Zaidi ya watu 70 wameuawa kwenye shambulio kwenye timbo Sudan Kusini
Watu zaidi ya 70 wameuawa katika shambulio lililotokea kwenye machimbo ya dhahabu Khor Kaltan, nchini Sudan Kusini. Imechapishwa: 31/03/2026 – 06:09 Dakika 1 Wakati wa kusoma Matangazo ya kibiashara Soma…
Wito shule binafsi kuchangamkia elimu ya amali
Katika ulimwengu unaobadilika kwa kasi, ambako ajira rasmi zinazidi kuwa haba na ushindani wa...
Wafungwa 11 wafariki kutokana na maambukizo ya kipindupindu gerezani DRC
Wafungwa 11 wamepoteza maisha na wengine wameambukizwa kipindupindu baada ya kutokea kwa mlipuko wa ugonjwa huo katika gereza la Mbanza-Ngungu katika mkoa wa Kongo Central nchini DRC. Imechapishwa: 31/03/2026 –…
Uhispania yafunga anga yake kwa ndege zenye uhusiano na mashambulizi dhidi ya Iran
Serikali ya Uispania imetangaza kufunga anga ya nchi hiyo kwa ndege zote za kijeshi zinazohusiana na mashambulizi dhidi ya Iran, kama ishara ya kupinga vita vinavyoongozwa na Marekani na Israel.
Sitaki ‘kuweka ratiba’ vita vya Iran vitaisha lini – Netanyahu
Mashambulizi yanaendelea Iran, Lebanon na katika maeneo mengine ya Mashariki ya Kati huku kiwanda cha mafuta cha Israel kikichomeka baada ya moto kuzuka kutokana na kipande cha kombora lililozuiliwa.
Iran yakanusha kuwepo mazungumzo yoyote na Marekani
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baqaei, amesisitiza kuwa Tehran haijafanya mazungumzo ya moja kwa moja na Marekani, na amekanusha madai kwamba Jamhuri ya Kiislamu imekubali…
Jinsi Marekani inavyoweza kujaribu kuteka kisiwa cha Kharg cha Iran
Donald Trump amedokeza kuwa anaweza kutuma wanajeshi kuchukua udhibiti wa kituo kikuu cha kuuza mafuta cha Iran.
Mary Mugitu na ndoto ya biashara iliyogeuka tumaini kwa wanawake
Mugitu akizungumza na Mwananchi hivi karibuni, amesema kwake biashara haikuwa njia ya kutafuta...
Tetesi za soka Ulaya Jumanne: Real Madrid kumsajili kiungo wa Chelsea Enzo Fernandez
Kiungo wa kati wa Chelsea Enzo Fernandez yumo kwenye orodha ya walioteuliwa na Real Madrid, Juventus wanamtolea macho Manuel Ugarte wa Manchester United, huku Newcastle wakipata msukumo katika jitihada zao…
Kamanda wa Kikosi cha Quds cha IRGC: Israel izoee “Mfumo Mpya wa Kikanda”
Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), Brigedia Jenerali Esmaeil Qaani, amesema kuwa utawala wa Israel unapaswa kuanza kuzoea “mfumo mpya wa nguvu…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Machi 31, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers... The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania…
Johnson Sakaja atoweka akisakwa na polisi kwa kupuuza kikao cha PAC cha Seneti
Polisi wamezidisha msako wa kumtafuta Johnson Sakaja baada ya kupuuza wito wa Seneti, huku maswali ya ukaguzi na amri ya kukamatwa yakichochea maswala ya uwajibikaji
#MzizimaDerby Waya …waya….waya; Waya wa umeme waya…..!!!
