Iran yaiomba FIFA kuruhusu vitambaa vyeusi vya mkononi katika mechi na Misri sambamba na Ashura
Shirikisho la Soka la Iran limeomba rasmi ruhusa ya FIFA kwa wachezaji wa timu yake ya taifa kuvaa vitambaa vyeusi mikononi wakati wa mechi yao ijayo ya Kombe la Dunia…
HRW: Rwanda na M23 zinawaajiri watu kwa lazima kwenye vikosi vyao
Shirika la kimataifa la haki za binadamu la Human Rights Watch inawashutumu waasi wa M23 na jeshi la Rwanda kwa kulazimisha watu wengi kuajiriwa jeshini, kunyongwa, na vifo katika kambi…
DRC: HRW yaishutumu Rwanda na AFC/M23 kwa unyanyasaji mwingi katika kambi mbili Kivu Kaskazini
Katika ripoti iliyochapishwa leo Jumatano, Juni 10, shirika la kimataifa la Haki za Binadamu la Human Right Watch linabaini kwamba Kigali na kundi AFC/M23 wamejihusisha na vitendo vilivyoainishwa kama uhalifu…
Hamas yaonya kuhusu ongezeko la ubomoaji wa majengo Ukingo wa Magharibi, yataka hatua za kimataifa zichukuliwe dhidi ya Israel
Harakati ya Hamas imeonya kuhusu ongezeko la shughuli za ubomoaji wa nyumba na majengo ya Wapalestina unaofanywa na Israel katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu, ikiwa ni pamoja na…
Mashambulizi kati ya Marekani na Iran yashika kasi baada ya helikopta ya doria ya Marekani kudunguliwa kwenye Mlango bahari wa Hormuz
Marekani na Iran zimeshambuliana baada ya Marekani kutishia kulipiza kisasi kufuatia kudunguliwa kwa helikopta ya kijeshi ya Marekani juu ya Mlango wa Hormuz siku ya Jumatatu.
Shughuli ya kumuaga Imam Khamenei kufanyika baada ya siku kumi za kwanza za Muharram
Makao makuu ya taasisi yanayosimamia shughuli za kumuenzi shahidi Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, yametangaza kuwa shughuli ya kumuaga na mazishi ya Shahidi huyo yatafanyika baada…
Aliyekuwa wakili wa Ruto ICC Karim Khan asimamishwa kazi kwa madai ya utovu wa nidhamu wa kingono
Mwendesha mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai, Karim Khan amesimamishwa kazi kufuatia madai ya unyanyasaji wa kingono. anasubiri kujua hatma yake.
Uganda: Kizza Besigye apinga kuwekwa kizuizini katika kesi ya uhaini inayomkabili
Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye, amewasilisha ombi mahakamani akitaka kutolewe uamuzi wa kusimamisha kuendelea kushikiliwa kizuizini na kufunguliwa mashtaka.
Spika wa Bunge la Lebanon ataka kuondoka Israel nchini humo huku Hizbullah ikifichua madai ya uwongo ya Trump
Spika wa Bunge la Lebanon amesema kuwa nchi hiyo haitakubali chochote isipokuwa usitishaji vita kamili na usio na masharti kwa upande wa ardhini, anga na baharini, na kusisitiza msimamo thabiti…
Kenya: Mtu mmoja auawa katika maandamano ya kupinga kituo cha Ebola
Nchini Kenya, mtu mmoja ameuawa baada ya kupigwa risasi na polisi, wakati wa maandamano yaliyofanyika siku ya Jumanne katika mji wa Nanyuki, baada ya wenyeji kujitokeza kupinga kujengwa kwa kituo…
Marekani yatekeleza mashambulio Iran baada ya helikopta yake kuangushwa
Wanajeshi wa Marekani wametekeleza mashambulio nchini Iran, baada ya rais Donald Trump kuishtumu nchi hiyo kwa kuiangusha helikopta ya kivita ya Marekani, iliyokuwa inapaa juu ya angaa katika eneo la…
Waridi wa BBC: ‘Kunyimwa haki ya kulea mwanangu, haikuzima shauku yangu kuwa muongoza watalii’
'Maisha yangu yalibadilika baada ya kupata mtoto nikiwa bado sijamaliza elimu yangu ya sekondari'.
