Ghasia zinazochochea ukatili wa kijinsia zikiongezeka, DRC, manusura wanaendelea kujenga upya maisha yao
Licha ya ongezeko la ukatili wa kijinsia unaohusiana na migogoro, manusura wa ukatili huo mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) wanaanza kujijenga upya na kurejesha matumaini ya maisha…
‘Serikali haijazuia uwindaji wa kitalii’
ARUSHA: Serikali imesema haina mpango wa kusimamisha au kuzuia shughuli za uwindaji wa kitalii na badala yake inaendelea kuandaa na kuboresha sera, sharia na miongozo ili kuzingatia uhifadhi wa wanyamapori,…
Filamu ya Michael Jackson yavunja rekodi
Filamu mpya inayosimulia maisha ya marehemu mfalme wa Pop kutoka Marekani, Michael Jackson...
TBS yatoa vyeti vya ubora viwanda 139
GEITA; SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeidhinisha, kuthibitisha na kutoa vyeti vya ubora kwa viwanda 139 vilivyopo mikoa ya kanda ya ziwa magharibi ambayo ni Geita, Shinyanga na Kagera. Meneja…
Tanzania calls for stronger ties in minerals value-addition
ADDIS ABABA: TANZANIA has called for stronger regional cooperation and value addition in the mining sector, insisting that sustainable use of critical minerals is essential for Africa’s industrial future. The…
Fahamu hatua tatu za mapendekezo ya Iran ya kusitisha mapigano
Mtandao wa Lebanon Al-Mayadeen unasema Iran imeeleza kuwa mazungumzo yanaweza kuanza tena ikiwa Marekani itakubali pendekezo lake.
Tandahimba wapewa nguvu majanga ya moto
MTWARA; WANANCHI wilayani Tandahimba mkoani Mtwara wametakiwa kutoa mapema taarifa za majanga ya moto yanapojitokeza kwenye maeneo yao. Kauli hiyo imetolewa leo Aprili 29, 2026 na Mkuu wa Jeshi la…
‘Adhabu ya viboko shuleni ikomeshwe’
Serikali na watunga sera wametakiwa kuboresha mifumo ya kisheria na kanuni ili kukomesha adhabu...
TRA yaita mawazo bunifu, mshindi kupata Sh50 milioni
Awamu ya pili ya shindano hilo inatarajiwa kuongeza ubunifu unaotekelezeka na wenye athari ya...
DJ Bonez Afichua Kamene Goro Alirudi Kuishi na Wazazi Huku Uvumi Kwamba Wameachana Ukitamba
DJ Bonez alizungumzia uvumi kuhusu ndoa yake na Kamene Goro na kuthibitisha kwamba alikuwa amerejea nyumbani kwa wazazi wake baada ya kuugua......
Tanzania intensifies efforts to reform key laws to ensure they align with Vision 2050
ARUSHA: THE Tanzanian government has intensified efforts to review and reform key laws to ensure they are fully aligned with the National Development Vision 2050, a long-term blueprint aimed at…
Teknolojia matundu madogo yaleta mapinduzi matibabu ya uzazi
DAR ES SALAAM: TEKNOLOJIA ya kisasa ya upasuaji wa matundu madogo imeanza kuleta mapinduzi katika matibabu ya matatizo ya uzazi nchini, huku ikisaidia kuziba pengo kati ya mahitaji ya huduma…
Ms Mungula elected to coordinate for East Africa at Pan-African Parliament
JOHANNESBURG: TANZANIAN delegation to the Pan-African Parliament has secured a key leadership role after Mariam Anzuruni Mungula was elected Coordinator of the East African Group. The position carries the responsibility…
Anayedaiwa kumnyonga mkewe, akutwa na kesi ya kujibu, ajitetea
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, iliyoketi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemkuta...
Boti saba kuimarisha huduma za chanjo maeneo ya mwambao
Serikali kupitia ushirikiano na wadau wa afya, ikiwemo Gavi, imekabidhi boti saba zenye thamani...
Vihiga: Wakazi Wangemchangua Sifuna Kuwa Rais Iwapo Uchaguzi Ungefanyika Leo, Utafiti Waonesha
Edwin Sifuna anaongoza Vihiga kwa 34.4%, akimshinda Ruto. Utafiti unaashiria kuongezeka kwa umaarufu wa Sifuna kabla ya 2027, na kuchagiza mustakabali wa ODM
Sh3.34trilioni kuongeza kasi ukamilishaji mradi wa SGR
Serikali imesaini mkataba wa kukamilisha mpango wa ufadhili wa pamoja wenye thamani ya...
