ACT Wazalendo yaja na Ilani ya wananchi Zanzibar
Mwenyekiti wa Chama cha ACT–Wazalendo na mgombea urais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman...
Dk Mwinyi: Serikali itaendelea kuwekeza kwenye uchumi wa buluu
Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema Serikali itaendelea kusimamia sekta ya uchumi wa...
#HABARI: Serikali imeeleza mafanikio ya utekelezaji wa miradi ya kusambaza umeme maeneo ya vijijini na pembezoni mwa miji ambap…
#HABARI: Serikali imeeleza mafanikio ya utekelezaji wa miradi ya kusambaza umeme maeneo ya vijijini na pembezoni mwa miji ambapo Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA), imefanikiwa kufikisha huduma ya…
Bashiru: Anayesema vijana watavunja nchi siwaelewi
Katibu Mkuu mstaafu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Bashiru Ali, ameeleza kuwa kutokana na...
#HABARI: Sekta binafsi nchini zimetakiwa kushirikiana na Serikali katika zoezi la utekelezaji wa sera ya watu wenye ulemavu kwa …
#HABARI: Sekta binafsi nchini zimetakiwa kushirikiana na Serikali katika zoezi la utekelezaji wa sera ya watu wenye ulemavu kwa kujenga mindombinu rafiki na makundi hayo pamoja na kuboresha vifaa vya…
Pezeshkian: Iran ipo tayari kuimarisha uhusiano na Ivory Coast
Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu imejiandaa kikamilifu kupanua ushirikiano wa pande mbili na Ivory Coast ili kufikia malengo ya pamoja.
Shirika la Msalaba Mwekundu lasema takriban 90% ya vituo vya afya DRC havina dawa
Uhaba wa wafanyakazi uliathiri 40% ya vituo vilivyofanyiwa utafiti, 13% havikuwa na kazi kabisa na nyingi ziliripoti uhaba wa usambazaji wa mara kwa mara kuanzia Januari, wakati M23 ilipoteka Goma,…
Katika hatua ya kukabiliana na hatari ya milipuko ya moto vijijini kutokana na wananchi kuhifadhi mafuta ndani ya nyumba zao, Wa…
Katika hatua ya kukabiliana na hatari ya milipuko ya moto vijijini kutokana na wananchi kuhifadhi mafuta ndani ya nyumba zao, Wakala wa Umeme Vijijini (REA) imezindua mpango wa kuanzisha vituo…
Jeshi la majini la Iran lasaini hati ya ushirikiano wa kimkakati na nchi za eneo la Kaspi zenye ukanda wa pwani
Makamanda wa majeshi ya majini ya Iran, Russia, Kazakhstan na Azerbaijan wametia saini mkataba wa ushirikiano wa kimkakati unaolenga kuimarisha usalama katika maji ya pamoja.
Somalia yakanusha vikali kufikia makubaliano ya siri na Sweden kuhusu kuwarejesha nchini raia wake
Ofisi ya Waziri Mkuu wa Somalia leo imetoa taarifa na kukadhibisha vikali Somalia kwamba imefikia makubaliano ya siri na Sweden kuhusu kuwarejesha nyumbani raia wa Somalia kutoka Sweden ukiwemo pia…
Kushiriki makundi ya Palestina katika mazungumzo ya Sharm el-Sheikh
Televisheni ya al Jazeera yenye makao yake mjini Doha Qatar imemnukuu afisa wa ngazi ya juu wa Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina na kuripoti kuwa wawakilishi wa makundi kadhaa…
Shauri la kutekwa Polepole kuanza kesho mahakamani
Shauri la kutekwa kwa aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, limeitwa...
