Lema afunguka kadi nyekundu aliyopewa
KOCHA wa Yanga Princess, Edna Lema amesema ameshtushwa na uamuzi wa kupewa kadi nyekundu katika mechi ya Ligi Kuu ya Wanawake dhidi ya Alliance Girls uliochezwa Uwanja wa Nyamagana.
Washindi shindano la uchoraji wapewa zawadi
DAR ES SALAAM:BARAZA la Sanaa la Taifa (BASATA) limetoa zawadi kwa washindi wa shindano la uchoraji kwa vijana lijulikanalo kama BASATA Youth Painting Competition, likiwa na lengo la kukuza na…
Beki Fountain ataja ugumu Simba, Yanga
BEKI wa Fountain Gate Princess, Lucy Pajero amesema kukabiliana na washambuliaji wa Simba Queens, JKT Queens na Yanga Princess ni moja ya changamoto kubwa anayokutana nayo katika ligi hiyo.
Chobanka: Ratiba mpya WPL kuongeza ufanisi
KOCHA wa Ceasiaa Queens, Ezekiel Chobanka amesema marekebisho ya ratiba ya Ligi Kuu ya Wanawake yamekuwa na msaada mkubwa kwa timu za madaraja ya kati na zile zisizo na uwezo…
Kocha Hammel aweka mkakati mpya Tausi FC
KAIMU Kocha Mkuu wa Tausi FC, Martin Hammel amesema licha ya timu hiyo kuonyesha kiwango kizuri uwanjani, bado kuna maeneo kadhaa yanahitaji maboresho kabla ya kurejea kwenye mechi zijazo.
Rais Trump atoa picha mtuhumiwa shambulio la risasi Ikulu ya Marekani
Rais wa Marekani, Donald Trump amesema mshambuliaji aliyefyatua risasi katika hafla ya Chama...
Sababu zinazoisukuma MSD kugeukia mifumo ya kisasa
Bohari ya Dawa (MSD) imeanza kutekeleza mageuzi ya kimkakati yanayolenga kuifanya taasisi hiyo...
Beauty pageantry in Tanzania: A crown, two queens and one lingering question
DAR ES SALAAM: IN theory, a beauty pageant is a simple affair. Young women gather, walk gracefully, answer questions with admirable composure, accompanied by some soothing music. At the end…
Kafulila: Muungano ni watu sio tu serikali
DAR ES SALAAM: Mkurugenzi wa Kituo Cha Ubia Kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC) David Kafulila amesema Muungano wa Tanzania ni wa kipekee barani Afrika kwa kuwa…
Peace, stability as bedrock of a stronger 62-year-old Union
DODOMA: AS one of Africa’s oldest and most enduring political arrangements, the Union between formerly Tanganyika and Zanzibar offers a compelling case study of how peace and stability can sustain…
Salah mambo magumu Liverpool
Ripoti zinaeleza mshambuliaji wa Liverpool, Mohamed Salah huenda asionekane tena uwanjani...
Significant strides in the Union: Six decades of unity, progress and resilience in Tanzania
DAR ES SALAM: AS Tanzania marks Union Day, the nation reflects on 62 years since the historic unification of Tanganyika and Zanzibar, a milestone that continues to stand as one…
Sh10 bilioni kujenga ofisi mpya za mkoa Dar
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema Serikali imeanza mchakato wa ujenzi wa...
Union@62: A pillar of stability, opportunity and shared prosperity
ZANZIBAR: TODAY, Tanzania marks 62 years of the Union between the then Tanganyika and Zanzibar, the partnership which continues to stand as one of Africa’s most enduring political arrangements, anchored…
Barnabas atangaza vita mpya Transit Camp
KOCHA wa Transit Camp, Vicent Barnabas amesema ataendelea kusimamia malengo ya timu hiyo ya kuhakikisha inapanda Ligi Kuu Bara msimu ujao licha ya ushindani mkubwa uliopo Ligi ya Championship, hususan…
Mnyamisi afichua mipango mipya Bigman FC
BEKI wa kati wa Bigman FC, Better Abdallah Mnyamisi amesema malengo ya timu hiyo kwa sasa ni kupigania nafasi ya kubaki Ligi ya Championship msimu ujao, baada ya waliyoweka awali…
Issa Abushehe: Polisi Tanzania sasa ni mwendo wa nne bora
KIUNGO mshambuliaji wa maafande wa Polisi Tanzania, Issa Abushehe 'Messi' amesema kwa sasa timu hiyo ina morali mkubwa kuanzia kwa wachezaji, viongozi na benchi la ufundi, kutokana na mwenendo mzuri…
Rais Pezeshkian: Iran haitaingia katika mazungumzo chini ya mashinikizo, vitisho na mzingiro
Rais Masoud Pezeshkian amekosoa utata na mgongano unaoshuhudiwa kati ya mbinu za mashinikizo zinazotumiwa na Marekani dhidi ya Iran na kile kinachotajwa kuwa ni nia yake ya kushiriki katika mchakato…
Nyota KenGold aweka wazi hatima yake
WAKATI mkataba wa beki wa kati wa KenGold, Faisal Richard Mganga ukifikia ukingoni mwishoni mwa msimu huu, nyota huyo amesema kwa sasa anapambania kikosi hicho kwa mechi zilizobakia, kisha baada…
Uchumi wa dunia watishia upatikanaji wa kondomu
Hali ya uchumi wa dunia inayosababishwa na vita inayoendelea kati ya Marekani na Israel dhidi...
