Tunajua nini kuhusu shambulizi la makombora dhidi ya makao makuu ya Ayatollah Khamenei?
Jeneza la Kiongozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limewekwa hadharani katika msikiti wa Tehran kwa ajili ya "kuagwa na shughuli za mazishi," na sala ya mazishi imeswaliwa juu yake.