Idara ya DCI Yaapa Kumchukulia Hatua Gachagua kwa Kumhusisha Ruto na Kashfa ya Mafuta
DCI ilitishia kumchukulia hatua aliyekuwa naibu wa rais Rigathi Gachagua kufuatia matamshi yanayomhusisha Rais William Ruto na kashfa ya mafuta ya KSh 4.8 bilioni.
Vyombo vya ulinzi vyatajwa nguzo muhimu ya amani nchini
NAFASI ya vyombo vya ulinzi na usalama inaendelea kuwa mhimili muhimu katika kulinda amani na utulivu wa muda mrefu nchini. Akizungumza na gazeti hili katika mahojiano, Mhadhiri Msaidizi wa Chuo…
Gustavo Rides: Huzuni Gwiji wa Pikipiki Maarufu Akizikwa Wiki Chache Baada ya Ajali Mbaya
Wingu la huzuni lilitanda katika mazishi ya Elvis Juma, maarufu Gustavo Rides, ambaye alihusika katika ajali ya kuogofya ya pikipiki na kupoteza maisha yake.
Yemi Alade ameshindwa kufanya maajabu kama aliyofanya kwa Johnny!
Ni miaka 12 imepita tangu mwimbaji kutokea Nigeria, Yemi Alade, 37, afanye vizuri na wimbo...
“Two wrongs doesn’t make right” umewahi kuusikia msemo huu?
“Two wrongs doesn’t make right” umewahi kuusikia msemo huu? Katika ujenzi wa jamii salama na imara, upendo ndio nyenzo muhimu zaidi na ili upendo uweze kutamalaki ni muhimu kusameheana badala…
Katika ukuaji wa jamii yoyote duniani upendo ni nguzo muhimu ya kufanikisha maendeleo kwenye jamii
Katika ukuaji wa jamii yoyote duniani upendo ni nguzo muhimu ya kufanikisha maendeleo kwenye jamii. Askofu mkuu wa KKKT, Alex Malasusa, ameliwekea hilo mkazo kwa kuisihi jamii kuwa na upendo…
Why Tanzania remains peaceful, stable
DAR ES SALAAM: THE role of security and defence organs is central to maintaining Tanzania’s longstanding peace and stability. In an interview with the ‘Daily News’, an Assistant Lecturer at…
Viongozi wa dini wataka umoja, upendo, maadili, wakemea uovu
VIONGOZI wa dini yaKikristo wamewataka waumini wa dini hiyo na Watanzania kuenzi umoja na kuendelea kushikamana katika upendo na kutumia Sikukuu ya Pasaka kufufua yaliyo mema huku wakipinga matendo maovu.…
Clerics urge embrace of Easter values
ZANZIBAR: RELIGIOUS leaders in Zanzibar have called on Tanzanians to uphold peace, unity and social cohesion, describing them as vital foundations for national stability and development. Delivering his Easter message,…
Arteta awaonya mastaa Arsenal
Baada ya Arsenal kuondoshwa kwenye Kombe la FA, kocha wa timu hiyo, Mikel Arteta, amewaambia...
Zanzibar honours past leaders with prayers
ZANZIBAR: ZANZIBAR President Hussein Mwinyi joined family members, government officials and members of the public in a special prayer session held in memory of the late Ali Hassan Mwinyi. The…
Mbunge wa ODM amwambia Edwin Sifuna Babu Owino anampotosha: “Hautapata heshima”
Mbunge wa Rangwe Lilian Gogo alimkosoa Seneta Edwin Sifuna, akimtaka kutafuta elimu zaidi kwa heshima. Alidai kuwa mbunge Babu Owino anampotosha.
Minister orders review of public pharmacies to improve service
DAR ES SALAAM: MINISTER for Health Mohammed Mchengerwa has directed an immediate review of pharmacies in public health facilities, to strengthen access to medicines and enhance service delivery for citizens.…
Vita ya nusu fainali CAF
Hesabu za kwenda fainali upande wa Ligi ya Mabingwa Afrika sambamba na ile ya Kombe la...
EASTER SERMONS: Unity, peace, messages prevail
DAR ES SALAAM: RELIGIOUS leaders across Tanzania have urged citizens to embrace unity, peace and love as Christians joined the rest of the world to mark Easter, describing the occasion…
Miaka miwili ya maajabu kwa D Voice ndani ya WCB
Kwa sasa D Voice kutokea WCB Wasafi, ni kati ya waimbaji wanaofanya vizuri katika muziki nchini...