Beimbaya: Malengo ni kuiweka B19 mbali na Play-Off
KOCHA Mkuu wa B19 FC, Twaha Beimbaya amesema mwenendo wa timu hiyo kwa sasa unaridhisha na unawaweka katika malengo ya kukipigania kikosi hicho kutoka nafasi za kucheza mechi ya mtoano…
Sheikh Zakzaky: Jina la kiongozi aliyeuawa shahidi wa Iran limekuwa membo ya mapambano
Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria, amemtaja Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, kiongozi aliyeuawa shahidi wa Iran, kuwa ni nembo mapambano, imani na kusimama kidete.
Namna Ulaya Ilivyochoshwa na Uchukuaji Hatua wa Upande Mmoja wa Marekani
Kuendelea kupanuka ufa wa mpasuko uliojitokeza kati ya Ulaya na Marekani kumezifanya serikali za Ulaya zichoshwe na mienendo ya udhalilishaji ya Trump na uchukuaji wake wa hatua wa upande mmoja.
Trump atoroka baada ya ufyatuaji risasi kwenye dhifa ya waandishi wa habari wa White House
Rais wa Marekani, Donald Trump na mkewe, Melania, waliondolewa kwenye Dhidi ya Waandishi wa Habari wa Ikulu ya White House (WHCA) baada ya ripoti za milio ya risasi kusababisha uingiliaji…
Al-Qaeda na waasi wa Kituareg wadai kuhusika na “shambulio kubwa zaidi” nchini Mali
Kundi linalohusishwa na mtandao wa al-Qaeda na waasi wa Tuareg limedai kuhusika na mashambulizi yaliyoratibiwa kote nchini Mali siku ya Jumamosi, yanayotajwa kama mojawapo ya operesheni kali zaidi dhidi ya…
Bohari ya Dawa (MSD), inatarajia kuanza kuleta dawa ya kuacha pombe nchini
Bohari ya Dawa (MSD), inatarajia kuanza kuleta dawa ya kuacha pombe nchini. MSD inatarajiwa kushirikia na Hospitali Maalum ya Afya ya Akili (Mirembe) iliyopo Jijini Dodoma. Kwa mujibu wa MSD,…
WIMA awards honorary accolades to 30 women who excelled in various professional fields
DAR ES SALAAM: IN efforts to recognize and celebrate the contribution of women to socio-economic development across Africa, Women in Management Africa (WIMA), has awarded honourary accolades to 30 women…
Kwa Nini Chuki Dhidi ya Israel Zinaendelea Kuongezeka Ndani ya Marekani?
Chama cha Democrat nchini Marekani hivi sasa kinazihama enzi za uungaji mkono wake wa jadi kwa utawala bandia wa Israel na kuhamia kwenye zama za kupingana vikali na utawala huo.
Waziri Mkuu, Dkt Mwigulu Nchemba ameongoza kikao cha mawaziri wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapi…
Waziri Mkuu, Dkt Mwigulu Nchemba ameongoza kikao cha mawaziri wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ). Lengo la kikao hicho ni kujadili…
Rais wa Marekani, Dolnard Trump na Makamu wake wamenusurika kuuawa wakiwa katika halfla ya chakula cha usiku
Rais wa Marekani, Dolnard Trump na Makamu wake wamenusurika kuuawa wakiwa katika halfla ya chakula cha usiku. Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo katika halfla hiyo ililiyofanyika State House.…
CIG: UAE iliwalipa mamluki wa Colombia ili kuwasaidia wanamgambo Sudan kufanya mauaji ya kimbari
Umoja wa Falme za Kiarabu uliwapa mamluki wa Colombia kulisaidia kundi la wanamgambo wa Sudan, la Rapid Support Forces (RSF), kuwaua maelfu ya raia katika nchi hiyo ya kaskazini mashariki…
Mwanamke tajiri zaidi Australia agawa utajiri wake
Mzozo huo wa kisheria unatokana na mradi wa Hope Downs, mojawapo ya miradi mikubwa na yenye faida kubwa zaidi ya madini ya chuma nchini Australia.
Sura mbili za talaka kwenye ndoa
Ndoa ni muungano wa kipekee kati ya watu wawili, wenye lengo la kuunda familia na kuishi kwa...