CRDB yarekodi faida Sh bil 206 robo ya kwanza
DAR ES SALAAM; CRDB Bank Plc imeendelea kuthibitisha ubora wake katika sekta ya benki baada ya kuongoza kwa faida katika robo ya kwanza ya mwaka 2026, ikirekodi faida ya Shilingi…
Halmashauri 47 kunufaika na mradi wa kuwarejesha shule wasichana rika balehe
Ni faraja kwa wasichana wa rika balehe na wanawake wadogo walioondoka nje ya mfumo rasmi wa...
Watatu wafariki dunia magari yakigongana na kuwaka moto
Ajali hiyo imetokea saa 12 asubuhi ikihusisha gari aina ya Howo lililokuwa na mzigo wa saruji...
Tanzania rules out any plan to ban tourist hunting
ARUSHA: THE Tanzanian government has ruled out any plan to suspend or ban tourist hunting, saying it is instead strengthening policies, laws and guidelines to ensure the activity supports conservation,…
Vita ya Mayanga, Julio si mchezo, rekodi, vissasi vyasubiriwa Sokoine
ACHA wauane. Ndivyo unavyoweza kuelezea kufuatia tambo za makocha wa Mbeya City, Salum Mayanga na Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ wa Mashujaa katika vita ya pointi tatu za mchezo wa Ligi Kuu…
Mbunge CCM ataka mirungi iwe zao halali, ahoji waliotunga sheria kuita dawa za kulevya
Mbunge wa Kondoa Mjini (CCM), Mariam Ditopile ameitaka Serikali kuhalalisha mirungu ili iweze...
Dr Kijaji attends UN Conference to empower women engaged in tourism
VICTORIA FALLS: THE Minister for Natural Resources and Tourism, Ashatu Kijaji, has arrived in Zimbabwe today, April 29, 2026,to participate in the Second Regional Conference of the UN Tourism, focusing…
Hospitali ya rufaa Njombe yakosa mashine ya dialysis, wagonjwa wafuata huduma Mbeya
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Njombe inakabiliwa na ukosefu wa mashine za kusafisha damu kwenye...
Fundi ujenzi mbaroni akidaiwa kumuua mwanawe wa miezi minane
Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linamshikilia fundi ujenzi, Salmin Rajabu (20) kwa tuhuma za...
Dodoma braces for Ruto’s tour of the Tanzanian Parliament
DODOMA: KENYA’S President William Ruto is scheduled to address Tanzania’s Parliament on May 5, 2026, in a move aimed at strengthening regional cooperation. The announcement was made in Parliament in…
UN yaonya: Hatua za Marekani zimepandisha bei ya vyakula duniani
Msemaji wa Umoja wa Mataifa ametangaza kuwa bei za vyakula duniani zimeongezeka kufuatia hatua za Marekani katika Mlango Bahari wa Hormuz.
Yemen yamtahadharisha Trump/ Sana’a : Tunaunga mkono hatua za Iran katika Mlango Bahari wa Hormuz
Wizara ya Mambo ya Nje ya Yemen imetahadharisha kuhusu hatua zozote za uchokozi na ukatili za serikali ya Trump katika Ghuba ya Uajemi na kutangaza kuwa Sana'a inaunga mkono hatua…
IFM inaugurates PhD program with zeal to cope with global challenges
DAR ES SALAAM: HIGHER Learning Institutions have been required to continue to be innovative in order to respond to national and international challenges and increase the ability to solve the…
Kwa nini kuondoka kwa UAE kutoka OPEC ni muhimu?
Mwenendo wa soko la mafuta sasa utategemea sana namna Saudi Arabia na wazalishaji wengine wakuu watakavyojibu mabadiliko haya makubwa.
Wadakwa kwa kupunguza vipimo kwenye vifungashio
GEITAL WAKALA wa Vipimo Tanzania (WMA) Mkoa wa Geita imebaini dosari na udanganyifu wa vipimo katika baadhi ya bidhaa zenye vifungashio kwenye maduka ya jumla na rejareja. Meneja wa WMA…
Putin: Ukraine na washirika wake wamegeukia kwenye ugaidi
Rais wa Russia amesema: Vikosi vya jeshi la Ukraine na washirika wake haviwezi kuzuia kusonga mbele kwa jeshi la nchi hii na vinapoteza maeneo zaidi kila siku, kwa hivyo vinageukia…
PUBLIC SERVICE JOB PROTECTION: IS IT A BURDEN TO TAXPAYERS? PPPC centre sparks debate, compares Tanzania and Botswana on holding public servants accountable
DAR ES SALAAM: The Public-Private Partnership (PPP) Centre has sparked debate over the cost borne by taxpayers due to the Public Service Act, arguing that excessive protection for underperforming public…
Video: Taharuki wakati William Ruto nusra agongwe na kitu kilichorushwa akiwa mkutanoni Lang’ata
Hali ya wasiwasi ilitanda wakati wa ziara ya Rais William Ruto ya Lang'ata huku kifaa kikirushwa. Tukio hilo lilitokea katikati ya mpango wa nyumba za bei nafuu.
