🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 03 DESEMBA 2025
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 03 DESEMBA 2025
Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika Mashariki (EAC) waahirishwa
Kanuni ya 11 ya uendeshaji wa shughuli za EAC, unataka akidi za nchi zote wanachama zitimie, ili Mkutano wa Wakuu wa EAC ufanyike.
#HABARI: Wazee na Vijana wa Mkoa wa Pwani, wamesema hotuba ya Rais Dkt
#HABARI: Wazee na Vijana wa Mkoa wa Pwani, wamesema hotuba ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, alipozungumza na Wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam, imeonyesha uwazi na ukweli na…
#HABARI: Wakati msimu wa kilimo ukiwadia, Uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe, mkoani Songwe, imetangaza neema kwa wakuli…
#HABARI: Wakati msimu wa kilimo ukiwadia, Uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe, mkoani Songwe, imetangaza neema kwa wakulima na wafugaji kwa kuanza mikakati ya kuimarisha sekta za Kilimo na…
#HABARI: Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania (TLSB), imefungua rasmi Maktaba ya mkoa wa Ruvuma baada ya kusimama kutoa huduma kwa…
#HABARI: Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania (TLSB), imefungua rasmi Maktaba ya mkoa wa Ruvuma baada ya kusimama kutoa huduma kwa miaka mitatu mfululizo kutokana na uchakavu wa majengo huku…
#HABARI: Mkuu wa mkoa wa Manyara, Queen Sendiga, amejipanga kuanza ziara maalum ya kusikiliza na kutatua kero za wananchi katika…
#HABARI: Mkuu wa mkoa wa Manyara, Queen Sendiga, amejipanga kuanza ziara maalum ya kusikiliza na kutatua kero za wananchi katika Kata 142 za Mkoa huo, ikiwa ni pamoja na kukagua…
Mwigulu awataja vijana wabunifu, sekta binafsi kufanikisha malengo Dira 2050
Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba amesema Watanzania wanataka kuiona nchi yao ikifikisha lengo la...
#HABARI: Mwezi Novemba, 2025 Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), imefanya Operesheni mbalimbali zilizo…
#HABARI: Mwezi Novemba, 2025 Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), imefanya Operesheni mbalimbali zilizofanikisha ukamataji wa jumla ya kilogramu 3,799.22 za Dawa za Kulevya, kuteketeza Ekari…
Rais Erdogan wa Uturuki na Stubb wa Finland wajadiliana masuala ya kikanda na kiulimwengu
Rais Erdogan alimwambia Alexander Stubb kupitia mazungumzo ya simu kuwa Uturuki inazingatia umalizwaji wa mchakato wa amani kati ya Ukraine na Urusi.
Afrika yapata uongozi mpya misitu, wanyapori, Profesa Silayo aaga
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mazingira wa Gambia, Ebrima Jawara kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa...
Serikali ya Marekani imeagiza mawakala wa uhamiaji kusitisha shughuli za utoaji wa vibali vya urai kwa wahamiaji kutoka nchi 12 …
Serikali ya Marekani imeagiza mawakala wa uhamiaji kusitisha shughuli za utoaji wa vibali vya urai kwa wahamiaji kutoka nchi 12 zilizopigwa marufuku kuingia nchini humo, huku nchi saba zikiwekewa vikwazo.…
DPP awafutia mashtaka ya uhaini 105 Arusha
Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, imewaachia huru na kuwafutia mashtaka ya uhaini washtakiwa 105...
#HABARI: Mbunge wa Viti Maalum, kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) mkoani Njombe, Mhe.Sigrada Mligo, amesusia mkutano …
#HABARI: Mbunge wa Viti Maalum, kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) mkoani Njombe, Mhe.Sigrada Mligo, amesusia mkutano wa Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Mji wa Njombe, kwa madai…
#HABARI: Watanzania hasa vijana wametakiwa kujiepusha na vurugu zinazoweza kuhatarisha amani ya nchi, kwa kufanya uharibifu wa m…
#HABARI: Watanzania hasa vijana wametakiwa kujiepusha na vurugu zinazoweza kuhatarisha amani ya nchi, kwa kufanya uharibifu wa mali za umma na za watu binafsi kwa madai ya kutafuta haki na…
Wakati dunia inawaenzi watu wenye ulemavu, wapo baadhi yao ambao wanaishi katika falsafa ya ‘ulemavu si kulemaa’…Mmoja wao ni Si…
Wakati dunia inawaenzi watu wenye ulemavu, wapo baadhi yao ambao wanaishi katika falsafa ya ‘ulemavu si kulemaa’…Mmoja wao ni Silas Kassao wa mkoani Morogoro aliyepata ulemavu wa kudumu akiwa na…
Tanzania yatajwa mafanikio dhidi ya dhidi ya usugu wa dawa Afrika
Tanzania imetajwa miongoni mwa vinara barani Afrika katika kupambana na usugu wa vimelea vya...
