UNHCR: Idadi ya wakimbizi yapungua kwa mara ya kwanza Katika muongo mmoja, lakini mamilioni wamefurushwa
Idadi ya watu waliolazimika kuhama makazi yao duniani imepungua kwa mara ya kwanza katika kipindi cha miaka 10, Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) liliripoti Alhamisi. Hata…
FAO yataka kuimarishwa kwa kinga dhidi ya magonjwa ya wanyama yanayovuka mipaka duniani
Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo FAO limezitaka nchi duniani kuimarisha hatua za kuzuia, kujiandaa na kukabiliana na magonjwa ya mipakani ya wanyama yanayoendelea kusambaa na kuhatarisha…
Zuleikha Tambwe: Mtanzania aliyeshiriki kuongoza Kamati ya COSP19 atathimini hatua zilizofikiwa katika miaka 20 ya CRPD
Mkutano wa 19, COSP19 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Haki za Watu Wenye Ulemavu CRPD, umetamatishwa Juni 11 katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani.…
Haki za Binadamu si zawadi, zimo katika chembechembe za uhai wetu
Ofisi ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa ,OHCHR imezindua Muungano wa Kimataifa wa Haki za Binadamu unaolenga kuweka haki za binadamu katika kiini cha maamuzi na uongozi wakati…
Kombe la Dunia la Soka likifungua pazia, WHO yawahakikishia mashambiki hatari ya Ebola ni ndogo
Wakati mamilioni ya mashabiki wa soka wakijiandaa kuwasili Canada, Mexico na Marekani kuhudhuria Kombe la Dunia la Soka la mwaka 2026, Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa Duniani WHO,…
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55- JUNI 11, 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55- JUNI 11, 2026 (Feed generated with FetchRSS)
Kombe la Dunia 2026: Wachezaji 10 wenye asili ya Afrika wanaopeperusha bendera za Ulaya
Labda tukiite kizazi cha dhahabu. Hawa ndio wachezaji nyota 10 wanaotikisa Ulimwengu wa Soka ambao asili yao ni kutoka Afrika, lakini watacheza kwa niaba ya mataifa mengine
Bajeti ya Kenya 2026/2027: Mambo Matano Yatakayoathiri Moja kwa Moja Maisha ya Mwananchi wa Kawaida
Bajeti ya Kenya 2026/27 ya KSh trilioni 4.7 imewasilishwa. Fahamu jinsi bei za vyakula, M-Pesa, simu, kodi ya nyumba na ushuru zitakavyoathiri maisha yako.
Operesheni ya siku 27 yafichua mitandao ya uhalifu Morogoro
Operesheni maalumu ya Jeshi la Polisi mkoani Morogoro imeibua mtandao mpana wa uhalifu baada ya...
Magavana benki kuu SADC kujadili namna ya kulinda uchumi
Majadiliano hayo yanahusisha mivutano ya kisiasa ya kimataifa, mabadiliko ya bei za nishati na...
Majeshi ya Iran yashambulia ngome za kijeshi za Marekani kujibu uchokozi
Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) likishirikiana na Jeshi la Kitaifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (Artesh), limetangaza mfululizo wa operesheni za kijeshi za kulipiza…
Majeshi ya Iran yashambulia ngome za kijeshi ya Marekani kujibu uchokozi
Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) likishirikiana na Jeshi la Kitaifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (Artesh), limetangaza mfululizo wa operesheni za kijeshi za kulipiza…
Govt unveils sh86.3tr 2026/27 development plan
DODOMA: THE government has unveiled an ambitious Sh86.3trn National Development Plan for the 2026/27, prioritising job creation, inclusive economic growth, and strategic investments as part of Tanzania’s long-term transformation agenda…
Bei za mafuta zapanda duniani kutokana na ukiukaji wa usitishaji vita wa Marekani dhidi ya Iran
Bei za mafuta ghafi ya petroli zilipanda Alhamisi duniani kufuatia kurejea kwa mashambulizi ya kijeshi baada ya uchokozi wa Marekani na ukiukaji wake wa makubaliano ya kusitisha mapigano na Iran.…
DRC: Visa vilivyothibitishwa vya Ebola vinakaribia 600
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imetangaza kwamba idadi ya visa vilivyothibitishwa vya Ebola imepanda na kukaribia 600, huku kukiendelezwa uhamasishaji miongoni mwa wananchi kuhusu umuhimu wa kuchukua hatua za kujikinga.
