Aragchi: Tishio la Trump dhidi ya miundombinu ya nishati Iran ni kukiri uhalifu wa kivita
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa vitisho vya Marekani vya kushambulia miundombinu ya nishati ya Iran ni kukiri wazi nia ya kutenda uhalifu wa kivita.
MZIZIMA DERBY: Nyota wa mchezo Aishi Salum Manula akieleza namna mchezo ulivyokuwa
MZIZIMA DERBY: Nyota wa mchezo Aishi Salum Manula akieleza namna mchezo ulivyokuwa... FT: Azam FC 0-0 Simba SC Imeandaliwa na @rajjmsangi #MzizimaDerby (Feed generated with FetchRSS)
MZIZIMA DERBY: ”Simba walikuwa bora mwanzo kutuzidi”, Kocha wa Azam FC, Florent Ibenge akizungumzia dakika 90 za mchezo ulioma…
MZIZIMA DERBY: ''Simba walikuwa bora mwanzo kutuzidi'', Kocha wa Azam FC, Florent Ibenge akizungumzia dakika 90 za mchezo uliomalizika dhidi ya Simba SC katika Dimba la Azam Complex. Amesema licha…
Waziri wa Kilimo, Daniel Chongolo ametangaza neema kwa wakulima wa Idofi, Wilaya ya Makambako ambapo Serikali itatekeleza mradi …
Waziri wa Kilimo, Daniel Chongolo ametangaza neema kwa wakulima wa Idofi, Wilaya ya Makambako ambapo Serikali itatekeleza mradi mkubwa wa umwagiliaji utakaohusisha zaidi ya ekari 1.300. Amesema Serikali kupitia Tume…
Umeyapokea je matokeo ya leo??
Umeyapokea je matokeo ya leo?? (Feed generated with FetchRSS)
Pesa za mke zinaweza kuvunja ndoa
Fikiria hali hii: mke anapata mshahara mkubwa kuliko mume. Je, hiyo ni baraka kwa familia au...
Fanya haya ukikutana na mwenza ‘uliyemmis’
Dakika chache za mwanzo mnapokutana na mwenza wako baada ya kutengana kwa muda, hata kama si...
TRA United yaitibulia Singida, yavunja benchi la ufundi
MUDA mchache baada ya leo Aprili 5, 2026 Singida Black Stars kupokea kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa TRA United katika mechi ya Ligi Kuu Bara, Walima Alizeti hao wamevunja…
Saudia adopts Google Find Hub for luggage recovery
Jeddah: Saudia, the national flag carrier of Saudi Arabia, has introduced Google’s Find Hub share item location feature to support the recovery of lost or delayed baggage, offering guests an…
Tanzania Prisons yagoma kushuka daraja
PAMOJA na Tanzania Prisons kushika nafasi ya pili kutoka mkiani katika msimamo wa Ligi Kuu Bara ikiwa na pointi 13, nyota wa timu hiyo, bado wana imani ya kusalia msimu…
Magwiji Ligi Kuu Bara wampigia saluti Fei Toto
ALICHOKIFANYA kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum 'Fei Toto' msimu wa 2023-2024 na 2024-2025 na muendelezo wake msimu huu, kimewaibua baadhi ya mastaa wa zamani kuona anaweza akaandika rekodi…
Mali zinavyowatoa roho wanandoa
Kuna visa vinavyozidi kuongezeka ambapo wanandoa hutoana roho kisa mali. Japo tutakachojadili...
Kigogo Mbeya City ashusha presha, asisitiza jambo
ACHANA na matokeo ya ushindi wa 3-2 waliopupata Mbeya City dhidi ya KMC, uongozi wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya umesema timu hiyo itarejesha makali yake licha ya kutoanza vyema…
Dodoma Jiji yaishtukia Simba, yatamba kupindua meza
BAADA ya kufanya kweli katika mchezo uliopita, Dodoma Jiji imesema kwa sasa inafikiria jinsi ya kuvuka mtego dhidi ya Simba ili kujitabiria makubwa na historia mpya katika Kombe la Shirikisho…
Mbeya Jiji yaanza tambo Shimisemita
ZAIDI ya wanamichezo 5000 wanatarajia kukutana jijini Mbeya kwa ajili ya kushiriki michuamo ya Shirikisho la Michezo kwa Serikali za Mitaa Tanzania (Shimisemita) itakayoanza Agosti 15 hadi 29 mwaka huu,…
Malipo ya wanafunzi uzinduzi wa Mwenge yazua malalamiko, Serikali yafafanua
Fedha za malipo kwa wanafunzi wa halaiki walioshiriki uzinduzi wa mbio za Mwenge wa Uhuru...