Madiwani wapewa nondo kuboresha utendaji
Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi, mkoani Iringa, wametakiwa kusikiliza zaidi...
Ujerumani yabeba wenyeji wa Euro ya Wanawake 2029
Ujerumani imechaguliwa kuwa mwenyeji wa Euro ya Wanawake 2029 baada ya kuzishinda Poland, na Denmark na Sweden. Mashindano hayo yameahidiwa kuwa “ya wote,” huku nchi hiyo ikipanga kuvutia mashabiki zaidi…
🔴TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI DESEMBA 03, 2025 – POLISI WAITAKA JAMII KUJITENGA NA MAANDAMANO
🔴TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI DESEMBA 03, 2025 - POLISI WAITAKA JAMII KUJITENGA NA MAANDAMANO
DPP Tanzania awafutia mashtaka ya uhaini Niffer na Chavala
Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania amefuta mashtaka ya uhaini na uchochezi dhidi ya mfanyabiashara Jennifer “Niffer” Jovin na mwanaharakati Mika Chavala, waliokamatwa kwenye vurugu za Oktoba 29, na kuwaachia huru.
Viongozi waelekezwa kusimamia nidhamu ili kuinua elimu Zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla amewataka watendaji wa Wizara ya...
#HABARI: Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu Dkt
#HABARI: Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu Dkt. Dorothy Gwajima, ametoa ahadi ya kuendeleza ushirikiano na Mabaraza ya Wazee nchini. Amesema lengo la hatua hiyo ni…
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imetaifisha mali zenye thamani ya shilingi bilioni 3.304 zinazodaiwa…
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imetaifisha mali zenye thamani ya shilingi bilioni 3.304 zinazodaiwa kupatikana kupitia biashara haramu ya dawa za kulevya. Kamishna Jenerali wa…
Mvuvi ahukumiwa kifo kwa mauaji ya mama lishe
Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dodoma, imemuhukumu kunyongwa hadi kufa mvuvi, Gato Francis...
Dk Kijaji ataka tafiti za kisayansi kutatua changamoto uhifadhi
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Ashatu Kijaji, amesisitiza umuhimu wa tafiti za kisayansi...
Polisi yataja mambo 12 kuelekea Desemba 9
Jeshi la Polisi nchini limebainisha mambo 12 linayodai yanaendelea kupangwa mitandaoni kuelekea...
Kongo na Rwanda: Nini kipo kwenye mkataba wa amani?
Eneo la Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limekumbwa na vita kwa miongo kadhaa, hali iliyosababisha maelfu ya vifo na mamilioni ya watu kuyahama makazi yao. Sasa, hatua mpya…
Mafuriko yasababisha hali ngumu nchini Indonesia
Mamlaka za maeneo yanayokabiliwa na mafuriko katika kisiwa cha Sumatra zaomba msaada zaidi kutoka serikali kuu
Rais Steinmeier aanza ziara ya siku tatu Uingereza
Rais wa Ujerumani Frank-Walter Steinmeier, amepewa mapokezi ya kifalme alipowasili Uingereza kwa ziara ya siku tatu, ya kusherehekea mahusiano ya karibu kati ya nchi hizo mbili lakini pia kukumbuka makovu…
Wabunge vijana wa Ujerumani watikisa siasa
Mashirika ya vijana ya vyama vikuu vya siasa nchini Ujerumani yanaonyesha kujiamini zaidi. Kwa sababu ya tofauti ndogo ya kura katika bunge la Bundestag, ushawishi wao unaweza kuongezeka.
Mfamasia matatani akidaiwa kuiba dawa za Sh9 bilioni
Mfamasia wa Halmashauri ya Wilaya ya Momba, mkoani Songwe, Jackson Mahagi(39) amepandishwa...
