Skip to content
  • Fri. Jul 3rd, 2026

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE

Latest Post

Linda Mwananchi wathibitisha Gachagua hawamuachi kamwe, wasema kumng’oa Ruto ni juhudi ya kila mtu Ndindi Nyoro athibitisha kuhama UDA, asema anajuta kumuunga mkono Ruto 2022 sasa aomba radhi #hiinikubwakuliko #Kilichoborakabisa Dar es Salaam Watanzania Wanne kushuhudia mechi ya Mexico na England kupitia promosheni ya Mixx
TUKO SWAHILI NEWS

Linda Mwananchi wathibitisha Gachagua hawamuachi kamwe, wasema kumng’oa Ruto ni juhudi ya kila mtu

July 3, 2026 mjombazecoder
TUKO SWAHILI NEWS

Ndindi Nyoro athibitisha kuhama UDA, asema anajuta kumuunga mkono Ruto 2022 sasa aomba radhi

July 3, 2026 mjombazecoder

#hiinikubwakuliko #Kilichoborakabisa

July 3, 2026 mjombazecoder

Dar es Salaam

July 3, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

Watanzania Wanne kushuhudia mechi ya Mexico na England kupitia promosheni ya Mixx

July 3, 2026 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
Linda Mwananchi wathibitisha Gachagua hawamuachi kamwe, wasema kumng’oa Ruto ni juhudi ya kila mtu
TUKO SWAHILI NEWS
Linda Mwananchi wathibitisha Gachagua hawamuachi kamwe, wasema kumng’oa Ruto ni juhudi ya kila mtu
Ndindi Nyoro athibitisha kuhama UDA, asema anajuta kumuunga mkono Ruto 2022 sasa aomba radhi
TUKO SWAHILI NEWS
Ndindi Nyoro athibitisha kuhama UDA, asema anajuta kumuunga mkono Ruto 2022 sasa aomba radhi
#hiinikubwakuliko
#Kilichoborakabisa
#hiinikubwakuliko #Kilichoborakabisa
Dar es Salaam
Dar es Salaam
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
LTV ENGLISH NEWS
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
HABARILEO
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Trump anakabiliwa na chaguzi ‘mbaya’ au ‘mbaya zaidi’ kuhusu Iran: Jenerali wa IRGC
HABARI ZA KIPEKEE
Trump anakabiliwa na chaguzi ‘mbaya’ au ‘mbaya zaidi’ kuhusu Iran: Jenerali wa IRGC
Linda Mwananchi wathibitisha Gachagua hawamuachi kamwe, wasema kumng’oa Ruto ni juhudi ya kila mtu
TUKO SWAHILI NEWS
Linda Mwananchi wathibitisha Gachagua hawamuachi kamwe, wasema kumng’oa Ruto ni juhudi ya kila mtu
Ndindi Nyoro athibitisha kuhama UDA, asema anajuta kumuunga mkono Ruto 2022 sasa aomba radhi
TUKO SWAHILI NEWS
Ndindi Nyoro athibitisha kuhama UDA, asema anajuta kumuunga mkono Ruto 2022 sasa aomba radhi
#hiinikubwakuliko
#Kilichoborakabisa
#hiinikubwakuliko #Kilichoborakabisa
Dar es Salaam
Dar es Salaam
Uncategorized

🔴TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI DESEMBA 06, 2025 – ZOEZI LA KUZIMA MOTO MLIMA HANANG LINAENDELEA

December 6, 2025 mjombazecoder

🔴TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI DESEMBA 06, 2025 - ZOEZI LA KUZIMA MOTO MLIMA HANANG LINAENDELEA

Uncategorized

Pointi moja yamliza kipa Prisons, Baraza achekelea Sokoine akitaja usajili

December 6, 2025 mjombazecoder

Pamoja na kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa mechi, Kipa wa Tanzania Prisons, Mussa Mbisa amesema haikuwa bahati kwao kushinda dhidi ya Pamba Jiji, huku akimuachia jukumu Kocha Mkuu, Zedekia…

Uncategorized

KUTOKA MITANDAONI

December 6, 2025 mjombazecoder

KUTOKA MITANDAONI

MWANANCHI

Mfaransa kuwekeza ujenzi Bandari ya Bagamoyo

December 6, 2025 mjombazecoder

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania ( TPA) imesaini hati ya Makubaliano na Kampuni ya...

MWANANCHI

Kihongosi:  CCM msikae kimya, kemeeni upotoshwaji mtandaoni

December 6, 2025 mjombazecoder

Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Kenan Kihongosi amewataka wanachama na viongozi wa...