Northlands City: Gharama ya Kusoma katika Shule ya Peponi Ndani ya Mradi wa Familia ya Kenyatta
Shule ya Peponi katika Northlands City ni moja ya shule bora za kibinafsi Kenya. Gundua ada zake, mtaala wa Cambridge, vifaa na sababu inayovutia familia za matajiri
Afrika yaweka rekodi, yatuma timu 10 katika Kombe la Dunia huku mashindano ya 2026 yakianza
Afrika itaandika historia katika Kombe la Dunia la FIFA 2026 kwa kuwakilishwa na timu 10, ikiwa ni idadi kubwa zaidi kuwahi kufikiwa na bara hilo katika mashindano hayo.
Afrika yatuma rekodi ya timu 10 katika Kombe la Dunia huku mashindano ya 2026 yakianza
Afrika itaandika historia katika Kombe la Dunia la FIFA 2026 kwa kuwakilishwa na timu 10, ikiwa ni idadi kubwa zaidi kuwahi kufikiwa na bara hilo katika mashindano hayo.
Benki ya Exim Tanzania, taasisi ya Taifa ya Mpango wa Damu Salama yaendesha zoezi la uchangiaji damu
Benki ya Exim Tanzania imeendesha zoezi la uchangiaji damu wa hiari kitaifa kwa kushirikiana na...
Veteran actor Mzee Onyango passes away in Dar es Salaam
DAR ES SALAAM: THE film industry in Tanzania has suffered a major loss following the death of veteran actor, Issa Joseph, popularly known as Mzee Onyango, who passed away on…
Govt: Organic waste recycling to boost green economy
DODOMA: THE government is pushing for local and international investors to channel resources into organic waste recycling initiatives as part of wider efforts to strengthen environmental protection, improve waste management…
Tanzania inavyoathirika na vita Mashariki ya Kati
Kwa Tanzania, amesema athari za vita hiyo zinajitokeza katika maeneo mbalimbali ya kiuchumi...
Gazeti la NYT: Shambulio la Marekani dhidi ya miundombinu ya maji nchini Iran ni uhalifu wa kivita
Gazeti mashuhuri la The New York Times limesema kuwa mashambulizi ya hivi karibuni ya Marekani dhidi ya miundombinu ya maji kusini mwa Iran yanaweza kuhesabika kama uhalifu wa kivita, kwani…
UCHAMBUZI WA WORLD CUP- JUNI 11, 2026
UCHAMBUZI WA WORLD CUP- JUNI 11, 2026 (Feed generated with FetchRSS)
Wanafunzi masomo ya ujuzi washindanishwa utatuzi changamoto kwa teknolojia
Wanafunzi wameshindanishwa kuonesha umahiri katika Uhandisi Mitambo na Usanifu wa Kihandisi kwa...
Ulaya na vikwazo vipya dhidi ya Iran; Kutetea ubaharia au muendelezo wa mashinikizo ya kisiasa
Akizungumzia vikwazo vilivyowekwa karibuni na Umoja wa Ulaya dhidi ya baadhi ya shakhsia na taasisi za Iran, Kazem Gharibabadi Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayeshughulikia Sheria na…
Bowen: Trump na Netanyahu walitaka kubadilisha mwelekeo wa Mashariki ya Kati – sasa wanakabiliwa na tishio
Viongozi wa Marekani na Israel wamepoteza udhibiti wa mzozo wa Iran baada ya kukosea ahesabu ya tathmini yao.
JKCI successfully performs CABG surgery on six Tanzanian patients
DAR ES SALAAM: THE Jakaya Kikwete Cardiac Institute (JKCI) has marked another milestone in Tanzania’s healthcare sector after successfully performing Coronary Artery Bypass Graft (CABG) surgery on six Tanzanian patients…
Z’bar yaainisha maeneo manne ya kimkakati Mpango wa Maendeleo 2026/27
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imeainisha maeneo manne makuu ya kimkakati yatakayoongoza...
Ndejembi azindua kituo cha kuchajia magari
SERIKALI imezindua Kituo cha Kuchajia Vyombo vya Usafiri Vinavyotumia Umeme jijini Dodoma, katika hatua inayolenga kuharakisha matumizi ya nishati safi na kupunguza gharama za usafiri nchini. The post Ndejembi azindua…
Je, siasa zinapoingizwa michezoni, FIFA bado huwa ndiyo inayochukua maamuzi?
Kombe la Dunia la mchezo wa kandanda, ambalo waasisi wake wamekuwa wakidai kuheshimu maadili na thamani za kimataifa pamoja na kutenganishwa siasa na mchezo huo, sasa limekuwa mateka wa siasa…
Tanzania’s income per person soars by 7.4 percent amid growth in productive activities
DODOMA: TANZANIA’S average income per person increased by 7.4 percent in 2025, reflecting continued economic growth and expanding productive activities across the country, the government announced today, June 11, 2026…
Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema kuwa mashambulizi dhidi ya Iran “yataisha hivi karibuni” baada ya ombi kutoka Iran
Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema kuwa mashambulizi dhidi ya Iran "yataisha hivi karibuni" baada ya ombi kutoka Iran. Kwa mujibu wa taarifa iliyoripotiwa na Fox News Trump alisema katika…
Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imesaini hati tatu za makubaliano ya ushirikiano wa kielimu na Urusi zit…
Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imesaini hati tatu za makubaliano ya ushirikiano wa kielimu na Urusi zitakazowezesha kubadilishana wataalamu, kuendeleza tafiti za pamoja na kuongeza fursa za…
Wadau wataka uvunaji maji ya mvua uundiwe mkakati
Bodi ya Maji ya Bonde la Pangani imezishauri halmashauri zote za Kanda ya Kaskazini kuingiza...
Bondia Hassan Mwakinyo maarufu Champez usiku wa kuamkia leo amepigwa KO na mpindani wake Michel Soro wa Ivory Coast kwenye pamba…
Bondia Hassan Mwakinyo maarufu Champez usiku wa kuamkia leo amepigwa KO na mpindani wake Michel Soro wa Ivory Coast kwenye pambano la kuwania mkanda wa (IBO) wa dunia udhani wa…
Tanzania pushes tourism agenda at UN meeting
TOLEDO, SPAIN: TANZANIA has reaffirmed its commitment to strengthening global tourism cooperation following its participation in the 126th Executive Council Meeting of the United Nations Tourism (UN Tourism), where member…
Pasta Ezekiel ataja mambo 5 ambayo hamruhusu mkewe kufanya ili kujenga ndoa yenye mafanikio
Pasta Ezekiel Odero ameshiriki maarifa kuhusu jinsi ya kufanya ndoa iwe na mafanikio, akisisitiza mambo muhimu huku akizungumzia nafsi ya heshima katika taasisi hiyo
Tanzania readies for the Continental Energy Summit in Zanzibar
ZANZIBAR: TANZANIA is set to host energy stakeholders from across Africa and beyond during the second edition of the New African Dimension of Oil and Gas Conference and Exhibition 2026…
Mashine 64 za kamari zawaponza watatu
Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe kwa kushirikiana na Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania na...
Deni la Serikali lafikia Sh114.34 trilioni
Kati ya kiasi hicho, deni la ndani lilikuwa Sh38.44 trilioni na deni la nje lilikuwa Sh75.89...
Tanzania, Slovakia deepen economic ties with business forum in Dar
DAR ES SALAAM: Tanzania and Slovakia are stepping up diplomatic and economic engagement this week as Slovakia’s top diplomat arrives with a delegation of nearly 50 business leaders, ahead of…
Tanzania sees a 28.3 percent rise in FDI inflows from 1.34bn to 1.72bn US dollars
DODOMA: TANZANIA continued to strengthen its position as one of Africa’s fastest-growing investment destinations, with foreign direct investment (FDI) inflows rising by 28.3 percent to 1.72bn US dollars in 2024,…
‘Ndoa ya pamoja’ ilivyotibuka: Mabwana harusi 42 walifika, mabibi harusi hawakujitokeza
Waliambiwa kwamba wangefunga ndoa ndani ya saa 24 zijazo. Lakini maharusi hawakujitokeza na hivyo ndivyo halfla hiyo ilivyotibuka.
Wanne waiwakilisha Tanzania maonesho ya sanaa Italia
Wasanii wanne wa Tanzania ambao ni Turakella Editha Gyindo, Amani Abeid, Lazaro Samuel na Valerie Asiimwe Amani, wameipeperusha vyema bendera ya Tanzania katika Maonesho ya 61 ya Kimataifa ya Sanaa…
Tanzania economy hits US$91.81bn as growth climbs to 5.9pc
DODOMA: TANZANIA’S economy surged to US$91.81bn in 2025, reflecting stronger macroeconomic performance as real gross domestic product growth increased to 5.9 percent, up from 5.6 percent in 2024, according to…
Tanzania economy soars by 5.9 percent as its GDP rises from 212.tri/-to 234.1 tri/-
DODOMA: Tanzania’s economy expanded by 5.9 percent in 2025, up from 5.6 percent in 2024, reflecting continued resilience amid global economic uncertainties and geopolitical tensions, Minister of State in the…
Amani, mazingira bora ya kisiasa kubeba mpango wa maendeleo wa Taifa
Profesa Mkumbo amesema eneo la kwanza ni kuendelea kuwepo kwa demokrasia, amani, usalama na...