Ashutosh Jog: Kila mradi uliokamilika ni ushuhuda wa ahadi yetu kwenye ubora na uaminifu
Wakati tunaanza lengo letu lilikuwa wazi ya kwamba tunataka kutimiza ahadi zetu na kujenga...
Ruvu basin project drives economic growth, water security
RUVU: IMPROVED water user management is set to unlock new economic opportunities for thousands of farmers and rural communities, as a multi-million-dollar project targets sustainable water use, climate resilience and…
Open discussion: Banks’ reactions to Iran war
DAR ES SALAAM: WHEN the Iran war became the defining global shock at the end of February 2026, the market’s first instinct was clear: Oil would rise, inflation would return…
Mapambano ya Watu wa Iran dhidi ya Madhalimu
Swali muhimu zaidi ambalo limekuwa likiwashughulisha wachambuzi wengi na hata watumiaji wa mitandao ya kijamii siku hizi ni kuwa: "Je, Wairani wameweza vipi kusimama imara mbele ya nguvu mbili za…
Iran yashambulia meli kubwa ya mafuta karibu na Dubai
Iran imeshambulia na kuchoma moto tanki kubwa la mafuta ghafi karibu na pwani ya Dubai Jumatatu...
Tazama Maziko ya Ajabu Huku Familia Ikimzika Marehemu Mwanao Ndani ya Nyumba
Sherehe ya ajabu ya mazishi ilifanyiwa mwanamume wa miaka 32 ndani ya nyumba ya familia yake, na kuwaacha wanamtandao wakihoji hali hiyo isiyo ya kawaida
From speculation to certainty, safeguarding Dar’s iconic shoreline
DAR ES SALAAM: THE government’s firm declaration that Coco Beach will remain a public asset marks a decisive and reassuring moment for residents of Dar es Salaam. Prime Minister Mwigulu…
Liquidity up as DSE faces pressure
DAR ES SALAAM: THE Dar es Salaam Stock Exchange (DSE) experienced a week of increased trading activity but diverging value performance during the week ended March 27, 2026. While liquidity…
A bold blast: What MP Gisairo’s attack on public spending signifies for Kenya’s economic future
NAIROBI: THE recent outspoken remarks by Kenyan Member of Parliament Cleve Gisairo, which condemn the government’s waste of public funds, have struck a nerve across the country, despite the political…
#HABARI: Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), CPA
#HABARI: Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), CPA. Prof. Sylvia Temu, ameongoza viongozi na watumishi wa bodi hiyo kumkaribisha rasmi na kumkabidhi ofisi…
🔴LIVE: IBADA YA KUAGA MWILI WA LUKUVI INAFANYIKA IDODI….MACHI 31, 2026
🔴LIVE: IBADA YA KUAGA MWILI WA LUKUVI INAFANYIKA IDODI....MACHI 31, 2026 (Feed generated with FetchRSS)
Polisi yakemea propaganda ajali ya mgodi Msasa -Geita
JESHI la Polisi mkoani Geita limewatahadharisha wachimbaji wadogo katika Mgodi wa Msasa wilayani Bukombe mkoani Geita kuepuka propaganda za uchochezi wa uvunjifu wa amani. Kauli ya Jeshi la Polisi inakuja…
Mwanamke Awasaidia Polisi Kumkamata Mpenziwe Askari Jela Baada ya Kuahidiwa KSh 345k
Moses Anguyo, askari magereza anayetuhumiwa kwa ufyatuaji risasi wa kutisha nchini Uganda, amekamatwa nchini DRC baada ya muongozo wa mpenzi wake na familia.