Greta Thunberg: Israel ilinitesa na wanaharakati wengine wa Gaza Flotila
Mwanaharakati wa masuala ya hali ya hewa wa Uswidi, Greta Thunberg ameeleza kuwa yeye na wanaharakati wengine wa msafara wa Sumud au Global Sumud Flotilla uliokuwa ukielekea Gaza waliteswa na…
Zaidi ya wakulima 62,000 wadogo wadogo nchini wamenufaika na mafunzo ya kilimo cha mbogamboga na matunda yaliyotolewa na Taasisi…
Zaidi ya wakulima 62,000 wadogo wadogo nchini wamenufaika na mafunzo ya kilimo cha mbogamboga na matunda yaliyotolewa na Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti na Uendelezaji wa Kilimo cha Mbogamboga –…
🔴MEZA HURU: MTINDIO WA UBONGO..OKTOBA 08, 2025
🔴MEZA HURU: MTINDIO WA UBONGO..OKTOBA 08, 2025
#HABARI: Sarah Manfred Mkinga, Mkazi wa Songea anaomba msaada wa mtoto wake anayesumbuliwa na saratani ya misuli ambapo ameshin…
#HABARI: Sarah Manfred Mkinga, Mkazi wa Songea anaomba msaada wa mtoto wake anayesumbuliwa na saratani ya misuli ambapo ameshindwa kumudu gharama za matibabu, anaomba umma kumchangia kiasi cha Shilingi milioni…
Dawa muhimu zapungua mashariki ya DRC kutokana na mapigano: ICRC
Mashariki ya DRC, zaidi ya asilimia 80 ya vituo vya afya vimemaliza dawa zake muhimu katika eneo hilo ambalo linaendelea kukabiliwa na mapigano kulingana na ripoti ya shirika la kimataifa…
TRA, CEOrt wajifungia kujadili uboreshaji wa ulipaji wa kodi
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema itaendelea kushirikiana kwa karibu na Jukwaa la...
Katika wiki ya huduma kwa wateja tunapenda kukushukuru kwa ushirikiano wako
Katika wiki ya huduma kwa wateja tunapenda kukushukuru kwa ushirikiano wako. Mazuri mengi yanakuja, Timu yetu ya huduma kwa wateja ikishirikiana na mawakala wake ipo viwanja vya Mbagala Zakhem ikikuletea…
Amani inaanzia magerezani: Juhudi za Olukemi kupigania haki na utu katika magereza DRC
Olukemi Ibikunle anasimamia ujenzi wa gereza mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo DRC. Ombi hilo liliwakilisha jambo ambalo karibu linaonekana kama ndto au lisilo la kweli.
Wapiga picha wanawake waonesha harakati za amani za wanawake mashinani
Katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa kuna maonesho ya picha 32 zinazoonesha harakati za wanawake kwenye maeneo yenye mizozo kusongesha amani na usalama, kwa mujibu wa azimio namba 1325…
Olukemi Ibikunle kutoka Nigeria atwaa tuzo ya UN ya Muonesha Njia au Trailblazer 2025
Mwaka huu, Tunzo ya Umoja wa Mataifa ya “Muonesha njia” au kwa kiingereza Trailblazer imekwenda kwa Olukemi Ibikunle, afisa wa magereza kutoka Nigeria anayehudumu katika ujumbe wa Umoja wa Mataifa…
Ushirikiano wa mashirika ya UN na Kaunti ya Samburu unatekeleza SDG 2
Mashirika matatu ya Umoja wa Mataifa na serikali ya Kenya wanatekeleza mradi unaowashirikisha wananchi wa Kauti ya Samburu katika kuhakika kuna upatikanaji wa chakula kwani eneo hilo linahali ya ukame…
Jua na upepo ‘vyapiku makaa ya mawe’ kwenye vyanzo vya umeme robo ya kwanza ya 2025- Ripoti
Umoja wa Mataifa umekaribisha ripoti mbili zinazoonesha kasi isiyozuilika ya nishati safi. Inatarajiwa kuwa mwaka 2025 huenda ukawa mwaka wa kwanza ambapo uzalishaji wa nishati kwa kutumia mafuta ya kisukuku…
MFAUME KHAMIS HASSAN: Mwanajeshi anayehitaji urais wa Zanzibar awe kama Karume
Aghalabu (mara nyingi), uelekeo wa kifamilia hujenga wasifu wa vizazi. Wazazi wanasheria...
