HESLB yazindua chatbot kupunguza malalamiko, safari za wanafunzi
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imezindua mfumo wa huduma kidijitali kwa...
Ulimwengu, Coastal ni suala la muda
UONGOZI wa Coastal Union uko katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa aliyekuwa straika wa TP Mazembe ya DR Congo, Thomas Ulimwengu baada ya mazungumzo chanya kati ya kikosi…
Simanzi yatawala Manyika Sr akizikwa Dar
January 28, 2026 imekuwa siku ya huzuni kwa wadau na wapenzi wa soka Tanzania baada ya kuagwa na kuzikwa kwa mwili wa nyota wa zamani wa Yanga na Taifa Stars,…
Ni swali gani ambalo mpenzi wako akikuuliza huwezi kulijibu kwa jibu la “ndiyo”?
Ni swali gani ambalo mpenzi wako akikuuliza huwezi kulijibu kwa jibu la “ndiyo”? A. Umelala B. Umeamka C. Una njaa 📸Pinterest ✍John Mbalamwezi (Feed generated with FetchRSS)
#HABARI: Mamlaka ya Kudhibiti na kupambana na Dawa za Kulevya DCEA imekamata KG 52.2 za Bangi na 38.9 za Mirungi na kuziteketeza…
#HABARI: Mamlaka ya Kudhibiti na kupambana na Dawa za Kulevya DCEA imekamata KG 52.2 za Bangi na 38.9 za Mirungi na kuziteketeza katika Dampo la Serikali la Muriet lililopo jijini…
DRC: Upande wa mashtaka kuthibitisha mawasiliano na Rwanda katika kesi ya Jenerali Philémon
Kesi ya uhaini ya Jenerali Philémon Yav Irung, kamanda wa zamani wa kanda ya 3 ya Ulinzi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), imeingia katika awamu muhimu siku…
Ibenge jeuri tupu Azam, afunguka kufuzu robo fainali CAFCC
VAIBU la Azam FC baada ya kushinda kwa mara ya kwanza hatua ya makundi katika Kombe la Shirikisho Afrika, limemfanya kocha wa kikosi hicho, Florente Ibenge kusema kwa sasa anaiona…
Tanzania mirrors AFCON as ATCL launches Dar-Accra flight
DAR ES SALAAM: TANZANIA’S national airline, Air Tanzania Corporation Limited (ATCL) has officially launched a direct flight route from Dar es Salaam to Accra, Ghana, operating three times a week…
Fursa wananchi kuwekeza kampuni hizi Afrika Mashariki
Katika kuchochea uchumi wa mtu mmojammoja na Taifa kupitia uwekezaji, Mamlaka ya Masoko ya...
Mambo matatu yaliyombeba Profesa Mukandala kupewa tuzo
Chama cha Lugha na Fasihi ya Kiswahili (Chalufakita) kimempa tuzo Profesa Rwekaza Mukandala...
#HABARI: Serikali imeweka wazi kuwa haina mpango wa kuweka sheria kali inayowalazimisha watoto kuwahudumia wazazi wao wasiojiwez…
#HABARI: Serikali imeweka wazi kuwa haina mpango wa kuweka sheria kali inayowalazimisha watoto kuwahudumia wazazi wao wasiojiweza, badala yake inategemea misingi ya kifamilia na kijamii. Kauli hiyo imetolewa bungeni na…
Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe
Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Abubakar Kunenge leo, tarehe 28 Januari, 2026 wakati wa hafla ya kuwatambulisha wakandarasi wa kampuni ya Nakuroi Ltd; kampuni iliyoshinda zabuni ya mradi wa…
#HABARI: Mkurugenzi Mtendaji wa Jiji la Mbeya, Bw
#HABARI: Mkurugenzi Mtendaji wa Jiji la Mbeya, Bw. Justice Kijazi, amewapiga marufuku watumishi wa halmashauri hiyo kufunga maduka ya wafanyabiashara wanapochelewa au kukiuka taratibu za ulipaji kodi. Badala yake, amewaagiza…
Young entrepreneur opens global doors through language
DAR ES SALAAM: IN today’s interconnected world, language is no longer a luxury, it is a necessity. It shapes careers, fuels businesses, strengthens diplomacy and connects cultures across continents. Few…
Mambo matano ndani ya Agenda 2030 ya NMB
Benki ya NMB imezindua mpango mkakati wa miaka mitano kuanzia 2026 hadi 2030, unaojulikana kama...
Taasisi mbalimbali kutoka sekta binafsi na sekta ya umma zimehimizwa kufanya uwekezaji katika kampuni zinazoorodheshwa katika ma…
Taasisi mbalimbali kutoka sekta binafsi na sekta ya umma zimehimizwa kufanya uwekezaji katika kampuni zinazoorodheshwa katika masoko ya hisa ili kupata mitaji ya kutekeleza miradi yao kwa kuzingatia kampuni zinazofanya…
Mwingine afariki ajali ya basi na lori Tinde
Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga (Mwawaza), Dk Jonathan...
Chama lako lipo nafasi ya ngapi kwenye msimamo wa @ligikuu mpaka sasa?
Chama lako lipo nafasi ya ngapi kwenye msimamo wa @ligikuu mpaka sasa? (Feed generated with FetchRSS)
Jeshi la Niger lasema zaidi ya magaidi 70 “wameangamizwa”
Jeshi la Niger limesema kwamba, zaidi ya magaidi 70 "waliangamizwa" kote nchini kati ya Januari 19 na 25, wakiwemo zaidi ya 50 waliouawa katika mashambulizi ya anga yaliyolenga "mikusanyiko ya…
Wagomea mwekezaji kupewa heka 850 za ardhi
Wakazi wa Kitongoji cha Lupunga, Kata ya Kikongo, Wilaya ya Kibaha mkoani Pwani, wamemuomba...
Serikali imeendelea kuboresha huduma za watoto wachanga wanaozaliwa kabla ya wakati (watoto njiti) katika vituo vya afya nchini,…
Serikali imeendelea kuboresha huduma za watoto wachanga wanaozaliwa kabla ya wakati (watoto njiti) katika vituo vya afya nchini, ikiwa ni sehemu ya jitihada za kuboresha afya ya mama na mtoto.…
Jakutay yamemkuta…Kalumanzila amkera Altuga 😆 Maskini Halim hajui anachokifanya 🥹 Wakwe wa Osman wameambiwa ukweli…Usikose k…
Jakutay yamemkuta...Kalumanzila amkera Altuga 😆 Maskini Halim hajui anachokifanya 🥹 Wakwe wa Osman wameambiwa ukweli...Usikose kutazama uhondo wa OTTOMAN leo saa 4:00 usiku ndani ya #AzamTWO (Feed generated with FetchRSS)
ATCL yafungua anga kati ya Tanzania na Afrika Magharibi
Katika juhudi za kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha usafiri wa anga barani Afrika, Shirika la...
#MEZAHURU: “…..kwanza utaifa, uzalendo vilevile kuondoa yale makapi ya ubaguzi, hisia za kujifanya mimi ni bora halafu tuthamini…
#MEZAHURU: “…..kwanza utaifa, uzalendo vilevile kuondoa yale makapi ya ubaguzi, hisia za kujifanya mimi ni bora halafu tuthamini hutu kama tunavyosema kazi na utu..”-Kanali Mstaafu- Haroun Kondo. Powered by #MCHEZOSUPA…
Diwani wa Kata ya Chanika, Dkt
Diwani wa Kata ya Chanika, Dkt. Habibu Mbota, amekutana na viongozi wa kada ya elimu ya msingi na sekondari katika kata hiyo kwa lengo la kuongoza zoezi la upandaji miti…
#MEZAHURU: “…..Ni neno utaliona fupi lakini linabeba taswira kubwa sana hasa unapozungumzia nchi, ni kujitoa kwa nchi yako na ku…
#MEZAHURU: “…..Ni neno utaliona fupi lakini linabeba taswira kubwa sana hasa unapozungumzia nchi, ni kujitoa kwa nchi yako na kutanguliza maslahi ya nchi mbele kabla yako wewe binafsi...” Powered by…
Taasisi ya Mama Asemewe imesema Tanzania nzima imepanda Miti Jana Januari 27, 2026 kumuunga Mkono Rais wa Tanzania Dkt
Taasisi ya Mama Asemewe imesema Tanzania nzima imepanda Miti Jana Januari 27, 2026 kumuunga Mkono Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan aliyekuwa akisherehekea kumbukizi ya kuzaliwa kwake, kama ishara…
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amebainisha mikakati ya muda mfupi inayotekelezwa na Serikali ili kupunguza changamoto ya fole…
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amebainisha mikakati ya muda mfupi inayotekelezwa na Serikali ili kupunguza changamoto ya foleni katika barabara ya Kibaha–Chalinze hadi Morogoro. Ulega amesema hayo leo tarehe 28,…
🔴MEZA HURU: UMUHIMU WA UZALENDO KWENYE TAIFA …JANUARI 28, 2026
🔴MEZA HURU: UMUHIMU WA UZALENDO KWENYE TAIFA ...JANUARI 28, 2026
Baraza la Usalama: Gaza iko katika wakati nyeti, huku hatari zikiongezeka
Gaza iko katika hali tete, usitishaji vita ukitoa matumaini lakini mahitaji ni makubwa. UN yasisitiza utekelezaji wa awamu ya pili ya usitishaji vita kama msingi wa utulivu wa kudumu. Mgogoro…
OCHA: watoto milioni 2 wamekumbwa na utapiamlo mkali CHAD
Takriban watoto milioni 2 wenye umri wa miezi 6 hadi 59 nchini Chad wamekumbwa au wameingia kwenye hatari ya kukumbwa na utapiamlo mkali kati ya Oktoba 2025 na Septemba 2026.…
Jaridani Leo: Msaada wa kibinadamu DRC, Usalama Ziwa Victoria, Elimu kwa wanafunzi wa kike Tanzania
Ufinyu wa ufadhili umelazimisha Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada ya kibinadamu, OCHA kupunguza idadi ya wanaopatiwa misaada DR Congo Mafunzo ya kukabili uhalifu Ziwa Viktoria yafanikisha uvuvi salama…
Dembele agomea ofa Saudia, kubakia PSG
Imeripotiwa kwamba Mshindi wa Tuzo ya Ballon d'Or 2025, Ousmane Dembélé, hana mipango ya...
