Kamene Goro afichua jamaa aliyekuwa na deni lake alimzimia simu alipokuwa amelazwa ICU
Mtangazaji Kamene Goro amesimulia alivyokuwa mgonjwa sana ICU wa karibu kufa, akipambana na maambukizi makali na kutafakari kuhusu usaliti kutoka kwa rafiki.
Zanzibar eyes global investment hub status ahead of 2026 summit
ZANZIBAR: ZANZIBAR has set its sights on becoming a leading global hub for investment and diversified tourism, as the government steps up preparations for the Zanzibar Investment Summit (ZIS) 2026…
Mwinyi pledges youth wellbeing improvement
ZANZIBAR: ZANZIBAR President Hussein Mwinyi has pledged to intensify efforts to improve the wellbeing of young people through the implementation of election pledges made during the 2025 general election campaigns.…
Kileleshwa: Binti aanguka kutoka ghorofani baada ya mgogoro na mpenzi wake ndani ya Airbnb
Consolata mwenye umri wa miaka 22 alianguka hadi kufa kutoka ghorofani. Simulizi zinaibua maswali ya kutatanisha kuhusu dakika za mwisho na mwanaume aliyekuwa naye.
Masalanga alichumia juani, sasa anakula kivulini
Ni mara ngapi umesikia kuwa Mchumia juani hulia kivulini? Hii ni methali ya kiswahili yenye...
Magazeti ya Kenya: Ruto aonyesha dalili za kutaka Kindiki awe mgombea mwenza 2027, ODM wakaa ngumu
Magazeti ya kila siku ya Kenya yanaripoti kuhusu mkutano wa kisiasa wa Ruto huko Murang'a, akidokeza kumuunga mkono Kindiki kuwa mgombea mwenza 2027.
Bohari ya Dawa (MSD), imepata mafanikio makubwa kwa miaka minane mfululizo na kufika mapato ya Sh 640 bilioni
Bohari ya Dawa (MSD), imepata mafanikio makubwa kwa miaka minane mfululizo na kufika mapato ya Sh 640 bilioni. Akizungumza wakati wa kikao kazi cha MSD na wahariri na waandishi wa…
Mfahamu mshukiwa wa ufyatuaji risasi kwenye hafla ya Chakula cha Waandishi wa White House ilioyohudhuriwa na Trump
Mtu aliyekamatwa na polisi baada ya ufyatuaji risasi usiku wa kuamkia Jumamosi kwenye hoteli iliyokuwa ikiandaliwa Chakula cha Waandishi wa White House sasa ametambuliwa
Mabeki hawa pasua kichwa Ligi Kuu
Zikiwa zimebaki mechi 11 kufunga pazia la msimu wa 2025-2026 katika Ligi Kuu Bara, ushindani...
Je, nchi za Kiarabu zinatarajia nini katika mazungumzo ya Marekani na Iran?
Kulikuwa na hali ya afueni miongoni mwa nchi za Baraza la Ushirikiano wa Ghuba (GCC) wakati Marekani na Iran zilipokubaliana kusitisha mapigano kwa muda wa wiki mbili tarehe 8 Aprili.
DRC: Wakazi ya Kivu Kusini na Kaskazini waathirika na kufungwa kwa benki
Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, kuendelea kufungwa kwa Benki katika maeneo yanayodhibitiwa na waasi wa M23/AFC katika mikoa ya Kivu Kaskazini na Kusini, kumesababisha changamoto kubwa ya kibinadamu…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ziarani nchini Urusi kukutana na Vladimir Putin
Baada ya ziara yake nchini Oman na kuzungumza kwa simu na mwenzake wa Uturuki, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi amerudi Islamabad Jumapili, Aprili 26. Asubuhi ya…
EPRA Yatangaza Ushuru Mpya kwa Bili za Umeme za Aprili, Wakenya Kugharamika Zaidi
EPRA imetangaza ada tatu mpya kwenye bili za umeme za Aprili 2026: gharama ya nishati ya mafuta, mabadiliko ya ubadilishaji wa fedha za kigeni na ushuru wa WRMA
EPRA Yatangaza Ushuru Mpya kwa Bili za Umeme za Aprili, Gharama za Umeme kwa Wakenya Kupongezeka
EPRA imetangaza ada tatu mpya kwenye bili za umeme za Aprili 2026: gharama ya nishati ya mafuta, mabadiliko ya ubadilishaji wa fedha za kigeni na ushuru wa WRMA
Israel: Rais Herzog anapendelea upatanishi badala ya msamaha kwa Netanyahu
Hili ni suala nyeti sana ambalo linaisumbua ofisi ya rais wa Israel. Benjamin Netanyahu anatarajiwa kufika mbele ya majaji leo Jumatatu, Aprili 27, katika kesi yake ya ulaghai, uvunjaji wa…
Mali: Utawala wa kijeshi wathibitisha kifo cha Waziri wa Ulinzi
Utawala wa kijeshi nchini Mli umetangaza siku mbili za maombolezo ya kitaifa Jumapili, Aprili 26, baada ya kuthibitisha kifo cha Waziri wa Ulinzi Sadio Camara, aliyeuawa nyumbani kwake huko Kati…
Matibabu bure kwa wajawazito mfupa mgumu-1
Ni asubuhi na mapema Kijiji cha Iwemba Kata ya Kidodi, sauti ya mtoto mchanga inasikika ndani...