#MzizimaDerby Waya …waya….waya; Waya wa umeme waya…..!!! Je, inakukumbusha nini hii…??? Dabi ya Mzizima si mchezo…hii ilikuwa ni Februari 7, 2018 (Miaka minane iliyopita). Je, Aprili 5, 2026, itakuwaje??? Usikubali…
#FIFASeries Game imekwisha… Rwanda wanabaki na ubingwa wa Kundi la ‘Rwanda A’
#FIFASeries Game imekwisha… Rwanda wanabaki na ubingwa wa Kundi la ‘Rwanda A’ FT: Rwanda 2-0 Estonia Je, una la kusema #FIFASeries2026 #FIFASeries #FIFASeriesRwanda #Estonia #Rwanda #RwandaEstonia (Feed generated with FetchRSS)
#NBCPL Azam FC iko mjini Singida na inaendelea kujifua kuelekea mchezo wao wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya wenyeji wao Singida Black…
#NBCPL Azam FC iko mjini Singida na inaendelea kujifua kuelekea mchezo wao wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya wenyeji wao Singida Black Stars, utakaopigwa Jumatano, Aprili 01, kwenye Dimba…
NBC ignites women’s enterprise power in Dar
DAR ES SALAAM: The National Bank of Commerce (NBC) convened a high-impact forum in Dar es Salaam, bringing together women traders and entrepreneurs to strengthen their economic potential through innovation,…
Tanzania kuwa kitovu uzalishaji viwandani Afrika
DODOMA: Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Balozi Waziri Salum, amesema Tanzania ina utajiri wa rasilimali za madini ya chuma aina ya vanadiamu na titaniamu, ambayo yatachimbwa na…
Wanawake wabeba mzigo wa mabadiliko ya tabianchi kimyakimya
Dar es Salaam. Wakati athari za mabadiliko ya tabianchi zikiendelea kuathiri maisha ya wananchi...
Kikwete, Ramaphosa hold talks in Pretoria
PRETORIA, SA: President of the Republic of South Africa, who is also SADC Chairperson and the Chairperson of the African Union’s Ad-Hoc High-Level Committee on South Sudan (commonly referred to…
Jumla ya Shilingi Bilioni 14 za Kitanzania zimetolewa na serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan kutekeleza mradi wa ujenzi wa Dara…
Jumla ya Shilingi Bilioni 14 za Kitanzania zimetolewa na serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan kutekeleza mradi wa ujenzi wa Daraja la Nzali, Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma na kuondoa adha…
Jamaa aliyerejea kutoka ng’ambo audhika na nyumba aliyojengewa na jamaa zake licha ya kutuma pesa
Ndoto za lofa zilififia aliporudi kutoka Dubai na kupata nyumba yake haijakamilika, akifichua usaliti wa familia na uchungu wa moyo katika video iliyotamba mtandaoni
Cameroon: Mazungumzo ya kibiashara yakamilika bila kuwepo makubaliano
Mazungumzo ya ngazi ya juu ya shirika la kimataifa la biashara, WTO, yamemalizika rasmi nchini Cameroon bila makubaliano yoyote muhimu ikiwemo kushindwa kuongeza muda wa kupiga marufuku ushuru wa forodha…
Trump atishia kuharibu kitovu cha usafirishaji mafuta ya Iran
Rais wa Marekani, Donald Trump, ametishia kuharibu kitovu cha usafirishaji wa mafuta ya Iran kwenye kisiwa cha Kharg, ikiwemo visima vyake na vinu vya nishati ikiwa nchi hiyo haitakubali mkataba…
PPRA yabaini ‘madudu’ kwenye manunuzi ya umma
Simba amesema pamoja na mafanikio yaliyofikiwa, asilimia 30 ya taasisi hazikutenga fedha kwa...
Wabunge kuanza kibarua cha bajeti kesho
Mambo hayo yameelezwa na makundi mbalimbali ya wananchi, kutokana na uhalisia wa hali ilivyo...
Mwanadiplomasia wa Uingereza aagizwa kuondoka Urusi
Urusi hivi leo iliagiza kuondoka nchini humo kwa mwanadiplomasia mmoja wa Uingereza kwa madai ya kufanya kufanya ujasusi, tuhuma ambazo London imezipuuza na kuziita “ujinga”. Imechapishwa: 30/03/2026 – 17:55 Dakika…
“Mh. Rais naomba kukufahamisha kwamba sikuweza kukagua hesabu za CHADEMA kwa mwaka wa fedha 2024/2025 baada ya kupata taarifa ku…
"Mh. Rais naomba kukufahamisha kwamba sikuweza kukagua hesabu za CHADEMA kwa mwaka wa fedha 2024/2025 baada ya kupata taarifa kutoka kwa Msajili wa Vyama vya siasa kuhusu mashauri yanayoendela Mahakamani"-…
Serikali yatoa misaada kwa waathirika wa mafuriko Ifakara
Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu imeanza kutoa msaada wa kibinadamu kwa wananchi...