Marekani inavyotumia AI katika vita dhidi ya Iran
Katika mahojiano ya kipekee na BBC, Palantir anasema mfumo wa AI Maven ulikuwa na jukumu kubwa kwa jeshi la Merekani katika kubaini maeneo lengwa katika vita dhidi ya Iran. Lakini…
Vita vya Mashariki ya Kati vinaleta ‘hatari kubwa’ kwa bara la Afrika
Katika ripoti iliyochapishwa hivi karibuni, Umoja wa Afrika (AU), Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), na Umoja wa Mataifa wanaelezea wasiwasi wao kuhusu athari kubwa ambayo vita vilivyoanzishwa na Israel…
Potatoes drop, tomatoes and poultry soar
DAR ES SALAAM: DAR ES SALAAM’s wholesale produce markets showed mixed trends in March, with falling prices of key root crops offering some relief amid rising costs of essential foods.…
Barua zilizovuja zahusisha CS Wandayi, Kinyanjui na kashfa ya mafuta ya KSh 4.8
Waziri wa Biashara Lee Kinyanjui na mwenzake wa kawi, Opiyo Wandayi, wanaangaziwa katika kashfa ya mafuta ya KSh 4.8 bilioni. Watahojiwa.........
Easter mood mirrors mixed fortunes at DSE
DAR ES SALAAM: AS the Easter period ushers in reflection and cautious optimism, the capital market reflected a similarly mixed mood, with rising turnover contrasting against weakening equity prices and…
Sudan Kusini: Mamia ya maelfu ya wakimbizi waripotiwa kati ya Januari na Machi 2026
Nchini Sudan Kusini, Umoja wa Mataifa na mashirika ya kibinadamu yanatoa tahadhari kuhusu hali mbaya ya watu waliokimbia makazi yao katika Jimbo la Jonglei. Kulingana na takwimu za hivi karibuni…
Mapitio ya #MAGAZETI leo Aprili 6, 2026 kwenye
Mapitio ya #MAGAZETI leo Aprili 6, 2026 kwenye #MorningTrumpet #utv108 #AzamTVUpdates (Feed generated with FetchRSS)
Ghana: Mjadala kuhusu fidia ya utumwa waibua maoni tofauti
Nchini Ghana, mjadala kuhusu fidia ya utumwa bado ni mkali. Wiki moja baada ya Umoja wa Mataifa kutambua biashara ya utumwa ya kuvuka Atlantiki kama uhalifu mkubwa zaidi dhidi ya…
TRA calls for collaboration in 24-hour fuel depot operations
DAR ES SALAAM: THE Tanzania Revenue Authority (TRA) has urged fuel depot operators to collaborate closely with the authority to ensure depots run 24 hours a day, aiming to maintain…
Morocco kupokea kituo cha kwanza cha mafunzo ya ndege zisizo na rubani cha Marekani barani Afrika
Kwa sababu ya hadhi yake kama mshirika muhimu wa Marekani barani, Morocco imechaguliwa na Washington kwa ajili ya mradi huu, ambao awamu ya majaribio itafanyika wakati wa mazoezi ya kijeshi…
Nyandarua: Kivumbi kutifuliwa Gachagua akiapa kushiriki jukwaa na Ruto wakati wa mazishi ya mbunge
Aliyekuwa DP Rigathi Gachagua ajitayarisha kwa kumkabili Rais William Ruto kwenye mazishi ya mbunge David Kiaraho huko Ol Kalou. Hali tete inahisiwa Nyandarua.
Women urged to take decisive steps towards wealth creation
DAR ES SALAAM: WOMEN have been urged to take deliberate and timely action to build, grow and safeguard their wealth, as part of wider efforts to strengthen financial independence and…
Diamond na staili mpya ya nywele, anakumbusha huku…
Diamond Platnumz ameendelea kuvuma kwa mtindo wake wa kipekee, akiwa na mabadiliko makubwa ya...
Jamhuri ya Afrika ya Kati: Hali ya Kibinadamu inazidi kuwa mbaya katika jimbo la Haut-Mbomou
Wadau wa kibinadamu nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, wana wasiwasi kutokana na mgogoro unaoendelea kusini-mashariki mwa nchi. Eneo la Haut-Mbomou limekuwa eneo la migogoro ya mara kwa mara kwa…
Jinsi vikosi maalum vya jeshi la Marekani hufanya oparesheni ya uokoaji wakati wa vita
Operesheni za kuokoa marubani wa Marekani waliopotea au kuanguka zimekuwa chache katika miongo ya hivi karibuni.