Trump na maafisa wake ‘huenda’ ndio walengwa wa shambulio la risasi Washington – Mamlaka
Mshukiwa anatarajiwa kushtakiwa kwa makosa ya kutumia silaha katika uhalifu wa vurugu pamoja na kushambulia maafisa wa serikali kwa kutumia silaha hatari.
Wavinya Ndeti Amsherehekea Mjukuu Wake Aking’aa katika Shule ya Kimataifa Anayosoma Kitengela
Gavana Ndeti alisherehekea medali ya dhahabu ya mjukuu wake kwenye Mjadala wa Afrika Mashariki mjini Kigali, akionyesha ubora wa Shule ya Kimataifa ya Kitengela.
Chad: Karibia watu 42 wameuwawa katika mapigano ya kikabila
Nchini Chad karibia watu 42 wameuwawa baada ya makabiliano na mapigano kuzuka Jumapili kati ya makabila yanayoishi mashariki mwa nchi hiyo. Imechapishwa: 27/04/2026 – 05:44 Dakika 1 Wakati wa kusoma…
Tetesi za soka Ulaya: Newcastle yamtaka Nicolas Jackson, Chelsea yamrejelea Conte
Newcastle yamtaka Nicolas Jackson, Nottingham Forest yamfikiria Hayden Hackney, Chelsea yamrejelea Conte
DR Congo ni ya tano duniani kwa idadi kubwa ya wakimbizi : Ripoti
Ripoti mpya ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR, imebaini kuwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo sasa inashika nafasi ya tano duniani kwa idadi ya wakimbizi, huku…
Burundi: Ndayishimiye ateuliwa na chama chake kuwania urais 2027
Rais wa Burundi, Evariste Ndayishimiye, ameteuliwa na chama chake cha CNDD-FDD kuwa mgombe wa nafasi ya urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka ujao. Imechapishwa: 27/04/2026 – 05:19Imehaririwa: 27/04/2026 – 05:36…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Aprili 27, 2026
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa... The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo…
#HABARI: Mwenyekiti wa WLF, Mhe
#HABARI: Mwenyekiti wa WLF, Mhe. Dkt. Evaline Munisi (MB), ametoa wito kwa Watanzania, hususan kizazi cha sasa, kuutazama Muungano kama amana takatifu ya Taifa na tunu ya kihistoria tuliyoachiwa na…
Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Dk Mutungi afariki dunia
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetangaza kifo cha aliyekuwa kada wake, Dk...
Wanawake wafundishwa nidhamu ya mikopo kuepuka migogoro
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda, amewataka wanawake nchini kuwaeleza na kuwashirikisha...
Rais Samia atoa msimamo mifuko ya vijana kuunganishwa
Rais Samia Suluhu Hassan amesema pendekezo la kuunganisha mifuko yote ya uwezeshaji wa vijana...
Dabi ya K’koo Z’bar, Simba ikiifuata Yanga fainali Muungano
Simba imeichapa Mlandege kwa mabao 3-0 katika Uwanja wa New Amaan ikiifuata Yanga kwenye fainali ya Kombe la Muungano.
Serikali yapunguza upimaji wa mabasi kwenye mizani
Mabadiliko makubwa katika mfumo wa usafiri wa abiria nchini yameanza kuonekana baada ya...
Heche: Chadema tumepitia misukosuko, tutasonga mbele tukiwa imara
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema licha ya magumu kiliyoyapitia ikiwemo...
FT: Mlandege 0-3 Simba
FT: Mlandege 0-3 Simba Powered by #MCHEZOSUPA JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA: - Tuma 1000 kupitia Airtel Money, Tigo Pesa, M - Pesa, Halopesa, kwenda namba ya kampuni 222223 kumbukumbu…
Upungufu wa walimu wafunga vyuo vinane Mbeya, Jeshi la Polisi laita wasomi
Wakati vijana na wahitimu wa elimu ya juu nchini wakiendelea kulalamikia ukosefu wa ajira, hali...
Usalama wa afya, mwili unaongeza ari kazini
Wakati dunia ikiadhimisha Siku ya Kimataifa ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi, kampuni ya Geita...
