“Lazima PHD?” Uteuzi wa Gaucho Katika Bodi ya Mama Lucy Wagawa Kenya Ahmednasir Akiuliza Swali Nzito
Wakili Ahmednasir alizua mjadala baada ya kushangaa mbona Wakenya wanamkataa mtu aliyejijenga kutoka mtaani ila wanawaamini mabwenyenye ambao wameishi kufyonza nchi
“Lazima PHD?” Uteuzi Gaucho Katika Bodi ya Mama Lucy Wagawa Kenya Ahmed Nasir Akiuliza Swali Nzito
Wakili Ahmednasir alizua mjadala baada ya kushangaa mbona Wakenya wanamkataa mtu aliyejijenga kutoka mtaani ila wanawaamini mabwenyenye ambao wameishi kufyonza nchi
Wakati maandalizi ya mkutano mkuu wa ALAT yakiendelea jijini Arusha, ambao pia utatumika kuwachagua viongozi wapya, baadhi ya wa…
Wakati maandalizi ya mkutano mkuu wa ALAT yakiendelea jijini Arusha, ambao pia utatumika kuwachagua viongozi wapya, baadhi ya wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wamezungumzia umuhimu wa chombo hicho pamoja na…
Wakazi zaidi ya 100 wa Kitongoji cha Kibosha Mji Mpya wamejitokeza kuomba kuunganishiwa huduma ya majisafi na salama, wakati mra…
Wakazi zaidi ya 100 wa Kitongoji cha Kibosha Mji Mpya wamejitokeza kuomba kuunganishiwa huduma ya majisafi na salama, wakati mradi wa maji wa Kibosha Mnarani ukiendelea kukamilishwa na Mamlaka ya…
Ibenge azikunjia uso Simba, Yanga Kombe la Muungano
KOCHA wa Azam FC, Florent Ibenge, amezichimba mkwara timu tatu kubwa Simba, Yanga na Singida Black Stars akisema hawezi kukubali timu hiyo kuendelea kugeuka ngazi ya mafanikio.
Pura: Tanzania ina kiwango cha gesi mara mbili zaidi ya malengo
Tanzania huenda ikawa mzalishaji mkubwa wa gesi kutokana na matokeo kuonyesha uwezo wa zaidi ya...
Mike Sonko Adai Mpenzi Wake Alimchiti: “Nilikuwa Nikilipa Kodi”
Madai tata ya Mike Sonko ya kuchiti yamezua mjadala mtandaoni, na kufichua huzuni na ukafiri. Aliyopitia yamechochea majadiliano juu ya mienendo ya uhusiano.
Ugomvi wa baa wasababisha kifo Tabora, kijana achinjwa shingoni
Ugomvi ulioanza kwa maneno makali ndani ya baa umegeuka kuwa tukio la mauaji baada ya kijana...
Maandamano Nairobi CBD: Polisi Watawanya Waandamanaji Waliojitokeza Kuteta Kuhusu Bei ya Mafuta
Polisi waliojihami wameshika doria CBD Nairobi huku kukiwa na maandamano ya kuteta kuhusu kupanda kwa bei ya mafuta. Waandamanaji wanaongozwa na Rigathi Gachagua.
BoT yawashauri wachimbaji wadogo Simiyu kutumia mifumo rasmi ya fedha
Wachimbaji wengi bado wanatumia njia zisizo rasmi kuhifadhi au kuhamisha fedha, hali...
UDSM yaja na suluhisho upungufu wa ujuzi wahitimu
Wakati malalamiko ya waajiri kuhusu wahitimu kukosa ujuzi laini yakiendelea kushika kasi, Chuo...
Wabunge, wasomi wataka mfumo imara Wizara ya Vijana
Wakati wabunge wakipitisha bajeti ya Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais, Maendeleo ya Vijana, hoja...
Rais Samia Suluhu Hassan, ameagiza kutengwa na kuendelezwa maeneo rasmi kwa shughuli za mama na baba lishe ili kuboresha mazingi…
Rais Samia Suluhu Hassan, ameagiza kutengwa na kuendelezwa maeneo rasmi kwa shughuli za mama na baba lishe ili kuboresha mazingira yao ya kazi. Ametoa agizo hilo Aprili 21, 2026 jijini…
Sehemu ya Series zitakazoruka wiki hii kupitia Kisimbuzi chako cha AzamTV
Sehemu ya Series zitakazoruka wiki hii kupitia Kisimbuzi chako cha AzamTV. Kwa kifurushi cha shilingi 35,000 unapata chaneli hizi za Series. #Series #AzamTV (Feed generated with FetchRSS)
Meya wa Kibaha ajitosa kuwania uongozi ALAT
Meya wa Manispaa ya Kibaha, Dk Nicas Mawazo, amejitosa katika kinyang’anyiro cha uongozi wa...
