Serikali yawabana wauzaji holela wa miwani za urembo
Wakati ongezeko la wauzaji wa miwani ya urembo na fremu likishika kasi mitandaoni, Wizara ya...
Mahakama Kuu yaamuru kuhesabiwa tena kwa kura kiasi za uchaguzi mdogo Mbeere Kaskazini
Mahakama Kuu imeamuru kuhesabiwa upya kura kiasi katika uchaguzi mdogo wa Mbeere Kaskazini huku chama cha UDA kikikabiliwa na hofu ya kushindwa katika kesi hiyo.
Wajasiriamali kunufaika na teknolojia ya barcode za 2D
Wajasiriamali nchini Tanzania, wamehimizwa kutumia fursa ya kusajili bidhaa zao kupitia QR code...
#HABARI: Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), imetoa msaada wa mashine mbili za kisasa kwa ajili ya kutoa joto k…
#HABARI: Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), imetoa msaada wa mashine mbili za kisasa kwa ajili ya kutoa joto kwa Watoto Njiti katika hospitali ya rufaa ya mkoa…
Bien anavyopewa heshima katika Bongofleva!
Mwimbaji wa zamani wa kundi la Sauti Sol kutokea Kenya, Bien (38), anaendelea kupata heshima...
New York Times: Iran ndiyo nchi iliyofanikiwa zaidi kudhibiti nguvu za kijeshi za Marekani tangu Vita vya Pili vya Dunia
Chombo cha habari cha Marekani kimetangaza kwamba Iran ndiyo kikwazo kikubwa zaidi kwa nguvu za kijeshi za Marekani tangu baada ya Vita vya Pili vya Dunia.
Magazeti ya Kenya: Oburu Oginga atoa kauli nzito kuhusu muungano na UDA, aweka masharti makali
Seneta wa Siaya Oburu Oginga ametoa msimamo mkali huku Chama cha Orange Democratic Movement (ODM) kikiingia katika mazungumzo ya awali na UDA kwa kura ya 2027.
Dar City yaanza kwa kishindo Ligi ya kikapu Afrika
Dalili za Dar City kutamba kwenye mchezo huo, zilionekana mapema katika robo ya kwanza ambapo...
Taifa Stars yaporomoka viwango vya ubora FIFA
Taifa Stars haijapata ushindi chini ya Miguel Gamondi ambapo imepoteza mechi nne na kutoka sare...
Usher afunguka kuzichapa na Justin Bieber!
Hatua hiyo imekuja baada ya wiki iliyopita TMZ kuripoti kwamba wawili hao waliingia katika...
Mauaji ya Thiaroye: Ufaransa yahukumiwa kwa kuficha mazingira ya kifo cha askari wa Kiafrika
Huu ni uamuzi wa kihistiria wa Mahakama ya Utawala ya Paris siku ya Ijumaa, Machi 27. Zaidi ya miaka 80 baada ya mauaji ya Thiaroye, Mahakama ya Ufaransa imeihukumu Ufaransa…
Hapa ndipo atakapozikwa Lukuvi, Dk Mwigulu kuongoza maziko
Maziko ya Lukuvi yatafanyika Machi 31, 2026, katika Kijiji cha Idodi, Wilaya ya Iringa, na...
NTSA yaondoa mfumo wa faini za papo hapo wiki baada ya kuzinduliwa kwa mbwembwe
NTSA imeondoa mfumo wa faini za papo hapo wiki mbili tu baada ya kuzinduliwa, ikitaja kutoelewa kwa umma. NTSA inalenga kuongeza uelewa kuhusu adhabu za barabarani.
Vita vya Marekani, Israel na Iran: Jinsi nchi za Afrika zinavyopambana na uhaba wa mafuta
Kuendelea kwa Iran kuzuia meli katika Mlango-Bahari wa Hormuz kumevuruga usambazaji wa mafuta, na akiba ya nchi nyingi za Afrika iko hatarini kuisha ifikapo katikati ya Aprili.
Boti iliyokuwa imebeba wahamiaji zaidi ya 320 yazama nje ya pwani ya Djibouti
Janga hilo, lililotokea usiku wa Jumanne, Machi 24, kuamkai Jumatano, Machi 25, limesababisha vifo vya watu wasiopungua tisa na 45 hawajulikani walipo, kulingana na ripoti kutoka Shirika la Kimataifa la…
Wanajeshi wa Marekani wajeruhiwa Saudi Arabia baada ya shambulio la Iran
Vyombo vya habari vya Marekani vinaripoti kuwa wanajeshi hao walijeruhiwa katika shambulio la Iran lililohusisha angalau kombora moja pamoja na ndege zisizo na rubani (drones).
