DAS Ileje atoa miezi miwili kila kaya kuwa na choo bora
Halmashauri ya Wilaya ya Ileje mkoani Songwe inatarajia kuanza kutekeleza sheria na kanuni...
Dakika 90 za kihistoria kwa Geita Gold kurejea Ligi Kuu
BAADA ya Geita Gold kudumu katika Ligi ya Championship kwa siku 740, ambazo ni sawa na miaka miwili na siku 10 au miezi 24 na siku 10, hatimaye kikosi hicho…
#HABARI: Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Simiyu kimetoa siku moja kwa Serikali kufungua vituo vya ununuzi wa pamba ambavyo hav…
#HABARI: Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Simiyu kimetoa siku moja kwa Serikali kufungua vituo vya ununuzi wa pamba ambavyo havijafunguliwa hadi sasa ili kuweka mazingira wezeshi ya Mkulima kuuza…
🔴MEZA HURU: ..JUNI 05, 2026
🔴MEZA HURU: ..JUNI 05, 2026 (Feed generated with FetchRSS)
Ripoti ya UN yasema hatua za pamoja za kimataifa zinahitajika ili kulinda na kuhifadhi baharí
Katika vyumba vilivyopambwa kwa mbao kwenye Klabu ya Wavumbuzi ya New York, nchini Marekani yenye historia ndefu, ambapo picha za wavumbuzi mashuhuri zimepangwa ukutani, wanadiplomasia, wanasayansi na watetezi wa bahari…
UN yaadhimisha siku ya walinda amani, Guterres awatambua mashujaa wa amani
Umoja wa Mataifa leo umeadhimisha Siku ya Kimataifa ya Walinda Amani kwa mwaka 2026, huku Katibu Mkuu wake António Guterres akiongoza hafla ya kuwaenzi walinda amani waliotoa maisha yao wakitekeleza…
UNHCR: Maelfu wa watu wako hatarini kutokana na mapigano na mafuriko Sudan Kusini
Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) limeonya kuhusu kuzorota kwa hali ya usalama katika jimbo la Jonglei huko mashariki mwa Sudan Kusini, ambapo mamia ya maelfu ya…
Haiti: Janga la watu kuyakimbia makazi yao lafikia milioni na nusu huku ghasia zikiongezeka
Takribani watu milioni 1.5 wamekimbia makazi yao nchini Haiti kutokana na kuongezeka kwa ghasia, kwa mujibu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji (IOM).
Wananchi DRC watishia wahudumu wa afya waliotaka kusimamia mazishi ya aliyekufa kwa Ebola
Kutoka Bunia, Ituri mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, hii leo tunasikia kisa cha wanajamii waliotishia kuwaita waasi kukabili wahudumu wa afya waliotaka kusimamia mazishi salama ya yenye…
Mkuu wa UN: Dunia iko hatarini kutokana na janga la tabianchi
Dalili za janga la mazingira zinaonekana kila mahali huku sayari ikielekea kuvuka kiwango hatari cha ongezeko la joto cha nyuzi joto 1.5C.Hilo ni onyo lililotolewa leo na Katibu Mkuu wa…
Jamii yaongoza uhifadhi wa Ziwa Victoria jijini Mwanza nchini Tanzania
Ikiwa leo dunia inaadhimisha Siku ya Mazingira Duniani ambayo huadhimishwa tarehe 5 Juni ya kila mwaka, wakazi wa kata ya Luchelele iliyopo wilaya ya Nyamagana jijini Mwanza, kaskazini-Magharibi mwa Tanzania,…
Tanzania hails World Bank support in major economic shocks, geopolitical tensions, climate-related challenges
DAR ES SALAAM: THE Tanzanian government has reaffirmed the strong partnership between Tanzania and the World Bank, citing the institution’s significant contribution to national development through concessional loans and grants…
Tanzania, UK in talks aimed to deepen their long-standing ties in key economic, social sectors
DODOMA: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has held talks with the British Ambassador to Tanzania, Marianne Young, in efforts to strengthen diplomatic and development cooperation between the two countries. The discussions,…
Serikali yahimiza utunzaji miti baada ya kuipanda
Katibu Tawala Msaidizi Mkoa wa Dodoma anayeshughulikia Sekta ya Uchumi na Uzalishaji Mali...
