Straika Dodoma Jiji aweka rekodi mpya
MSHAMBULIAJI wa Dodoma Jiji, Edgar William ameandika rekodi mpya katika kikosi cha ‘Walima Zabibu’, baada ya kufikisha mabao saba ya Ligi Kuu Bara na kuivuka ya msimu uliopita wa 2024-2025,…
MKuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila ametoa ahadi ya Sh50 milioni kwa Timu ya Mpira wa Kikapu Dar City endapo itafunz…
MKuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila ametoa ahadi ya Sh50 milioni kwa Timu ya Mpira wa Kikapu Dar City endapo itafunzu mtanange wake shidi ya Rwanda na…
Tanzania nafasi ya pili Afrika ubora mazao ya nyuki
TABORA: TANZANIA imeshika nafasi ya pili barani Afrika kwa ubora wa mazao ya nyuki hususani asali iliposhiriki maonesho yaliyofanyika Afrika Kusini 2025. Katibu Tawala wa Mkoa wa Tabora, Dk John…
Bingwa Yamle yamle Cup kuvuna Sh20 milioni
MWENYEKITI wa mashindano ya Yamle Yamle Cup, Sadiq Ali (Flash) amesema mshindi wa kwanza wa mashindano hayo yatakayoanza Juni 2026, ataondoka na zawadi ya Sh20 milioni, kombe na medali za…
Nigeria: Vyama vya siasa kuanza kuwateuwa wagombea urais kuelekea uchaguzi mkuu
Nchini Nigeria, vyama vya siasa kuanzia siku ya Jumamosi, vitaanza zoezi la kuwateuwa wagombea urais kuelekea uchaguzi mkuu, uliopangwa kufanyika mwezi Junauari mwaka ujao. Imechapishwa: 21/05/2026 – 16:27Imehaririwa: 21/05/2026 –…
Clara Luvanga ang’ara tena Saudia
NYOTA wa kimataifa wa Tanzania, Clara Luvanga ameendelea kukiwasha Saudi Arabia baada ya kuiongoza Al Nassr ya Wanawake kutwaa ubingwa wa Kombe la SAFF Women’s Cup kwa ushindi wa mabao…
Njombe kugeuka kitovu kipya cha madini nchini
NJOMBE: MKOA wa Njombe unatarajiwa kuwa kitovu kipya cha uchumi wa madini nchini kufuatia uwekezaji mkubwa katika miradi ya uchimbaji na uchakataji wa madini ya chuma inayolenga kufungua maelfu ya…
Iran inapitia majibu ya Marekani kuhusu upatikanaji wa mkataba wa amani
Wizara ya Mambo ya nje ya Iran, inasema viongozi wake, wanapitia majibu mapya ya Marekani kuhusu upatikanaji wa mkataba wa amani, baada ya awamu kadhaa ya mazungumzo. Imechapishwa: 21/05/2026 –…
“Aende kabisa!”: Wakazi wa Moiben Waliochemka Wamfedhehesha Vibaya Gladys Shollei
Mwakilishi wa Wanawake wa Uasin Gishu na Naibu Spika wa Bunge la Taifa Gladys Boss alitokwa na kijasho chembamba baada ya kufokewa na kufukuzwa na wakazi waliochemka
Wanaharakati 87 waliotekwa na vikosi vya Israel waanzisha mgomo wa njaa
Angalau wanaharakati 87 waliotekwa nyara na vikosi vya Israel wakati wa uvamizi dhidi ya msafara wa misaada ya kibinadamu kuelekea Gaza, wameanzisha mgomo wa njaa, waandaaji wa safari hiyo walitangaza…
Kenya Yashika Nafasi ya 8 Barani Afrika Kati ya Nchi Bora Zaidi Duniani
Kenya imeorodheshwa miongoni mwa nchi bora zaidi duniani, ikiyashinda mataifa mashuhuri. Gundua mambo yaliyochangia mafanikio haya ya ajabu katika makala yetu.
Ujumbe wa safari ya Rais Putin nchini China kwa ulimwengu
Siku nne tu baada ya kufanyika safari ya Rais Donald Trump wa Marekani nchini China, Rais Xi Jinping wa nchi hiyo amemkaribisha kwa shangwe Rais Vladimir Putin wa Russia mjini…
Jamhuri yaomba kuongeza mashahidi kesi ya ‘Dk Manguruwe’
Jamhuri imewasilisha mahakamani notisi ya kuomba kuongeza idadi ya mashahidi na vielelezo...
“Tutawafanya maadui wajute”: Qalibaf aonya dhidi ya njama za Marekani kuanzisha vita vipya
Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, ametoa onyo kali akisema kuwa mienendo ya wazi na ya siri ya adui inaashiria wazi kuwa wanapanga kuanzisha duru nyingine ya vita.
UDSM launches SKN Research Compass to support postgraduate researches
DAR ES SALAAM: A Lecturer at the UDSM’s School of Journalism and Mass Communication (SJMC), Dr Sophia Ndibalema has launched a “SKN Research Compass,” a digital learning platform designed to…
Usalama wa nyama hatarini, machinjio ya Kisakasaka Z’bar
Wafanyabiashara na wataalamu wa mifugo wamesema machinjio yanayotumiwa kwa sasa ya Kisakasaka...
Iran: UNSC Iivunje ukimya kuhusu vitisho vya Marekani na uhalifu wa kivita
Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amelitaka Baraza la Usalama livunje ukimya wake kuhusu vitisho vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya…
Kiraitu Murungi Abomoka Moyo Hadharani Akiizubalia Picha ya Marehemu Bintiye, Wakenya Wamhurumia
Picha ya Kiraitu Murungi akimlilia marehemu bintiye Anita Kendi wakati wa misa yake ya maombi imewagusa sana Wakenya, na kuangazia huzuni ya wazazi kupoteza wanao.
Jumuiya ya Nchi za Kiarabu yakemea mpango wa ‘Somaliland’ kufungua ubalozi katika al-Quds inayokaliwa kwa mabavu
Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) imekosoa vikali uamuzi wa eneo la Somaliland lililojitenga na Somalia wa kufungua ubalozi katika mji mtakatifu wa al Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu…
Simu inavyotengeneza kizazi kipya cha wawekezaji nchini
Katika kipindi cha robo mwaka kilichoishia Machi 31, mauzo ya jumla katika soko la Dar es...
Ebola imeua watu 139, wengine 600 wameambukizwa DRC na Uganda
Takriban wagonjwa 600 sasa wanashukiwa kuwa na Ebola na vifo 139 vikishukiwa kusababishwa na ugonjwa huo hali inayoongeza hofu ya kuenea zaidi kwa mlipuko wa sasa wa Ebola.
Serengeti’s balloon safari, great wildebeest migration fascinate Man United legend
SERENGETI: A breathtaking hot-air balloon safari over the vast plains of Serengeti National Park has placed Tanzania’s world-renowned wildlife spectacle once again in the global spotlight, as former Manchester United…
With 100bn US dollars envisioned, Tanzania sees medical tourism as a key in economic growth
DODOMA: THE Tanzanian government has taken steps to strengthen the medical tourism sector, which is expected to increase the contribution of the health sector to the country’s economic growth as…
Tanzania calls for a united stance in protecting the market of natural diamond
FREETOWN: TANZANIA has called on the African Diamond Producing Association (ADPA) to take a united stance in protecting the natural diamond market against the increase in lab-grown diamonds that have…
TANAPA sees its World-Class Golf Course in Serengeti as a big boost to tourism and jobs
ARUSHA: THE TANZANIA National Parks Authority (TANAPA) is set to launch a new international-standard golf course at Fort Ikoma on the outskirts of Serengeti National Park, in a major initiative…
Tshabalala atoa kauli ya ubingwa Yanga
BEKI wa Yanga, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ amevunja ukimya katika ya timu hiyo, akitamka maneno mazito yatakayowaamsha wachezaji wenzake ndani ya kikosi hicho, akitaka washtuke haraka kama wanautaka ubingwa.
CCM affirms to maintain long-standing ties with China’s CPC
DAR ES SALAAM: THE Chairperson of the Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dr Samia Suluhu Hassan has affirmed to maintain the long-standing cooperation with the Communist Party of China (CPC) in…
Njombe banks on iron ore project to transform its economy, offer thousands jobs
NJOMBE: NJOMBE Region is poised to become one of Tanzania’s major mining and industrial hubs following large-scale investments in iron ore mining and processing projects expected to create thousands of…
Tanzania calls for strong cross-border cooperation in combating malaria, NTDs
GENEVA: THE Minister for Health, Mohamed Mchengerwa, said the cross-border cooperation is essential in the fight against malaria and Non-Targeted diseases (NTDs) He said that joint actions are needed because…
Chama cha Jubilee chamuonya Ruto dhidi ya kutumia jina la Uhuru kuficha aibu zake: “Koma kabisa”
Chama cha Jubilee kinashutumu serikali kwa kuepuka uwajibikaji ikitumia jina la Uhuru Kenyatta hususan katika masuala ya kiuchumi Kenya na kupanda kwa gharama.
Tanzania, Kenya agree to strategic ties in the agribusiness to enhance food security
DODOMA: TANZANIA and Kenya have agreed to strengthen strategic cooperation in the agricultural sector, with a focus on boosting trade, investment and enhancing food security within the East African region.…
Tanzania urged to strengthen inclusive systems that give good care to people with disabilities
DAR ES SALAAM: STAKEHOLDERS advocating for the rights of people with disabilities have urged the Tanzanian government and its institutions to strengthen inclusive systems in social services, economic opportunities, and…
TOP: Baraza la Usalama: Gaza “haiwezi kustahimili tena vita zaidi”
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linaendelea kujadili mkwamo wa mchakato wa amani Gaza, huku usitishaji vita dhaifu ukielekea kuyumba na hali ya kibinadamu ikizidi kuzorota katika Ukingo wa…
MONUSCO yasafirisha tani 30 za vifaa vya Ebola Bunia DRC
Ni kufuatia mlipuko wa 17 wa Ebola kutangazwa rasmi nchini DRC Mei 16, 2026 Vifaa vya dharura vimetoka Nairobi, Kinshasa, Goma na Entebbe Vinajumuisha dawa, vifaa vya maabara, mahema na…
Kujenga miji ya kisasa: Ahadi, changamoto na watu walio na moyo wa mageuzi
Jinsi AI inavyotumika kuboresha miji duniani Mifano kutoka Shanghai, China na Moscow, Urusi Lakini je, miji janja inajengwa kwa ajili ya teknolojia au kwa ajili ya watu Kwenye makazi duni…
Je wajua kwa nini ugonjwa unaitwa Ebola
Virusi vya Ebola ni virusi hatari vilivyogunduliwa kwa mara ya kwanza mwaka 1976 kwenye ambalo sasa ni Sudan Kusini na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, (DRC) karibu na Mto Ebola.…
Casemiro kumfuata Messi Marekani
Kiungo wa Manchester United, Casemiro amekaribia kujiunga na Inter Miami baada ya kuripotiwa...
ZIFF 2026 yapokea filamu 400, 65 zapenya hatua ya mwisho
Filamu 65 zitachuana kuwania tuzo katika Tamasha la 29 la Kimataifa la Filamu (ZIFF)...
‘Hii inaweza kuwa mara ya mwisho kusikia sauti yangu’: Mauaji ya kisiasa yaongezeka Iran
Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imeonya kuwa adhabu ya kifo inazidi kutumiwa kunyamazisha upinzani wa kisiasa nchini Iran.
Tanzania seeks regional cooperation to monitor trans-boundary wildlife, poaching
NAIROBI: THE Tanzanian government has stressed the importance of regional cooperation in the fight against trans-boundary wildlife and forest products poaching. The statement was made by the President of the…
Mfanyabiashara kortini akidaiwa kujipatia Sh120 milioni kwa udanganyifu
Mfanyabiashara, Abdul Razak Ahmed (37) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu...
Rwanda affirms allegiance with Tanga Port for cargo transit
TANGA: RWANDA has reaffirmed its commitment to strengthening trade relations with the Tanga Port, including continued use of the facility for cargo transit. This was stated by Rwanda’s High Commissioner…
PM resolves a 51-year land dispute in Rombo, Kilimanjaro
MKUU: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has successfully resolved a 51-year land dispute between Mtimhoo Parish of the Roman Catholic Church in the Diocese of Moshi and Mr Peter Morisi of…
Msako wa rekodi Simba ikitafuta kurudi kileleni Ligi Kuu
NI takribani siku 215 zimepita tangu Simba ishushwe kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara na...
Tanzania pushes digital skills for teachers
DODOMA: Commissioner for Education, Dr Lyabwene Mutahaba, has said the government remains committed to strengthening teachers’ digital skills as part of efforts to improve equitable access to quality education for…
PM graces the climax of the Lake Victoria Day celebrations
MWANZA: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has arrived in Mwanza to grace the climax of the inaugural Lake Victoria Day celebrations taking place here at the Nanenane grounds in Nyamhongolo. The…
Nchi 10 Zenye Idadi Kubwa Zaidi ya Nyoka Hatari Duniani, Unachohitaji Kufahamu Ukipanga Ziara
Kupanga safari yako ijayo nje ya nchi ni jambo la kusisimua lakini baadhi ya maeneo yana tahadhari ya viumbe wanaotambaa. Ni muhimu kuwa mwangalifu
Nchi 10 Zenye Idadi Kubwa Zaidi ya Nyoka Hatari Duniani, Wanachohitaji Kufahamu Wanaopanga Ziara
Kupanga safari yako ijayo nje ya nchi ni jambo la kusisimua lakini baadhi ya maeneo yana tahadhari ya viumbe wanaotambaa. Ni muhimu kuwa mwangalifu
TAHA launches a Food Safety Manual as a guidance for agriculture, livestock value chains
ARUSHA: THE Tanzania Horticultural Association (TAHA), in collaboration with development partner Trias East Africa and other implementing partners under the HUSISHA programme, has officially launched a Food Safety Manual aimed…