DRC: Kurekebisha Katiba ‘kunaweza kuhatarisa hali ya usalama,’ Kanisa Katoliki laonya
Kadri uwezekano wa mageuzi ya katiba unavyojitokeza mara kwa mara katika mjadala nchini DRC, Baraza Kuu la Maaskofu nchini DRC (CENCO) linarudia onyo lake kuhusu mada hiyo. “Kuelekea upande huo,…
Edwin Sifuna asema hatafanya kazi na Oburu Oginga: “Tafuta SG wako”
Edwin Sifuna amepuuza uongozi wa Oburu Oginga katika ODM, akiuita Mkutano Maalum wa Wajumbe uliofanyika Ijumaa, Machi 27, 2026 kuwa kinyume cha sheria
Marekani inatarajia mwisho wa operesheni nchini Iran ‘ndani ya wiki mbili’
Katika siku ya 28 ya vita katika Mashariki ya Kati, mashambulizi yanaendelea katika eneo lote. Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio ambaye yuko nchini Ufaransa kwa mkutano…
Safari ya Nanga kutoka hotelini hadi uchekeshaji
Victor Happymaki Victor ndilo jina halisi la Nanga, mchekeshaji maarufu nchini anayesumbua...
Msasi: Dawa hutawanywa kulingana na ngazi ya matibabu-2
Mfamasia Mkuu wa Serikali, Daudi Msasi anasema mwongozo wa matibabu unapanga aina ya dawa...
Mamlaka ya Mawasiliano yaruhusiwa kufuta leseni za KTN, Radio Maisha
Mahakama ya Rufaa ya Mawasiliano na Multimedia ilitupilia mbali rufaa ya Standard Media Group PLC, na hivyo kufungua njia ya kufuta leseni zake za utangazaji.
Idadi ya vifo kutokana na mafuriko yaongezeka hadi 103 huku watu wengine 15 wakiuawa
Mafuriko katika maeneo mengi nchini Kenya yamesababisha vifo vya watu wengine 15, na kusababisha vifo vya watu 103, Idara ya Polisi nchini Kenya (NPS) imeripoti Ijumaa. Imechapishwa: 28/03/2026 – 05:51…
Wajasiriamali wanaofanya biashara zao katika eneo la ufukwe wa Coco Dar es Salaam wameiomba serikali kuangalia upya uamuzi wa ku…
Wajasiriamali wanaofanya biashara zao katika eneo la ufukwe wa Coco Dar es Salaam wameiomba serikali kuangalia upya uamuzi wa kuwataka aondoke katika eneo hilo ndani ya siku 30. Sheila Mkumba…
Tetesi za soka Ulaya: Arsenal, City, United na Chelsea zamgombea Anderson
Arsenal wanachunguza uwezekano wa kumsajili Elliot Anderson, vilabu kadhaa vya Ligi Kuu vinawania saini ya Aurelien Tchouameni, Manchester United wanamwania Adam Wharton.
Mwili wa aliyekuwa Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Watu Wenye Ulemavu, William Lukuvi unatarajiwa ku…
Mwili wa aliyekuwa Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Watu Wenye Ulemavu, William Lukuvi unatarajiwa kuagwa katika ukumbi wa Karimjee jijiini Dar es Salaam Jumamosi…
Kutoka urembo hadi siasa: Safari ya Dorcas Francis isiyoyumba
Wakati wengi wakiamini tasnia ya urembo ni lango la umaarufu na mitindo pekee, kwa Dorcas...
Jeshi la Yemen latangaza utayari wa kujiunga na Iran kupambana na maadui
Jeshi la Yemen limetangaza kuwa liko tayari kuingilia moja kwa moja kijeshi iwapo pande nyingine zitaungana na Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Mhimili wa…
Machi 27 kila mwaka Dunia huadhimisha ‘Siku ya Sanaa za Maonesho Jukwaani’ huku simulizi, utamaduni na mabadiliko katika jamii v…
Machi 27 kila mwaka Dunia huadhimisha 'Siku ya Sanaa za Maonesho Jukwaani' huku simulizi, utamaduni na mabadiliko katika jamii vikitajwa kuathiri maonesho ya jukwaani. Wadau wa sanaa nchini nao wamezugumzia…
Baraza la Haki za Binadamu la UN lalaani kwa kauli moja shambulio la Marekani na Israel dhidi ya shule Minab, Iran
Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa (UNHRC) limelaani shambulio la Marekani na Israel dhidi ya Shule ya Shajareh Tayyebeh katika mji wa Minab, kusini mwa Iran, ambapo…
Kufuatia ukosefu wa njia rasmi ya kuwasaidia wananchi wanaoishi karibu na Shule ya Sekondari Kayanga wilayani Karagwe kuzifikia …
Kufuatia ukosefu wa njia rasmi ya kuwasaidia wananchi wanaoishi karibu na Shule ya Sekondari Kayanga wilayani Karagwe kuzifikia huduma muhimu za kijamii, kaya zaidi ya 60 zimeanzisha utaratibu wa kutenga…