Russia: Israel inapasa kuondoka katika ardhi ya Lebanon
Mwakilishi wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema katika kikao cha Baraza la Usalama la umoja huo kuwa Israel haiheshimu kivyovyote majukumu ya askari jeshi wa kulinda amani cha Umoja…
IMF hails Tanzanian cooperation in implementing economic reforms under ECF programs
DODOMA: THE International Monetary Fund (IMF) has commended Tanzania for its good cooperation with the organization in the implementation and management of economic reforms under the Extended Credit Facility-(ECF) programs,…
Algeria yaunga mkono umoja wa nchi ya Mali/ Yapinga aina zote za ugaidi
Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria Ahmed Attaf amesema Algiers inaunga mkono umoja na mshikamano wa nchi ya Mali kufuatia mashambulizi ya hivi karibuni ya silaha yaliyolenga maeneo ya…
Zanzibar’s Cultural Summit underway to connect the World through cultural diversity
ZANZIBAR: THE upcoming International Cultural Summit scheduled from May 16 to 21 this year in Zanzibar will provide a platform for the world to learn, respect one another and connect…
: Afisa wa Marekani: Mfumo wa makombora wa Marekani umepoteza ufanisi wake
Naibu Waziri wa Vita wa Marekani amekiri kuwa mifumo ya makombora ya nchi hiyo haiwezi kudhamini kiwango cha kutosha cha ulinzi.
Rommy3D afichua ishu ya talaka, ataja kilichowakutanisha na Shilole
Usiku wa hukumu Zanzibar, Yanga kutetea au Simba kutwaa ubingwa Muungano Cup? LEO ni siku ya hukumu hivyo usilale mapema. Ikifika saa 2:15 usiku hakikisha umeshapata chakula na kumaliza shughuli…
CRDB Bank recorded 206bn/- profit, hitting annual 18.9 percent increase
DAR ES SALAAM: CRDB Bank has continued to demonstrate strong resilience and consistent financial growth, according to its first-quarter 2026 financial results, which highlight the Bank’s position as a leader…
Why we must embrace unity
DAR ES SALAAM: VICE-PRESIDENT Ambassador Dr Emmanuel Nchimbi, on Monday, amplified the importance of unity for the nation, insisting that oneness remains the most enduring way of honouring the founders…
SADC nations meet to tackle the region’s security, governance and conflict resolution
SALIMA: THE Fourth Meeting of the SADC Inter-State Politics and Diplomacy Committee (ISPDC) at Permanent Secretaries level has officially opened in Salima, Malawi, with a strong focus on regional security,…
Tanzania, Belarus sign MoU to enhance business ties by connecting their entrepreneurs
DAR ES SALAAM: TANZANIA and Belarus have signed two key Memoranda of Understanding (MoUs) between private sector institutions from both countries. The signing ceremony was held in Dar es Salaam…
Wizara ya Ulinzi ya Iran: Marekani haiwezi tena kulazimisha sera zake kwa mataifa huru
Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Iran amesema kuwa Marekani haina tena uwezo wa kulazimisha sera zake kwa mataifa huru, akiongeza kuwa hali hiyo sasa imejidhihirisha wazi duniani kupitia ustahimilivu…
Migawanyiko yaripotiwa katika utawala wa Trump kuhusu vita dhidi ya Iran
Makamu wa Rais wa Marekani, J. D. Vance, anaripotiwa kuanza kutilia shaka kimyakimya simulizi ya matumaini inayotolewa na Wizara ya Vita ya Marekani kuhusu vita dhidi ya Iran.
Kenya Met Yaorodhesha Mikoa 4 Itakayopokea Mvua Kubwa Katika Saa 24 Zijazo
Mvua kubwa inatabiriwa katika mikoa kadhaa nchini Kenya. Soma habari mpya zaidi za Idara ya Hali ya Hewa ya Kenya kuhusu taarifa za hali ya hewa.
Rais Ruto kuhutubia Bunge la Tanzania Mei 5
Sillo amesema mbali na Rais Ruto, viongozi wengine wa kitaifa pia watashiriki bungeni siku...