Steel dreams turn reality
Liganga-Mchuchuma projects set to start in three months NJOMBE: AFTER years of anticipation, implementation of the multibillion-dollar LigangaMchuchuma projects is expected to begin within the next three months, marking a…
Kipa ataka mastaa Man United
Kipa wa Manchester United, Senne Lammens ameitaka klabu hiyo kuwekeza vya kutosha katika...
Comoro: Madereva waanza mgomo usio na kikomo dhidi ya kupanda kwa bei ya mafuta
Siku chache baada ya Rais wa Comoro Azali Assoumani kutoa hotuba kwa taifa kuhusu athari za kiuchumi za mgogoro unaoendelea katika Mashariki ya Kati, serikali ya Comoro wiki hii ilitoa…
Amos Kabobo: kocha anayemudu michezo mingi
Katika umri wa miaka 30, Amos Kabobo 'Coach KB' angeweza kuwa mchezaji mahiri wa mpira wa...
Tunachojua kuhusu majibu ya Iran kwa mapendekezo ya Marekani ya kumaliza vita
Waziri Mkuu wa Pakistan, Shehbaz Sharif, alisema kuwa nchi yake, ambayo imekuwa mpatanishi, ilipokea majibu ya Iran, lakini bila kutoa maelezo yoyote.
Mwanakemia wa Kenya anatumia teknolojia ya nano kupambana na uchafuzi wa maji
Mkutano wa Africa-Forward unafunguliwa leo Jumatatu, Mei 11, jijini Nairobi, nchiniKenya. Umepangwa kudumu kwa siku mbili na kuandaliwa kwa ushirikiano na Ufaransa na Kenya, lakini umefunguliwa kwa nchi nyingi kote…
Mali: Washukiwa wa shambulio la Aprili 25 na 26 wakamatwa
Nchini Mali, kukamatwa kwa washukiwa kuliendelea baada ya mashambulizi ya Aprili 25 kwenye miji na vijiji kadhaa. Mwendesha mashtaka wa umma katika mahakama ya kijeshi ya Bamako alitangaza kwamba uchunguzi…
Mkutano kati ya Ufaransa na Afrika unaanza jijini Nairobi
Mkutano wa siku mbili kati ya Ufaransa na mataifa ya Afrika unaanza leo jijini Nairobi nchini Kenya. Imechapishwa: 11/05/2026 – 06:27Imehaririwa: 11/05/2026 – 06:33 Dakika 1 Wakati wa kusoma Matangazo…
DRC: Barabara kati ya Bukavu na Uvira yafungwa
Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, barabara kati ya Bukavu na Uvira, imefungwa tena kuanzia leo Jumatatu, baada ya kufunguliwa tena mwezi mmoja uliopita. Kwanini hatua hii imechukuliwa ? Imechapishwa:…
Zimbabwe yarejesha mashamba makubwa yaliyonyang’anywa raia wa kigeni zaidi ya miaka 20 Iliyopita
Nchini Zimbabwe, serikali imetangaza nia yake ya kurudisha mashamba 67 kwa wamiliki wa zamani wa kigeni waliopoteza sehemu zao za ardhi katika miaka ya 2000. Chini ya utawala wa Robert…
Trump asema majibu ya Iran kuhusu kumaliza vita ‘hayakubaliki kabisa’
Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, hakuzungumzia moja kwa moja pendekezo hilo, lakini alisema Jumapili: “Hatutanyenyekea mbele ya adui. Mazungumzo au diplomasia havimaanishi kujisalimisha au kurudi nyuma.”
