Hiki hapa kinachombeba Ramadhan Chalamanda
KIPA wa JKT Tanzania, Ramadhan Chalamanda amesema anafurahia nafasi anayopata katika kikosi hicho alichojiunga nacho msimu huu akitokea Kagera Sugar, huku akifichua kinachombeba akimtaja kocha Ahmad Ally.
#HABARI: Mfuko wa Hifadhi ya Jamii NSSF, umeanza kusajili wanachama kwa njia ya kidijitali huku wanufaika wa mafao nao wakirahis…
#HABARI: Mfuko wa Hifadhi ya Jamii NSSF, umeanza kusajili wanachama kwa njia ya kidijitali huku wanufaika wa mafao nao wakirahisishiwa mchakato wa kufungua madai, mara ajira zao zinapokoma kwa kutumia…
Rais wa chama cha wanasheria Kenya ajiuzulu jukumu alilopewa na Rais Ruto
Rais William Ruto aliunda timu ya watu 16, ikiongozwa na mshauri wake Profesa Makau Mutua, kusimamia fidia kwa waathiriwa wa maandamano tangu 2017, huku Faith Odhiambo akiteuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti…
Lissu akwama kuzuia ushahidi wa Jamhuri
Lissu anakabiliwa na kesi ya uhaini, akidaiwa kuwa kwa njia ya uchochezi alishawishi umma...
Timu ya mazungumzo ya Hamas yawasili Misri
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetangaza katika taarifa yake ya leo Jumatatu kuwa timu yake ya mazungumzo imeshawasili Misri.
CRDB yatoa Sh5 bilioni kuwakwamua wajasiriamali kiuchumi
Jumla ya Sh5 bilioni zimetumika kuwakwamua kiuchumi wajasiriamali wadogo 2,000 kupitia kampuni...
Kaka, dada jela kwa kosa la kuoana
Mahakama ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, imewahukumu kifungo cha miaka 20 na 30 jela ndugu wa...
#HABARI: Zaidi ya wanachama 364 wa Chama cha ACT Wazalendo wamehamia rasmi Chama Cha Mapinduzi (CCM), wakisema wamevutiwa na ser…
#HABARI: Zaidi ya wanachama 364 wa Chama cha ACT Wazalendo wamehamia rasmi Chama Cha Mapinduzi (CCM), wakisema wamevutiwa na sera na dira ya Maendeleo inayotekelezwa na CCM chini ya uongozi…
Mwinyi: Bado tuna kazi ya kufanya kuifungua Pemba
Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Hussein Mwinyi amesema...
#HABARI: Hali ya mvutano imetokea baina ya mawakili wa Jamhuri na baadhi ya mawakili wa upande wa Mwenyekiti wa Chama Cha Demokr…
#HABARI: Hali ya mvutano imetokea baina ya mawakili wa Jamhuri na baadhi ya mawakili wa upande wa Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu pamoja wafuasi wa…
#HABARI: Mahakama Mkuu Masjala Kuu Dodoma imeahirisha kutoa hukumu katika kasi yenye shauri namba 24027/2025 aliyofunguliwa na M…
#HABARI: Mahakama Mkuu Masjala Kuu Dodoma imeahirisha kutoa hukumu katika kasi yenye shauri namba 24027/2025 aliyofunguliwa na Mgombea Urais aliyeteuliwa na Chama cha ACT-Wazalendo Bw. Luhaga Mpina na chama hicho…
TLS yataka Rais atakayechaguliwa afanye haya
Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), kimeomba Rais atakayechaguliwa kwenye Uchaguzi Mkuu wa...
#HABARI: Benki ya CRDB Tawi la Moshi mkoani Kilimanjaro, imezindua wiki ya huduma kwa wateja, iliyowakutanisha wateja wa Benki h…
#HABARI: Benki ya CRDB Tawi la Moshi mkoani Kilimanjaro, imezindua wiki ya huduma kwa wateja, iliyowakutanisha wateja wa Benki hiyo huku wakiahidi kuboresha zaidi huduma zake, ikiwemo utoaji huduma za…
Inaelezwa kuwa uhusiano wa mbali (Long distance relationship) ndani ya familia unakumbwa na changamoto nyingi ikiwemo kusalitian…
Inaelezwa kuwa uhusiano wa mbali (Long distance relationship) ndani ya familia unakumbwa na changamoto nyingi ikiwemo kusalitiana na mengineyo. Je, uhusiano wa mbali unaweza kudhoofisha upendo katika familia Na unadhani…
Kallas asisitiza tena kuendelezwa diplomasia ya nyuklia na Iran
Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya ambaye alielekeai Kuwait kuhudhuria Mkutano wa Ngazi ya Juu wa Usalama na Ushirikiano wa Kikanda kwa mara nyingine tena amesisitiza kuwa…
Kallas asisitiza tena kuendelezwa diplomasia ya nyuklia na Iran
Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya ambaye alielekeai Kuwait kuhudhuria Mkutano wa Ngazi ya Juu wa Usalama na Ushirikiano wa Kikanda kwa mara nyingine tena amesisitiza kuwa…
Chama cha CUF Tanzania chataka uchaguzi usivurugwe na dola
Mwenyekiti wa chama cha upinzani nchini Tanzania cha Wananchi CUF Profesa Ibrahim Lipumba ametoa wito wa mchakato wa uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi Oktoba kutoingiliwa na vyombo vya dola.