Jeshi la polisi Mkoa wa Morogoro limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa watatu wa waliohusika na mauaji katika Wilaya za Malinyi, Ki…
Jeshi la polisi Mkoa wa Morogoro limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa watatu wa waliohusika na mauaji katika Wilaya za Malinyi, Kilombero na Kilosa Mkoani Morogoro. Akithibitisha kutokea kwa Matukio hayo Kamanda wa…
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) kupitia Idara ya upelelezi wa kodi kanda ya nyanda za juu kusini, Imewafikisha mahakamani Watu …
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) kupitia Idara ya upelelezi wa kodi kanda ya nyanda za juu kusini, Imewafikisha mahakamani Watu wawili kwa tuhuma za kukiuka sheria za ushuru wa bidhaa…
Simulizi soko la Simu 2000 lilivyoteketea, laacha vilio
Ilianza kama siku nyingine za kawaida katika soko la Simu 2000 jijini Dar es Salaam, kelele za...
Iran yaripoti kuangusha ndege za kivita za Marekani aina ya C- 130
Iran imesema imeangusha ndege mbili za kivita za Marekani, aina ya C-130 na helikopta mbili katika angaa lake, wakati huu vita vikiendelea. Imechapishwa: 05/04/2026 – 15:41Imehaririwa: 05/04/2026 – 15:48 Dakika…
Papa Leo ayataka mataifa yalioanzisha vita kuchagua amani
Wakiristo kote duniani, wanaadhimisha sikukuu ya Pasaka, kukumbuka kusulubiwa, kufa na kufufuka kwa Mwokozi wao Yesu Kristo, wakati huu dunia ikishuhudia vita kwenye nchi za Mashariki ya Kati. Imechapishwa: 05/04/2026…
Hyatt Regency Dar yaendelea kuimarisha usalama wa chakula, yapata cheti cha HACCP
Katika jitihada za kulinda afya ya umma na kuinua viwango vya usalama wa chakula, sekta ya...
Black Sailors bado tisa tu, kuhitimisha safari
KUANZIA sasa, Black Sailors inahitaji pointi tisa tu ili msimu ujao ishiriki Ligi Kuu Zanzibar (ZPLB) baada ya msimu huu kuwa na mwendo mzuri katika Ligi Daraja la Kwanza Kanda…
Sita zatangulia robo fainali FA Cup Pemba
CHIPUKIZI, Mwenge, Wawi Stars, Azimio, Machomane na Chakechake, zimefuzu robo fainali ya Kombe la FA Kanda ya Pemba, baada ya kufanya vizuri hatua ya 16 bora.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Rukwa limewakamata watuhumiwa 25 kwa tuhuma za kuhusika katika tukio la mauaji ya Henry Shubati Myuwanga…
Jeshi la Polisi Mkoa wa Rukwa limewakamata watuhumiwa 25 kwa tuhuma za kuhusika katika tukio la mauaji ya Henry Shubati Myuwanga ambaye ni Mwalimu wa Shule ya Msingi Wema Mkoani…
MANSOUR VARDY: Kejeli za mashabiki zinanikosesha utulivu
KINARA wa mabao Ligi Daraja la Kwanza Kanda ya Unguja, kutoka Black Sailors, Mansour Omar Kombo 'Vardy' amesema presha ya mashabiki ndiyo sababu kubwa inayomfanya ashindwe kutupia mabao kwenye mechi…
Hofu wanawake kushiriki Kabaddi Zanzibar
LICHA ya timu ya Taifa ya Kabaddi Wanawake Zanzibar kushiriki mashindano ya kimataifa yaliyofanyika Bangladesh na India kutwaa taji hilo kwa msimu wa pili mfululizo, lakini bado wanawake kisiwani hapa…
Watano wafariki dunia katika matukio matatu tofauti
Watu watano wamefariki dunia katika matukio matatu tofauti yaliyotokea jana na leo, Aprili 5...
Watoto zaidi ya 500 wanaolelewa katika vituo na makao yaliyopo mkoani Dar es Salaam wamepewa mahitaji muhimu kwa ajili ya kusher…
Watoto zaidi ya 500 wanaolelewa katika vituo na makao yaliyopo mkoani Dar es Salaam wamepewa mahitaji muhimu kwa ajili ya kusherehekea Sikukuu ya Pasaka. Akikabidhi mahitaji hayo kwa viongozi waliowakilisha…
Empowering educators: Rotary Club of Dar es Salaam supports seminar on inclusive learning practices
DAR ES SALAAM: AS part of its ongoing commitment to strengthening quality education and empowering educators within the communities, Rotary Club of Dar es Salaam through its Gift of Education…
#HABARI: Katika kuendeleza Ushirikiano kati ya Tanzania, Zambia na China ulioanzishwa na viongozi wa nchi hizo, akiwemo Rais wa …
#HABARI: Katika kuendeleza Ushirikiano kati ya Tanzania, Zambia na China ulioanzishwa na viongozi wa nchi hizo, akiwemo Rais wa Awamu ya Kwanza na Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere,…
#HABARI: Kufuatia sintofahamu inayoendelea katika maeneo mbalimbali nchini juu ya baadhi ya wanaume kudai kushikwa bega na kuchu…
#HABARI: Kufuatia sintofahamu inayoendelea katika maeneo mbalimbali nchini juu ya baadhi ya wanaume kudai kushikwa bega na kuchukuliwa nyeti zao kwa mazingira tatanishi, matukio ambayo yanahusishwa na imani za kishirikina,…
WHO yaboresha miongozo ya matibabu ya uraibu wa dawa za kupunguza maumivu
Dawa hizo ni pamoja na morphine, fentanyl na tramadol Hutumika kupunguza maumivu lakini wengine hugeuza za kulevya Matumizi kupindukia husababisha vifo na magonjwa Mapendekezo ni pamoja na kila aliyeathirika vibaya…
Mtumiaji wa Jamiiforums afungua kesi kupinga TCRA kuifungia siku 90
Uamuzi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kusitisha leseni ya mtandao wa Jamiiforums kwa...
