Kilio cha wakazi Bonde la Msimbazi chamfikia Dk Mwigulu, atoa maelekezo
Wakazi wa Bonde la Mto Msimbazi wameibua malalamiko mazito kuhusu fidia wanazolipwa kupisha...
Ukaburu unarejea Afrika Kusini?
Taifa lililojizolea umaarufu duniani kwa kukomesha ubaguzi kwa vitendo, Afrika Kusini, sasa...
Mafuriko Jangwani kuwa historia, ujenzi wa daraja washika kasi
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amesema mipango ya Serikali kuboresha miundombinu ya Jiji la...
Nyalandu: Hatua zinazochukuliwa na Samia zitaiponya nchi
DAR ES SALAAM: SIKU chache baada ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 kuwasilisha ripoti yake,…
Muuguzi Mkenya Ajenga Nyumba ya Vyumba 5 kwa KSh 81m Marekani
Safari ya muuguzi Judy Nyakerario Misoro kutoka kwa kukodisha hadi kujenga nyumba ya ndoto huko Ohio inaonyesha dhabihu na azimio la familia yake.
Othman azungumzia miaka 62 ya Muungano
Mwenyekiti wa Chama cha ACT -Wazalendo, Othman Masoud Othman ‘OMO’ amehoji faida za Muungano wa...
Ronaldo, Messi wageuka wawekezaji
Kwa miaka mingi, ushindani wa uwanjani kati ya Cristiano Ronaldo na Lionel Messi ulitawala soka...
Ajali ya basi, gari dogo yaua watu watatu na kujeruhi Same
Watu watatu wamepoteza maisha na wengine kadhaa kujeruhiwa kufuatia ajali ya barabarani...
Bingwa wa NCAA kuongoza kambi maalumu Dar es Salaam
KATIKA kuunga mkono dhamira ya Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda ya kuendeleza michezo yote nchini kwa vitendo, Shule ya kimataifa ya Monti International School imetangaza kuandaa…
Bingwa wa NCCA kuongoza kambi maalumu Dar es Salaam
KATIKA kuunga mkono dhamira ya Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda ya kuendeleza michezo yote nchini kwa vitendo, Shule ya kimataifa ya Monti International School imetangaza kuandaa…
Mtanzania achaguliwa rais wa wanafunzi Chuo Kikuu Georgia, Marekani
Mtanzania anayesoma Shahada ya Uzamivu (PhD) katika masuala ya elimu katika Chuo Kikuu cha...
Wafungwa 1,369 wasamehewa
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa msamaha kwa wafungwa 1,369 kote nchini, ikiwa ni sehemu ya...
Viungo waficha aibu Mashujaa
KATIKA kikosi cha Mashujaa, licha ya kuwa na washambuliaji wenye uzoefu na Ligi Kuu Bara, lakini linapokuja suala la kucheka na nyavu, kumekuwa na changamoto hali inayofanya viungo nao kuchukua…
Envoy allays fears over Tanzanians’ safety in South Africa
PRETORIA, SA: Tanzania’s High Commissioner, James Bwana, has assured that the Tanzanian community living in various cities in South Africa is safe and not being targeted by attacks from locals,…
#SportPesaLeague Tatu za faida….!!!
#SportPesaLeague Tatu za faida….!!! FT: AFC Leopards 0-1 Gor Mahia Ilikuwa LIVE #AzamSpors3HD #LigiKuuKenya #SportPesaLeague #AFCLeopards #GorMahiaFC (Feed generated with FetchRSS)
Absa yaingia miongoni mwa chapa tano bora
Absa Group imetajwa miongoni mwa chapa tatu za benki zenye thamani kubwa zaidi barani Afrika...
Nyalandu: Tuimarishe mshikamano kulinda amani ya taifa
MSHAURI wa Rais wa Diplomasia, Balozi Lazaro Nyalandu amewaomba watanzania kudumisha na kulinda amani ya Taifa. Balozi Nyalandu alisema hayo hivi karibuni wakati wa mahojiano malumu. “Katika kipindi ambacho dunia…
Edwin Sifuna, Makamanda wa Linda Mwananchi Wakaribishwa Kishujaa Mjini Kisumu
Kikosi cha Linda Mwananchi kilipokelewa Kisumu siku chache baada ya vitisho kuonya dhidi ya kufanya mkutano. Kiongozi wa vijana Chege Majuice alionya dhidi ya uhuni
Ukosefu wa maji wawasumbua wanafunzi Sekondari Mwabwola
Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mwabwola, iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi mkoani...