Sehemu ya vipindi vya Katuni wiki hii kupitia AzamTV
Sehemu ya vipindi vya Katuni wiki hii kupitia AzamTV Kwa kifurushi cha shilingi 35,000 unapata chaneli hizi za Katuni. #Kids #AzamTV (Feed generated with FetchRSS)
Rais Samia Suluhu Hassan, amesema shughuli za baba lishe na mama lishe zina hadhi na zinapaswa kuheshimiwa kutokana na mchango w…
Rais Samia Suluhu Hassan, amesema shughuli za baba lishe na mama lishe zina hadhi na zinapaswa kuheshimiwa kutokana na mchango wake katika afya na ustawi wa jamii. Rais Samia amesema…
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Sheria wa TOSCI, Zubery Suddy, amesema ubora wa mbegu unasimamiwa kwa kuzingatia taratibu na…
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Sheria wa TOSCI, Zubery Suddy, amesema ubora wa mbegu unasimamiwa kwa kuzingatia taratibu na viwango vya kisheria vinavyohusisha hatua mbalimbali za ukaguzi. Ameeleza…
UNOPS: Tunajitahidi kurejesha maisha kaskazini mwa Msumbiji baada ya mgogoro
Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Miradi na Huduma (UNOPS) kwa kushirikiana na Serikali ya Msumbiji imekabidhi rasmi boti 23 za uvuvi pamoja na vifaa vyake kwa vyama vya wavuvi…
Uwakilishi mdogo wa wanawake uongozi Siaya ni mtihani tutaoukabili: Scholastica Masidis Madowo
Katika Bunge la Kaunti ya Siaya, Scholastica Masidis Madowo ni miongoni mwa wanawake wachache waliochaguliwa hali anayosema inaakisi changamoto pana ya ushiriki mdogo wa wanawake katika uongozi.
Wanaowania nafasi ya Katibu Mkuu wa UN wawasilisha hoja zao katika “mazungumzo shirikishi” mubashara
Wagombea wanne hadi sasa wanaowania nafasi ya Katibu Mkuu ajaye wa Umoja wa Mataifa watapata fursa ya kuonesha kwa nini wao ni chaguo bora kupitia mfululizo wa “mazungumzo shirikishi” yanayofanyika…
IOM: Takribani wahamiaji 8,000 wamekufa au kutoweka mwaka 2025
Takribani wahamiaji 8,000 waliripotiwa kufariki dunia au kutoweka duniani kote mwaka 2025, na kufanya jumla ya wahamiaji waliopoteza maisha tangu 2014 kufikia zaidi ya watu 82,000, kulingana na takwimu mpya…
Takribani watu milioni 4 wanaorejea Sudan wako hatarini kutokana na hali tete: IOM
Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji (IOM) limetoa onyo kuwa kurejea kwa hiari kwa takribani watu milioni nne nchini Sudan kunaweza kukosa kudumu iwapo hakutakuwa na uwekezaji wa haraka…
Mashariki ya Kati: Sintofahamu kuhusu mazungumzo ya Marekani na Iran, inaendelea
Mazungumzo kati ya Iran na Marekani yaghubikwa na sintofahamu Mgogoro wachochea mshtuko wa nishato Mabaharia wamekwamba mlango Bahari wa Hormuz Uchumi wa Asia-Pasifiki washuka, mfumuko wa bei wapanda
“Sina Gari, Shida Haiko Kwangu”: Jamaa Awasha Mitandao na Sababu za Ajabu Mbona Alisusia Maandamano
Maelezo ya wazi na ya moyoni ya mwanaume wa Kenya kuhusu sababu aliyosusia maandamano ya jijini Nairobi yamechochea ucheshi Wakenya wakishindwa kuzuia kicheko
Tamisemi yaagiza halmashauri nchini kujenga hosteli
Halmashauri zote nchini zimetakiwa kuanza kutenga bajeti kwa ajili ya ujenzi wa hosteli katika...
VIWANJANI: “Kwasasa tunajua mpira wa miguu umebadilika zaidi kuliko kumtegemea mshambuliaji kinara pekee awe ndio mfugaji, hao p…
VIWANJANI: “Kwasasa tunajua mpira wa miguu umebadilika zaidi kuliko kumtegemea mshambuliaji kinara pekee awe ndio mfugaji, hao pia ambao wanacheza karibu na goli la mpinzani wanatakiwa kuhusika katika magoli…”- Mchambuzi…
Mbunge wa EALA David Sankok Ataka ODM Kujiunga na UDA: “Chungwa Linaweza Kutoshea Kwenye Toroli”
Mbunge wa EALA David Sankok alipendekeza kuvunjwa kwa ODM kabla ya 2027, na hivyo kuzua utata kukiwa na mijadala ya kugawa maeneo ya chama na ushawishi wa UDA.
Kwanini Afrika inataka ramani mpya ya dunia
Togo inapania kuwahimiza mataifa wanachama wa Umoja wa Mataifa, kuja na ramani ambayo inaelezea ukubwa halisi wa bara Afrika na kutupilia mbali ramani ya Mercator.
Wizara ya Mazingira yaomba bilioni 76.68 kutekeleza vipaumbele vitano
Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), imeliomba Bunge kuidhinishia Sh76.68 bilioni...