Viongozi wa dini waonya uchu wa madaraka
Viongozi wa dini nchini wametoa mahubiri ya Pasaka wakitaka ukweli, haki, amani na umoja.
Dar City yapongezwa kufuzu mtoano BAL
SERIKALI ya Tanzania imeipongeza timu ya Dar City kwa kuweka historia ya kufuzu hatua ya nane bora (mtoano) ya mashindano ya mpira wa kikapu ya Africa (Basketball Africa League).
Tausi FC wala haiwazi ubingwa, mipango ni hii
TAUSI FC imemtambulisha Baraka Kilasi kama moja ya makocha watakaounda benchi la ufundi akiungana na makocha wengine Wajerumani wawili ambao ni Paul Gomez na Martin.
Ceasiaa Queens yaanza tambo WPL, mjipange
KOCHA wa Ceasiaa Queens, Ezekiel Chobanka amesema ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Geita Queens umetokana na mabadiliko makubwa ya kiufundi na kisaikolojia kwa wachezaji wake.
Mukandayisenga aiwinda rekodi ya Masaka WPL
HADI raundi ya 12 mshambuliaji wa Yanga Princess, Jeaninne Mukandayisenga anaongoza kwenye msimamo wa wafungaji akiwa na mabao 18, huku akiacha maswali kama ataivunja rekodi ya Aisha Masaka
Serikali yaweka mkakati kukabili changamoto ya upatikanaji wa dawa
Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa, ametangaza mkakati mpya wa Serikali wa kuanzisha mfumo wa...
#HABARI: Mvua zinazoendelea kunyesha zimesababisha Ziwa Nyasa, kufurika na maji kufunika gati la Bandari ya Mbambabay, hatua ili…
#HABARI: Mvua zinazoendelea kunyesha zimesababisha Ziwa Nyasa, kufurika na maji kufunika gati la Bandari ya Mbambabay, hatua iliyosababisha meli kushindwa kutia nanga na hivyo safari za meli za ndani na…
Corazone: Wapinzani wanatupa mechi ngumu WPL
KIUNGO wa Simba Queens, Vivian Corazone amesema hakuna mechi rahisi kwenye ligi hiyo kwani kila timu inapambana zaidi inapokutana nayo.
🔴TAMASHA LA MICHEZO: MASHINDANO YA TAIFA YA KUOGELEA…APRILI 5, 2026
🔴TAMASHA LA MICHEZO: MASHINDANO YA TAIFA YA KUOGELEA...APRILI 5, 2026 (Feed generated with FetchRSS)
#HABARI: Serikali mkoani Kigoma kwa kushirikiana na wadau wa afya imeanza kutoa huduma ya matibabu ya macho bure kwa wananchi mk…
#HABARI: Serikali mkoani Kigoma kwa kushirikiana na wadau wa afya imeanza kutoa huduma ya matibabu ya macho bure kwa wananchi mkoani humo, itakayoenda sambamba na upasuaji wa mtoto wa jicho,…
Jinsi rubani wa Marekani aliyetoweka Iran alivyookolewa
Marekani imemuokoa rubani wa pili aliyepotea baada ya ndege ya kivita ya nchi hiyo kudunguliwa kusini mwa Iran.
Trump asema rubani wa Marekani aliyetoweka kwenye ndege iliyodunguliwa Iran ameokolewa
Kulikuwa na ‘‘makabiliano’’ kati ya vikosi vya Marekani na Iran wakati wa uperesheni ya uokoaji wa rubani huo.
Referee woes, chaos: The curious case of Tanzania’s most unloved persons in football
DAR ES SALAAM: ON any given weekend, in any given Tanzanian football ground, between the first whistle and the final insult hurled from the terraces, there is a drama. The…
Marekani ilivyomwokoa mwanajeshi wake ndani ya ardhi ya Iran
Operesheni hiyo tata ilihusisha mamia ya wanajeshi maalumu pamoja na makumi ya ndege za kivita...