CCM: Vijana msitumike

December 6, 2025 mjombazecoder

DAR ES SALAAM: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka vijana kutokubali kutumika kwa maslahi ya watu wengine wasiokuwa na nia njema na nchi badala yake waelewe jukumu lao kubwa katika kulinda…

Uncategorized

Askari wa usalama barabarani kwa kushirikiana na wataalamu wa Wakala wa Barabara nchini TANROADS sambamba na TARURA wametakiwa k…

December 6, 2025 mjombazecoder

Askari wa usalama barabarani kwa kushirikiana na wataalamu wa Wakala wa Barabara nchini TANROADS sambamba na TARURA wametakiwa kufanya kazi kwa pamoja katika maeneo yenye msongamano jijini Dar es Salaam…

Uncategorized

Serikali kuwekeza zaidi kwenye michezo, Geay apongezwa

December 6, 2025 mjombazecoder

NAIBU Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Babati Vijijini mkoani Manyara, Daniel Sillo amesema serikali itaendelea kuwekeza katika sekta ya…

Uncategorized

KMC yaachana na Maximo baada ya siku 131

December 6, 2025 mjombazecoder

SIKU 131 zimetosha kwa Marcio Maximo kuwa Kocha wa KMC, baada ya klabu hiyo leo Desemba 6, 2025 kutangaza kusitisha mkataba wake.

Uncategorized

Ligi ya Vijana Magharibi A yarejea baada ya kusimama miaka miwili 

December 6, 2025 mjombazecoder

TIMU 20 zimejitokeza kushiriki Ligi ya Vijana chini ya miaka 20 na 15 katika Wilaya ya Magharibi A baada ya ligi hiyo kusimama kwa kipindi cha miaka miwili.

Jaji Mkuu awataka wahitimu wapya kudumisha haki

December 6, 2025 mjombazecoder

DODOMA: JAJI Mkuu wa Tanzania, George Masaju, amewataka mawakili nchini kutekeleza majukumu yao kwa weledi, uaminifu na kwa kuzingatia Katiba, sheria na maadili ya taaluma ya uwakili. Amesisitiza kuwa mawakili…

MWANANCHI

Watahiniwa 50,769 wafaulu darasa la saba Zanzibar

December 6, 2025 mjombazecoder

Watahiniwa 50,769 sawa na asilimia 96.94 wamefaulu katika mtihani wa darasa la saba mwaka 2025.

MWANANCHI

Arsenal hali tete ikichapwa na Aston Villa

December 6, 2025 mjombazecoder

Aston Villa imetibua rekodi ya Arsenal kutopoteza mechi baada ya leo Jumamosi, Desemba 6, 2025...

Uncategorized

Mwanamitandao maarufu Suzy Bale amepatwa na msiba mkubwa baada ya kufiwa na mtoto wake wa kwanza, Mwanaisha Saimon Emly, taarifa…

December 6, 2025 mjombazecoder

Mwanamitandao maarufu Suzy Bale amepatwa na msiba mkubwa baada ya kufiwa na mtoto wake wa kwanza, Mwanaisha Saimon Emly, taarifa ambazo zimethibitishwa na watu wa karibu na familia. Kwa mujibu…

Uncategorized

Wakulima wa mazao ya chakula na biashara nchini wametakiwa kujisajili kwenye kanzi-data ya mtanadaoni inayosimamiwa na Mamlaka y…

December 6, 2025 mjombazecoder

Wakulima wa mazao ya chakula na biashara nchini wametakiwa kujisajili kwenye kanzi-data ya mtanadaoni inayosimamiwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea nchini (TFRA) ili kupata uhakika wa kupata pembejeo zenye…

Uncategorized

#HABARI: Madiwani 27 wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya, wamemchagua tena Ndugu Twalib Lubandamo ‘Takus’ kuwa Mwen…

December 6, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Madiwani 27 wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya, wamemchagua tena Ndugu Twalib Lubandamo 'Takus' kuwa Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo, baada ya kupata kura zote 27, sawa na…

MWANANCHI

Polisi yapiga marufuku maandamano Desemba 9

December 6, 2025 mjombazecoder

Jeshi la Polisi nchini, limepiga marufuku maandamano yanayodaiwa kupangwa Desemba 9,2025 nchi...