#MuunganoCup Zingatia jezi namba 20 wa Mlandege FC
#MuunganoCup Zingatia jezi namba 20 wa Mlandege FC..... Anaitwa Musa Hassan Salum 'Mbappe'... Ni yule aliyeiwasha Singida BS chuma ya pili katika ushindi wa 2-1. Je, unajua leo ataifanya nini…
Rais Ruto Aangua Kicheko Baada ya Kuteleza kwa Ulimi: “Tuko na Kasongo”
Rais Ruto alijikuta kuwa kituko cha hotuba yake mwenyewe baada ya kimakosa kubadilisha neno soko na jina lake la utani lililoenea Kasongo akihutubia umati Murang'a
Palu yataka mwongozo wa haki za binadamu Afrika
Chama cha Wanasheria wa Afrika (Palu) kimewasilisha shauri jipya katika Mahakama ya Afrika ya...
Konde Boy afichua changamoto za soka la Misri
KIUNGO mshambuliaji ENPPI, Arafat Masoud ‘Kondeboy’, amesema ameanza kuelewa ushindani wa soka la Misri baada ya kujiunga na klabu hiyo inayoshiriki ligi kuu na anahitaji kupambana zaidi ili kupata nafasi…
Oscar Evalisto atupia matatu Misri
KIUNGO mshambuliaji wa Kitanzania anayekipiga Fouad FC inayoshiriki Ligi Daraja la Pili Misri, Oscar Evalisto amesema tangu alipojiunga na timu hiyo dirisha dogo la usajili, amekutana na ushindani mkubwa wa…
Kwa kipindi cha miaka 62 mfululizo, Tanzania imekuwa mfano wa kipekee barani Afrika huu ndio muungano pekee wa mataifa mawili hu…
Kwa kipindi cha miaka 62 mfululizo, Tanzania imekuwa mfano wa kipekee barani Afrika huu ndio muungano pekee wa mataifa mawili huru uliodumu kwa zaidi ya nusu karne. Wakati miungano mingine…
Mabula kutimkia Uturuki
KUNA uwezekano kiungo wa Kitanzania, Alphonce Mabula anayekipiga Shamakhi FC ya Ligi Kuu Azerbaijan akatimkia Kasımpaşa Spor Kulubu ya Uturuki.
#SerieA: Mechi imemalizika bila goli
#SerieA: Mechi imemalizika bila goli. FT: Fiorentina 0-0 Sassuolo LIVE #AzamSports2HD Saa 10:00 jioni ni Genoa dhidi ya Como #SerieA #LigiKuuItalia #SerieAUpdates #FiorentinaVsSassuolo #Fiorentina #Sassuolo (Feed generated with FetchRSS)
‘Tupambane kumaliza changamoto za lishe’
Ofisi ya Waziri Mkuu-Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) amewataka maofisa lishe...
Clara Luvanga afanya mazito Saudi Arabia, avunja rekodi
MSHAMBULIAJI wa timu ya taifa ya Twiga Stars na Al Nassr ya Saudia, Clara Luvanga ameingia kwenye kitabu cha rekodi cha wachezaji wa kigeni waliofunga mabao mengi Ligi Kuu Saudi…
#MuunganoCup Zanzibar ni soka na utalii
#MuunganoCup Zanzibar ni soka na utalii... Je, unamshauri nini kocha wa Simba, Steve Barker kuelekea mchezo wa leo dhidi ya Mlandege!? NB: Akishinda leo, atakutana Na Yanga kwenye fainali itakayopigwa…
Hali mbaya kiuchumi yaiyumbisha Junguni United
UONGOZI wa Junguni United inayoshiriki Ligi Kuu Zanziabar, umesema hauna uhakika wa kusafiri kwa ajili ya mechi mbili za mzunguko wa 25 na 26 kutokana na hali mbaya ya kiuchumi…
Rais Trump atoa picha mtuhumiwa shambulio la risasi hafla ya waandishi
Rais wa Marekani, Donald Trump amesema mshambuliaji aliyefyatua risasi katika hafla ya Chama...
Mwenge yaitolea macho nafasi ya kucheza ZPL
KOCHA Mkuu wa timu ya Mwenge, Mohammed Saidi 'Shuberi' amesema timu hiyo imeongezeka kiwango huku ikiwa na mikakati ya kurudi Ligi Kuu Zanzibar (ZPL).
James Mlange: Kila mechi kwangu ni nafasi ya kuweka rekodi
MSHAMBULIAJI wa Fufuni, James Mlange amesema amejisikia vizuri kufunga hat trick katika mchezo wa Ligi Kuu Zanzibar dhidi ya Junguni, huku akipanga kuweka rekodi msimu huu.