“NIMEMFAHAMU DKT
“NIMEMFAHAMU DKT. SAMIA KATIKA VIPINDI VIGUMU” "Simaanishi kwamba tupuuze majaribio ya kutikisa amani ya nchi yetu hata kidogo, ninachotaka kusema huyu kiongozi ni hazina ya uzoefu wa uongozi katika vipindi…
Tumbi yasherehekea miaka 58 kwa matibabu bure ya kibingwa
Zaidi ya wakazi 3,000 kutoka maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Pwani na mikoa jirani wanatarajia...
Uagizaji wa magari nchini wapaa
Magari kwa ajili ya matumizi ya nyumbani yanashika namba nane katika orodha y bidhaa ambazo...
Urusi na Ukraine zaendelea kushambuliana kwa makombora
Ukraine na Urusi zimeshambuliana usiku wa kuamkia Jumatano 08.10.2025 ambapo takriban watu watano waliuawa.
Benki ya Equity Tanzania imeahidi kuendelea kuwekeza katika teknolojia za kidigitali na kuongeza elimu ya fedha kwa wananchi, ik…
Benki ya Equity Tanzania imeahidi kuendelea kuwekeza katika teknolojia za kidigitali na kuongeza elimu ya fedha kwa wananchi, ikiwa ni juhudi za kukuza ujumuishaji wa kifedha nchini. Akizungumza jijini Dar…
Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) kwa kushirikiana na Shirika la Kuhudumia Watoto Duniani (UNICEF) pamoja na Serikali ya Canada wa…
Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) kwa kushirikiana na Shirika la Kuhudumia Watoto Duniani (UNICEF) pamoja na Serikali ya Canada wameendelea kutekeleza mageuzi katika sekta ya elimu kwa kukamilisha jumla ya…
“Iron Lady” Sanae Takaichi akaribia kuwa Waziri Mkuu Japan
Sanae Takaichi, mwanasiasa mwenye msimamo mkali wa Kihafidhina anakaribia kuwa Waziri Mkuu wa kwanza mwanamke wa Japan. Lakini hali ngumu ya kisiasa huenda ikamlazimu mwanasiasa huyo kuongoza vinginevyo.
Papa awataka maaskofu kuzungumzia sera za uhamiaji za Trump
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Leo XIV amewataka maaskofu wa Marekani kuzungumzia sera kali za Rais Donald Trump kwa wahamiaji.
Ethiopia yaituhumu Eritrea kwa kujiandaa kwa vita
Ethiopia imeituhumu Eritrea kwa kuungana na kundi moja la upinzani lenye misimamo mikali katika kujiandaa kuanzisha vita.
“….wakati hayati Magufuli akiwa rais, alifanya kazi ya heshima sana kiliibuka kikundi kilimtukana asubuhi mpaka usiku….Mung…
"....wakati hayati Magufuli akiwa rais, alifanya kazi ya heshima sana kiliibuka kikundi kilimtukana asubuhi mpaka usiku....Mungu katupa Dkt.Samia kikundi kilekile kimeungana kumtukana Dkt. Samia usiku na mchana, watanzania mko wapi…
Lecornu: Uwezekano wa bunge la Ufaransa kuvunjwa ni mdogo
Waziri Mkuu wa muda wa Ufaransa Sebastian Lecornu Jumatano amesema kuwa uwezekano wa kuvunjwa wa bunge la nchi hiyo ni mdogo kwa sasa, baada ya kufanya mazungumzo na vyama tofauti…
Mashambulizi ya Urusi na Ukraine yasababisha vifo vya watu 5
Mashambulizi kati ya Ukraine na Urusi katika pande zote mbili Jumatano yamesababisha vifo vya watu watano.