Aliyenusurika ajali ya salama akumbuka maneno ya mwisho aliyotamka rafiki yake kabla ya kufariki
Manusura Stanley Mutisya alisimulia matukio ya kuhuzunisha ya ajali ya barabarani ya Salama, akisimulia kufiwa na marafiki na hisia kali za usiku huo wa kuhuzunisha.
Jinsi uvumbuzi wa Iran ulivyoleta ustaarabu duniani
Ufalme wa Uajemi (Persian Empire) ndicho chanzo cha mawazo mengi yanayoonekana leo katika ulimwengu wa Magharibi, amesema Profesa Jose Cutillas, ambaye amesoma na kufundisha nchini Iran.
Je, Tanzania inaweza kuwa mzalishaji mkubwa wa urani duniani?
adi Mei 205 Tanzania ina hifadhi ya takribani tani 58,500 za urani ambazo tayari zimethibitishwa, huku tafiti zaidi zikiendelea.
Tanzania lauds WFP disaster support, Manyara elders push road upgrades
DAR ES SALAAM: The government has commended the United Nations World Food Programme (WFP) for its continued support in strengthening disaster management systems, as authorities step up efforts to improve…
Tanzania steps up AFCON 2027 preparations as senior officials review readiness
DAR ES SALAAM: Momentum is building across Tanzania as the government intensifies preparations for the Africa Cup of Nations (AFCON) 2027, which will be jointly hosted by Tanzania, Uganda and…
Singapore First Lady tours Dar cotton factory, lauds textile innovation
DAR ES SALAAM: FROM handwoven cotton threads to finished garments destined for international shelves, the Msasani handmade cotton clothing production centre in Dar es Salaam offered the First Lady of…
Orodha ya mastaa wakubwa wanaotazamiwa kutikisa anga za Kombe la Dunia 2026
Kombe la Dunia 2026 litarajiwa kuonyesha magwiji kama Messi na Ronaldo pamoja na vipaji vipya kama Lamine Yamal, katika mashindano yenye ahadi kubwa ya soka.
Bed net coverage falls short of target as Tanzania pushes for malaria elimination
DAR ES SALAAM: A newly published study has found that rural Tanzania is still falling short of its insecticide treated bed net targets, with both ownership and usage remaining below…
Samia ataja maeneo matano ya kipaumbele, Rais wa Singapore asema…
Kupitia kongamano hilo, Rais Samia amewaalika wawekezaji wa Singapore kutumia fursa zilizopo...
Mwongozo mpya kusaidia waishio maeneo ya migodi wazinduliwa
Kutokana na changamoto zinazoendelea kuwakabilia wananchi wanaoishi maeneo ya uchimbaji madini,...
Mpango wa miaka mitano ulivyoiimarisha NMB
Utekelezaji wa Mpango wa Muda wa Kati wa Benki ya NMB wa mwaka 2021 hadi 2025 umeiwezesha...
Je, KSh 18,000 Ni Haki au Dhihaka Ukweli Mzito Kuhusu Maisha ya Wajakazi Kenya
Kwa miaka mingi, wajakazi wa nchini Kenya wamekuwa miongoni mwa wafanyakazi wanaolipwa mishahara ya chini sana ilhali wanapitia changamoto chungu nzima kazini
Singapore investors seek bigger footprint in Tanzania
DAR ES SALAAM: Fifteen Singaporean companies have landed in the country, marking a coordinated push to turn decades of strong diplomatic ties into major trade and investment deals across the…
Arusha yaweka mkakati kuwaondoa watoto wanaoishi na kufanya kazi mitaani
Mkoa wa Arusha umeanza utekelezaji wa mpango wa kuwaondoa watoto 750 wanaoishi na kufanya kazi...
Serikali yaweka mikakati kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza
Wizara na taasisi mbalimbali za Serikali zimeungana kuandaa mikakati ya pamoja ya kukabiliana...