Mwanamke anayetuhumiwa kwa uchochezi akamatwa Garissa, DCI wachunguza video zake mitandaoni
Bare Sahara Ahmed, aliyesambaa kwenye mitandaoni ya kijamii kwa kutoa vitisho dhidi ya maafisa wa polisi, amekamatwa na DCI kwa madai ya uchochezi huko Garissa.
Wafanyabiashara wa mwambao wa Ziwa Tanganyika wameonywa kuacha kujihusisha na uuzaji wa mafuta kwa nchi jirani ya Jamhuri ya Kid…
Wafanyabiashara wa mwambao wa Ziwa Tanganyika wameonywa kuacha kujihusisha na uuzaji wa mafuta kwa nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC. Onyo hilo limetolewa na Kaimu Mkuu wa…
HT: Mlandege 0-0 Simba
HT: Mlandege 0-0 Simba Powered by #MCHEZOSUPA JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA: - Tuma 1000 kupitia Airtel Money, Tigo Pesa, M - Pesa, Halopesa, kwenda namba ya kampuni 222223 kumbukumbu…
#HABARI: Kampuni ya GASCO, ambayo ni kampuni tanzu ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), imeendelea kuwa kinara ka…
#HABARI: Kampuni ya GASCO, ambayo ni kampuni tanzu ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), imeendelea kuwa kinara katika kuwawezesha Watanzania wazawa kwa kuwapa nafasi za moja kwa moja…
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulioasisiwa mwaka 1964 umeendelea kuonekana katika maisha ya Watanzania kwa njia mbalimbali
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulioasisiwa mwaka 1964 umeendelea kuonekana katika maisha ya Watanzania kwa njia mbalimbali. Leo Tunakeletea simulizi ya mwanamke mwenye umri sawa na Muungano, ambaye anashuhudia matunda…
Polisi nchini Marekani wamesema bado wanachunguza chanzo cha tukio la mtu anayetuhumiwa kufyatua risasi wakati wa hafla ya chaku…
Polisi nchini Marekani wamesema bado wanachunguza chanzo cha tukio la mtu anayetuhumiwa kufyatua risasi wakati wa hafla ya chakula cha jioni ya waandishi wa habari wa Ikulu iliyokuwa ikifanyika katika…
Pasua kichwa sura mbili za mwelekeo wa maridhiano
Pendekezo la Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya...
Vyama 12 vya Siasa vilivyoshiriki Uchaguzi Mkuu vimeomba mamlaka kuhakikisha zinaweka nguvu kwenye uudwaji wa Tume ya Maridhiano…
Vyama 12 vya Siasa vilivyoshiriki Uchaguzi Mkuu vimeomba mamlaka kuhakikisha zinaweka nguvu kwenye uudwaji wa Tume ya Maridhiano itakayoaminika na pande zote pamoja na kuanza kwa mchakato wa katiba mpya.…
Rais Samia Suluhu Hassan, leo Aprili 26, 2026 ametangaza msamaha kwa wafungwa 1,369 ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 62 y…
Rais Samia Suluhu Hassan, leo Aprili 26, 2026 ametangaza msamaha kwa wafungwa 1,369 ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 62 ya Muungano wa Tanzania. Kati ya wafungwa hao, 436…
Mkenya Sebastian Sawe aweka rekodi ya dunia ya Marathon
Sabastian Sawe alivunja kizuizi cha saa mbili katika Marathon ya London kwa muda wa 1:59:30, huku Tigst Assefa akiweka rekodi mpya ya dunia ya wanawake.
Mashemeji Derby: Gor Mahia yaishinda AFC Leopards, yachukua uongozi katika kusaka ubingwa wa KPL
Gor Mahia imeishinda AFC Leopards 1-0 katika dabi ya 99 ya Mashemeji, kufuatia bao la Alpha Onyango na kupata pointi muhimu katika Uwanja wa Kitaifa wa Nyayo.
Chadema yatoa salamu kwa waliohama
Mwenyekiti wa Chama cha Dermokrasia na maendeleo Kanda maalum ya Serengeti Lucas Ngoto...
Kibaha yapanda miti 620 kuadhimisha miaka 62 ya Muungano
Katika kuadhimisha miaka 62 ya Muungano, Mkoa wa Pwani leo. April 26, 2026 umepanda miti 620...
‘Bila elimu sahihi ya Muungano, vijana watapotoshwa’
Ikiwa leo ni miaka 62 tangu kuasisiwa kwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar mwaka 1964...
Timu ya Edwin Sifuna ya Linda Mwananchi yadokeza kuhusu mgombea urais 2027
Mrengo wa ODM ya Linda Mwananchi ilimuidhinisha Gavana James Orengo kuwa kaimu kiongozi wa chama na uwezekano wa kupeperusha bendera katika uchaguzi wa 2027.