MWALIMU WA MAISHA: Usipende ukasahau utu na thamani yako
Kupenda ni hisia ya kipekee inayogusa moyo wa mwanadamu kwa namna ya ajabu. Ni hali ya kuwa...
WIMA yatoa tuzo za heshima kwa wanawake 30 Afrika
DAR ES SALAAM: KATIKA jitihada za kutambua na kuenzi mchango wa wanawake katika maendeleo ya kijamii na kiuchumi barani Afrika, Shirika la Women in Management Africa (WIMA) limetoa tuzo za…
Oburu Oginga amvaa Orengo, amwambia hawezi kuongoza chama chochote labda cha ndege na miti pekee
Oburu Oginga anakemea azma ya James Orengo ya kunyakua uongozi wa ODM, na kuzua mapigano ya vikundi kuhusu uhalali, urithi, na mwelekeo wa chama katika siku zijazo.
Kansela wa Ujerumani: Athari mbaya za vita dhidi ya Iran haziishii kwenye ongezeko la bei ya mafuta
Kansela wa Ujerumani ameonya kwamba matokeo mabaya ya vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran hayaishii kwenye ongezeko la bei ya mafuta, bali pia yanatishia misingi ya uchumi wa…
Aspirini inaweza kupunguza hatari ya kupata saratani – unajua ni kwa nini?
Inaonekana vigumu kuamini, lakini kwa muda mrefu kumekuwa na dalili kwamba dawa hiyo inaweza kupunguza uwezekano wa kuenea kwa saratani ya utumbo mpana.
Ibenge aanika kilichoiponza Azam ikinyolewa na Yanga Muungano Cup
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Renew subscription Maybe later…
Nick Pope: Sababu ya kipa wa Newcastle kuponea chupuchupu kadi nyekundu dhidi ya Arsenal yaelezwa
Ligi Kuu imetetea uamuzi wa kumpa kadi ya njano Nick Pope kwa kosa dhidi ya Viktor Gyokeres, licha ya Arsenal kupata ushindi muhimu na kurejea kileleni mwa EPL.
Bacca afunguka mazito baada ya kuikanda Azam na kutinga fainali Muungano Cup
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Renew subscription Maybe later…
Hiki hapa kilichomrejesha Salum Mayanga kuwa kocha mkuu wa Mbeya City
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Renew subscription Maybe later…
Makonda: Kampuni ya 361 ndio itapeleka mshiriki Miss World
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Renew subscription Maybe later…
Vihiga: Mwalimu mkuu mstaafu, mkurugenzi wa KATECO azimia na kufariki nyumbani kwake
Mbunge wa Emuhaya Omboko Milemba anaomboleza kifo cha ghafla cha mwalimu mstaafu Jack Aswani. Inadaiwa alifariki baada ya kuzimia nyumbani kwake Ebusiloli, Vihiga.
Opta yatabiri mshindi wa EPL baada ya Arsenal kuichapa Newcastle United na kurejea kileleni
Ushindi wa Arsenal dhidi ya Newcastle United unawafanya kurejea katika uongozi wa Ligi Kuu huku Opta ikitabiri 72.44% ya kutwaa taji lao la kwanza tangu 2004.
Tanzania thrives when Tanganyika, Zanzibar stand united
DAR ES SALAAM: TODAY Tanzania marks Union Day, a living testament to the bold decision in 1964 to unite Tanganyika and Zanzibar into one sovereign nation. That union was not…
Fahamu Kiasi Ambacho ni Lazima Chelsea Kumlipa Liam Rosenior Baada ya Kumfukuza Kazi
Chelsea inakabiliwa na malipo makubwa kwa Liam Rosenior baada ya kumfuta kazi siku 107 tu baada ya mkataba wa miaka sita, kufuatia kushindwa vibaya na Brighton.
Kiasi cha mkwanja Omanyala, Gabby Thomas walipewa baada ya kufyatuka kama mishale Kip Keino Classic
Ferdinand Omanyala, Gabby Thomas, na Emmanuel Wanyonyi wang'aa katika Kip Keino Classic, wakipata maelfu ya pesa za zawadi kwa maonyesho ya hali ya juu.
People’s bond, Kiswahili credited for 62 years of Union stability
DAR ES SALAAM: THE Executive Director of the Public-Private Partnership Centre (PPPC), David Kafulila, has attributed the longevity of Tanzania’s Union to strong social bonds among its people, describing it…
Sifuna, Orengo na timu yao watembelea kaburi la Raila kabla ya mkutano wao Kisumu: “Kutafuta baraka”
Timu ya ODM ya Linda Mwananchi, ikiongozwa na Seneta Edwin Sifuna na Gavana James Orengo, ilitembelea kaburi la Waziri Mkuu wa zamani Raila Odinga.