kikuu amesema hajawahi kujipangia mshahara ambao atalipwa atakapoajiriwa baada ya kumaliza chuo
Frank Gogadi, mhitimu chuo kikuu amesema hajawahi kujipangia mshahara ambao atalipwa atakapoajiriwa baada ya kumaliza chuo. #sentroCloudstv #Clouds26Nyoosha
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 15 DESEMBA 2025
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 15 DESEMBA 2025
“Mtaa ni mgumu kama usipojituma usipokuwa na nidhamu na kuwa na maarifa ya kuweza kuchanganua ili kuweza kujikomboa kiuchumi baa…
"Mtaa ni mgumu kama usipojituma usipokuwa na nidhamu na kuwa na maarifa ya kuweza kuchanganua ili kuweza kujikomboa kiuchumi baada ya kumaliza chuo"-Frank Gogadi, Mhitimu chuo kikuu #SentroYaCloudstv
🔴MCHEZO SUPA:HII NDIO NGUVU YA BUKU..15 DESEMBA 2025
🔴MCHEZO SUPA:HII NDIO NGUVU YA BUKU..15 DESEMBA 2025
“Tunakwenda kuangala hiki kituo kinatoa huduma vizuri au hakitoi huduma vizuri, lakini pia kwenye mfumo kwa mfano huyu amekuja a…
"Tunakwenda kuangala hiki kituo kinatoa huduma vizuri au hakitoi huduma vizuri, lakini pia kwenye mfumo kwa mfano huyu amekuja akaambiwa hakuna dawa, lakini kwenye mfumo yule mtu ameandika kuomba ile…
Taasisi ya Utafiti wa Mifugo Tanzania (TALIRI) imemhakikishia Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Dkt
Taasisi ya Utafiti wa Mifugo Tanzania (TALIRI) imemhakikishia Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Dkt. Bashiru Ally Kakurwa kufanya tafiti kuongeza thamani ya mazao ya mifugo ili kukidhi masoko ya nje…
#DAKIKA45: “Afya ya mfuko imekwenda ikiimarika, nakisi tuliyokuwa nayo mpaka tunafunga mahesabu yetu tumekuwa na ziada ya Bilion…
#DAKIKA45: "Afya ya mfuko imekwenda ikiimarika, nakisi tuliyokuwa nayo mpaka tunafunga mahesabu yetu tumekuwa na ziada ya Bilioni 225, ambapo ziada hii imefanya mambo mengi, vilevile tumefunga mianya ya udanganyifu"…
“Pale chuoni kwetu CBE tulikuwa tunafundishwa mambo ya entrepreneurship kutokana na uhalisia wa chuo chenyewe kinafundisha biash…
"Pale chuoni kwetu CBE tulikuwa tunafundishwa mambo ya entrepreneurship kutokana na uhalisia wa chuo chenyewe kinafundisha biashara, mbali na Kanda yetu ya TEHAMA pia tulikuwa tunafundishwa entrepreneurship ili tujiajiri kwa…
#DAKIKA45: “Mifumo yetu inasomana na watoa huduma, ukienda na namba yako ya NIDA taarifa zako unazipata huna haja ya kwenda na k…
#DAKIKA45: "Mifumo yetu inasomana na watoa huduma, ukienda na namba yako ya NIDA taarifa zako unazipata huna haja ya kwenda na kadi, unakwenda na namba yako tu," Dkt.Irene Isaka -…
Hofu imetanda kwa baadhi ya wakulima nchini kufuatia uhaba wa mvua katika maeneo mbalimbali hali inayotishia kustawi kwa mazao h…
Hofu imetanda kwa baadhi ya wakulima nchini kufuatia uhaba wa mvua katika maeneo mbalimbali hali inayotishia kustawi kwa mazao huku wataamu wa kilimo wakiwashauri wakulima hao kubadilisha mbinu za kilimo.…
Hashmet anajifanya hasikii sauti ya Aziza 😅
Hashmet anajifanya hasikii sauti ya Aziza 😅
Aliyekuwa Waziri wa Nchi – Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji, Geofrey Mwambe amepatiwa dhamana katika Kituo Kikuu cha Polisi alipok…
Aliyekuwa Waziri wa Nchi - Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji, Geofrey Mwambe amepatiwa dhamana katika Kituo Kikuu cha Polisi alipokuwa akishikiliwa. Wakili wake, Hekima Mwasipu ameelezea tuhuma zinazomkabili mteja wake.…
Huyu ndio Baba yake Mussa au kwa jina jingine Shaiza ambaye kwa sasa ameajiriwa kwenye misheni ngumu ya kusaka baadhi ya nyaraka…
Huyu ndio Baba yake Mussa au kwa jina jingine Shaiza ambaye kwa sasa ameajiriwa kwenye misheni ngumu ya kusaka baadhi ya nyaraka na kazi nyingine ya kujilinda asijulikane kwenye mpango…
#MICHEZO: Rais wa Klabu ya Yanga Eng Hersi Said amesema anajivunia kuongoza klabu ya hiyo ambayo ameitaja ndio klabu yenye mafan…