Mkuu wa Mkoa wa manyara Queen Sendiga anatarajia kuanza ziara y kampeni maalum iliyobeba jina la Sivui buti hadi kieleweke Dec 4…
Mkuu wa Mkoa wa manyara Queen Sendiga anatarajia kuanza ziara y kampeni maalum iliyobeba jina la Sivui buti hadi kieleweke Dec 4 ambayo inalenga kukagua utekelezaji wa miradi mbalimbali na…
Frida Amani kwenye rekodi mpya ya UNEP
Mkali wa Hip-Hop nchini Frida Amani ameteuliwa kuwa Balozi wa Mazingira Duniani kupitia Shirika...
Maelfu wakimbia machafuko Kaskazini mwa Msumbiji
Takriban watu laki moja wamelikimbia eneo la Kaskazini mwa Msumbiji ambako machafuko yameongezeka
Rais wa Ujerumani aitembelea Uingereza
Ziara ya rais Frank Walter Steinmeier ni ya kwanza kuwahi kufanywa na kiongozi mkuu wa nchi wa Ujerumani nchini Uingereza kwa kipindi cha miaka 27
EU kuipatia Ukraine bilioni 90 kwa miaka miwili
Mkopo wa Euro bilioni 90 kwa miaka miwili unalenga kuipatia Ulaya sauti yenye nguvu katika mazungumzo ya kutafuta amani ya Ukraine
Kimbembe cha usafiri
Licha ya Desemba kuwa na historia ya changamoto ya usafiri kutoka Dar es Salaam kwenda mikoani,...
‘Kuna watu wanaishi kwa wasiwasi’
Wakati madiwani wa Manispaa ya Ilemela, Mkoa wa Mwanza wakimchagua Sara N’ghwani kuwa Meya na...
Udit Narayan nyota wa India aliyemfungulia milango Shah Rukh Khan
Kwa zaidi ya miaka 30, muziki wa Bollywood umejengwa juu ya muunganiko wa sauti na video zenye...
Msanii wa Nigeria Mohbad kuzikwa baada ya matokeo ya DNA
Baba wa marehemu mwanamuziki Ilerioluwa Aloba “Mohbad”, Joseph Aloba, ameweka wazi kuwa sababu...
BOT, NBAA sign MoU to strengthen digital financial governance
DAR ES SALAAM: THE Bank of Tanzania (BOT) and the National Board of Accountants and Auditors (NBAA) have signed a landmark Memorandum of Understanding (MoU) aimed at enhancing digital transformation,…
🔴HAPA NA PALE KUTOKA SHINYANGA – DISEMBA 03, 2025
🔴HAPA NA PALE KUTOKA SHINYANGA - DISEMBA 03, 2025
Police closely monitor threats of the Dec 9 demonstrations
DODOMA: THE Tanzanian Police Force has stated that it is closely monitoring behaviors and communications spreading on social media, where some individuals are encouraging what they call unlimited “peaceful demonstrations”…
Kauli ya Niffer baada ya siku 38 mahabusu
Mfanyabiashara wa vipodozi, Jenifer Jovin, maarufu Niffer, aliyekuwa akikabiliwa na kesi ya...
DC orders a timely completion of runway lights at Arusha Airport
ARUSHA: THE Arusha Regional Commissioner, Mr Amos Makalla, has ordered the contractor from GESI Espanola Company to accelerate the implementation of the project to install runway lights at Arusha Airport.…
Wadau waombwa kusimama na wenye ulemavu
MOROGORO: MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) kupitia Dawati la Watetezi la watu wenye Ulemavu ( DDI) umetoa rai kwa watanzania wote , taasisi za kiserikali ,…
Tanzania seeks combined efforts to curb human trafficking
DAR ES SALAAM: A representative of the Secretariat on Combating Human Trafficking, Mr Celestine Makoba has called on collaboration between the government institutions, non-governmental organizations, and stakeholders in strengthening efforts…
Mapingamizi yasimamisha uchaguzi wa mwenyekiti Chato
GEITA: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Geita kimesimamisha kwa muda mchakato wa uchaguzi wa mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato kufuatia mapingamizi ya mgombea mmoja. Uamuzi huo wa…