Mchambuzi wa uchumi, Ally Mkimo, amesema mabadiliko ya kiwango cha riba cha Benki Kuu (CBR) yana mchango mkubwa katika kuleta at…
Mchambuzi wa uchumi, Ally Mkimo, amesema mabadiliko ya kiwango cha riba cha Benki Kuu (CBR) yana mchango mkubwa katika kuleta athari chanya na hasi kwa jamii, kutegemea mwelekeo wa riba…
Mkuu wa mkoa wa Mara kanali Evans Mtambia ameonesha kutoridhishwa na kasi ya Ujenzi wa chuo cha Ufundi Stadi Veta Mara kilichopo…
Mkuu wa mkoa wa Mara kanali Evans Mtambia ameonesha kutoridhishwa na kasi ya Ujenzi wa chuo cha Ufundi Stadi Veta Mara kilichopo wilayani Rorya Mkoani Mara ambacho ujenzi wake ulianza…
Afisa Uhusiano wa Watumishi Housing Investment, Maryjane Makiwa, ameelezea mchakato wa kupata nyumba kupitia mradi wa watumishi…
Afisa Uhusiano wa Watumishi Housing Investment, Maryjane Makiwa, ameelezea mchakato wa kupata nyumba kupitia mradi wa watumishi housing investment ni rahisi, ikiwepo mtajea kujaza fomu ya maombi na kulipa kianzio,…
Bora wakubali tu Aziza na Devran waishi pamoja, Yusuf na Jemo bado mikakati yao haijafanikiwa
Bora wakubali tu Aziza na Devran waishi pamoja, Yusuf na Jemo bado mikakati yao haijafanikiwa. Usikose kutazama 6 of Us leo saa 2:00 usiku. #AzamTWO
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA ADHUHURI – 16/01/2026
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA ADHUHURI - 16/01/2026
Afariki dunia kwa kuangukiwa jiwe kwenye machimbo
Juma Suleiman Juma (51) mkazi wa Pujini Kibaridi Wilaya ya Chake Chake Mkoa wa Kusini Pemba...
🔴HABARI ZA SAA, SAA SITA NA DAKIKA 55….JANUARI 16, 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA SITA NA DAKIKA 55....JANUARI 16, 2026
Matokeo ya awali ya uchaguzi Uganda 2026, yalitolewa muda mfupi kabla ya saa tano usiku yanaonyesha Rais Yoweri Museveni wa NRM …
Matokeo ya awali ya uchaguzi Uganda 2026, yalitolewa muda mfupi kabla ya saa tano usiku yanaonyesha Rais Yoweri Museveni wa NRM aliyemadarakani anaongoza kwa asilimia zaidi ya 60 ya kura…
Hiki hapa kilichoipa Vodacom Tanzania tuzo ya Mwajiri Bora
Juhudi hizo zimeifanya Vodacom kutajwa kama mwajiri anayejali na kuthamini mchango wa kila...
Museveni aongoza kura asilimia 76.25, Bobi Wine 19.85 akilia kuhujumiwa
Jumla ya Waganda 21,649,067 walijiandikisha kupiga kura katika vituo 50,739 nchini huko katika...
#HABARI: Rais wa Jamhuri ya Kenya William Ruto, amesema Serikali inatumia teknolojia katika utoaji huduma ili kupambana na rushw…
#HABARI: Rais wa Jamhuri ya Kenya William Ruto, amesema Serikali inatumia teknolojia katika utoaji huduma ili kupambana na rushwa, huku Tume ya Kupambana na Ufisadi Kenya ikisema inaaminika kuwa nchi…
Azam FC, Coastal Union kazi ipo Chamazi
UHONDO wa Ligi Kuu Bara unaendelea tena usiku wa leo kwa kupigwa mechi moja ya kiporo kati ya wanafainali wa Kombe la Mapinduzi 2026, Azam FC na Wagosi wa Kaya,…
Nahodha Twiga Stars agusia kundi WAFCON
BAADA ya Timu ya Taifa ya Wanawake, Twiga Stars kupangwa kundi B ya michuano ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON), Nahodha wa kikosi hicho, Anastazia Katunzi amesema wanafahamu ugumu na wanakwenda…
AFCON 2025 yaweka rekodi mpya
Idadi hiyo ya kihistoria imevunja rekodi ya awali ya mabao 102 iliyowekwa kwenye mashindano ya...
Omary Chibada anukia KMC FC
KMC inaendelea na maboresho katika dirisha hili dogo la usajili ambapo kikosi hicho cha Kinondoni jijini Dar es Salaam kiko kwenye hatua za mwisho za kumsajili kiungo Omary Chibada.