Araghchi: Mauaji ya wanafunzi katika Shule ya Minab ni sehemu ndogo tu ya uhalifu wa Marekani na Israel
Waziri wa mambo ya nje wa Iran amesema mauaji ya wanafunzi katika Shule ya Minab yaliyotekelezwa na Marekani na Israel ni “sehemu ndogo tu ,” ya uhalifu wa kivita unaofanywa…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Machi 28, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers... The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania…
#FIFASeries Wenyeji wameanzia kwenye ‘4G’, mbele ya ‘Prezidaa’ wao, Paul Kagame
#FIFASeries Wenyeji wameanzia kwenye ‘4G’, mbele ya 'Prezidaa' wao, Paul Kagame. FT: Rwanda 4-0 Grenada Jumapili ni Tanzania vs Macau LIVE #AzamSports1HD. #FIFASeries2026 #FIFASeries #FIFASeriesRwanda #Rwanda #Grenada #RwandaGrenada (Feed generated…
90’ | #FIFASeries
90’ | #FIFASeries Rwanda 4-0 Grenada Iko LIVE #AzamSports1HD. #FIFASeries2026 #FIFASeries #FIFASeriesRwanda #Rwanda #Grenada #RwandaGrenada (Feed generated with FetchRSS)
Madaktari 30 raia wa China kutoa huduma za afya bure Ubungo
DAR ES SALAAM: Madaktari 30 kutoka China wanatarajiwa kuendesha kambi maalum ya siku mbili ya kutoa huduma za afya bure kwa wananchi wa Wilaya ya Ubungo, jijini Dar es Salaam.…
75’ | #FIFASeries
75’ | #FIFASeries Rwanda 3-0 Grenada Iko LIVE #AzamSports1HD. #FIFASeries2026 #FIFASeries #FIFASeriesRwanda #Rwanda #Grenada #RwandaGrenada (Feed generated with FetchRSS)
Baadhi ya wadau wa sekta binafsi nchini wameonesha wasiwasi kuhusu utekelezaji wa mpango rasimu ya awamu ya pili ya mpango wa ku…
Baadhi ya wadau wa sekta binafsi nchini wameonesha wasiwasi kuhusu utekelezaji wa mpango rasimu ya awamu ya pili ya mpango wa kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji yaani MKUMBI. Joseph…
TET, taasisi kuboresha mitaala wanafunzi wenye mahitaji maalumu
DAR ES SALAAM: TAASISI ya Elimu Tanzania (TET) kwa kushirikiana na Jenga Hub chini ya Miss Tanzania 2006, Nancy Sumari, imeanza maboresho ya maudhui ya mitaala ya somo la hesabu…
Mbio zatoa hamasa AFCON 2027
ARUSHA: Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Yusuph Singo, ameipongeza Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa…
MZIZIMA DERBY: “…hajawahi kufurukuta…tunahitaji kumpiga hata mara tano”
MZIZIMA DERBY: “…hajawahi kufurukuta…tunahitaji kumpiga hata mara tano”. Mashabiki wa Azam FC wanasema mechi yon a Simba wameishamaliza…., wanasema Simba kwao ni kama muembe wa nyumbani…., wanasema wanamuamini kocha wao…
MZIZIMA DERBY: “…tarehe 5 hatuna msamaha…sasa tuna watu….walitufanya kitu mbaya wakati timu yetu mbovu”
MZIZIMA DERBY: “…tarehe 5 hatuna msamaha…sasa tuna watu….walitufanya kitu mbaya wakati timu yetu mbovu”. Cheche za mashabiki wa Simba kuelekea Dabi ya Mzizima dhidi ya Azam FC, Aprili 5; Wenyewe…
‘Maadili ni msingi uongozi bora’
MOROGORO: OFISI ya Rais ,Sekretarieti ya Maasili ya viongozi wa Umma imewataka viongozi kuzingatia misingi ya maadili kwenye utumishi wao kwani huimarisha imani ya wananchi kwa Serikali na taasisi zake…
Filamu yaibua mjadala haki za waafrika
KAMPUNI za Afric Media Group na Genesis Entertainment Agency kutoka Cameroon zimefanya leo onesho la makala fupi iitwayo Universal Justice Without Universality, inayolenga kuangazia masuala ya haki za kimahakama barani…
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET), Dkt Aneth Komba amefunga rasmi kikao kazi cha siku tatu cha kuandaa maudhui …
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET), Dkt Aneth Komba amefunga rasmi kikao kazi cha siku tatu cha kuandaa maudhui ya Kuhesabu katika “Kalimani App” kwa kutumia mtaala ulioboreshwa…
Mwanaume mmoja mkazi wa Kijiji cha Imalanguzu Mkoa wa Tabora, Bunzali Jidola (30), anadaiwa kumuua mtoto wake mchanga wa miezi m…
Mwanaume mmoja mkazi wa Kijiji cha Imalanguzu Mkoa wa Tabora, Bunzali Jidola (30), anadaiwa kumuua mtoto wake mchanga wa miezi miwili kwa kumchinja na kitu chenye ncha kali. Aidha, mwanaume…