Hamas imebadilishana orodha ya mateka na wafungwa na Israel
Kundi la wanamgambo la Hamas limesema Jumatano kuwa limebadilishana na Israel orodha ya majina ya mateka na wafungwa wa Palestina watakaoachiwa, chini ya mpango wa kubadilishana wafungwa na mateka.
Mazungumzo ya kumaliza vita Gaza yaingia siku ya tatu Misri
Waziri Mkuu wa Qatar Sheikh Mohammed bin Abdulrahman Al Thani na wajumbe wa Uturuki wataungana hii leo na wajumbe wa Hamas na Israel nchini Misri kwa siku ya tatu ya…
Msumi bado wasota kusaka maji
Wakati baadhi ya wakazi wa Mtaa wa Msumi, Kata ya Mbezi wakisotea huduma ya maji, Mamlaka ya...
Ronaldo atangazwa kuingia orodha ya Mabilionea
Cristiano Ronaldo ametangazwa kuwa bilionea wa kwanza mwanasoka baada ya kukamilika kwa hesabu...
Wakulima kunufaika fursa uuzaji mbaazi India
Tanzania inaendelea na jitihada za kutafuta masoko kwa ajili ya zao la mbaazi na sasa...
Ukraine bado yakabiliwa na kizingiti kujiunga na EU
Njia ya Ukraine kujiunga na Umoja wa Ulaya itakuwa ngumu hata bila vizuizi vya Hungary. Maafisa wa Umoja wa Ulaya walioitembelea Ukraine wametoa ujumbe mkali kwa serikali ya nchi hiyo…
#HABARI: Mgombea ubunge Jimbo la Kakonko Kupitia chama Cha Mapinduzi (CCM) Alan Thomas Mvano ameahidi kubadili taswira ya mji hu…
#HABARI: Mgombea ubunge Jimbo la Kakonko Kupitia chama Cha Mapinduzi (CCM) Alan Thomas Mvano ameahidi kubadili taswira ya mji huo Kwa kujenga barabara za lami lakini pia vibanda vya biashara…
#HABARI: Mchezaji wa Timu ya wanawake ya Yanga Princess Mnyarwanda Jeanine Mukandiyisinge leo anafanyiwa vipimo maalum kutokana …
#HABARI: Mchezaji wa Timu ya wanawake ya Yanga Princess Mnyarwanda Jeanine Mukandiyisinge leo anafanyiwa vipimo maalum kutokana na malalamiko juu ya mashaka ya jinsia yake. @hoseamchopa amemtafuta Dkt. Mussa Msemo-Daktari…
#HABARI: Kesi ya Uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Antipas Lissu inaendelea l…
#HABARI: Kesi ya Uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Antipas Lissu inaendelea leo Oktoba 8, 2025 katika Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Dar es Salaam.…
Je, unapopata fedha huwa unaweza kufanya vile ulivyojipangia au unatumia tu?
Je, unapopata fedha huwa unaweza kufanya vile ulivyojipangia au unatumia tu? Unawezaje kudhibiti matamanio yako yaendane na mipango yako? Msikilize Mshauri wa Uchumi na Maendeleo Binafsi, Janeth Soka akifafanua hoja…
Mfahamu Kenny G wa nyimbo zinazotamba mida ya misosi kwenye sherehe
Wanapozungumziwa wasanii wa muziki laini duniani jina la Kenny G, mpiga saxophone lazima liwepo.
Bunge la EALA lapongeza nchi wanachama wa EAC kwa kuandaa CHAN 2024
Pongezi hizo zinakuja baada ya Tanzania, Kenya na Uganda, kuandaa michuano ya CHAN kwa pamoja.
NIKWAMBIE MAMA: Tuambieni na mliposhindwa
Watu wengi hawapendi kusema ukweli kwa kuogopa kuchafua hadhi yao. Wengine hufanya hivyo kwa...