Wahamiaji wengine 10 waliofukuzwa nchini Marekani wazuiliwa Eswatini
Eswatini imepokea wahamishwaji wengine 10 kutoka Marekani chini ya mpango wa Washington wa kuhamisha wahamiaji kwenda nchi za ulimwengu wa tatu, kulingana na taarifa leo Jumatatu Oktoba6, 2025. Imechapishwa: 06/10/2025…
🔴MEZA HURU: MATUMIZI UMEME NA MIUNDOMBINU…OKTOBA 03, 2025
🔴MEZA HURU: MATUMIZI UMEME NA MIUNDOMBINU...OKTOBA 03, 2025
#HABARI: Mgombea Urais aliyeteuliwa na Chama cha ACT-Wazalendo Bw
#HABARI: Mgombea Urais aliyeteuliwa na Chama cha ACT-Wazalendo Bw. Luhaga mpina tayari amefika Mahakama Kuu Masjala Kuu Dodoma kusikiliza shauri Lake walilolifungua pamoja na Chama cha ACT- Wazalendo wakipinga kuondolewa…
Haiti yapambana na kichaa cha mbwa kwa chanjo na uangalizi makini
Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO) likishirikiana na Shirika la Afya la Pan-America (PAHO) limeripoti kuwa, mwezi wa Julai mwaka jana, katika eneo la mbali la Butête…
Mkuu wa UNHCR atanabaisha hali ya wakambizi duniani wakati ufadhili ukitoweka
Katika hotuba yake ya ufunguzi kwenye kikao cha sabini na sita cha kamati ya Utendaji ya Mpango wa Kamishna Mkuu, Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Wakimbizi, Filippo Grandi,…
Türk inakaribisha hukumu iliyotolewa na ICC dhidi ya”Ali Kushayb” wa Sudan
Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Türk, ameukaribisha uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) wa kumtia hatiani Ali Muhammad Ali Abd-Al Rahman, maarufu…
UNEP: Kesi kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi zaongezeka duniani
Mashauri yanayohusu mabadiliko ya tabianchi sasa yanafanyika katika nchi nyingi zaidi duniani kuliko wakati mwingine wowote, imebainishwa kwenye ripoti mpya iliyotolewa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Mazingira UNEP…
Miji inabeba mzigo Mkubwa wa migogoro lakini pia ndio kitovu cha Suluhu: UN
Leo ni Siku ya Makazi Duniani, na Umoja wa Mataifa unatoa wito wa kuchukua hatua za haraka kujenga miji jumuishi, imara na salama hasa kwa mamilioni ya watu waliolazimika kukimbia…
Mwongozo mpya wa kukomesha vifo vinavyotokana na kutokwa damu baada ya kujifungua
Katika kuhakikisha mama hapotezi maisha wakati wa kujifungua hii leo imezinduliwa miongozo mipya yenye lengo la kuokoa maisha ya maelfu ya wanawake wanaofariki kila mwaka kutokana na kutokwa damu nyingi…
Ukosefu wa ufadhili endelevu kwa mipango ya amani ya wanawake ni tishio kwa usalama duniani – Guterres
Katika mjadala wa kila mwaka wa wazi wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu Wanawake, Amani na Usalama, Katibu Mkuu António Guterres amesema ukosefu wa ufadhili endelevu na…
Uongozi shirikishi ni muhimu kwa mafanikio ya walimu na matokeo ya wanafunzi – UNESCO
Uongozi wa kugawana majukumu na mashauriano ya kina na walimu ni mambo muhimu katika kuboresha ustawi wa waelimishaji na matokeo ya kujifunza ya wanafunzi, amesema Carlos Vargas, Mkuu wa Kitengo…
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55, OKTOBA 06, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55, OKTOBA 06, 2025
Mahakama ilivyojibu hoja za Lissu kesi ya uhaini
Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imemjibu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na...
Mary E. Brunkow, Fred Ramsdell, na Shimon Sakaguchi watunukiwa Tuzo ya Nobel ya Tiba
Tuzo ya Nobel ya Tiba imetolewa leo Jumatatu, Oktoba 6, kwa Wamarekani Mary E. Brunkow, Fred Ramsdell, na Mjapan Shimon Sakaguchi kwa uvumbuzi wao kuhusu uvumilivu wa pembeni wa kinga.…
Iran: Marekani na Israel zinabeba dhima kwa mashambulizi haramu dhidi ya vituo vya nyuklia
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa Marekani na utawala wa Israel zinabeba dhima kwa mashambulizi yaliyo kinyume cha sheria zilizoyafanya dhidi ya taasisi za nyuklia…
Iran: Marekani na Israel zinabeba dhima kwa mashambulizi haramu dhidi ya vituo vya nyuklia
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa Marekani na utawala wa Israel zinabeba dhima kwa mashambulizi yaliyo kinyume cha sheria zilizoyafanya dhidi ya taasisi za nyuklia…
Iran: Marekani na Israel zinabeba dhima kwa mashambulizi haramu ya dhidi ya vituo vya nyuklia
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa Marekani na utawala wa Israel zinabeba dhima kwa mashambulizi yaliyo kinyume cha sheria zilizoyafanya dhidi ya taasisi za nyuklia…
Urusi yadungua droni 251 zilizoathiri huduma ya umeme
Urusi imedungua droni 251 za Ukraine usiku wa kuamkia Jumatatu, nyingi zikiwa katika maeneo ya Bahari Nyeusi na moja kuelekea mjini Moscow huku umeme ukiripotiwa kukatika mjini Belgorod.