Wanafunzi 373 Karatu wanufaika na mradi wa vyoo wa Sh102 milioni
Wanafunzi 373 wa Shule ya Msingi Kambi ya Faru, Kata ya Kansay wilayani Karatu, wamenufaika na...
Rigathi Gachagua asitisha mikutano yake yote ya kisiasa, atangaza mara moja hatua anayochukua
Naibu Rais wa zamani Rigathi Gachagua amesimamisha mikutano ya kisiasa na atatumia siku 45 Wamunyoro akishauriana kuhusu mkakati wa upinzani kwa mwaka 2027.
Mchengerwa atoa mwongozo utoshelevu wa dawa, chanjo, vifaa tiba
Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa amewataka watafiti na wadau wa sekta ya afya nchini kuweka...
Mavunde: Sheria zilichelewesha Tanzania kuvuna sekta ya madini
Mavunde amesema sekta ya madini imeendelea kuimarika kiuchumi, ikichangia asilimia 11 ya Pato...
Kero ya foleni Mbagala yapata suluhu, malori yaondolewa
Bandari kavu ya Mbagala jijini Dar es Salaam imepata eneo la maegesho ya malori katika juhudi...
Maina Kageni afichua mshahara wa kushangaza anaomlipa mjakazi wake
Mtangazaji Maina Kageni amezungumzia imani yake kuhusu malipo ya juu kwa wajakazi, akifichua analipa yaya wake KSh 50,000 kufuatia kanuni mpya za mshahara chini.
Ndugu kortini wakidaiwa kutakatisha Sh310 milioni
Wakurugenzi wawili wa Kampuni ya Tuzo Business Group of Company Limited, John Kashiha (40) na...
Martha Karua akosoa uamuzi wa mahakama kupiga muhuri Gachagua kutimuliwa serikalini: “Tatanishi”
Martha Karua anakosoa uamuzi wa Mahakama Kuu kuhusu kuondolewa kwa Gachagua, akiuita kuwa na dosari baada ya kukiri haki yake ya kesi ya haki ilikiukwa.
Mkorea anayedaiwa kukutwa na vipande 504 vya meno, kuendelea kusota rumande
Mshtakiwa Un Hyok Ra (37) ambaye ni raia wa Korea Kaskazini anayekabiliwa na mashtaka mawili ya...
Nanyuki: Polisi watupa mabomu ya machozi kutibua ghasia mpya za kupinga kituo cha Ebola Laikipia
Polisi walirusha mabomu ya machozi kufuatia maandamano mapya huko Laikipia, Nanyuki, kuhusu kituo cha karantini ya Ebola katika Kambi ya jeshi la angani.
Tanzania, Singapore sign five landmark deals to boost trade, skills, investments
DAR ES SALAAM: A major diplomatic breakthrough unfolded in Dar es Salaam as Tanzania and Singapore signed five key agreements to strengthen cooperation in trade, investment, skills development, and economic…
Gachagua Alaani Uamuzi wa kesi ya kupinga kung’atuliwa kwake, asema hata KSh 50M walizompa hataki
Naibu rais wa zamani Rigathi Gachagua amekosoa uamuzi wa Mahakama Kuu kuhusu kutumiliwa kwake serikialini. Pia amekataa fidia ya KSh 50 milioni aliyopewa.
Tanzania economy gains momentum as reforms attract investors, strengthen Singapore ties
DAR ES SALAAM: Tanzania’s economy is gaining robust momentum, driven by bold government reforms, a steadily improving investment climate, and increasingly business-friendly friendly policies that are strengthening investor confidence. The…
Government urges researchers to find lasting solution to Malaria
ARUSHA: THE government has called on research institutions in the country to intensify efforts in finding a lasting solution to eliminate malaria in Tanzania. This was stated by the Minister…
Jina la Msenegal mezani kwa Ibenge
WINGA wa Azam FC raia wa Senegal, Pape Doudou Diallo amerejea tena ndani ya kikosi hicho baada ya mkataba wake wa mkopo na Shabana FC inayoshiriki Ligi Kuu ya Kenya…