Bodi ya Ligi Zanzibar yataja sababu ya waamuzi kupigwa
KUMEKUWA na wimbi la waamuzi Zanzibar kushambuliwa na mashabiki wakati wa mechi, huku Bodi ya Ligi Zanzibar (ZBL) ikitaja sababu kuu inayochangia hali hiyo.
Mbio za Haki: Jinsi Michezo inavyosaidia kulinda wasichana nchini Uganda
“Kama kocha mwanamke, wasichana wananiamini,” kupitia makala hii iliyoandaliwa na shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu na Afya ya Uzazi, UNFPA, anaeleza Zuena Cheptoek, Mkufunzi wa riadha…
Mashambulizi Mali; Katibu Mkuu wa UN aeleza masikitiko yake
Miji kadhaa ya nchini Mali ilishambuliwa takribani kwa wakati mmoja jana Jumamosi, ikiwemo mji mkuu, Bamako ambapo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ameonesha wasiwasi mkubwa kufuatia taarifa…
Vyama 12 vyaitaka Serikali kuharikisha mchakato Katiba Mpya, maridhiano
Vyama vya siasa 12 vimesema ni wakati mwafaka kwa Serikali kurahakisha mchakato wa upatikanaji...
New card strengthens transparency in business transactions
DAR ES SALAAM: The National Bank of Commerce (NBC), in partnership with Visa Inc., has launched the NBC Twiga Platinum Business Debit Visa Card, the first premium business debit card…
Sultan wa Oman akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran
Mfalme wa Oman Haitham bin Tariq amemkaribisha Sayyid Abbas Araghchi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, katika Kasri la Al-Barakah mjini Muscat, mapema Jumapili.
Yanga: Hatuiogopi Simba fainali, tunataka Kombe la Muungano
KUNA msimamo umetolewa na mabosi wa Yanga kisha akafuata kocha wa timu hiyo na kila mmoja utawahusu Simba wakisema hawana shida kama kutakuwa na dabi mbili ndani ya siku 10.
NTINE
KUNA msimamo umetolewa na mabosi wa Yanga kisha akafuata kocha wa timu hiyo na kila mmoja utawahusu Simba wakisema hawana shida kama kutakuwa na dabi mbili ndani ya siku 10.
Jeshi la Iran laonya litatoa jibu kali iwapo mzingiro haramu wa baharini wa Marekani utaendelea
Kamandi Kuu ya Jeshi la Iran imeonya kuwa kuendelea kwa “uharamia, mzingiro, na uhalifu wa baharini” unaofanywa na vikosi vya Marekani katika eneo, utakabiliwa na jibu kutoka kwa Vikosi vya…
Tiba ya malaria kwa watoto wachanga yapatikana
Hatua ya Shirika la Afya Duniani (WHO) kuidhinisha kwa mara ya kwanza dawa maalumu ya kutibu...
Iran yamkamata jasusi mkongwe wa Mossad na magaidi katika operesheni za kitaifa
Wizara ya Usalama wa Taifa Iran imetangaza kukamatwa kwa jasusi “mzoefu” aliyekuwa akifanya kazi kwa niaba ya utawala wa Kizayuni wa Israel, pamoja na wanachama 15 wa makundi ya kigaidi…
Barker azifuata dakika 90 za Yanga, Azam
WAKATI Yanga ikiwa uwanjani dhidi ya Azam basi jukwaani kulikuwa na makocha watatu wa Simba akiwemo bosi wao, Steve Barker na wasaidizi wake wawili wakizisoma timu hizo mbili.
Kampeni usalama barabarani yazinduliwa
DAR ES SALAAM:KATIKA jitihada za kupunguza ajali na kuimarisha usalama barabarani, Kampuni ya Azam TV imezindua rasmi kampeni ya usalama barabarani katika Wilaya ya Ubungo, ikilenga kuwahamasisha waendesha bodaboda kuzingatia…
Serengeti Balloon Safaris backs government push to close tourism skills gap
ARUSHA: AN award-winning tourism operator in Arusha is betting that the future of Tanzania’s safari industry depends as much on skills as it does on scenery. Serengeti Balloon Safaris, a…
Lema afunguka kadi nyekundu aliyopewa
KOCHA wa Yanga Princess, Edna Lema amesema ameshtushwa na uamuzi wa kupewa kadi nyekundu katika mechi ya Ligi Kuu ya Wanawake dhidi ya Alliance Girls uliochezwa Uwanja wa Nyamagana.