Hersi, Arafat waachiwa msala hatima ya Folz Yanga
PRESHA iliyopo ndani ya Yanga hivi sasa, inamfanya kocha mkuu wa kikosi hicho, Romain Folz kusikilizia hatima yake ndani ya timu hiyo. Hali hiyo imekuja kufuatia kundi kubwa la mashabiki…
Waziri Mkuu wa Ufaransa, baraza lake la mawaziri wajiuzulu ndani ya saa 14
Waziri Mkuu mpya wa Ufaransa, Sebastien Lecornu na serikali yake wamejiuzulu saa chache baada...
Hukumu ya kifo ya Jospeh Kabila inavyotikisa diplomasia na siasa ndani na nje ya DRC
Waangalizi wengi wa kimataifa na DRC wanasema kesi hiyo ilikuwa na muelekeo wa wazi wa kisiasa hivyo kuibua maswali kuhusu utaratibu unaostahili na utekelezwaji wa vyombo vya mahakama.
DRC: Lucha yashutumu ukandamizaji dhidi ya wakosoaji katika jimbo la Tshopo
Kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), mwanaharakati kutoka vuguvugu la raia wa Lucha alihukumiwa kifungo cha miezi sita gerezani kwa kosa la kueneza uvumi wa uwongo baada…
WHO: Watu 400 wameaga dunia kwa utapiamlo Ukanda wa Gaza tangu kuanza mwaka huu
Shirika la Afya Duniani (WHO) limeripoti kuwa watu 400 wameaga dunia kw autapiamlo katika Ukanda wa Gaza kutokana na njaa ya makusudi iliyosaabishwa na Israel. Watoto 100 ni miongoni mwa…
Taarifa kwa umma kutoka jeshi la polisi kuhusu Humphrey Polepole
Taarifa kwa umma kutoka jeshi la polisi kuhusu Humphrey Polepole. #AzamTVUpdates
Jeshi la Yemen lashambulia kwa droni bandari ya Eilat katika oparesheni mpya dhidi ya Israel
Wanajeshi vya Yemen wamefanya shambulio la ndege isiyo na rubani (droni) kuelekea mji wa bandari wa Eilat katika ncha ya kusini kabisa ya maeneo yanayokaliwa na Israel katika operesheni mpya…
Wapatanishi wa Israel na Hamas waendeleza mazungumzo Cairo
Wapatanishi wa Israel na Hamas wataendelea Jumatatu na mazungumzo yao yasiyo ya moja kwa moja huko mjini Cairo kuhusu namna ya kuumaliza mzozo wa Gaza.
Bweni lingine lateketea kwa moto Kilimanjaro, wanafunzi zaidi ya 90 wanusurika
Zaidi ya wanafunzi 90 wa Shule ya Sekondari Mkuu iliyopo Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro...
Licha ya kuwepo kwa alama za barabarani zinazowataka madereva kuvuka Daraja la JPM lililopo juu ya Ziwa Victoria kwa mwendo usio…
Licha ya kuwepo kwa alama za barabarani zinazowataka madereva kuvuka Daraja la JPM lililopo juu ya Ziwa Victoria kwa mwendo usiozidi kilomita 50 kwa saa, wakazi wa Busisi na watumiaji…
Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha UDP, Saumu Hussein Rashid, amesema chama chake kina dhamira n…
Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha UDP, Saumu Hussein Rashid, amesema chama chake kina dhamira njema ya kuwaendeleza wajasiriamali na wafanyabiashara wadogo kwa kuwawekea miundombinu…
Kesi ya Lissu kusikilizwa mfululizo hadi Oktoba 24, 2025
Kesi ya Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania Tundu Lissu itaendelea kusikilizwa mfululizo kuanzia Jumatatu hadi Oktoba 24 mwaka huu.
Tundu Lissu afikishwa Mahakamani kujibu mashtaka ya uhaini
Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania Tundu Lissu amefikishwa mahakamani huko jijini Dar- Es- Salaam siku ya Jumatatu kujibu mashtaka ya uhaini.
Vigogo wanane kuamua hatima ya Folz Yanga
Kocha Mkuu wa Yanga, Romain Folz anasikilizia hatima yake ndani ya timu hiyo kufuatia presha...
Mgombea ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, amesema amekwenda jijini Mwanza kwa aji…
Mgombea ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, amesema amekwenda jijini Mwanza kwa ajili ya kusaidia kusaka kura za ushindi kwa mgombea urais wa…