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55….JUNI 05, 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55....JUNI 05, 2026 (Feed generated with FetchRSS)
Experts advise Tanzania to increase investment in quality seed production, agricultural research to achieve higher productivity
MOROGORO: TANZANIA must increase investment in quality seed production, agricultural research, and innovation if it is to achieve higher farm productivity, strengthen food security, and build a more resilient agricultural…
Tanzania takes extra precautions in the borders of countries affected by Ebola
MOROGORO: THE Ministry of Health through the Emergency and Disasters Unit continues to implement interventions to strengthen preparedness and capacity to respond to disasters and other public health emergencies, including…
Mashambulizi ya makombora na ‘hatari inayowakabili viongozi wa Iran’
Siku za hivi karibuni lugha ya vita na vitisho imeonekana kushamiri katika taarifa za maafisa wa Iran kuliko kuzingatia diplomasia na ''mazungumzo".
Trust the process, it will pay off in AFCON 2027
DAR ES SALAAM: THERE are moments in football when results matter less than the message behind them. Tanzania’s Under-17 national football team, the Serengeti Boys, delivered one such message during…
Dili iliyokufa – 11
ILIPOISHIA “Kutoka siku hiyo Sharifa akaajiriwa na Wakwetu. Alitakiwa kuanza kazi siku ile ile. Baada ya kufanya kazi kwa miezi mitatu, Wakwetu alibadili mawazo yake. Siku moja alimwita ofisini kwake…
Burna Boy, Shakira sasa rasmi kukiwasha Kombe la Dunia
Mkali wa Afrobeat kutoka Nigeria, Burna Boy ameendelea kunga’ara baada ya kuthibitishwa rasmi...
Trump sasa adai atahisi “heshima” kukutana na Kiongozi mpya wa Iran
Rais wa Marekani Donald Trump amesema angehisi “heshima” kukutana na Ayatullah Seyyed Mojtaba Khamenei, Kiongozi mpya aliyechaguliwa wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, iwapo makubaliano yatafikiwa ya kumaliza vita kati…
Hizbullah yashambulia vikosi vamizi vya Israel kusini mwa Lebanon
Wapiganaji wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon wametekeleza a wimbi la mashambulizi yaliyoratibiwa siku ya Alhamisi, wakilenga ngome kadhaa za kijeshi za Israel na kusababisha hasara kubwa kwa wanajeshi hao…
Gachagua Achochea Hasira: Kauli ya Rigathi Kuhusu Kituo cha Ebola Mlima Kenya Yamuweka Pabaya
DP wa zamani Rigathi Gachagua anadai kuwa karantini ya Ebola Laikipia ni tishio kwa jamii ya Mlima Kenya, jambo lililosababisha ukosoaji wa ubaguzi wa kikabila
TAWOMA gains stronghold in value addition as women fully engaged in mineral value chain
DODOMA: A major milestone has been recorded in Tanzania’s mining sector after women stakeholders signed a new agreement aimed at strengthening value addition and expanding women’s participation across the mineral…
Iran yaikosoa Israel na Marekani kwa kuua watoto vitani
Iran imekosoa vikali Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuwaua watoto wasio na hatia katika nchi mbalimbali kupitia uhalifu wa kivita na uvamizi wa kijeshi.
Iran yakosoa Israel na Marekani kwa kuua watoto vitani
Iran imekosoa vikali Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuwaua watoto wasio na hatia katika nchi mbalimbali kupitia uhalifu wa kivita na uvamizi wa kijeshi.
CCM calls on Tanzanians to uphold peace, unity and national cohesion
KARATU: THE ruling CCM has called on citizens to safeguard peace, unity and national cohesion, warning against being influenced by agendas that do not support the country’s development goals. Speaking…
A glass of Tequila for Zuchu as Bongo Flava surfs with Latinos
DAR ES SALAAM: TANZANIA’S Bongo Flava heroine, Zuchu continues to surf on both the Indian and Atlantic oceans at a professional ease with her recent hit, Lollipop, telling it all.…
Utafiti: Wamarekani waliowengi wanataka vita dhidi ya Iran visitishwe haraka
Takribani Wamarekani saba kati ya kumi wanaitaka utawala wa Marekani kukomesha vita vyake visivyo halali dhidi ya Iran “haraka iwezekanavyo.” Hayo ni kwa mujibu wa utafiti mpya uliofichua kiwango kikubwa…
From Serengeti Boys to Taifa Stars: The blueprint for AFCON 2027
DAR ES SALAAM: TANZANIA’s football story has always been written in chapters of hope, heartbreak and near-misses. But in Morocco last week, a new chapter opened. One written not by…
Kijiji ambacho watu husafiri kilomita 45 kuchaji simu zao
Maafisa husika wanasema kutounganisha umeme katika Kijiji hicho kunatokana na hali mbaya ya barabara.