Uncategorized

Ujumbe wa Nape Nnauye – Mbunge wa Jimbo la Mtama kwa vijana wanataka nini Tanzania amewataka Vijana kutojaribu kuitoa serikali m…

December 6, 2025 mjombazecoder

Ujumbe wa Nape Nnauye - Mbunge wa Jimbo la Mtama kwa vijana wanataka nini Tanzania amewataka Vijana kutojaribu kuitoa serikali madarakani kwani kufanya au kujaribu kufanya hivyo ni kosa kubwa…

Uncategorized

🔴HAPA NA PALE KUTOKA MWANZA – DESEMBA 06, 2025 – WANANCHI WAOMBA KUTANULIWA KINGO ZA MTO

December 6, 2025 mjombazecoder

🔴HAPA NA PALE KUTOKA MWANZA - DESEMBA 06, 2025 - WANANCHI WAOMBA KUTANULIWA KINGO ZA MTO

DW SWAHILI

Watu 11 wauawa kwa kupigwa risasi katika baa Afrika Kusini

December 6, 2025 mjombazecoder

Takribani watu 11, wakiwemo watoto watatu, wameuawa kwa kupigwa risasi leo kwenye baa moja katika kitongoji kimoja mjini Pretoria nchini Afrika Kusini.

Katibu Mkuu ujenzi aagiza Tanroads kupunguza msongamano Dar

December 6, 2025 mjombazecoder

DAR ES SALAAM: Katibu Mkuu, Wizara ya Ujenzi, Balozi Mhandisi Aisha Amour, ameuelekeza Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) kufungua kwa muda barabara zote za makutano katika maeneo yanayotekelezwa miradi ya…

Katibu Mkuu ujenzi aagiza Tanroads kupunguza msongamano Dar

December 6, 2025 mjombazecoder

DAR ES SALAAM: Katibu Mkuu, Wizara ya Ujenzi, Balozi Mhandisi Aisha Amour, ameuelekeza Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) kufungua kwa muda barabara zote za makutano katika maeneo yanayotekelezwa miradi ya…

Uncategorized

#HABARI: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana Mhe.Joel Nanauka, amewasihi vijana katika ngazi ya vyuo vikuu nchini,…

December 6, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana Mhe.Joel Nanauka, amewasihi vijana katika ngazi ya vyuo vikuu nchini, kutumia mijadala na masomo ili kuwa na uwezo wa kujenga…

MWANANCHI

Mapigano yaibuka DRC siku moja baada ya usuluhishi wa Trump

December 6, 2025 mjombazecoder

Mapigano yametokea tena Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo kuanzia jana Ijumaa...

Uncategorized

Baadhi ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM – Mlimani) wamemtaka Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana…

December 6, 2025 mjombazecoder

Baadhi ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM - Mlimani) wamemtaka Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana, Joel Nanauka kufanyia kazi mchakato wa uanzishwaji…

TRT SWAHILI

Serikali ya Tanzania yashangazwa na taarifa ya nchi za kigeni juu ya matukio ya Oktoba 29

December 6, 2025 mjombazecoder

Taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki imesema kuwa serikali imepokea kwa mshangao malalamiko ya kimataifa juu ya matukio ya Oktoba 29 licha ya mazungumzo…

RSF yadai vikosi vya SAF vimeshambulia kivuko muhimu cha mpaka nchini Sudan karibu na Chad

December 6, 2025 mjombazecoder

Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) vimeshutumu jeshi la Sudan kwa shambulio hilo kwenye eneo muhimu lililotengwa kwa ajili ya misaada na Wasudan wanakimbia vita. Imechapishwa: 06/12/2025 – 15:18 Dakika…

MWANANCHI

Wananchi Visiwa vya Ziwa Victoria kunufaika huduma nafuu ya umeme

December 6, 2025 mjombazecoder

Wananchi wa visiwa vya Juma, Kasalazi, Ziragula na Bezi, vilivyoko ndani ya Ziwa Victoria...

Uncategorized

#HABARI: Zaidi ya Ng’ombe kumi mali ya mfugaji Mussa Saluni, mkazi wa Kijiji cha Kang’ata wilayani Handeni mkoani Tanga, zimekut…

December 6, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Zaidi ya Ng’ombe kumi mali ya mfugaji Mussa Saluni, mkazi wa Kijiji cha Kang’ata wilayani Handeni mkoani Tanga, zimekutwa zimekufa katika eneo la vyanzo vya maji Kijijini hapo, tukio…

Uncategorized

Anaandika Askofu Bagonza

December 6, 2025 mjombazecoder

Anaandika Askofu Bagonza TUMEISHAANDAMANA; GEN-Z TUPE NAFASI TUJUTE KWANZA. Leo tarehe 6 Desemba, ni siku yangu ya kuzaliwa. Sina furaha kama ninavyokuwaga na furaha katika siku hii. Hii ni kwa…