Marekani yakataa pendekezo la Iran la kukomesha vita
Tehran imejibu siku ya Jumapili pendekezo la Marekani, lililotolewa kupitia Pakistan, la kukomesha vita, licha ya makubaliano yausitihaji mapigano ambayo hayajazuia makabiliano yanayoendelea. Lakini jibu la Tehran halikupendeza Washington, ambayo…
DRC: Marekani yatoa wito wa kupunguza mgogoro mashariki mwa nchi
Washington, moja ya wapatanishi katika mgogoro huu wa kikanda, inazisihi pande zote katika mgogoro huo kuweka kipaumbele mazungumzo, huku hali ya usalama ikiendelea kuzorota wiki hii katika maeneo kadhaa katika…
Emmanuel Macron: Enzi ya ‘ushawishi’ ya Ufaransa barani Afrika ‘imekwisha’
Katika siku ya pili ya ziara yake barani Afrika, rais wa Ufaransa aliondoka Alexandria, Misri, asubuhi ya Jumapili, na kuelekea nchini Kenya, Afrika Mashariki. Alipofika Nairobi, mji mkuu wa Kenya,…
Narendra Modi atoa wito kwa Wahindi kupunguza matumizi ya mafuta
Waziri Mkuu wa India Narendra Modi amewasihi wananchi wake siku ya Jumapili kupunguza matumizi yao ya petroli na mafuta ya dizeli kutokana na usumbufu wa usambazaji unaosababishwa na vita katika…
Emmanuel Macron: Ufaransa ‘haijawahi kufikiria’ ‘kutuma jeshi’ katika Mlango-Bahari wa Hormuz
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amesebaini siku ya Jumapili kwamba nchi yake “haijawahi kufikiria” “kutuma” jeshi la majini katika Mlango-Bahari wa Hormuz, bali ujumbe wa usalama “kwa kushauriana na Iran.”…
Barca yaibuka mtemi El Classico ikitwaa ubingwa La Liga
Barcelona imetwaa kibabe ubingwa wa Ligi Kuu Hispania ‘La Liga’ msimu huu baada ya kuibuka na...
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Mei 11, 2026
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa... The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo…
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amesema wizara hiyo iko tayari kuwaingiza wabunifu vijana walio katika sekta ya ujenzi kwenye m…
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amesema wizara hiyo iko tayari kuwaingiza wabunifu vijana walio katika sekta ya ujenzi kwenye miradi mbalimbali kwa kushirikiana na kampuni za ndani na kimataifa ili…
Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi amemtaka mkandarasi wa kampuni ya Dongfang Electric kutekeleza mradi wa kuzalisha umeme w…
Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi amemtaka mkandarasi wa kampuni ya Dongfang Electric kutekeleza mradi wa kuzalisha umeme wa Megawati 49.5 katika maporomoko ya Mto Malagarasi mkoani Kigoma badala ya kutoa…
Govt pledges continued support for midwives
MOSHI: THE government has reiterated strong collaboration with the Tanzania Midwives Association (TAMA) to ensure midwives continue working in a conducive environment that enables them to effectively carry out their…
Arsenal yaichapa West Ham ikibakiza mechi mbili itwae EPL
Bao la dakika za jioni alilofunga Leandro Trossard limetosha kuipa pointi tatu Arsenal ‘Washika...
#ElClasico “…adui wa kwanza wa ubingwa ni idadi ya sare”
#ElClasico “…adui wa kwanza wa ubingwa ni idadi ya sare” George Job anachambua jinsi idadi kubwa ya sare ilivyowaathiri Real Madrid kwenye mbio za ubingwa msimu huu… George pia anatoa…
Chama aendeleza moto, Simba ikiifunga Prisons
Simba imeendelea kutamba nyumbani ikiichapa Tanzania Prisons mabao 4-0, huku kiungo wake...
#ElClasico “…Real Madrid ni timu kubwa, ina heshima kubwa, sidhani kama Barcelona wanaweza kupata ushindi kirahisi”
#ElClasico “…Real Madrid ni timu kubwa, ina heshima kubwa, sidhani kama Barcelona wanaweza kupata ushindi kirahisi” Shabiki wa Real Madrid, Karim Boimanda, anasema El Clasico ni mchezo wa kipekee, haijalishi…
#ElClasico “…kukwepa aibu ya kutumika kama daraja la Barcelona kutangaza ubingwa”
#ElClasico “…kukwepa aibu ya kutumika kama daraja la Barcelona kutangaza ubingwa” Shabiki wa FC Barcelona, Crivalent Kilumile, anasema anajua Real Madrid wataingia kwenye game ya leo kwa nguvu ya kuzuia…
#ElClasico Je, mwenendo wa Real Madrid kuruhusu magoli hasa katika dakika za mwisho, katika mechi zake za mwisho, ina maana gani…
#ElClasico Je, mwenendo wa Real Madrid kuruhusu magoli hasa katika dakika za mwisho, katika mechi zake za mwisho, ina maana gani kuelekea mechi hii ya leo?? Godlisten Muro anasema “hiyo…
#ElClasico Godlisten Muro anasema licha ya kuwa na majeruhi kibao, na formu kuwa chini, lakini kinachowapa hamasa Real Madrid kw…
#ElClasico Godlisten Muro anasema licha ya kuwa na majeruhi kibao, na formu kuwa chini, lakini kinachowapa hamasa Real Madrid kwenye mchezo huu ni kuwacheleweshea ubingwa FC Barcelona… Ni uchambuzi LIVE…
Malipo kwa walimu wanaojitolea katika Kijiji cha Ilekanilo wilayani Misungwi Mkoa wa Mwanza yamegeuka kuwa mzigo kwa wazazi wana…
Malipo kwa walimu wanaojitolea katika Kijiji cha Ilekanilo wilayani Misungwi Mkoa wa Mwanza yamegeuka kuwa mzigo kwa wazazi wanaochangishana, ili walimu wanaojitolea wa shule za msingi na sekondari waweze kulipwa.…
Jamii imekumbushwa kuibua,Kulea na kukuza vipaji vya watoto ili kuwa na taifa Bora na kupunguza ukosefu wa Ajira
Jamii imekumbushwa kuibua,Kulea na kukuza vipaji vya watoto ili kuwa na taifa Bora na kupunguza ukosefu wa Ajira Ni katika msimu wa tatu wa Kiruswa Fun Run ambapo waziri wa…
Mwanafunzi wa Shahada ya Uhandisi katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Tukay Thomas, ameibuka mshindi wa shindano la kuwa…
Mwanafunzi wa Shahada ya Uhandisi katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Tukay Thomas, ameibuka mshindi wa shindano la kuwasilisha andiko bunifu lililolenga kupunguza msongamano wa magari mijini kwa…
Chama wa moto, Simba ikiifanyia ukatili Prisons
SIMBA imeendelea kutamba nyumbani ikiichapa Tanzania Prisons mabao 4-0, huku kiungo wake Clatous Chama akizidi kuibeba timu hiyo.
Licha ya jitihada za serikali katika kuimarisha sekta ya ardhi, changamoto ya maeneo mengi kutopimwa pamoja na uelewa mdogo wa s…
Licha ya jitihada za serikali katika kuimarisha sekta ya ardhi, changamoto ya maeneo mengi kutopimwa pamoja na uelewa mdogo wa sheria za ardhi vimetajwa kuendelea kuwa chanzo cha migogoro isiyoisha,…
#HABARI: Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, James Ole Millya, ametoa wito kwa jamii ya kifugaji k…
#HABARI: Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, James Ole Millya, ametoa wito kwa jamii ya kifugaji kulinda rasilimali ardhi na kuepuka uuzaji holela ambao unaweza…
Mixx, DSE wachochea kasi ya vijana kuwekeza kidigitali
Miamala ya uwekezaji wa kidijitali kupitia ushirikiano kati ya Mixx by Yas na Soko la Hisa la...
FT: Simba 4-0 Prisons
FT: Simba 4-0 Prisons Powered by #MCHEZOSUPA JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA: - Tuma 1000 kupitia Airtel Money, Tigo Pesa, M - Pesa, Halopesa, kwenda namba ya kampuni 222223 kumbukumbu…
Mradi Liganga, Mchuchuma kuanza miezi mitatu ijayo
Serikali imesema mradi wa makaa ya mawe na chuma wa Liganga na Mchuchuma unaotekelezwa wilayani...
#HABARI: Serikali ya Awamu ya Sita imetangaza maboresho makubwa ya kisera yatakayowezesha sekta binafsi kushiriki katika uwekez…
#HABARI: Serikali ya Awamu ya Sita imetangaza maboresho makubwa ya kisera yatakayowezesha sekta binafsi kushiriki katika uwekezaji na usambazaji wa huduma za maji kupitia mfumo wa ubia (PPP). Hatua hiyo…
#HABARI: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Prof
#HABARI: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe, ameilekeza TARURA na Manispaa ya Kinondoni kuhakikisha ujenzi wa barabara ya Togo unakamilika ifikapo Juni 2026. Prof. Shemdoe…
Tukay wa UDSM aibuka kinara wa andiko la suluhu ya foleni
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Tukay Thomas, ameibuka mshindi wa shindano...
Masoko yageuka uwanja wa kelele – 1
Kelele nzito zinazotokana na spika za matangazo ya biashara, ikiwemo vipaza sauti, zimegeuka...
Sugu ataja masharti maridhiano, alia na miundombinu ya barabara, maji Mbeya
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Nyasa, kimeeleza kusikitishwa na kusuasua...
Mkuu wa mkoa wa njombe Anthony Mtaka ameziasa taasisi za kidini kuongeza juhudi katika kuelimisha jamii kuhusu afya ili kuwasaid…
Mkuu wa mkoa wa njombe Anthony Mtaka ameziasa taasisi za kidini kuongeza juhudi katika kuelimisha jamii kuhusu afya ili kuwasaidia wapate uelewa wa kutatua matatizo ya kiroho na ya kimwili.…
Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais SAMIA SULUH HASSAN, imeendelea kuimarisha mazingira rafiki yanayochochea ukua…
Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais SAMIA SULUH HASSAN, imeendelea kuimarisha mazingira rafiki yanayochochea ukuaji wa sekta binafsi za kifedha nchini, hatua inayosaidia kuongeza upatikanaji wa…
DC Kyobya avitaka vyama vya msingi kutumia mizani ya kidigitali
Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, mkoani Morogoro, Danstan Kyobya amewataka viongozi wa vyama vya...
Binti Moza Salum Nassoro mwenye umri wa miaka minane kutoka Kanyenye, Tabora, aliibua hisia na kuvutia mamia ya watu katika maad…
Binti Moza Salum Nassoro mwenye umri wa miaka minane kutoka Kanyenye, Tabora, aliibua hisia na kuvutia mamia ya watu katika maadhimisho ya Siku ya Familia ya Polisi yaliyofanyika kwenye viwanja…
Jeshi la Polisi Mkoa wa Tabora limetoa cheti cha pongezi kwa chombo cha habari Channel Ten kwa kutambua mchango wake mkubwa kati…
Jeshi la Polisi Mkoa wa Tabora limetoa cheti cha pongezi kwa chombo cha habari Channel Ten kwa kutambua mchango wake mkubwa katika mapambano dhidi ya uhalifu na kuimarisha usalama wa…
Tanzanite Queens yaandika rekodi ikifuzu Kombe la Dunia
HATIMAYE Timu ya Soka ya Taifa Wanawake Tanzania chini ya miaka 20, Tanzanite Queens, imefuzu kushiriki Kombe la Dunia, baada ya kuitandika Cameroon mabao 2-0 mechi iliyopigwa leo Mei 10,…
Waziri wa Nishati Deogratius Ndejembi amesema hajaridhishwa na mwenendo wa mkandarasi anayetekeleza Mradi wa Kuzalisha Umeme wa …
Waziri wa Nishati Deogratius Ndejembi amesema hajaridhishwa na mwenendo wa mkandarasi anayetekeleza Mradi wa Kuzalisha Umeme wa Megawati 49.5 katika maporomoko ya maji ya mto Malagarasi kutokana na kuchelewa kwa…