Shambulio dhidi ya timu ya mazishi ya Ebola huku maambukizi yakiongezeka DRC
Wakazi walishambulia timu ya mazishi ya Ebola mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) katika jimbo la Kivu Kusini wiki hii, na kuwalazimisha wahudumu kuacha jeneza na kuzua hofu…
Health Ministry urged councils to strengthen vaccination services
DAR ES SALAAM: THE Ministry of Health has urged Regions and Councils to strengthen vaccination services by developing new methods to reach children who have not received any vaccinations (zero-dose)…
Beyond hashtags: The two intellectual giants Tanzania forgot to applaud
DAR ES SALAAM: EVERY Friday, as Tanzania settles into its familiar rituals, the nation performs a kind of informal census of importance. Football debates stretch late into the night. Political…
Ushahidi dhaifu wamnusuru kitanzi aliyeshtakiwa kwa mauaji
Mahakama ilimuamuru mshtakiwa aachiliwe mara moja kutoka gerezani isipokuwa kama anashikiliwa...
Miujiza KNH: Wanafunzi 5 wa Utumishi Girls Walioponea Moto Ulioua Wenzao 16 Waondoka Hospitalini
Wanafunzi watano wa Utumishi Girls' waliokuwa wamejeruhiwa katika moto wa bweni wameachiliwa kutoka Hospitali (KNH), huku Wakenya wakiendelea kutoa msaada wa kihisia
Aliyemuua mzazi mwenza, kumjeruhi mwanaye ahukumiwa kunyongwa
Mahakama hiyo imemhukumu kutumikia adhabu ya kifungo cha miaka 10 jela baada ya kumtia hatiani...
Mbinu za kukomesha mianya rushwa miradi ya maendeleo
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Crispin Chalamila...
Tanzania banks on global conference on people’s empowerment to improve its policies, strategies, laws
DAR ES SALAAM: THE Minister for Community Development, Gender, Women and Special Groups, Dr Dorothy Gwajima, said the research to be discussed at the first International Conference on People’s Empowerment…
Mkuju Uranium Project to make Tanzania among largest producers of uranium globally
NAMTUMBO: THE Mkuju River Uranium Project located in Namtumbo District, Ruvuma Region is expected to make Tanzania one of the largest producers of uranium in the world, with an estimated…
Dr Samia banks on skilled, disciplined and educated youth to develop Tanzania
MOSCOW: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has urged African nations to prepare young people with the knowledge, skills and capacity toward the knowledge-based economy. She said nations should ensure their people…
Tanzania, Sweden agree to deepen bilateral ties in trade, investment, education, technology
DAR ES SALAAM: TANZANIA and Sweden have reaffirmed their commitment to strengthening bilateral relations, with both countries seeking to expand cooperation in trade, investment, education, technology and sustainable development. The…
JK champions GPE3’s global efforts to secure funding for education
PARIS: THE former Tanzanian President, Jakaya Mrisho Kikwete, has continued to champion global efforts to secure funding for education, leading a key meeting of the Board of the Global Partnership…
Siri ya Yas kuongoza katika ubora, viwango vya mtandao iko hapa
Katika zama ambazo matumizi ya intaneti yamekuwa sehemu muhimu ya maisha ya kila siku...
Je, Elon Musk kuwa trilionea wa kwanza duniani?
Iwapo hisa za kamuni hiyo zitauzwa zaidi ya dola 135, itakuwa mojawapo ya makampuni tajiri duniani. Hilo likitokea na Musk ambaye anamiliki 80% ya Space X anaweza kuwa trilionea.
ACA; Tanzania a global hub for cashew learning
MTWARA: AGRONOMIC best practices, advanced research and a favourable investment environment are attracting international researchers, farmers and investors to study Tanzania’s cashew model, the Africa Cashew Alliance (ACA) said. The…
‘Youth innovation boosts competitiveness’
DAR ES SALAAM: INVESTING in youth innovation is a critical step towards building a competitive economy driven by knowledge, technology and value-added products, the Director General of the Tanzania Trade…
Recovering drug addicts to receive life skills training
RECOVERING drug addicts are set to benefit from vocational and life skills training following a new partnership between the Drug Control and Enforcement Authority (DCEA) and the Vocational Education and…
Waibana Serikali kuhusu sheria ya habari, Waziri aeleza kilichoikwamisha
Unguja. Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wameihoji Serikali kuhusu kuchelewa mchakato wa...