Zaidi ya watu 70 hawajulikani walipo baada ya boti yao kuzama katika Bahari ya Mediterania
Zaidi ya watu 70 hawajulikani walipo baada ya boti ya wahamiaji kuzama katika Bahari ya Mediterania ya Kati, na kusababisha vifo vya watu wawili, mashirika yasiyo ya kiserikali ya Mediterranea…
DRC: Wachimbaji madini 13 wauawa na wapiganaji wa AFC/M23 Kivu Kusini
Mauaji hayo yalitokea Machi 24 katika eneo la uchimbaji madini la Karhembo mashariki mwa DRC, ambapo mashirika ya kiraia ya eneo hilo yanalaani kuanzishwa kwa hali ya ugaidi. Kulingana na…
‘Fahari ya nchi yetu’: Timu ya taifa ya soka ya DRC, Leopards, yapokelea kwa vifijo na nderemo
Mashabiki wa timu ya taifa ya soka ya DRC, Leopards, wameipokea timu yao kwa vifijo na nderemo mjini Kinshasa siku yaJumapili hii, Aprili 5. Timu ya taifa ilifuzu wiki iliyopita…
Sudan: Mamluki wa kigeni wanaisaidia RSF: Chanzo cha kijeshi
Vyanzo vya kijeshi nchini Sudan, vinadai kuwa zaidi ya mamluki wa kigeni 850 wanapigana sambamba na vikosi vya RSF, ripoti inayothibitisha namna utegemezi wa wapiganaji wa makampuni binafsi na makundi…
Wanazuoni waonya ‘mambo ya ovyo’ yanavyofifisha mijadala ya kitaifa
Wakati Tanzania ikipitia kipindi muhimu cha mijadala ya kitaifa, wadau mbalimbali wameibua...
Kauli ‘tata’ za Trump na uhalisia wa vita Iran
Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza ushindi kufuatia kuokolewa kwa rubani wa pili wa ndege ya kivita ya F-15 iliyodunguliwa ndani ya Iran, lakini matukio ya hivi karibuni yanaonyesha picha…
Marekani, Iran na wapatanishi washinikiza kusitisha mapigano kwa siku 45, Axios inaripoti
Wapatanishi wanajadili masharti ya makubaliano ya awamu mbili, ripoti hiyo ilisema,
Iran yaonya madhara makubwa kwa nchi jirani Marekani ikiishambulia zaidi
Kamandi ya jeshi la Iran, imeonya kuwa kutakuwa na madhara zaidi kwa mataifa jirani ikiwa Marekani na Israel zitashambulia miundombinu yake ya nishati na raia. Imechapishwa: 06/04/2026 – 05:31 Dakika…
RDC: Serikali kuwapokea wahamiaji waliofukuzwa kutoka Marekani
Nchi ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, sasa itawapokea wahamiaji kadhaa waliofukuzwa kutoka Marekani, mpango utakotekelezwa chini ya makubaliano mapya kati ya utawala wa Kinshasa na Washington. Imechapishwa: 06/04/2026 –…
Tetesi za Soka Ulaya: Vinicius Junior kutua EPL?
Mshambuliaji wa Real Madrid huenda akauzwa Ligi Kuu England, Manchester United wanatarajia kumuuza kiungo wa Uruguay Ugarte, huku Liverpool wakifikiria dili la kubadilishana wachezaji.
Qalibaf amwambia Trump: Kutii maagizo ya Netanyahu kutawasha moto kwenye kanda nzima
Spika wa Bunge la Iran amejibu vitisho vya hivi karibuni vya Donald Trump, rais gaidi wa Marekani katika ujumbe wake kwenye mtandao wa kijamii wa X akisema tabia yake ya…
Baghaei: Vita vilivyotwishwa Iran vimelenga utambulisho wa Iran
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: Vita vya kulazimishwa vya Wamarekani na Wazayuni dhidi ya Iran vimelenga uwepo na utambulisho wa Kiirani.
Madrid: Hatutadanganywa tena na Marekani; kwa uzoefu wa Iraq, hapana kwa vita ndio njia pekee
Waziri Mkuu wa Uhispania amesisitiza kuwa nchi hiyo haitadanganywa tena na Marekani kuhusu vita dhidi ya Iran.
Maandamano ya kuunga mkono Iran kutoka London hadi Auckland
Maandamano ya kulaani hujuma za kijeshi za Washington na Tel Aviv dhidi ya Iran yangali yanaendelea katika pembe mbalimbali za dunia.
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Aprili 6, 2026
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers... The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania…
Simba mambo magumu, Dabi ya Mzizima ikiisha bila mbabe
Katika Uwanja wa Azam Complex, Chamazi jijini Dar es Salaam ndiko ulikopigwa mchezo wa dabi ya Mzizima iliozikutanisha Azam FC na Simba katika kampeni ya kusaka taji la Ubingwa wa…
Aragchi: Tishio la Trump dhidi ya miundombinu ya nishati Iran ni kukiri uhalifu wa kivita
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa vitisho vya Marekani vya kushambulia miundombinu ya nishati ya Iran ni kukiri wazi nia ya kutenda uhalifu wa kivita.