Tanzania sees AI as a key for EAC to develop its agriculture, Health, and trade sectors
KIGALI: THE United Republic of Tanzania has emphasized the importance of using Artificial Intelligence (AI) as a modern tool to accelerate development and promote regional integration within the East African…
TMC tasked to enhance environmental management and safety in the mines
MWANZA: THE Permanent Secretary of the Ministry of Minerals, Yahya Samamba, has urged officials of the Tanzania Mining Commission (TMC), especially Resident Mining Officers in the regions, to strengthen environmental…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan amesema kumekuwa na ongezeko la hati safi kwa mwaka 2024|2025, k…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan amesema kumekuwa na ongezeko la hati safi kwa mwaka 2024|2025, kwa mujibu wa ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa…
Comorian Speaker hails his visit to Tanzania, invites Speaker Zungu to Comoros
MORONI: THE Tanzanian Ambassador to Comoros, Saidi Yakubu, met with the Speaker of the Assembly of the Union of the Comoros, Moustadroine Abdou, for a formal farewell following the completion…
Serikali yasisitiza ukaguzi migodini kukabili hatari
Watendaji wa sekta ya madini, hususan maofisa madini wakazi wa mikoa, wametakiwa kufanya...
PCCB smells a rat in 913 out of 1,864 monitored public projects
DAR ES SALAAM: The Director General of the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB), Crispin Chalamila, has revealed that the agency identified irregularities in 913 out of 1,864 public…
Tope soko la Mabibo kero sugu, bila mabuti hutoboi
Ikiwa imepita miaka mitatu tangu Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo kuchukua soko la Mabibo...
Gavana apigilia msumari usawa wa kijinsia sekta ya benki
Waraka huo wa mwaka jana 2025 unataka hadi ifikapo Juni mwaka 2028 kuwe na asilimia 30 ya...
Stamico, Planet One wasaini mkataba uchimbaji madini ya kinywe
Naibu Waziri wa Madini, Dk Stephen Kiruswa amesimamia utiaji saini wa mkataba wa utafiti...
Tanzania yanyakua ubingwa Ghana
TIMU ya Taifa ya Wanaume ya Kriketi imetawazwa kuwa mabingwa wa mashindano ya kufuzu Kombe la Dunia la T20, Kanda ya Afrika B, ICC Men’s T20 World Cup Sub Regional…
Serikali yawekeza trilioni 6 barabara,madaraja
SERIKALI imeongeza kasi ya uwekezaji katika miundombinu ya barabara na madaraja nchini, ikiwekeza zaidi ya Shilingi trilioni 6 katika miradi mikubwa 79 inayoendelea kutekelezwa, hatua inayolenga kuchochea ukuaji wa uchumi,…
SMZ kuongeza thamani zao la mwani
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali inaendelea na mikakati mbalimbali ya kuhakikisha zao la mwani linaongezewa thamani ili kuwanufaisha wakulima wake. The…
Mwalimu auawa mgogoro wa shamba watajwa
Simanzi, hofu na maswali mengi yamegubika Kijiji cha Mdenga, kata ya Nangoo wilayani Masasi...
Tanroads executes 6tri/- road, bridge projects
Dodoma: Tanzania Roads Agency (TANROADS) is executing 79 major road and bridge projects nationwide worth 6tri/-, as the country ramps up infrastructure investment to unlock its economic potential. Acting Chief…
Mama wa Nairobi Atumikia Kifungo cha Miaka 30 kwa Kukosa Kumshitaki Rafikiye Akipanga Uhalifu
Peris anatumikia kifungo cha miaka 30 jela katika Gereza la Wanawake la Eldoret baada ya uamuzi wa kuficha siri ya kifo cha rafiki yake wa karibu kumtia taabani
Dr Samia hails improvements in public financial management as per the CAG report
DAR ES SALAAM: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has commended improvements in public financial management after receiving a report by the Controller and Auditor General (CAG), which showed an increase in…
Shule 19 zapatiwa vifaa vya Tehama
SHULE 19 za msingi na sekondari katika mikoa tisa nchini zimepokea vifaa vya TEHAMA vyenye thamani ya Shilingi milioni 769, hatua inayotarajiwa kuboresha ufundishaji wa masomo ya sayansi na teknolojia…
CAG uncovers discrepancies in the construction of Arusha’s AFCON Stadium
DAR ES SALAAM: THE Controller and Auditor General (CAG), Charles Kichere, has uncovered significant discrepancies in cost estimates and procurement processes in the construction of the Arusha AFCON Stadium, raising…