Uncategorized

The Avengers

December 6, 2025 mjombazecoder

The Avengers Ndio mzigo wa leo saa 4:00 usiku katika movie ya wikiendi kupitia AzamTWO. Movie hii imetafsiriwa kwa Kiswahili. #TheAvengers #AzamTWO

HABARI ZA KIPEKEE

Mwendesha Mashtaka wa ICC aikosoa Marekani kwa kuwafananisha majaji wa mahakama hiyo na magaidi, walanguzi wa dawa za kulevya

December 6, 2025 mjombazecoder

Naibu mwendesha mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) ameikosoa vikali serikali ya Marekani kwa kuwawekea vikwazo majaji wa mahakama hiyo ya kimataifa, hatua ambayo amesema inaakisi jinsi Washington…

Guinea: Ofisi ya Mwendesha mashtaka mkuu yapaza sauti dhidi ya mashtaka ya utekaji nyara

December 6, 2025 mjombazecoder

Katika taarifa iliyotolewa siku ya Alhamisi jioni, Desemba 4, Mwanasheria Mkuu wa Mahakama ya Rufaa ya Conakry alisisitiza kwamba mtu yeyote anayetambua utawala wa kijeshi na serikali kama wanaohusika na…

HABARI ZA KIPEKEE

Jumuiya ya Wafungwa wa Palestina: Israel ina mpango wa kumuua Marwan Barghouthi

December 6, 2025 mjombazecoder

Kundi la kutetea wafungwa wa Kipalestina, The Palestinian Prisoners’ Society (PPS), limeonya juu ya njama hatari ndani ya magareza ya Israel ya kumuua kiongozi mtajika wa Palestina, Marwan Barghouthi, aliyetekwa…

DW SWAHILI

Misri yahimiza kupelekwa kwa kikosi cha ulinzi wa amani Gaza

December 6, 2025 mjombazecoder

usitishaji wa mapigano kwa muongozo wa awamu ya pili ya makubaliano ya amani kwa Ukanda wa Gaza.

DW SWAHILI

Polisi Tanzania yapiga marufuku Maandamano ya Desemba 9

December 6, 2025 mjombazecoder

Jeshi la Polisi nchini Tanzania limepiga marufuku maandamano yaliyopendekezwa kufanyika wiki ijayo, kufuatia msako mkali unaofanywa na vikosi vya usalama dhidi ya walioandamana wakati na baada ya uchaguzi wa Oktoba…

HABARI ZA KIPEKEE

Sudan yawatuhumu wanamgambo wa RSF kwa kuuwa raia 79 huko Kordofan Kusini

December 6, 2025 mjombazecoder

Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan imewatuhumu wanamgambo wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) kuwa wameua raia 79 wakiwemo watoto 43 katika mauaji ya halaiki kwenye mji wa…

Uncategorized

ETI..😀

December 6, 2025 mjombazecoder

ETI..😀

DW SWAHILI

Starmer kuwa mwenyeji wa Zelensky na viongozi wa Ulaya

December 6, 2025 mjombazecoder

Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, atakutana na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky pamoja na viongozi wa Ufaransa na Ujerumani mjini London Jumatatu, wakati mazungumzo kuhusu kumaliza vita vya Ukraine…

MWANANCHI

Ulinzi ulivyoimarishwa Dar

December 6, 2025 mjombazecoder

Ulinzi umeimarishwa. Ni hali inayoonekana dhahiri unapopita katika mitaa mbalimbali ya Jiji la...

DW SWAHILI

Kansela Merz aelekea Jordan na Israel

December 6, 2025 mjombazecoder

Kansela Friedrich Merz wa Ujerumani Friedrich Merz kaanza safari kuekea Israel na Jordan, baada ya mazungumzo kwa njia ya simu na kiongozi wa Palestina Mahmoud Abbas.

Afrika Kusini: Watu wasiopungua 11 wauawa kwa kupigwa risasi Saulsville

December 6, 2025 mjombazecoder

Angalau watu 11 wameuawa kwa kupigwa risasi katika baa moja nchini Afrika Kusini. Wengine kumi na wanne walijeruhiwa wakati watu wenye silaha walipovamia jengo hilo, lililoko katika mji wa Saulsville,…

HABARI ZA KIPEKEE

Katibu Mkuu wa Hizbullah: Lebanon inakabiliwa na uchokozi hatari wa Israel

December 6, 2025 mjombazecoder

Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sheikh Naim Qassem amesema kuwa Lebanon inakabiliwa na uchokozi hatari na wa kujitanua wa Israel ambao unapasa kukabiliwa kwa njia zote.