Mtanzania kuzungumzia mazingira mkutanoni Ureno
Balozi wa mazingira na mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji wa TEEMO Africa Company Ltd, Winfrida...
MUUNGANO CUP 2026 | Wapi hiyo…!!???
MUUNGANO CUP 2026 | Wapi hiyo...!!??? Ni hapa Amaan Stadium ambapo leo kinaanza kutimuka kivumbi cha michuano ya Kombe la Muungano... Mechi ya ufunguzi ni mabingwa watetezi Yanga SC vs…
Aliyechelewa kukata rufaa kwa zaidi ya miaka mitatu akwama mahakamani
Mahakama Kuu Masijala Ndogo ya Musoma imetupilia mbali ombi la Wambura Simbanne la kuongezewa...
Simba, Yanga kuchuana vikali Mei 9, The Super Dome
TUZO za Baraza la Michezo la Taifa (BMT) ambazo hutolewa ili kutambua mchango wa wanamichezo bora nchini, zimepangwa kutolewa Mei 9, 2026 katika ukumbi wa The Super Dome Masaki uliopo…
Simba, Yanga kuchuana vikali Mei 9, The Superdome
TUZO za Baraza la Michezo la Taifa (BMT) ambazo hutolewa ili kutambua mchango wa wanamichezo bora nchini, zimepangwa kutolewa Mei 9, 2026 katika ukumbi wa The Super Dome Masaki uliopo…
Hofu yatanza juu ya uwezekano wa kuibuka mzozo mpya Ethiopia
Chama kikuu cha siasa katika eneo la Tigray kaskaizni mwa Ethiopia kimetangaza kuwa kinachukua udhibiti wa serikali ya eneo hilo, na hivyo kubatilisha makubaliano ya amani na Serikali ya Shirikisho…
Burundi, UNHCR kuwarejesha makwao wakimbizi wa Kongo
Serikali ya Burundi, kwa ushirikiano na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR), imetangaza mpango wa kuwarejesha makwao kwa hiari maelfu ya wakimbizi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya…
Wakfu wa Smachs: William Ruto Amuonea Fahari Binti Charlene, kwa Maendeleo ya Mpango Wake wa Vijana
Charlene alimvutia Rais William Ruto kwa kuonyesha miradi ya vijana ya Smachs Foundation katika ufugaji nyuki, upandaji miti na kilimo kinachozingatia hali ya hewa.
Chadema Iringa yarejea mzigoni, yaahidi kuwafikia wananchi
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Iringa kimeanza ukurasa mpya wa uhai wa kisiasa kwa...
Jiongeze: Usilete stori hizi mkienda viwanja kula bata
Ukienda kijiweni, pub au nyama choma achana na stori za sijui umesoma wapi hadi wapi, mara...
VIWANJANI: “Kwa misimu mitatu mfululizo Feisal ndiye mchezaji bora zaidi kuliko mchezaji yeyote”
VIWANJANI: “Kwa misimu mitatu mfululizo Feisal ndiye mchezaji bora zaidi kuliko mchezaji yeyote” Mchambuzi wa soka na mwandishi wa habari mkongwe @nkiniphilip anasema kiungo wa Azam FC, Feisal Salum, ndiye…
Ufahamu Mlango Bahari wa Malacca na umuhimu wake kwa biashara ya kimataifa
Njia hii ya bahari huunganisha bahari ya kusini mwa China, ambapo husafirisha theluthi tatu ya biashara zote duniani.
Barcelona kutema watano, Rashford, Lewandowski wamo
Klabu ya Barcelona inaripotiwa kupanga kuachana na wachezaji watano katika dirisha la usajili...
Wolves ilivyoshushwa daraja Ligi Kuu England
Wolverhampton ni rasmi sasa imeshuka daraja kutoka Ligi Kuu England (EPL) hadi Championship...
Kiongozi Muadhamu awashukuru Maulamaa wa Kisunni wa Hormozgan
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Hosseini Khamenei, ameelezea shukrani zake za dhati kwa wanazuoni na maulamaa wa Kisunni katika mkoa wa kusini mwa Iran wa Hormozgan,…
Serikali yajipanga kuvuna utalii AFCON 2027
Wakati Tanzania ikijiandaa kuwa mwenyeji wa Fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027, Serikali...
Umoja wa Mataifa wakosoa vitisho vipya vya Trump dhidi ya Iran
Msemaji wa Umoja wa Mataifa amekosoa wazi vitisho vipya vya Rais wa Marekani, Donald Trump, kuhusu kushambulia miundombinu ya Iran endapo matakwa ya Washington hayatatekelezwa.
Makundi ya Kiislamu ya Marekani yatoa wito wa kuwachiwa huru kiongozi wa jumuiya ya Wapalestina
Muungano wa mashirika ya kutetea haki za kiraia ya Kiislamu Jumatatu wiki hii ulikusanyika nje ya Mahakama ya Juu ya Marekani ukitaka kuachiwa huru haraka iwezekanavyo Salah Sarsour, kiongozi wa…