Fedha za SGR zaipa tuzo Tanzania
SERIKALI ya Tanzania imeibuka mshindi wa tuzo ya kimataifa ya fedha za miundombinu kwa mwaka 2026, kufuatia mafanikio yake katika kupata mkopo wa masharti nafuu kwa ajili ya ujenzi wa…
Govt confirms no casualties in Geita mine collapse
GEITA: THE Police Force in Geita Region has confirmed that no fatalities were recorded following the collapse of four mining pits at Msasa Mining in Bukombe District. The incident occurred…
Ugomvi nyumbani, ugoni vyaongoza mauaji 2025
MIKOA ya Kagera, Singida na Dodoma imeibuka vinara wa matukio ya mauaji nchini kwa mwaka 2025, kwa mujibu wa takwimu mpya za Jeshi la Polisi. The post Ugomvi nyumbani, ugoni…
Tanzania questions ICC governance in the pursuit of global justice.
DAR ES SALAAM: A documentary questioning the credibility and neutrality of the International Criminal Court (ICC) was screened in Dar es Salaam on Friday, drawing senior government officials, diplomats, and…
CCTV Yanasa Wanawake Wawii Wakimwibia Jamaa Mali Yenye Thamani ya KSh 335k Kilimani
Polisi wanawasaka wanawake wawili wanaodaiwa kumtilia dawa za kulevya mwanaume mmoja katika mtaa wa Kilimani, na kuiba vitu vya thamani vya KSh 335,000.
Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza kuimarishwa kwa uwazi na uwajibikaji katika manunuzi ya umma, akielekeza taasisi zinazokiuka t…
Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza kuimarishwa kwa uwazi na uwajibikaji katika manunuzi ya umma, akielekeza taasisi zinazokiuka taratibu kutajwa hadharani na kuchukuliwa hatua. Akizungumza tarehe 30 Machi, 2026, Ikulu Dar…
Audit reveals improved financial management
DAR ES SALAAM: THE 2024/2025 Controller and Auditor General (CAG) report shows significant improvement in public institutions’ financial reporting, with 99 per cent of unqualified audit opinions. Presenting the report…
Minister calls for coal association to tackle market bottlenecks
DODOMA: THE government has issued a sweeping directive requiring coal stakeholders to establish a national association within seven days, aiming to improve coordination, curb market cartels and boost revenue collection…
TAKUKURU Yaokoa Sh Bilioni 14.5
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imesema imefanikiwa kuokoa shilingi bilioni 14.5 kupitia operesheni mbalimbali za uchunguzi. Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Crispin Chalamila, ameeleza hayo Ikulu, Dar es…
George Ruto Azawadi Shule ya Upili ya Kisaju Basi Jipya, Awazia Siasa
George Ruto aliwasilisha basi jipya la shule katika Shule ya Upili ya Kisaju, jambo lililozua msisimko na hisia tofauti huku akisisitiza umuhimu wa kujihatarisha.
CAG: Hati 1,326 zinaridhisha
MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, amesema kuwa mwenendo wa hati za ukaguzi kwa mashirika na taasisi za serikali umeendelea kuimarika, ambapo hati 1,326 kati…
Mtaalamu wa Teknolojia ya Mawasiliano, Kenedy Mmari amesema kuwa njia zote za uhifadhi wa taarifa zina umuhimu mkubwa, kulingana…
Mtaalamu wa Teknolojia ya Mawasiliano, Kenedy Mmari amesema kuwa njia zote za uhifadhi wa taarifa zina umuhimu mkubwa, kulingana na kiwango cha usalama kinachohitajika kwa taarifa husika. Amefafanua kuwa si…
Kwa nini Afrika inakabiliwa na uhaba wa mafuta licha ya utajiri wa bidhaa hiyo muhimu
Vita vya Iran vimesababisha bei ya mafuta kupanda na changamoto za usafiri wa meli, huku ikifungua njia mpya Tanzania.
Uingereza: Hujuma ya Marekani na Israel dhidi ya Iran si vita vyetu/ Ujerumani: Kuenea kwa vita kutashinikiza vikali uchumi wa Ulaya
Keir Starmer, Waziri Mkuu wa Uingereza, amesisitiza tena msimamo wa London kuhusu vita vya kichokozi vya Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran, na kusema kuwa vita hivi sio…
Tanzania, Japan strengthen investment ties
DAR ES SALAAM: TANZANIA and Japan are entering a new era of investment collaboration, with calls for local businesses to partner with Japanese companies to tap opportunities and integrate into…
Vyombo vya habari vya Uingereza: Athari mbaya za uchokozi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran kwa maisha ya Wamarekani
Gazeti la Uingereza la The Guardian limeandika katika ripoti yake kwamba vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran vimetoa mashinikizo makubwa kwa Wamarekani na kuongeza pakubwa gharama za maisha…
Vyombo vya habari vya Marekani: Uungaji mkono wa Yemen kwa Iran katika mashambulizi ya Marekani na Israel umeongeza bei ya mafuta duniani
Tovuti ya CNBC imeandika kwamba uungaji mkono wa vikosi vya Yemen kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mashambulizo ya kichokozi ya Marekani na Israel dhidi yake na urushaji wa…
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Moi azama kwenye maporomoko ya maji ya Kesses
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Moi anahofiwa kufariki baada ya kusombwa na maporomoko ya maji ya River Kesses huku wapiga mbizi wakitafuta mwili wake.
Wanajeshi wa Israeli waonekana karibu na mpaka wa Lebanon
Wanajeshi wa Israeli wameonekana karibu na mpaka wa nchi jirani ya Lebanon, hatua inayojiri wakati huu Israeli ikiripotiwa kuendelea kurusha makombora nchini Lebanon. Imechapishwa: 31/03/2026 – 08:08 Dakika 1 Wakati…
Mwanajeshi wa Israeli aliyeuawa katika shambulio la Hezbollah azikwa
Waombolezaji nchini Israeli siku ya Jumatatu (Machi 30) walishiriki kwenye mazishi ya mwanajeshi wa IDF aliyeuawa katika shambulio la wapiganaji wa Hezbollah kutoka nchini Lebanon. Imechapishwa: 31/03/2026 – 08:03 Dakika…
Vita vya Mashariki ya Kati: Bei ya mafuta yapanda tena, hisa za Asia zashuka
Masoko ya hisa ya Asia yameshuka siku ya Jumatatu wakati bei ya mafuta ikipanda tena, huku bei ya mafuta ghafi ya WTI, kiwango cha Marekani, ikizidi tena kizingiti cha dola…
Wazazi Waonyesha Hasira Zao Gilgil Kukashifu Kifo cha Mvulana aliyepatikana Katika Kidimbwi cha Samaki
Maandamano yazuka Gilgil baada ya kifo cha Faiz Faraj mwenye umri wa miaka mitatu shuleni. Ripoti zinazokinzana huchochea hasira na madai ya haki kutoka kwa jamii.
Venezuela: Ubalozi wa Marekani Caracas wafunguliwa tena, baada ya kufungwa kwa miaka saba
Hatua mpya katika uhusiano wa kidiplomasia kati ya Washington na Caracas, mpango huu pia ni ushahidi zaidi wa uhusiano mzuri kati ya nchi hizo mbili tangu kutekwa nyara kwa rais…
GEN Z Sasa Ndio Wamejisajili kwa Wingi Kupiga Kura 2027, IEBC Yathibitisha
Fahamu habari kuu katika magazeti ya Kenya ya Machi 31, zinazoangazia ushawishi wa kisiasa wa Gen Z, usajili wa wapigakura na kifo cha ajabu kwenye seli
Emmanuel Macron ziarani nchini Japan na Korea Kusini katikati ya vita vya Mashariki ya Kati
Kabla ya kusafiri kwenda Korea Kusini mnamo Aprili 2 kwa ziara ya kiserikali, Emmanuel Macron anawasili Tokyo leo Jumanne, Machi 31, kwa ziara rasmi ya siku tatu nchini Japan. Akiambatana…
Marekani na Israel wamewaua viongozi wengi wa Iran, Je Trump anafanya mazungumzo na nani?
Kuuawa kwa kiongozi mkuu wa Iran,Ayatollah Ali Khamenei kuliwashtuwa wengi, haswa kwasababu ilikuwa siku ya kwanza ya vita baada ya mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran.