HABARI ZA KIPEKEE

Tuzo ya Amani ya FIFA kwa Trump yaitwa ‘Joki ya Karne’

December 6, 2025 mjombazecoder

Watumiaji wa mitandao ya kijamii wanasema kwamba hatua ya Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) ya kumpa Tuzo ya Amani Rais Donald Trump wa Marekani ndio habari ya kipuuzi zaidi ambayo…

Uncategorized

#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Brigedia Jenerali Ahmed Abbas, amewataka Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo, kuwa fa…

December 6, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Brigedia Jenerali Ahmed Abbas, amewataka Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo, kuwa faraja kwa wananchi katika kipindi hiki cha maridhiano ya kisiasa, badala…

Uncategorized

Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa (OHCHR) imeitaka serikali ya Tanzania kuondoa marufuku ya maandamano kabla ya Siku…

December 6, 2025 mjombazecoder

Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa (OHCHR) imeitaka serikali ya Tanzania kuondoa marufuku ya maandamano kabla ya Siku ya Uhuru tarehe 9 Desemba 2025, ili kuruhusu uhuru…

Uncategorized

Kobisi na Shida wake sijui kama watayaweka sawa kwenye hii shughuli yao

December 6, 2025 mjombazecoder

Kobisi na Shida wake sijui kama watayaweka sawa kwenye hii shughuli yao...

HABARI ZA KIPEKEE

Idadi ya wahanga wa mashambulizi ya Pakistan nchini Afghanistan yaongezeka

December 6, 2025 mjombazecoder

Idadi ya watu waliouawa na kujeruhiwa katika mashambulio ya Pakistan kwenye mkoa wa Kandahar nchini Afghanistan imeongezeka na kufikia watu 10.

DW SWAHILI

Argentina kuanza kutetea Kombe la Dunia dhidi ya Algeria

December 6, 2025 mjombazecoder

Kote ulimwenguni, macho yalielekezwa Ijumaa kwenye jukwaa ambalo lilitumika kupanga michuano ya Kombe la Dunia la 2026 nchini Marekani, Canada na Mexico kuanzia Juni 11 hadi Julai 19.

Uncategorized

“Sikukamatwa, NILITEKWA

December 6, 2025 mjombazecoder

"Sikukamatwa, NILITEKWA. Hukamatwi kwa kuwekewa bastola kichwani na kufungwa vitambaa viwili machoni kwa zaidi ya masaa 6. Hukamatwi na kufungwa kwenye mti na kupigwa kama mwizi. Mioyo yetu inavuja damu,…

Posts pagination

1 … 707 708 709 … 1,032

Recent Posts

  • Linda Mwananchi wathibitisha Gachagua hawamuachi kamwe, wasema kumng’oa Ruto ni juhudi ya kila mtu
  • Ndindi Nyoro athibitisha kuhama UDA, asema anajuta kumuunga mkono Ruto 2022 sasa aomba radhi
  • #hiinikubwakuliko #Kilichoborakabisa
  • Dar es Salaam
  • Watanzania Wanne kushuhudia mechi ya Mexico na England kupitia promosheni ya Mixx

Recent Comments

  1. EdithUrili on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  2. Nancyurike on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  3. ChaelLah on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  4. TrickSit on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  5. Larryverse on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit

Archives

  • July 2026
  • June 2026
  • May 2026
  • April 2026
  • March 2026
  • February 2026
  • January 2026
  • December 2025
  • November 2025
  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • June 2025
  • August 2024
  • July 2024
  • May 2023
  • June 2016

Categories

  • ASTV TANZANIA
  • CRI SWAHILI
  • DW SWAHILI
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • HABARILEO
  • IDHAA YA DUNIA
  • ITVBONGO
  • LTV ENGLISH NEWS
  • MAGAZETI
  • MWANANCHI
  • MWANASPOTI
  • RFI SWAHILI
  • TRT SWAHILI
  • TUKO SWAHILI NEWS
  • TZSPORTS
  • Uncategorized

You missed

TUKO SWAHILI NEWS

Linda Mwananchi wathibitisha Gachagua hawamuachi kamwe, wasema kumng’oa Ruto ni juhudi ya kila mtu

July 3, 2026 mjombazecoder
TUKO SWAHILI NEWS

Ndindi Nyoro athibitisha kuhama UDA, asema anajuta kumuunga mkono Ruto 2022 sasa aomba radhi

July 3, 2026 mjombazecoder

#hiinikubwakuliko #Kilichoborakabisa

July 3, 2026 mjombazecoder

Dar es Salaam

July 3, 2026 mjombazecoder

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS