#NBCPL Sare…
#NBCPL Sare…. FT: Namungo FC 1-1 Mbeya City LIVE #AzamSports1HD #NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuyaNBC #NBCUpdates #ImenogaZaidi #NamungoFC #MbeyaCity #NamungoMbeyaCity (Feed generated with FetchRSS)
Ulega awajibu wabunge, Spika Zungu amtaka Nape kumshukuru Rais Samia
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amesema Serikali itahakikisha inafanyia kazi mapendekezo na...
#RSL Msimu umemalizika na Al Nassr ndiyo mabingwa wa Ligi Kuu ya Saudi Arabia (Saudi Pro League) 2025/26
#RSL Msimu umemalizika na Al Nassr ndiyo mabingwa wa Ligi Kuu ya Saudi Arabia (Saudi Pro League) 2025/26. FT: Al Nassr 4-1 Damac FT: Al Feyha 0-1 Al Hilal LIVE…
Baharia aliyeuawa shambulio la bomu Hormuz azikwa Musoma
Mkuu wa Wilaya ya Musoma, Juma Chikoka ameongoza mamia ya wakazi wa mji wa Musoma na...
Sua yaanza utekelezaji miradi ya Sh3.4 bilioni
Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (Sua) kimeanza utekelezaji wa miradi mipya 12 ya utafiti ya...
Mfumo uanagenzi kuboreshwa ili kukidhi mahitaji ya ajira
DAR ES SALAAM: Wadau wa maendeleo ya ujuzi wamepitia na kuthibitisha rasimu ya mwelekeo wa Uanagenzi Tanzania katika hatua inayolenga kuimarisha mfumo wa mafunzo ya vitendo ili kuendana na mahitaji…
Tanzania yaimarisha uchumi jumuishi kwa kuzingatia makundi yote
DAR ES SALAAM:TANZANIA imeendelea kupiga hatua katika kujenga uchumi jumuishi unaowashirikisha watu wote, wakiwemo watu wenye ulemavu, kupitia uwekezaji katika huduma za afya, teknolojia saidizi, maji pamoja na mifumo ya…
Ni Chama tena Simba
Miongoni mwa wachezaji wa Simba kwa sasa, hutoacha kulitaja jina la nyota wa kikosi hicho...
Chama aibeba tena Simba ikirejea kileleni
UNAPOTAJA miongoni mwa wachezaji hatari wa Simba kwa sasa, hutoacha kulitaja jina la nyota wa kikosi hicho, Clatous Chota Chama 'Triple C', baada ya kuirejesha tena timu hiyo kileleni katika…
FT. COSTAL UNION 1 – 2 SIMBA SC
FT. COSTAL UNION 1 - 2 SIMBA SC (Feed generated with FetchRSS)
Rio Ferdinand aukwaa ubalozi wa Utalii Tanzania
Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii, leo Mei 21,2026 imemteua mchezaji wa zamani wa...
Wizara ya Viwanda na Biashara Zanzibar yaja na vipaumbele vitatu
Wizara ya Maendeleo ya Viwanda na Biashara imepanga kutekeleza vipaumbele vitatu vinavyolenga...
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na Shirika la Mzinga leo Mei 21, 2026 wamesaini hati ya makubaliano ya ushirikiano yanayolenga …
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na Shirika la Mzinga leo Mei 21, 2026 wamesaini hati ya makubaliano ya ushirikiano yanayolenga kuimarisha ushirikiano katika Utafiti, Teknolojia, Uzalishaji na Usambazaji wa nishati…
🔴TAARIFA YA HABARI SAA MBILI USIKU MEI 21, 2026 -POLISI KUCHUNGUZA TUKIO LA DJUMBE
🔴TAARIFA YA HABARI SAA MBILI USIKU MEI 21, 2026 -POLISI KUCHUNGUZA TUKIO LA DJUMBE (Feed generated with FetchRSS)
“Kasri la Mfalme”: Jumba Kubwa la Onyonka huko Kisii Lafichua Utajiri wa Kushangaza
Seneta wa Kisii Richard Onyonka alionyesha jumba lake la kifahari kijijini kwao, na kuzua hisia mseto kwenye mitandao ya kijamii kufuatia kifo cha mamake.
#HABARI:David Djumbe, Msaidizi wa Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu akionyesha mikono yake ilivyoathirika baada ya kufungwa pin…
#HABARI:David Djumbe, Msaidizi wa Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu akionyesha mikono yake ilivyoathirika baada ya kufungwa pingu na watu wasiojulikana. Djumbe yupo kituo cha Polisi Oysterbay Dar es Salaam kwa…
#MICHEZO: Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Bw
#MICHEZO: Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Bw. Albert Chalamila, ameahidi kutoa zawadi ya shilingi milioni 50 kwa timu ya mpira wa kikapu ya Dar City Basketball endapo itafanikiwa…
#HABARI: Viongozi mkoani Singida wamehimizwa kuhakikisha wananchi wanashirikishwa kikamilifu na kupewa taarifa sahihi kuhusu ut…
#HABARI: Viongozi mkoani Singida wamehimizwa kuhakikisha wananchi wanashirikishwa kikamilifu na kupewa taarifa sahihi kuhusu utekelezaji wa miradi ya Serikali ili kujenga uwajibikaji, kuongeza uwazi, na kuimarisha ulinzi wa rasilimali za…
Mbunge wa Musoma Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mgore Miraj, ameishinikiza Serikali kuhakikisha fedha zote zinazokusan…
Mbunge wa Musoma Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mgore Miraj, ameishinikiza Serikali kuhakikisha fedha zote zinazokusanywa kwa ajili ya Wizara ya Ujenzi zinatumika moja kwa moja kwenye shughuli za…
Usikose kipindi hiki Maalum, Jumatano Mei 27, 2026
Usikose kipindi hiki Maalum, Jumatano Mei 27, 2026. kuanzia Saa 3:35 Usiku hapa ITV pekee. (Feed generated with FetchRSS)
Mbunge wa Geita Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Chacha Wambura, amesema changamoto kubwa inayowakabili wananchi katika …
Mbunge wa Geita Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Chacha Wambura, amesema changamoto kubwa inayowakabili wananchi katika maeneo mengi nchini ni ubovu wa miundombinu ya barabara zinazohudumiwa na TARURA na…
“Starehe Iliyokatiza Maisha!”: Jamaa wa Miaka 50 Afariki Kichakani Uganda Akirusha Roho na Demu
Polisi wameanzisha uchunguzi baada ya mwanamume mwenye umri wa miaka 50 kutoka Uganda kuripotiwa kuzimia na kufariki kichakani akipakua asali ya kisura.
Tanzania yaweka mkakati kudhibiti ujenzi holela pembezoni mwa miji
Serikali ya Tanzania imesema inachukua hatua madhubuti kudhibiti ujenzi holela pembezoni mwa...
Raia wa Korea anayedaiwa kukutwa na meno ya tembo kuendelea kusota rumande
Mshtakiwa Un Hyok Ra (37) ambaye ni raia wa Korea Kaskazini anayekabiliwa na mashtaka mawili ya...
Tanzanian to provide 11,000 hives, train 3,000 beekeepers in efforts to increase honey production
TABORA: THE beekeeping sector in the country has received a new boost after the Tanzanian government announced a plan to provide 11,000 hives along with training for more than 3,000…
Tamasha la Miaka 30 ya Bongo Fleva kufanyika Mlimani City
Wasanii wa muziki wa Bongo Fleva nchini wameandaa tamasha maalumu la kuadhimisha miaka 30 tangu...
Video: Kinara wa vijana ODM karibu atumbuliwe jicho mbele ya John Mbadi kwa kumkemea Eric Omondi
Mwenyekiti wa ODM Young Captains Roseline Alionya alikabiliwa na upinzani kwa kumshambulia mchekeshaji Eric Omondi kuhusu madai yake kuhusu Muswada wa Fedha wa 2026.
Fountain Gate yaibania JKT Tanzania
FOUNTAIN Gate imewazuia JKT Tanzania kukaa nafasi ya nne kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya NBC baada ya kuwalazimisha sare ya mabao 2-2 kwenye mchezo uliopigwa katika Uwanja wa Meja…
Mauaji ya Mchina yatikisa ajira za wafanyakazi 200
Wafanyakazi zaidi ya 200 wa kiwanda cha XIL LI kilichopo Mabibo Sokoni, jijini Dar es Salaam...
Hospitali ya Benjamin Mkapa yasaka Sh7 bilioni kusaidia upandikizaji figo, uroto
Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) imezindua kampeni ya kuchangisha Sh7 bilioni ili kufadhili...
Waziri Mkuu atoa maagizo maadhimisho ya Ziwa Victoria
Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba ametoa maelekezo kwa nchi zinazozungukwa na Ziwa Victoria...
JAB yasisitiza maofisa habari nao kujisajili
Maofisa habari wa taasisi za Serikali na binafsi nchini wametakiwa kutojitenga na mfumo wa...
Exim Tanzania yazindua huduma za kibenki kupitia WhatsApp kurahisisha miamala
Benki ya Exim Tanzania hii leo imezindua huduma yake ya Exim WhatsApp Banking, suluhisho jipya...
Kalilie na huko mbaliiii: Mahakama Embu yashikilia Leo Wa Muthende ndiye mbunge halali
Mahakama Kuu ya Embu imeshikilia Leonard Wamuthende kuwa Mbunge wa Mbeere Kaskazini, ikidai ukosefu wa ushahidi kesi ya kupinga matokeo na Newton Karish.
Mechi za kibingwa Yanga, Azam
KUNA mechi mbili za kibingwa zinachezwa leo ndani ya Ligi Kuu Bara zikihusisha timu zinazoshika nafasi nne za juu kwenye msimamo, huku moja ikiwa inapambana isishuke daraja.
RDC: Wakazi wa Goma wakabiliwa na ugumu wa maisha, biashara zikitatizika
Wakaazi wa Goma, Mashariki mwa DRC sasa wanakabiliwa na mzigo mzito wa kuendelea kukabiliwa na ugumu wa maisha kutokana na kutatizika kwa shughuli za kibiashara, na sasa maambukizi ya virusi…
Fufuni bila Mani Gamera’ ni mateso
Fufuni imeanza kupoteza uelekeo wa kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) baada kushindwa kupata ushindi katika mechi mbili zilizopita ikiambulia pointi moja.
Wanawake 26,000 wajitokeza msaada wa kisheria Ushetu
SHINYANGA: WANAWAKE zaidi ya 26,000 wamejitokeza kwenye kampeni ya awamu ya pili ya msaada wa kisheria kati ya wananchi 46,400 waliojitokeza kwa kipindi cha siku 15 kilichofanyika kutoa elimu na…
Straika Dodoma Jiji aweka rekodi mpya
MSHAMBULIAJI wa Dodoma Jiji, Edgar William ameandika rekodi mpya katika kikosi cha ‘Walima Zabibu’, baada ya kufikisha mabao saba ya Ligi Kuu Bara na kuivuka ya msimu uliopita wa 2024-2025,…
MKuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila ametoa ahadi ya Sh50 milioni kwa Timu ya Mpira wa Kikapu Dar City endapo itafunz…
MKuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila ametoa ahadi ya Sh50 milioni kwa Timu ya Mpira wa Kikapu Dar City endapo itafunzu mtanange wake shidi ya Rwanda na…
Tanzania nafasi ya pili Afrika ubora mazao ya nyuki
TABORA: TANZANIA imeshika nafasi ya pili barani Afrika kwa ubora wa mazao ya nyuki hususani asali iliposhiriki maonesho yaliyofanyika Afrika Kusini 2025. Katibu Tawala wa Mkoa wa Tabora, Dk John…
Bingwa Yamle yamle Cup kuvuna Sh20 milioni
MWENYEKITI wa mashindano ya Yamle Yamle Cup, Sadiq Ali (Flash) amesema mshindi wa kwanza wa mashindano hayo yatakayoanza Juni 2026, ataondoka na zawadi ya Sh20 milioni, kombe na medali za…
Nigeria: Vyama vya siasa kuanza kuwateuwa wagombea urais kuelekea uchaguzi mkuu
Nchini Nigeria, vyama vya siasa kuanzia siku ya Jumamosi, vitaanza zoezi la kuwateuwa wagombea urais kuelekea uchaguzi mkuu, uliopangwa kufanyika mwezi Junauari mwaka ujao. Imechapishwa: 21/05/2026 – 16:27Imehaririwa: 21/05/2026 –…
Clara Luvanga ang’ara tena Saudia
NYOTA wa kimataifa wa Tanzania, Clara Luvanga ameendelea kukiwasha Saudi Arabia baada ya kuiongoza Al Nassr ya Wanawake kutwaa ubingwa wa Kombe la SAFF Women’s Cup kwa ushindi wa mabao…