Kivuli cha Professor Jay kwenye safari ya AY, Tundaman, Chid Benz
Tangu akiwa na kundi la Hard Blasters Crew (HBC) hadi aliposimama peke yake, Professor Jay...
Malengo ya Enock Jiah TRA United
MSHAMBULIAJI mpya wa TRA United ya Tabora, Enock Jiah, amesema amefurahi kurejea Ligi Kuu Bara baada ya kukaa kwa muda bila kucheza soka la ushindani kufuatia kuachana na Fanja FC…
Ushindi wa Museveni wapingwa mahakamani
Katika hatua mpya ya mgogoro wa kisiasa ulioibuka tangu uchaguzi wa urais wa Uganda uliofanyika...
Mkurugenzi wa halmashauri ya Mtwara Mikindani mkoani Mtwara ametoa vitabu vya kiada na ziada ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa m…
Mkurugenzi wa halmashauri ya Mtwara Mikindani mkoani Mtwara ametoa vitabu vya kiada na ziada ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mpango wa kuboresha elimu mkoani humo. Mwenzetu John Kasembe amezungumza…
Kipigo cha Yanga bado kinamtesa Mayanga
KIPIGO cha mabao 6-0 dhidi ya Yanga ugenini, bado kinaendelea kulitesa benchi la ufundi la Mashujaa FC baada ya kocha mkuu wa timu hiyo, Salum Mayanga kufichua kwamba walifanya makosa…
Ouma: Tunakwenda Kongo kuchukua pointi tatu
KIKOSI cha wachezaji 21 cha Singida Black Stars, kimeelekea nchini Congo kucheza mechi ya nne hatua ya makundi katika Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Otoho d’Oyo itakayofanyika Februari 1,…
Ouma: Tunakwenda Kongo kuchukua pointi tat
KIKOSI cha wachezaji 21 cha Singida Black Stars, kimeelekea nchini Congo kucheza mechi ya nne hatua ya makundi katika Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Otoho d’Oyo itakayofanyika Februari 1,…
Kocha KMC FC akiri mambo magumu Ligi Kuu
BAADA ya sare ya bao 1-1 ugenini dhidi ya Coastal Union, kocha Mkuu wa KMC, Mohammed Abdallah ‘Bares’ amesema kikosi chake bado kina hali ngumu, hivyo kinaendelea kupambana kujiondoa mkiani…
KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA
KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA Singida BS baada ya kupata ushindi nyumbani dhidi ya AS Otoho, Jumapili hii watakuwa dimba la ugenini Alphonse Massamba wakicheza mchezo wa mkondo wa pili. Je,…
Rais wa Marekani Donald Trump amesema utawala wake utapunguza operesheni ya kuwasaka raia wageni “wahamiaji haramu” huko Minneap…
Rais wa Marekani Donald Trump amesema utawala wake utapunguza operesheni ya kuwasaka raia wageni “wahamiaji haramu” huko Minneapolis baada ya maafisa wa kikosi maalumu cha uhamiaji (ICE) kuwaua watu wawili…
HAMAS: Hakuna suala la upokonyaji silaha madamu uvamizi na ukaliaji wa ardhi unaendelea
Afisa mwandamizi wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS, amejibu vitisho vilivyotolewa na waziri mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel kuhusu upokonyaji silaha…
Je, unaweza kulala ndani ya dakika mbili?
Watu wengine huwa na wakati mgumu kulala, wakati wengine hawawezi kulala kabisa. Mamilioni ya watu kote ulimwenguni wanakabiliwa na tatizo hili.
Je, unataka kulala baada ya dakika mbili?
Watu wengine huwa na wakati mgumu kulala, wakati wengine hawawezi kulala kabisa. Mamilioni ya watu kote ulimwenguni wanakabiliwa na tatizo hili.
#MEZAHURU: Kipi kinachangia asilimia kubwa ya vijana wengi wa sasa wanaonekana kukosa UZALENDO?
#MEZAHURU: Kipi kinachangia asilimia kubwa ya vijana wengi wa sasa wanaonekana kukosa UZALENDO? -WekaMaoni -SaaTisaKAMILI
‘Vishandu’ waibua hofu Tanga, polisi wakamata watuhumiwa 55
Vijana wanaohofiwa kujihusisha na vitendo vya uhalifu maarufu kama vishandu wameendelea kuwa...
🔴UTOAJI WA TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UTEKELEZAJI WA AHADI-WIZARA YA MAJI
🔴UTOAJI WA TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UTEKELEZAJI WA AHADI-WIZARA YA MAJI