Wakazi wa Kijiji cha Ruhokwe, kilichopo katika Kata ya Mnolela, Halmashauri ya Mtama – Lindi, wameiomba serikali kukamilisha uje…
Wakazi wa Kijiji cha Ruhokwe, kilichopo katika Kata ya Mnolela, Halmashauri ya Mtama - Lindi, wameiomba serikali kukamilisha ujenzi wa zahanati ili kuondokana na changamoto za upatikanaji wa huduma za…
ACT Wazalendo kugharimia mazishi ya Bwege
Chama cha ACT Wazalendo, kimeahidi kubeba gharama zote za mazishi ya aliyekuwa mwanachama wake,...
Kenya: Ugunduzi wa kaburi la halaiki unaonyesha ukosefu wa kanuni katika mila za mazishi
Nchini Kenya, uchunguzi kuhusu kaburi la halaiki lililogunduliwa Kericho, magharibi mwa nchi, unaendelea. Miili thelathini na mitatu ilifukuliwa mnamo Machi 24. Vijana walioajiriwa kama wachimba makaburi na watu wasiojulikana waliwaarifu…
Haya hapa matobo ya Sheria ya Elimu
Wadau wa elimu nchini wametaka kuandaliwa kwa sheria mpya itakayosimamia elimu nchini ambayo...
Mapitio ya #MAGAZETI leo Machi 31, 2026 kwenye
Mapitio ya #MAGAZETI leo Machi 31, 2026 kwenye #MorningTrumpet #UTV108 #AzamTVUpdates (Feed generated with FetchRSS)
AFCON: Kesi yamashabiki wa Senegal walioshtakiwa kwa vurugu yaahirishwa nchini Morocco
Kesi katika ngazi ya rufaa ya mashabiki 19 kaika fainali ya AFCON— raia18 wa Senegal na Mfaransa mmoja—waliokamatwa baada ya fainali nchini Morocco na kuhukumiwa katika mahakama ya mwanzo kwa…
Furaha ya Fatuma Said imeongezeka zaidi baada ya nyumba yake ya nyasi iliyopo Mtaa wa Makemba, Manispaa ya Songea kuunganishiwa …
Furaha ya Fatuma Said imeongezeka zaidi baada ya nyumba yake ya nyasi iliyopo Mtaa wa Makemba, Manispaa ya Songea kuunganishiwa umeme, hatua iliyowavutia majirani kwenda nyumbani kwake kutazama televisheni na…
DRC: Makumi ya raia watekwa nyara katika shambulio jipya la ADF Ituri
Wakati kundi hilo lenye silaha likizidisha mashambulizi yake katika jimbo hili la kaskazini mashariki mwa DRC kwa wiki kadhaa, angalau vijiji vinne magharibi mwa jiji la Bunia vilishambuliwa tena Jumamosi,…
Nigeria: Watu wasiopungua 30 wameuawa katika shambulio Jos
Baada ya shambulio lililotokea siku ya Jumapili jioni ya Machi 29, serikali ya Jimbo la Plateau imetangaza sheria ya kutotoka nje kwa saa 48 katika kitongoji cha Angwan Rukuba ambapo…
Israel: Bunge lapitisha sheria yenye utata inaidhinisha adhabu ya kifo kwa magaidi
Bunge la Israeli limepitisha sheria yenye utata Jumatatu jioni, Machi 30, inayoidhinisha adhabu ya kifo kwa magaidi. Kiutendaji, sheria hii inatarajiwa kutumika tu kwa Wapalestina waliohukumiwa kwa mashambulizi au vitendo…
Zanzibar inatarajia kuanza kutumia mabasi yanayotumia nishati ya umeme hivi karibuni, baada ya kufanyiwa ukaguzi wa mwisho kabla…
Zanzibar inatarajia kuanza kutumia mabasi yanayotumia nishati ya umeme hivi karibuni, baada ya kufanyiwa ukaguzi wa mwisho kabla ya kuanza kupakia abiria katika maeneo mbalimbali ya viunga vya kisiwa hicho.…