#MICHEZO: Rais wa Klabu ya Yanga Eng Hersi Said amesema anajivunia kuongoza klabu ya hiyo ambayo ameitaja ndio klabu yenye mafanikio zaidi nchini Tanzania! Katika mazungumzo na @hoseamchopa Exclusive akiwa…
🔴DAKIKA 45 NA MKURUGENZI MKUU NHIF, DKT
🔴DAKIKA 45 NA MKURUGENZI MKUU NHIF, DKT. IRENE ISAKA, DESEMBA 15, 2025
#MICHEZO: Mchezaji wa zamani wa Chelsea Roberto Di Matteo ambaye alikuwepo katika Kongamano la FIFA Doha Qatar alionekana kuvuti…
#MICHEZO: Mchezaji wa zamani wa Chelsea Roberto Di Matteo ambaye alikuwepo katika Kongamano la FIFA Doha Qatar alionekana kuvutiwa zaidi na uwasilishaji wa vipengele muhimu kwa mabadiliko thabiti ya klabu…
Katika kusheherekea miaka mitatu tangu ya kufunguliwa kwa mgodi wa Azam TV uliopo Buzuruga jijini Mwanza, mgodi huo umetangaza p…
Katika kusheherekea miaka mitatu tangu ya kufunguliwa kwa mgodi wa Azam TV uliopo Buzuruga jijini Mwanza, mgodi huo umetangaza punguzo la bei kwa visimbuzi vya Azam TV ikiwa ni mpango…
Wakulima kutoka katika kata nne za wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa wamepaza sauti kuwalalamikia baadhi ya mawakala wanaouza mbole…
Wakulima kutoka katika kata nne za wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa wamepaza sauti kuwalalamikia baadhi ya mawakala wanaouza mbolea za ruzuku kwa kutoza bei kubwa ya mbolea hizo hadi kuwakwamisha…
Kuna jambo la kujifunza kwa hawa wawili, hadi sasa umejifunza nini?
Kuna jambo la kujifunza kwa hawa wawili, hadi sasa umejifunza nini? 👀
Ubunifu wa wanafunzi wa kada ya umeme kutoka Taasisi ya Teknolojia ya Ujenzi mkoani Morogoro huenda ukawa jibu la mtaji mdogo kw…
Ubunifu wa wanafunzi wa kada ya umeme kutoka Taasisi ya Teknolojia ya Ujenzi mkoani Morogoro huenda ukawa jibu la mtaji mdogo kwa wajasiriamali wa ufugaji kuku baada ya kubuni mashine…
Serikali imetangaza mpango wa dharura wa kukabiliana na uhaba wa maji katika baadhi ya mikoa na kuitaka Mamlaka ya Majisafi na M…
Serikali imetangaza mpango wa dharura wa kukabiliana na uhaba wa maji katika baadhi ya mikoa na kuitaka Mamlaka ya Majisafi na Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) kusimamia ratiba ya ugawaji…
Ni kitu gani ambacho watu wanadhani unacho lakini huna!
Ni kitu gani ambacho watu wanadhani unacho lakini huna! Unaweza kuchangia mada zetu kila Jumatatu hadi Ijumaa kupitia kundi la WhatsApp 👉 065 229 1057 Hosted by @missloloh_ @djfantastic255 #TheSparkShow
#HABARI: Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mbunge wa Simanjiro, James Ole Milya, amewata viongozi…
#HABARI: Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mbunge wa Simanjiro, James Ole Milya, amewata viongozi na Watendaji wa Serikali wanaotoka kwenye jamii hiyo, wawasaidie wananchi…
Jitihada za kumuondoa Bisura kwenye kasri la Mzee Maega zinagonga mwamba…Ameweka wazi tena kwa macho makavu…Hatoki mtu hadi …
Jitihada za kumuondoa Bisura kwenye kasri la Mzee Maega zinagonga mwamba...Ameweka wazi tena kwa macho makavu...Hatoki mtu hadi kieleweke. Tuendelee na hadithi tamu ya #PichaYanguSeries kila Jumatatu hadi Alhamisi saa…
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI USIKU – 15/12/2025
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI USIKU - 15/12/2025
🔴TAARIFA YA HABARI YA DESEMBA 15,2025 – MVUA NA UPEPO MKALI VYAACHA KAYA 11 BILA MAKAZI TABORA
🔴TAARIFA YA HABARI YA DESEMBA 15,2025 - MVUA NA UPEPO MKALI VYAACHA KAYA 11 BILA MAKAZI TABORA
Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) imezindua rasmi kampeni ya msimu wa sikukuu “ Funga mwaka kijanja Talii ( season two)” ikiwa ni m…
Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) imezindua rasmi kampeni ya msimu wa sikukuu “ Funga mwaka kijanja Talii ( season two)” ikiwa ni mwendelezo wa jitihada za Serikali katika kuhamasisha utalii…
Madaktari 150 kutoka mikoa saba wamepatiwa mafunzo maalum yenye lengo la kuimarisha utoaji wa huduma kwa wanufaika wa Mfuko wa F…
Madaktari 150 kutoka mikoa saba wamepatiwa mafunzo maalum yenye lengo la kuimarisha utoaji wa huduma kwa wanufaika wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF). Mafunzo hayo kuhusu tathmini za magonjwa…
#HABARI: Jeshi la Polisi nchini, limeagiza kukamatwa kwa madereva wa mabasi ya abiria, wanaotembea na pombe kwenye mabasi yao kw…
#HABARI: Jeshi la Polisi nchini, limeagiza kukamatwa kwa madereva wa mabasi ya abiria, wanaotembea na pombe kwenye mabasi yao kwa lengo kunywa wakiwa safarini, kwani vitendo hivyo vya matumizi ya…
#HABARI: Dunili Mageme Maduhu (56), mkazi wa kijiji cha Mwamugesha wilayani Itilima, amehukumiwa kifungo cha miezi tisa jela na …
#HABARI: Dunili Mageme Maduhu (56), mkazi wa kijiji cha Mwamugesha wilayani Itilima, amehukumiwa kifungo cha miezi tisa jela na Hakimu Mkazi Mwandamizi Robert Kaanwa kwa kosa la kutishia kumuua baba…
#HABARI: Mtoto mwenye umri wa miaka kumi na tatu, aliyekuwa mwanafunzi wa darasa la tano Shule ya Msingi Chanika, wilayani Hande…
#HABARI: Mtoto mwenye umri wa miaka kumi na tatu, aliyekuwa mwanafunzi wa darasa la tano Shule ya Msingi Chanika, wilayani Handeni, mkoani Tanga aliyefahamika kwa jina la Paskal Msekeni, amejinyonga…
Katikati ya Jiji la Dar es salaam linapatikana Soko la Kisutu lenye Uwezo wa kubeba Wafanyabiashara zaidi ya 1500, kuelekea msim…
Katikati ya Jiji la Dar es salaam linapatikana Soko la Kisutu lenye Uwezo wa kubeba Wafanyabiashara zaidi ya 1500, kuelekea msimu huu wa Sikukuu hali ya Biashara Usiku katika Soko…
Jaafari Moshi, Mwanakikoba akielezea tatizo la wanandoa ambao hawaambiani ukweli wanapojiunga kwenye vikoba
Jaafari Moshi, Mwanakikoba akielezea tatizo la wanandoa ambao hawaambiani ukweli wanapojiunga kwenye vikoba. #clouds360 #Clouds26Nyoosha #LainiYaWana
#PichaYangSeries Kutana na MBOTE: Kigogo wa Shirika la Kijasusi la AIA lililomuajiri Mussa kwenye kasri la Mzee Maega
#PichaYangSeries Kutana na MBOTE: Kigogo wa Shirika la Kijasusi la AIA lililomuajiri Mussa kwenye kasri la Mzee Maega. Ukiachana na kuwa muajiriwa wa serikali, Mbote ana mkataba pembeni na Bisura…
Baada ya shangwe za kuhitimu na picha za joho, maisha halisi huanza
Baada ya shangwe za kuhitimu na picha za joho, maisha halisi huanza. Joho la Mtaa ni mjadala unaochambua safari ya wahitimu wa vyuo vikuu wanapokutana na uhalisia wa maisha nje…
Kobisi atakiwa kuigiza kama mume wa Shida kwa mara ya mwisho ili waokote kwenye shughuli 😎
Kobisi atakiwa kuigiza kama mume wa Shida kwa mara ya mwisho ili waokote kwenye shughuli 😎 #KombolelaSeries #KombolelaSeason2
#HABARI: Mtu mmoja ambaye hajafahamika jina lake anayesadikiwa kuwa ni jambazi ameuawa, katika tukio la unyang’anyi wa kutumia s…
#HABARI: Mtu mmoja ambaye hajafahamika jina lake anayesadikiwa kuwa ni jambazi ameuawa, katika tukio la unyang’anyi wa kutumia silaha ndani ya Ziwa Tanganyika, katika majibizano ya risasi na Jeshi la…
Carabao Cup
Carabao Cup Mechi za hatua ya robo fainali kupigwa wiki hii. Je, timu gani kwenda hatua ya robo fainali? Kwa kifurushi cha shilingi 28,000 unatazama mechi hizi #CarabaoCup #Azamtvsports
“Kwa sababu Mimi kama mama nitakwenda kukopa Kausha damu na kila siku lazima urejeshe kitu
"Kwa sababu Mimi kama mama nitakwenda kukopa Kausha damu na kila siku lazima urejeshe kitu. Haijalishi unazalisha au la. Lazima inaathiri familia nzima. Sisi kama vikoba nawashauri sana tuepukane sana…
“….. ninaomba kila aliyeko humu ndani ashuhudie kusema Jenista ni mtu mwema….ukimshuhudia mtu mwema malaika hupeleka salamu …
"..... ninaomba kila aliyeko humu ndani ashuhudie kusema Jenista ni mtu mwema....ukimshuhudia mtu mwema malaika hupeleka salamu kwa Mungu wetu.....Mkuu wa mkoa uko hapa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi uko…