A milestone for Tanzania’s World Heritage as Island Sky Nassau visits Kilwa Kisiwani ruins
LINDI: TANZANIA has continued to demonstrate its status as A land of peace and a major global tourism destination following the arrival of the cruise ship Island Sky Nassau at…
Beki Pamba Jiji takwimu zambeba Championship
BEKI wa kulia wa Pamba Jiji ya Mwanza, Yunus Lema ameshindwa kulishawishi benchi la ufundi la timu hiyo kumrejesha kikosini katika dirisha dogo licha ya kuwa na takwimu nzuri katika…
Maadhimisho wiki huduma za fedha kitaifa kufanyika Tanga
Maadhimisho ya wiki ya huduma za fedha kitaifa yanatarajiwa kufanyika jijini Tanga Januari 19 hadi 26, 2026. Kwa mujibu wa Wizara ya Fedha, kauli mbiu ya maadhimisho hayo ni ”…
Winga wa Simba atua Uarabuni
SIKU chache tu tangu winga wa Simba, Edwin Balua kuondoka Enosis Neon Paralimniou inayoshiriki Ligi Kuu Cyprus ikiwa na maskani katika Jiji la Paralimni aliyoitumikia kwa mkopo, kwa nyota huyo…
#KondaSmart ametupa changamoto ambazo anakutana nazo kwa baadhi ya abiria!
#KondaSmart ametupa changamoto ambazo anakutana nazo kwa baadhi ya abiria! 🤔 • #NyooshaMtaa
Mhita atoa mil 1.5/- kwa walimu shule ya Nyabusalu
SHINYANGA: MKUU wa Mkoa wa Shinyanga, Mboni Mhita ametoa zawadi ya Sh milioni 1.5 kwa walimu tisa na kombe la ushindi kwa wanafunzi wa Shule ya Msingi Nyabusalu kata ya…
🔴HABARI ZA SAA, SAA TANO NA DAKIKA 55….JANUARI 16, 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA TANO NA DAKIKA 55....JANUARI 16, 2026
Kapinga, Londo mguu sawa kuimarisha viwanda, biashara
DODOMA; Waziri wa Viwanda na Biashara Judith Kapinga, ameongoza watumishi wa wizara hiyo kumpokea Naibu Waziri mpya, Denis Londo, huku akisisitiza umuhimu wa ushirikiano wa karibu katika kutekeleza majukumu ya…
Tanzanian envoy attends Sherry Party in Portugal
LISBON: TANZANIA continues to strengthen its diplomatic and economic relations with Portugal through efforts to enhance economic diplomacy. In this regard, Tanzania’s Ambassador, Ali Mwadini, paid an official visit to…
Serikali yajizatiti kupeleka wanafunzi shule
SHINYANGA: SERIKALI haitataka kuona mwanafunzi yeyote anakaa chini wala kusomea nje sababu imetoa fedha nyingi za ujenzi wa vyumba vya madarasa kwenye upungufu wa vyumba hivyo na wanafunzi wanaoishi mbali…
Tanzania cherishes its six-decade-long ties with JICA
TOKYO: TANZANIA and Japan International Cooperation Agency (JICA) have affirmed to strengthen their long- existing cooperation in economic and social development projects, as the cooperation hits its six decades today.…
”Zamani nilikuwa nacheza kama jambazi” Mtanga,
''Zamani nilikuwa nacheza kama jambazi'' Mtanga, Usikose kutazama ALAMA kila Alhamisi saa 2:00 usiku kupitia #SinemaZetuHD ukiwa na @sophiamgaz
TMK Wanaume Family kundi lililotikisa Bongo kabla ya kusambaratika
Unalikumbuka kundi la TMK Wanaume Family ambalo lilitamba kwa staili yao ya uchezaji wa...
Museveni aongoza matokeo ya awali, uchaguzi ukilalamikiwa
Uchaguzi mkuu wa Uganda umeendelea kuibua mjadala na malalamiko huku matokeo ya awali...
SERIKALI kupitia Wizara ya Afya imetoa shilingi bilioni 1.7 kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha kuzalisha hewa tiba (oxygen) katika…
SERIKALI kupitia Wizara ya Afya imetoa shilingi bilioni 1.7 kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha kuzalisha hewa tiba (oxygen) katika Hospitali ya Wilaya ya Mji Mafinga, iliyopo Halmashauri ya…
Straika Geita Gold akitaka kiatu
KINARA wa mabao wa Geita Gold, Maulid Shaaban amesema lengo alilonalo msimu huu ni kufunga mabao mengi katika mechi za timu hiyo ili mwisho wa msimu awe mfungaji bora katika…
Vita ya kupanda Ligi Kuu Bara inaendelea
DURU la kwanza wa Ligi ya Championship, unahitimishwa rasmi wikiendi hii na baada ya jana kuchezwa mechi mbili, nyingine tatu zitachezwa leo Jumamosi na kesho Jumapili, huku vita kali ya…
🔴HABARI ZA SAA, SAA NENO NA DAKIKA 55….JANUARI 16, 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA NNE NA DAKIKA 55....JANUARI 16, 2026
Watoto wenye magonjwa ya moyo wakumbukwa
Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imejitosa kusaidia mpango wa kitaifa unaolenga...
Ahadi za Nandy 2026, zinavyoacha maswali
Ndilo swali la mashabiki wengi mara baada ya staa wa Bongo Fleva, Nandy kutangaza anatarajia...
Kikosi cha wanajeshi 15 wa Ufaransa kimewasili katika mji mkuu wa Greenland Nuuk, huku mataifa kadhaa ya Ulaya yakituma wanajesh…
Kikosi cha wanajeshi 15 wa Ufaransa kimewasili katika mji mkuu wa Greenland Nuuk, huku mataifa kadhaa ya Ulaya yakituma wanajeshi huko kama sehemu ya kile kinachoitwa ujumbe wa upelelezi. Hatua…
Geita Gold midfielder Masota returns after injury layoff
DAR ES SALAAM: GEITA Gold midfielder, Raymond Masota has rejoined the club following more than a year out with a knee injury. Masota, who signed a six month contract on…
Iran, China na Russia zailaani Marekani kwa ghasia za karibuni nchini Iran
Gholamhossein Darzi, Naibu Mwaklishi wa Kudumu wa Iran Umoja wa Mataifa ameikosoa vikali Marekani katika mkutano wa dharura wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu ghasia na machafuko…
Jumuiya ya Shanghai yalaani ghasia za kigaidi nchini Iran huku uungaji mkono kimataifa ukiongezeka
Norlan Yerkembayev Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO) amelaani vikali hujuma za kigaidi na uharibifu wa hivi karibuni katika mji wa Tehran na miji mingine ya Iran…
Kiongozi wa Ansarullah: Taifa la Iran limetibua njama ya adui kwa maandamano ya mamilioni ya wananchi
Kiongozi wa harakati ya muqawama ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa Marekani na Israel ziliwaweka magaidi vibaraka wao ili kuchochea machafuko Iran kupitia kuchoma moto misikiti na kuuwa vikosi vya…
Angolan forward Depu joins Yanga
DAR ES SALAAM: YOUNG Africans have signed Angolan striker Dziekujemy Depu from Polish side RKS Radomiak Radom as they prepare for the second half of the Mainland Premier League season…
Tume ya Uchaguzi Uganda: Museveni aongoza kwa asilimia 61.7 ya kura
Matokeo ya awali yaliyotangazwa na Tume ya Uchaguzi ya Uganda yanaonyesha kuwa Rais Museveni ameibuka na asilimia 61.7 ya kura halali zilizohesabiwa hadi sasa.
Mafuriko yasababisha vifo vya watu 10 Afrika Kusini, na kusababisha kufungwa Hifadhi ya Kruger
Mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa kaskazini-mashariki mwa Afrika Kusini yamesababisha vifo vya watu 10 kwa usiku mmoja na kupelekea kufungwa kwa Hifadhi ya Taifa ya Kruger.
Mashujaa FC eye for strong first-round finish
DODOMA: MASHUJAA FC have ramped up preparations as they target a strong finish to the first round of the Tanzania Mainland Premier League. Assistant Coach Charles Fred said the coaching…
Climate change threatens coffee farming
DAR ES SALAAM: CLIMATE change is significantly impacting coffee farming in Tanzania, increasing production costs and reducing yields, according to the Paradox of Climate-Smart Coffee (PACSMAC) project findings. Speaking on…
MTU mmoja aliyejulikana kwa jina la Juma Suleiman Juma Mkaazi wa Pujini Wilaya ya Chake Chake mwenye umri wa miaka 51 afariki du…
MTU mmoja aliyejulikana kwa jina la Juma Suleiman Juma Mkaazi wa Pujini Wilaya ya Chake Chake mwenye umri wa miaka 51 afariki dunia baada ya kuangukiwa na kifusi.
Digital public sphere: Youth voice, national cohesion
DAR ES SALAAM: TANZANIA’s digital information space is no longer a peripheral arena that can be ignored, downplayed or wished away. It is a living, fast-moving public sphere that shapes…
🔴HABARI ZA SAA, SAA TATU NA DAKIKA 55….JANUARI 16, 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA TATU NA DAKIKA 55....JANUARI 16, 2026